Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn! Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
Kiongoz unadhalilisha wananchi na Taifa kwa ujumla video inaenda mbali sana tafta njia sahihi apo unabomoa haujengiii maisha magum na kaz hawana unawasaidiaje pia tumia tafsida haipendez kuwaita dada zetu malaya alaf ukumbuke MUNGU anakuonaa
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa@@leokamil6284
Huu ni upuuzi na kutaka sifa tu Kwaiyo watu wasiende gest au bar au watupe vitambulisho basi sasa kama mtu upo bar wazingua hivyo ndo nini kama sio sifa nchi hii adi viongozi wanataka kiki yani kama wanajua sana wakakamate wanaokula hela za miradi ya nchi
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili, Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa, Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
Mimi sitetei hawa wasichana. Ila naona kuruhusu mabaa kuuza ulevi hovyo ni chanzo cha kuzidi uchafu wa umalaya. Naomba Serikali iwafungulie wasichana wanaozurura chuo cha kuwafundisha, kushona upishi na kadhalika. Itasaidia sana.
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
Biashara ya toka kale iyo watu wasiuze kuma watakula matako au watu wanafamilia zao bhnaaa tunajiuza sana hakuna kuacha na hatukomiii😂😂😂😂 maisha saf kaz nd iyo iyo
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone@@YaeliJoseph
@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
Safi sana DC lakini mimi nashauri wanunuaji ndo muhimu zaidi wakanatwe na wakikamatwa waonyeshwe live kwenye ma tv na wawekwe front page ktk magazeti ...tutakuwa tumefanikiwa wanunuaji tusipoenda hawatajiuza
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
Safi sana kilicho fanyika nijambo jema sana. Niulize swali kuna watu wana kula ela za uma na wana pingiwa ving'ola nk hao wanakiuka sheria au vipi, mkitaka wananchi wawa elewe kamateni waujumu uchumi wanao firisi taifa mapolomoko ya maadili ni mengi sana ufisadi, kuto tosheka, wizi, ubanafsi, kwasasa tuna itaji shelia iwena nguvu pande zote
Ukifuatilia vizuri hapa kuna uvunjaji wa sheria kidogo na pia unawapeleka mahakamani unawashtaki kwa sheria ipi mheshimiwa DC hilo linahitaji sera na sheria kwanza KUTENGENEZA foundation nzuri hivi kesho utawakuta tena hapo bado mno kaka
Waachen tu shuhuri ya kutinduliwa kwa siku mara 3 had 4 so poa maisha magum kifupi hao wako kazin tra wakae nao wawape taratibu za kod bas maisha yaendelee ela yao no ya moto sana wanaifanyia kazi kweli Au mnataka wakaibe
Unapokataza Kuuza Bangi Anza Na Mkulima Watu Wanakula Hela Za Uma Mabilioni Lakini Mnawapigia Na Salute Jamani Hiiii Nchi Ngumu Sanaaaah
Punguza Sauti maana WATASIKIA
Ni kweli kabisa mafisadi mnawaacha wanaopora nchi lakini mnadili na watu wa chini kwa kutafuta majina ya kazi zenu
Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
@@marandoruzali1946 wanatafuta kiki za kipumbavu
Kwahiyo ulitaka wale mawe
Mi nafikili ni sawa kukamata wale ambao Unawakuta kabsa balabalani wanajiuza lakn sio saw kwenda Gest kushka watu...Mawazo yangu🌄
Upo sahihi sana
Upo sahihi
Ni kweli lakini ni sabbu vibali havifwati
Wangekuwa wanafata wangeepuka yote haya
Hapo shida ni ya mwenye guest na sio aliyelala ndani
Nimeumia sana sijapenda
Sas kosa Lao ni nini..!? Munaacha kukamata wala rushwa mnaenda kukamata watu waliojipumzikia zao kwny Nyumba za wageni!!!! Hii si saw
Kwaio unataka kusema zinaa iruhusiwe tena na unajina la omari kabisa hivi kama ndugu yako anafanya hivo utakubali au unasema kwasababu huna ndugu hapo
Kosa lao wanazingua wanajiuza ni kinyume na sheria za Nchi yetu
du si mchezo yani mpaka sasa bado haujafahamu kosa Lao!
