Waswahili walisema akili ni nywele ila hawakufafanua ni za sehemu kwa mwili 😂😂😂kipara hapa umeweza❤❤❤❤❤ sehemu ya tatu inje haraka juu imetukamba koo hatuezi nyamazia
Kwawasanii wakike wote kutoka gang zote nampa tuzo SANDRA, nilianza kumuona akiwa na Jumajicho tangia pale sijawahi kumuona kafeli. KWA WANAUME nawapa tuzo #BUTUA, #CHIBU & #KIPARA hawa watu wanavipaji asilia sio vyakulazimisha.
Huyo demu wa kipara ndio Boss wa madawa ya kulevya huyo askari mpelelezi katumia njia hiyo ya kujifanya chizi kupata ukaribu kuwafuatilia Who am i Nimeguess tu sina majibu kamili utabiri tu tuendelee na movie huenda ikawa hvo Huenda
Kipara ongeza kuwa serous hiyi story nzuri sana❤
Kama unamukubari Sandra 🎉 twende na like jamani 🎉
Aisee nakubali sana
Kama ww unamkubali sidhani kama unanifikia tuyizele
Nakupenda
😊😊😊
Anajua sanaa
Kazi mzuri sana ❤
😂😂Butua Butua Omaiii ❤❤
Ila sandra umeuwa🎉🎉🎉
Kipara mwanangu nakukubali sana bro 🇰🇪🇰🇪tunakukubali
Bom trabalho..! Assistindo de Moçambique ( Mozambique)🇲🇿
Watching live from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kipara episode 3 ikuche haraka tuasubiria kazi nzuri sanaaaa 🎉🎉
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kipara
Story yako nzur san kipara wana man umetisha how you my friend
nampenda sana bi migomba sababu yupo sirias sana na kaziyake🎉
😮😮😮😢kipaya mchukue huyo dada chiz ni noma sana
Dah wadada wazuri hata Kam mnaigiza jamn acha sigara Sandra please ❤
Good work Mr kipara mungu akuongezee kipaj inshallah
Hongera kipa kazi nzuri pongezi nyingi kwenu ila ni nini maana ya WHO I M I
Mimi ni nani?
@@wilsonfbipolice911 🙏🙏🙏🙏
@@user-uw6gg4de9x uwe na Amani ndani yako
Mimi ni nani
@@KIPARABRAND sawa kipara ukija Arusha nitafute kaka uje Kwa morombo ule nyama ya mbuz
Ila hii movie ninzur jaman mwanzo tu ni💥💥👌👌👌👌
Kipala hii kaz nzury sana imalize vizuli
Kipara kauwa ❤❤❤❤🎉
Wa mwisho🎉🎉🎉❤❤❤
Leo mapema mie wa kumi na tatu Sina shido🤣🤣🤣👍 kipara ongera sana dear upo vizur mno
Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba kbx
Wa Kwanza Leo from Doha Qatar
Pungusha pombe kidogo 🎉🎉
Kipara nimefurahiswa sana kumbe siyo umbea2,big love bro
😢ivi hata mtaani kipala unatembe wewe staaa unavotembea na huyo mama aisee nimecheka :::tembea kistar🎉
Mimi ndo wapil
Hujaachaga uongo wako😂😂😂😂
Kipara man oo, mchawi wa Gen Z, mchawi msomi anayejuwa kizungu. Kazi nzuri unafanya kaka, hapa kenya tunakupenda. "Who am i"
😂😂😂mwanaume anastuliwa kwa ngumi,then mbio ndefu
Cjui nimemzoea sana mwasi, hiv jaman Sandra ni Mwasi au
#CHAUPELE KUMBE #NA WEWE #UPOOOOOO😂😂🎉🎉
Yes butua huyu hapa asee hapa move imekamilika ooh my😂😂😂
Sandra ni noma sana yaan acha tu🌹🌹🌹🌹🌹💐
Kazi nzuri Sandra big up sana 🎉
Safi sana kipara kazi nzuri💯
Itapendezazaidi. Nawepia ujekua mupererezi🎉🎉
Waswahili walisema akili ni nywele ila hawakufafanua ni za sehemu kwa mwili 😂😂😂kipara hapa umeweza❤❤❤❤❤ sehemu ya tatu inje haraka juu imetukamba koo hatuezi nyamazia
Za makwapa I'm think halimaanisha hvyo 😂😂😂
