WHO AM I? [2]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #clamvevo #snekeboy #dubutv #dontatv #mwakatobe

Комментарии • 198

  • @etiennefwanga
    @etiennefwanga 23 дня назад +18

    Kipara ongeza kuwa serous hiyi story nzuri sana❤

  • @TuyizereIssah
    @TuyizereIssah 23 дня назад +29

    Kama unamukubari Sandra 🎉 twende na like jamani 🎉

  • @SophiaSandra-pr4zg
    @SophiaSandra-pr4zg 23 дня назад +10

    Kazi mzuri sana ❤

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld 23 дня назад +4

    😂😂Butua Butua Omaiii ❤❤

  • @user-ke9kf8wd9z
    @user-ke9kf8wd9z 23 дня назад +5

    Ila sandra umeuwa🎉🎉🎉

  • @JephithahMuthomi
    @JephithahMuthomi 23 дня назад +8

    Kipara mwanangu nakukubali sana bro 🇰🇪🇰🇪tunakukubali

  • @jmualabo
    @jmualabo 23 дня назад +5

    Bom trabalho..! Assistindo de Moçambique ( Mozambique)🇲🇿

  • @charleskoechkoech8241
    @charleskoechkoech8241 23 дня назад +7

    Watching live from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c 23 дня назад +7

    Kipara episode 3 ikuche haraka tuasubiria kazi nzuri sanaaaa 🎉🎉

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 20 дней назад +3

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kipara

  • @HusseinMandary
    @HusseinMandary 23 дня назад +9

    Story yako nzur san kipara wana man umetisha how you my friend

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 19 дней назад +2

    nampenda sana bi migomba sababu yupo sirias sana na kaziyake🎉

  • @user-wi4kr2zr7x
    @user-wi4kr2zr7x 22 дня назад +2

    😮😮😮😢kipaya mchukue huyo dada chiz ni noma sana

  • @mediisaya9558
    @mediisaya9558 8 дней назад +2

    Dah wadada wazuri hata Kam mnaigiza jamn acha sigara Sandra please ❤

  • @mwanalimamwanlima198
    @mwanalimamwanlima198 22 дня назад +1

    Good work Mr kipara mungu akuongezee kipaj inshallah

  • @user-uw6gg4de9x
    @user-uw6gg4de9x 23 дня назад +8

    Hongera kipa kazi nzuri pongezi nyingi kwenu ila ni nini maana ya WHO I M I

  • @JacklineGodfrey-u1q
    @JacklineGodfrey-u1q 21 день назад +1

    Ila hii movie ninzur jaman mwanzo tu ni💥💥👌👌👌👌

  • @geeboytz2634
    @geeboytz2634 23 дня назад +6

    Kipala hii kaz nzury sana imalize vizuli

  • @valuboy4335
    @valuboy4335 23 дня назад +7

    Kipara kauwa ❤❤❤❤🎉

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 23 дня назад +3

    Wa mwisho🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-wl4uy7qv7u
    @user-wl4uy7qv7u 23 дня назад +5

    Leo mapema mie wa kumi na tatu Sina shido🤣🤣🤣👍 kipara ongera sana dear upo vizur mno

  • @user-zu8yr7mh4h
    @user-zu8yr7mh4h 23 дня назад +10

    Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba kbx

  • @bonventureimbuga522
    @bonventureimbuga522 23 дня назад +6

    Wa Kwanza Leo from Doha Qatar

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m 23 дня назад +4

    Pungusha pombe kidogo 🎉🎉

  • @user-gg5ed4wt2v
    @user-gg5ed4wt2v 21 день назад +1

    Kipara nimefurahiswa sana kumbe siyo umbea2,big love bro

  • @user-wi4kr2zr7x
    @user-wi4kr2zr7x 22 дня назад +2

    😢ivi hata mtaani kipala unatembe wewe staaa unavotembea na huyo mama aisee nimecheka :::tembea kistar🎉

