Malkia wa Mbingu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Karibuni kutazama wimbo huu wa Malkia wa Mbingu ,uliorekodiwa na wanakwaya wa Kwaya ya Mt.Augustino wa hippo ,Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma,Nkuhungu ,katika studio za Dady Productions.
    MAMA YETU MARIA ATUSAIDIE WOTE.Karibuni

Комментарии • 28

  • @franciscandanu7634
    @franciscandanu7634 11 месяцев назад

    Kazi mzuri na mbarikiwe
    Very nice song

  • @catherinekerubo7282
    @catherinekerubo7282 Год назад

    Hongereni sana kazi safi👌👌👌

  • @janemwangi6065
    @janemwangi6065 Год назад +2

    ASANTENI WANAKWAYA KWA WIMBO MZURI SANA WA KUMSIFU MAMA YETU MARIA. FROM QATAR BUT KENYAN

  • @erickayomo5123
    @erickayomo5123 Год назад

    Hallo very nice song indeed naomba music 🎼 notes if possible I really love this song and it's a request from my choir, thanks in advance .

  • @kathbetmgao7590
    @kathbetmgao7590 Год назад +2

    Sara ulipendeza mnooo

  • @kathbetmgao7590
    @kathbetmgao7590 Год назад +2

    Sara.sara.sara. mzidi kubarikiwa sana.

  • @kelvinyohana6073
    @kelvinyohana6073 Год назад +2

    Hongereni sana kwa utume! lakin tuzidi kumwomba Mungu sana kwa kwakuwa katika utume huu nimengi tunakutana nayo ambayo wakati mwingine yanatuvunja moyo, ninawaomba tunapo kutana na vikwazo vya aina yeyote tumwombe Mungu na tusonge mbele Mungu ni mweza wayote hongereni sana kwa utume majaribu ni sehemu ya maisha

  • @emmanuelmyonga3130
    @emmanuelmyonga3130 Год назад +2

    Hongereni Sana,mungu awabariki.tulibarikiwa ujio wenu kwetu.tumwimbie bwana.

  • @christinakinyamagoha4507
    @christinakinyamagoha4507 Год назад +2

    Nice song with glorious words to our Mother Marry,,,,,may God bless your work

  • @pastorysylvester4480
    @pastorysylvester4480 Год назад

    Hongereni sn kwakwel n bonge la wimbo, mpependeza mnooo sare nzur fully smile Mbarikiwe sn

  • @josephinabasso9963
    @josephinabasso9963 Год назад +1

    Una heri Maria maa uliyeinuliwa juu hata kuirithi mbingu

  • @samwelmauza336
    @samwelmauza336 Год назад +1

    So nice song mbarikiwe

  • @kathbetmgao7590
    @kathbetmgao7590 Год назад +1

    Mungu awabariki sana

  • @estermrimi321
    @estermrimi321 Год назад

    Hongera sana, Mary Richard hongera kwa utume mwema

  • @chanikamfugwa4736
    @chanikamfugwa4736 Год назад +1

    Hongera sana kwa Utume🙏

  • @christinakinyamagoha4507
    @christinakinyamagoha4507 Год назад +1

    Happy to see you my big brother Nyigo a.k.a baba G

    • @drhelmannyigo1639
      @drhelmannyigo1639 Год назад

      Here i am my young Sister… .Am still making it until i die!!!

  • @augustinekastherody3061
    @augustinekastherody3061 Год назад

    Amusing and Astonishing songs

  • @franciscamasaaikandi1302
    @franciscamasaaikandi1302 Год назад

    Fantastic song🥰🥰🥰can't get enough of it

  • @kathbetmgao7590
    @kathbetmgao7590 Год назад

    Bonge la wimbo

  • @dionizsibanga2466
    @dionizsibanga2466 Год назад

    Safi sana, mtunzi nani

  • @muhidinramadhani3805
    @muhidinramadhani3805 Год назад +1

    Hongeren.saaaaaa

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Год назад

      Utume unakwaza pale roho Mtakatifu asipo sifu ndani yako ,Wanakwaya wengi mnaharibu pale mnapojisifia kujua kuimba huku mnasema mnamtukuza Mungu ,Mtukuzeni mungu ondoeni umwili ndani kazi zenu ,makwazo yatakuwepo lkn Neema ya Mungu ikiwa ndani yenu hamtakwazika wacheni majivuno.Hongereni kwa Utume msikate tamaa.Neno la Mungu lisonge mbele.

    • @xamwelymaico574
      @xamwelymaico574 Год назад +1

      Sawa gidion hatuzimi data

  • @innocent3954
    @innocent3954 Год назад

    Hallelujah ❤️

  • @user-ip2pv6ix8o
    @user-ip2pv6ix8o 5 месяцев назад

    Naomba namba zaa mwl wa hii kwaya

  • @kathbetmgao7590
    @kathbetmgao7590 Год назад

    Nawaelewa sana.

    • @fransiscarbrunoh6889
      @fransiscarbrunoh6889 Год назад

      Nmewapenda sana, saut ya kwaza imepangwa vzr so hongeren San wanaparokia wang ktambo nawapenda