Punguza ushabki kwenye Mambo ya msingi
Ulisha wai fiki ilo eneo ukaona walivyo.uchiii
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
DC inawezekana hana kazi ya kufanya
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn!
Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
Kwa nini asipambane na vibaka wanazuri watu usiku
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
Kweli shida ana taka kuonekana ana fanya kazi 😅😅😅😅
Kazi nzuri sana kiongozi dada zetu waache uzinifu watafute kazi zingine uchumi wa nchi ukue
Iwe Sheria ya Nchi mzima. Bravo❤❤❤🎉
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
Wewe naye umekosa kazi unashidwa kero zawanaichi unafanya kazi ambayo siyo sahihi
hiyo pia nikero,kazi sahihi ni ipi kama hiyo siyo sahihi?
Mfano gani unatuonesha tuonyeshe maendeleo
Unapenda uzinifu wewe?
@@MuhammadHassan-xp6dcSasa kero kuingilia UHURU wa MTU
Mkuu huna KOSA. Huna makosa, chapa kazi
Umalaya tu acha yakamatwe, safi sana mkuu na mungu akusimamie 9:48
Uyu DC anatafuta kiki
Adi nashangaa hv huyu elimu alipata wapi, napata waswas
Yani makonda ndio kiongoz watu wananyanyasika uko yee yuko bize au anamtafuta hawara wake ndio mana anapita kilakona
Kwa nyie mnaojiuza ndio mnaona anatafuta kiki
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
W@@rumdeesonsoa1811wanunuz hao
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
Biashara bila mitaji
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
awape ajira sasa
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
Subiri tu barabara zitakuja tu taraatibu tu tunaanza
@@lawrenceleonard2007
Kinondoni nayo ifanye hii operation hebu njoo eneo la Boko Basihaya ni shida kwa kelele na changu doa.
Ata luwaha wapo wengi xan
❤❤❤❤❤ kazi nzuri njo congo
Mkuu acha waendelee na maisha yao hakuna jipya hapo.
KWA KWELI HIYO KAZI IMEANZA HAJAZALIWA NA YEYE BALEE ALIPONEA HUMO HUMO
Safi sanaaaaa kiongozi mkuu wa wilaya"All akupe wepesi"wanazalisha snaaa family
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
wanaznguwa
Hii nguvu ingetumika pia kwa mafisadi
Unakuta huyo jamaa aliliwa hela na madada wa hivyo ndoo maana 😂😂
Hana kazi DC
Hana uwezo wa uongozi
Tengeneza ajira DC
Haya mambo yalikuwepo tangia enzi ya bwana Yesu
Ammulize Mzee Makamba
Akuletee ajira nyumbani wakalime
Uvivutu
Huko ndo wameonaga pa kupatia kiki wakafunge club za masaki huko au kitambaa cheupe kwanini wanafunga vichochoroni tu
Mbona tip top bado wapo?
Kiongoz unadhalilisha wananchi na Taifa kwa ujumla video inaenda mbali sana tafta njia sahihi apo unabomoa haujengiii maisha magum na kaz hawana unawasaidiaje pia tumia tafsida haipendez kuwaita dada zetu malaya alaf ukumbuke MUNGU anakuonaa
Ww unaonekana huwa unanunua hizo pisii
well done DC allah akutie nguvu katika zaid katika majukumu yako.
Kwel mungu amlinde kwalipi nawakati tunachaniwa nyavu zetu na vibaka ana hangaika na malaya
@@EmmanuelChrispin-bo5xhsindo hapo sasa
Wape ajira ss acha kelele🙋
ajira ni wewe serikali aiwezi kukufata
Jiajiri wewe
😂ko hao tu ndio wapewe hajira kwan tanzania wangapa hawana kazi na hawajiuzi😂😂😂
Walikiwepo tangia enzi Dunia inaumbwa 😂😂😂😂😂
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
Mbo@@leokamil6284mbona mtetea nawewe umo
@@leokamil6284usiombe kwenye familia yenu awepo japo moja ndo utajua hii aibu ipoje
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa@@leokamil6284
@@leokamil6284😂😂
Askari wa like ana wivu na madada poa anajua humzibia ridhiki
Viongozi wa siku izi wanapenda sana camera kuliko kufanya kazi za maendeleo tengeneza miundombinu ya ajira ndio utatokomeza iyo biashara.
