Hayo ni mawazo yako kwamba mtu anachagua sura. Hiyo zamani watu tulikuwepo na hakuna aliyejitangaza kuwa anagombea kwa vile anasura nzuri. Mawazo kama hayo yapo kwa baadhi ya watu wasiojitambua. Hiyo zamani wewe uliiona lini ikiwa huna umri huo ? Msitufanye watu wa zamani kama hatuna akili. Ongeleeni matatizo yenu. Tunafahamu malalamiko yenu na ni kweli yanaumiza sama lakini kuongea kila siku kila wakati yanatia kichefuchefu sana. Hamnna hoja zingine mpya?
Siakanushe mwenyewe
Kwanini acjitokeze?
Hayo ni mawazo yako kwamba mtu anachagua sura. Hiyo zamani watu tulikuwepo na hakuna aliyejitangaza kuwa anagombea kwa vile anasura nzuri. Mawazo kama hayo yapo kwa baadhi ya watu wasiojitambua. Hiyo zamani wewe uliiona lini ikiwa huna umri huo ? Msitufanye watu wa zamani kama hatuna akili. Ongeleeni matatizo yenu. Tunafahamu malalamiko yenu na ni kweli yanaumiza sama lakini kuongea kila siku kila wakati yanatia kichefuchefu sana. Hamnna hoja zingine mpya?