TWENDENI TUKAMTOLEE - TMY // Mtunzi: Tumaini Swai
HTML-код
- Опубликовано: 7 янв 2024
- Karibu Utazame Wimbo wa Matoleo
Waimbaji: KWAYA YA MT. THERESIA WA MTOTO YESU - MARUKU
Mtunzi: Tumaini Swai
Sound Eng: Shimanyi FM & Paschal P.(DUKE)
Video Director: MDETE TM
Audio& Video: CGen Pro
#catholicchurch #catholicsongs #kwayakatoliki #gospelmusic - Видеоклипы
Kazi safi sana aisee. Hongereni sana wahusika👏👏👏👏
Tamu sana nimeipenda mnooooo hongeren sana
Asantesana kwa kutupenda Bure Ubarikiwe zaidi
Hongera swai mbona ray kapoa safari hii
Perfect tumaini 🎉
Kazi imependeza yeye
Safi sana hakika mnatubariki mno ongera sana mtunzi lakini pia kwaya mzima kwa ujumla barikiwa wanakwaya ya maruku ❤❤🎉🎉🎉
Pongezi mwalimu swai na hongera sana
Hongereni,,,safi sana
Wimbo mtamu Sana wa matokeo,hongera kwa waliofanikisha
Kazi nzuri sana.
Baraka.
Wimbo mzuri asee
Sauti nyororo..wimbo mzuri sana...hongera sana 🎉🎉🎉
Hongera sana 1:44
Wimbo mzuri❤❤
Tumaini..yaan unafurahisha..hadi unaboa😄😄hongera sana kwako
Wimbo tamu.Hongereni
Tungo nzur sana sio kama zile za sebene nyingi
mnanibariki mno kiukwerii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤❤
Hongeren kwa wimbo mzuri wa majitoleo, Nimeipenda ❤hakika kaz ñzur, Mungu awabariki🎉🎉🎉😊
The best ❤
Tamu sana, hongera kwa waimbaji na Mtunzi and production team🎉❤
Yaani ukiusikiliza wimbo unapata baraka zote❤❤🎉. Hongereni sana wanakwaya wote na walimu wote kwa kazi nzuri. Mungu awabariki nyote
🔥🔥🔥
Ni wimbo mzuri ❤
Kazi Muruaaaaa
Hongera sana
Amazing
Safiii🎉
Nice ❤
Kimbieni muoje hii ya kutoa sadaka...this choir is blessing to us i tell you
Amen
Kazi nzuri sanaaa Mzidi kubarikiwa wanakwaya na Mtunzi🎉🎉🎉
Amen
Kazi nzr munarikiwe
Kazi safi. Hongereni!
Kinavutia kwa midundo na zaidi maneno yenye kutia moyo mshale kwa kutoa kama desturi...hongereni sana
Amina
Good music
😊😊😊
Abaomuka mlige
Sauti tamu na pongezi pia kwa Tumaini
Asante sana
Music relieves pain and stress, Mungu awabariki
Wimbo umenibariki Sana! Hongera Sana kaka swai
Asante sana
naomba nota tafadhali🙏@@tumainiswai5946
HoNgera Kaka Tumaini swai wimbo mtamu kweli kweli🎉
Asante sana
Yoh! another great hit 🎉mmepigaje apo💯
Nawakubar mda wote mungu awabsriki bay nestory nipo nshamba
Sema mnawang'arisha watu sana 😃😆😆
Hongereni sana kwa wimbo mzuriii
Very nice song, congratulations.
Swai is gifted indeed. God bless him and the choir
Amen
Pongezi kwa Mzee mzima Tumaini na kwaya nzima 🎉❤❤. Beautiful voices
Asante sana
Hongereni sana kwa kwa kipaji hicho
Ina fanya moyo kutulia sana keep it up
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Kazi nzuri sana hongera tumaini swai
Kazi njema,hongera mwalimu swai.
What a song!!🎉 Beautiful indeed❤❤, Congrats to you all🤝🤝
Pongezi sana mwalim swai kazi nzuri
Safii Sana mnatubariki mnoo❤
Neno la kilutrujia kwa mtunzi. Kumtolea Mungu zawadi ❌ Kumtolea Mungu vipaji, Sadaka, dhabihu ✅
Hongereni kwa kazi nzuri
Tumaini big up bro unaitumia ipasavyo talanta uliyopewa na Mungu
Mungu aendelee kukuneemesha ndugu Tumaini. Asante kwa wimbo huu wa kuimarisha imani yetu
Our choir our pride🎉🎉🎉🎉
Aaaaa wimbo ni mzuriii sana nawapenda sana
Mwenyezi MUNGU azidi kuwatia nguvu wanakwaya wenzangu mambo mazuri sana
Hongereni kwa kazi nzurii 🎉
Kiongos 🎉safii ❤
Hongera wana kwaya ya Mtakatifu Tereza wa mtoto Yesu.
my dream is to train music with Tumain Swai, Ray Ufunguo, Shimanyi and Mkasa 🙏🙏 I like your songs, kazi safi
Hongera Sana kwa uinjilishaji wenu mungu awabarikiii Sana ,,,❤🎉🎉
Hongera sana Tumaini Swai wimbo mzuri ubarikiwe
Iko safi sana wanakwaya wenzangu. Nimeipenda. Haleluyaaaa
Safiii
I feel like taking offertory next Sunday. Very divine song.
Good song congratulations more maruku choir....
Kazi nzuri nimewamiss
Kazi nzuri sana.
Hongereni sana
Kazi safi, tunaomba score 🙏🙏
The best song ...hongera sana bro swai❤
Atukuzwe Mungu milele❤❤❤
Swai never dissapoints ...much love guys❤❤❤❤❤
mungu awabari san waimbaj amina
Hats off to you my role model Sir Swai❤🎉
Asante kwa wimbo mnzuri sana
nimeipenda sana hii kwaya
Hongeleni wapendwa
Nazipenda sanaa
Wimbo mzuri
Safi sana ❤
Baraka tele
Hongeren sanaaa❤
Very beautifully performed and sang. Thank you members of this choir.
Barikiwa sana. Hivii father Agape bado anaudumu apo?
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Note please
Nota yake jaman
Nzuri saaanaaa tunapataje copy jamn
Tamu sana nimeipenda mnooooo hongeren sana
Kazi safi bwana