Sema nini 😅😅😅 hiyo Tandam nimeielewa kama naweza kupata namba yake unitumie mh Dc.
sio safi
Safi mungu anapenda
Kamateni wenzi wauma wanao ibiserikari
Huu ni upuuzi na kutaka sifa tu Kwaiyo watu wasiende gest au bar au watupe vitambulisho basi sasa kama mtu upo bar wazingua hivyo ndo nini kama sio sifa nchi hii adi viongozi wanataka kiki yani kama wanajua sana wakakamate wanaokula hela za miradi ya nchi
Vitu kama hivi ndio vinafanya serikali igombane na wananchi😂😂
Wee mshenzi tu kwa iyo waachiwe kwa sababu nawe unajiuza
@@Mumewangu unajua mke wangu, ulaya walishindwa wakaamua iwe biashala halali. Vp wana uhakika wa kuwapatia maisha? Maana pale ndo kula kulala yao🤣🤣🤣
Kweli
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
Amen God bless uu hakika mh
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
03:53 huyo kijana kashakwishaaa 😂😂😂
Anakizoom kitoweo
M/Mungu Akusimamie Sn Mkuu,,Umejua kunifurahisha sn.maana ni Aibu sn kwa Jamiii
Aibu ya nn sasa
Haswa ndgu yangu hasa mfano eti unamkuta mtt wa kiume nayeye anachukuliwa kinyume na maumbile subbuhanna llah
Kassimally naww ndyo wale wale nn mtt wa kiume unauliza aibu gani pumbavu weeeee
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
Nafikiri ulikuwa na point nzuri sema ndio ivo mwandiko umekusaliti
Me nataka nikununue wewe
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
Nendeni kwa Mwambukusi na Lisu ili wawatetee sababu Chadema ni chama chenu mashoga na makahaba mtatetewa tuu.
Umefanya vizuri sana ndio watu waolewe na kuoa jamani tunapoeleke sio nafanya kazi nzuri sana hongera
DC BIG-UP SANA. TAIFA LINALORUHUSA HAYO LAZIMA LITAVUTA LANA.WALA USKATISHWE TAMAA NA MTU YEYOTE.
Hongera sana comred, kazi nzuri sana
Angekamata mashoga ingekuwa safii lkn hapo hamna cha ajabu
Uzuri wa kazi hiyo ni ipi, watu wanakero kibao hazishughulikii anahangaika na malaya,malaya hawajawahi kuwa kero popote
uko vizuri sana yani nchi ikiendelea hiv tutafika mbali
Kazi nzuri sana Mkuu wa Wilaya.
Safi sana👏👏👏👏👏
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili,
Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa,
Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
Alhamdulillah huenda. Tanzania ikapata neema kamata wote hao manyang'au
Weeeeeh huyu DC hataki mchezo eti,kazi kazi🙏🙏🙏🙏
Hawa Vijana wanateuliwa kwa miemuko na kazi zao ni za kimiemuko, kwamba wilaya yake haina changamoto tofauti na hizo
Nenda dodoma, kamata wa bunge pia
😂😂😂😂
Duuu uyoo sfanfe amemcheki kibonge😅😅
Naunga mkono but siungi mkono udharirishaji, msiwaoneshe camera kwa lazima. Ni kinyume na Maadili ya utu. Tumieni vizuri vyeo.
Kuonyeshwa kwenye kamala na wanavyo jiweka uchi kipi , kinazalilisha hapo😮
Mbona hawakamati mashoga?
@@akidajulius1581 nadhani wewe inamaana Yako, Sasa nilichokisudia na unavyotaka ni tofauti, kwahiyo sikulaumu.
Mimi sitetei hawa wasichana. Ila naona kuruhusu mabaa kuuza ulevi hovyo ni chanzo cha kuzidi uchafu wa umalaya. Naomba Serikali iwafungulie wasichana wanaozurura chuo cha kuwafundisha, kushona upishi na kadhalika. Itasaidia sana.
Vina mda basii.. Mda si mrefu watarudi na maisha yataendelea kama kawaida
Na wateja Ni wenyewe
hahah
MASHAALLAH KAZI NZUR MKUU
Umekosea DC iyo siyo sawa
Siyo Sawa nn vp Yan mtu anaweka maadil ww unapinga
Mbna hamdili na mashoga wakati yapo kibao huko dar
Ndio nashangaa 🤮🤮
Mbona kashasema wanawakamata
Hujasikia hapo alichoongea?