Mmmmmh apo kwa da Sandra sas mm kashaninunuwa mda nampenda san ❤❤❤❤❤
Wa 7 leo❤❤❤❤
Mkemia apa from Tanga Tanzania Kipara kaz nzuri man tuko pamoja mwanzo mwisho
Uyo dada kavaa mzula mzuri
Big up Sandra🔥🔥🔥🔥🔥
Bibi mgomba ananyuma yaupango 😁😁😁😁🇧🇮
Kazi nzuri kipara
Wakwaza kutoka Congo ❤❤❤
Kila ever time na Mimi na marafiki machizi no congratulations 😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kapara tunakukubali sana kutoka kenya🎉🎉 unajua jamen
Waoooooo kipara 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
Mie bora nitizame sinema basii sitaki likes
boa trabalho kiparabrand
Kipara naicho kiengereza ety everyting ana mashizi usoni 😂😂😂😂😂
L like this with full of creativity
WA Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪 hata like jameni
Mtoto wa kiume likes za nini kaza
Jamani pia nawe waomba like mkenya mwenzangu tuiache hio
@@WILLY_SKY1e hehehe akaze sio atashonwa🤣🤣🤣
@@sharifamohd3857 😂😂😂
Kipara namkubali😅😅
😁😁😁😁😁🤣kipara umeolewa aibu
😂😂😂😂😂 mm kingereza cha kipara t yan hoi🙌🏻
Mmetisha kinyama
Kazi nzuri🎉
Sadra jmn😂😂😂 Next episode jmn isichelew,Oro ov oro much love from 🇰🇪🇰🇪😅😅😅😅
Watoto wa elfu mbili mapema wameshawai ku'watch the show
Wanaman...kaz kizazi...
Kazi nzur kipala tuko pamoja
Kipara,Mr unfair😂😂😂...twaelekea wapi na hi who am i? Lets wait and see😊
Sandra Unamtesa Sana Kiparaa Siumwambie Weni Nani
Hizi sigara kuwapa madem wavute zina mafunzo gani 😂😂😂😂
who m'l... manake...mimi ninani?????kazi mzur sana amazing
Nimeipenda😍
Kwa kweli wabongo na kizungu mbingu na ardhi
Nice job ❤❤❤
Kipara 😂😂😂, much love from Kenya
Mpuuuuuuuuz weeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimemuelewa chizi sandra
Kwawasanii wakike wote kutoka gang zote nampa tuzo SANDRA, nilianza kumuona akiwa na Jumajicho tangia pale sijawahi kumuona kafeli. KWA WANAUME nawapa tuzo #BUTUA, #CHIBU & #KIPARA hawa watu wanavipaji asilia sio vyakulazimisha.
Kipara unanikosha walah ❤
Hii kazi ni nzuri sana
Nakukubali kipala
Huyo demu wa kipara ndio Boss wa madawa ya kulevya huyo askari mpelelezi katumia njia hiyo ya kujifanya chizi kupata ukaribu kuwafuatilia
Who am i
Nimeguess tu sina majibu kamili utabiri tu tuendelee na movie huenda ikawa hvo
Huenda
Brand ya Amiri mzura umetsha
Sandra mmh umejua mamaa
Kipara namkubali sana
Sandra chizi kwely EP 3
Hii story safi kweli ila Sandra umeweza team kipara wa wana man 😂😂
Very much San 🎉🎉🎉
Sandra noma😂😂😂😂
Kumtishia mtu ngumi tu na kutoa mbio.
Next ❤❤❤❤❤❤❤
I'm sorry... I'm sorry, I'm so sorry..! 😂😂😂
Butua umetisha omayiii
Story mzur xana
Mambo ya ifension vp
kipara story hii umetulia umenikosha ngoja tuone mbele
Hii KALI SANA❤❤❤
Ooh my😂😂❤
Any everytime every saa😂😂😂
Kali sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
Am not fair my dear 😂😂kipara
Nimeipenda bure
Kipara unatukosea sn unachelewa kutoa mzigo
#mamume710 kwani umetaka azifatanishe afu aingize nini ?
Mbona kama kali kuliko snake boy
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮😂omaiii Bibi uyu kijana apewe mauwa yake