Tuwaone sio tunaona ma dada poa tuyaone mashoga na tuonyeshwe sura zao ili tuwatenge
@@daudymlauletv8489 kabisaaa
Hii moja ya kazi kwa mkuu wa wilaya kuhakikisha jamii zinakuwa na maadili ili vizazi vyetu viwe salama safi sana
Huyu
DC anawalipia kodi hao wamiliki wa lodge? Yaani sasa hv mnaingia mpaka kwenye magesti ,je kama mtu kaenda na mpenzi wake?
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
Unaweza lala zako guest huna hili wala lile DCanakuja paaap unajikuta Centro na kwenye video clip mitandaoni unaitwa Kaka Poa😊
@@josephernest155 Huyo jamaa kakurupuka tu kutafuta umaarufu
Mbaya zaidi sasa ukute alieemda anafamilia yake mnamkamata hawaona wanaweza kuongeza migogoro ktk familia?
Biashara ya toka kale iyo watu wasiuze kuma watakula matako au watu wanafamilia zao bhnaaa tunajiuza sana hakuna kuacha na hatukomiii😂😂😂😂 maisha saf kaz nd iyo iyo
MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU wa Wilaya fanya kwa zamu yako Mungu akusimamie
Wamejaaa mafia jamani safi sana❤
Msirudi nyuma Mungu awabariki iwe kweli wakarime
Siyo wakarime ni wakalime
@@vincentdaud9954
.
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
Hii ni sifa za udhalilishaji mtupu. Fungeni kisha Serekali ikose kodi. Hii inakusaidia nini wewe mkuu
😂😂😂duh Kuna shangazi hapo nimemuona jamani lkn mnajisumbua vitarudi siku si nyingi
🤣😂
Mkamate hata ma kakapoa😂😂😂
Hii sio powa kabisa, nikuwazalilisha tuu, maisha ni magumi, serekali tengeneza ajira kwa vijana, hakuna anaependa kujiuza
Basi hata wezi, matapeli na majambazi waruhusiwe maana hata wao ni maisha magumu
Umo na singashai na watoto wa chuo wakawemo umo😂
Huyu dogo mkuu wa wilaya hatoboi. Hiyo vita haitakiwi kwenda kwa kukurupuka hivyo. Angeanza kwa kutoa elimu
Mungu atamlinda maana anafanya kazi njema
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone@@YaeliJoseph
Safi sana hongera kazi nzuri sana yetu nchi dah wamgumu sana madada poa
Tatua tatizo la wafanya biashara,hao wadada wanapunguza ubakaji
madhara yake kwa jamii ujajua tu watoto wanaoishi kwenye hiyo mitaa lazima wajifunze hayo mambo ya hovyo
@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
Mshenz mbwa mweus wewe
Mifumo ya maisha kwa watoto inaanza kwa wazazi
@@official_nansty1896Kama wazazi wenyewe ndio hao wanaojiuza je?
KIMENUKA😂😂 MSAKO 😊 HUYO JAMAA ALIYEKAMATWA INAWEZEKANA ALIAGA KWA MKEWE ANAENDA SAFARI KIKAZI😮 NI BONGE LA MSALA.
Jamani shughulikieni mambo ya miundo mbinu wala hiyo cyo ishu ht kama mkiwakamata haitasaidia kitu.
Msenge wewe kajiuzie poroni huko nguruwe mweusi wewe
Kuna dada yako anajiuza au mbona unatetea
Kumbe ww n mmoja wao
Kwann unatetea utovu wa maadili?
Safi sana DC lakini mimi nashauri wanunuaji ndo muhimu zaidi wakanatwe na wakikamatwa waonyeshwe live kwenye ma tv na wawekwe front page ktk magazeti ...tutakuwa tumefanikiwa wanunuaji tusipoenda hawatajiuza
Wote wanatakiwa wakamatwe. Maana bila wauzaji wanunuaji hawatakuwepo pia
Mkaifunge lamada
Kweli ramada ikafungwe
Yn pale
Ramada mkaifunge mbona iko wazi
Mungu Atujibu tumelia sana Mbarikiwe viongozi
Daa uo mshangazi huna nyama za kwenda daa
Daaha mwanangu nimeutamani kinyama
@@MigomgoMigali-ky1jl kweli babu toto jeupe nyama za kutosha lazima nikalitafute hapo sinza
At si poa😂😂😂😂 tengeneza ajila.DC
Ubakaji utaongezeka
Bora . Ili wajue umuhimu wa chumvi kwenye chakula
Kwaiyo we unaona aki kufanya uchafu safisana
Mbona wanaobaka huwa ni watu wenye wake zao? Tofautisha nyege na ushirikina
Mbona hamkati wabakaji
Aaaah kumamamke wasingenikamata mm uzalilishaji tu wakijinsia
Mungu awatangulie ila kuna wapumbavu watakuja kuwakatisha juhudi hizi
Kweli kk kuna baadhi ya watu hawana akili alafu wanalalamika kuwa viongozi hawafuatilii
Mbona msako wa mashoga hatusikii
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
Sijapenda hata kdg!! ndg DC huu ni udhalilishaji mkubwa! biashara hyo haijaanza leo wala auwezi kuimaliza ni misifa tu!😣
Dc alichokifanya n udhalilishaji
Ajira hakuna, Hilo zoezi hutoliweza.
Kwa hiyo ndo Ajira Mpuuzi wewe.
Nimeipendasana iyo hongera ds isiishie kata yaubungotu maana nimbaya sanaiyo
Hilo limshangazi veep limenona kinoma
Umeliona na wewe mwanangu😂
Oya mwanangu nimelitamani kinoma😅
😂😂😂 jaman
Mzigo wa kuvunja chaga
Uyu mkuu wawilaya Hana mahana kabisa
Safi sana mheshimiwa Yani umenifurahisha sana , na huku kwetu tunakerwa na aibu hii,
haki za binadamu nafaragha mbona hamlioni hili uyu msenge aende RAMADA HOTEL
Safi sana kilicho fanyika nijambo jema sana. Niulize swali kuna watu wana kula ela za uma na wana pingiwa ving'ola nk hao wanakiuka sheria au vipi, mkitaka wananchi wawa elewe kamateni waujumu uchumi wanao firisi taifa mapolomoko ya maadili ni mengi sana ufisadi, kuto tosheka, wizi, ubanafsi, kwasasa tuna itaji shelia iwena nguvu pande zote
Nimefurahi sanaaa jamani hongeraaaaaa sanaaaaaaaaa
are you going to jail them😂
Tufuta ela ww wacha ushamba
Hatutaki uharibifu wa maadili
🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe sana mkuu🎉🎉
Ukifuatilia vizuri hapa kuna uvunjaji wa sheria kidogo na pia unawapeleka mahakamani unawashtaki kwa sheria ipi mheshimiwa DC hilo linahitaji sera na sheria kwanza KUTENGENEZA foundation nzuri hivi kesho utawakuta tena hapo bado mno kaka
Hao wanapunguza ubagaji
😂😂😂😂
Sasa wanajifichaa nini wakati wanauzaa Jamani hawa madada😢😢😢😢😢😢
Njo arusha shivaz
Hahaha balaa hapo nlienda kuna balaa zito
Shivangaaaaaa. Ofisiniiiii
Hata shivas wanatakiwa wachukuliwe hatua
@@rumdeesonsoa1811 kabisa wako wazi sana mpk utadhan hakuna serekali
Makonda komesha hii biashara Arusha shivaz na kote
Kazi nzur masha allah❤❤
ume fanya jambo zuri hongera baba
Waachen tu shuhuri ya kutinduliwa kwa siku mara 3 had 4 so poa maisha magum kifupi hao wako kazin tra wakae nao wawape taratibu za kod bas maisha yaendelee ela yao no ya moto sana wanaifanyia kazi kweli Au mnataka wakaibe
sema hao madada wako vizuri hakuna derivary mniletee 😎😎😎😎
Mungu atunusuru tu ila hawa wadada wanapitia magumu sana
Sometimes maisha huwa ni makatili sana...ila mungu ni wetu sote
Saf sana mkuu, inauma sana kwa mzaz anaona mwanaye ni miongon Mwao
Nzriii sana hyo