  • @RamaShaban-l9t
    @RamaShaban-l9t 23 дня назад +7

    Mimi ndo wapil

  • @user-zd2jo2ef1x
    @user-zd2jo2ef1x 23 дня назад +5

    Hujaachaga uongo wako😂😂😂😂

  • @emmanuelmomanyi8654
    @emmanuelmomanyi8654 23 дня назад +8

    Kipara man oo, mchawi wa Gen Z, mchawi msomi anayejuwa kizungu. Kazi nzuri unafanya kaka, hapa kenya tunakupenda. "Who am i"

  • @ElizabethLaurent-wq1lm
    @ElizabethLaurent-wq1lm 22 дня назад +2

    😂😂😂mwanaume anastuliwa kwa ngumi,then mbio ndefu

  • @JacklineGodfrey-u1q
    @JacklineGodfrey-u1q 21 день назад +1

    Cjui nimemzoea sana mwasi, hiv jaman Sandra ni Mwasi au

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 22 дня назад +3

    #CHAUPELE KUMBE #NA WEWE #UPOOOOOO😂😂🎉🎉

  • @kenethmpinge5525
    @kenethmpinge5525 21 день назад +1

    Yes butua huyu hapa asee hapa move imekamilika ooh my😂😂😂

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 21 день назад +1

    Sandra ni noma sana yaan acha tu🌹🌹🌹🌹🌹💐

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o 23 дня назад +3

    Kazi nzuri Sandra big up sana 🎉

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 21 день назад +1

    Safi sana kipara kazi nzuri💯

  • @user-iq3pe4sf2h
    @user-iq3pe4sf2h 23 дня назад +3

    Itapendezazaidi. Nawepia ujekua mupererezi🎉🎉

  • @johnngugi4797
    @johnngugi4797 23 дня назад +4

    Waswahili walisema akili ni nywele ila hawakufafanua ni za sehemu kwa mwili 😂😂😂kipara hapa umeweza❤❤❤❤❤ sehemu ya tatu inje haraka juu imetukamba koo hatuezi nyamazia

    • @masikasalim5254
      @masikasalim5254 20 дней назад

      Za makwapa I'm think halimaanisha hvyo 😂😂😂

  • @NoelaGustave
    @NoelaGustave 22 дня назад +1

    Mmmmmh apo kwa da Sandra sas mm kashaninunuwa mda nampenda san ❤❤❤❤❤

  • @FlorenceZALUKE
    @FlorenceZALUKE 23 дня назад +5

    Wa 7 leo❤❤❤❤

  • @ImmaKerenge-iz2yb
    @ImmaKerenge-iz2yb 22 дня назад +1

    Mkemia apa from Tanga Tanzania Kipara kaz nzuri man tuko pamoja mwanzo mwisho

  • @emmanuelkihiyo9236
    @emmanuelkihiyo9236 23 дня назад +2

    Uyo dada kavaa mzula mzuri

  • @user-ss8zw7ep1z
    @user-ss8zw7ep1z 23 дня назад +3

    Big up Sandra🔥🔥🔥🔥🔥

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 23 дня назад +3

    Bibi mgomba ananyuma yaupango 😁😁😁😁🇧🇮

  • @jumannemalungo5018
    @jumannemalungo5018 16 дней назад +1

    Kazi nzuri kipara

  • @SylvainIlunga-ou9mj
    @SylvainIlunga-ou9mj 23 дня назад +6

    Wakwaza kutoka Congo ❤❤❤

  • @kenethmpinge5525
    @kenethmpinge5525 22 дня назад +2

    Kila ever time na Mimi na marafiki machizi no congratulations 😂😂😂😂😂

  • @daina8464
    @daina8464 23 дня назад +3

    Kapara tunakukubali sana kutoka kenya🎉🎉 unajua jamen

  • @TalwaSuzana
    @TalwaSuzana 20 дней назад +1

    Waoooooo kipara 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako

  • @achilaleziki
    @achilaleziki 20 дней назад +1

    Mie bora nitizame sinema basii sitaki likes

  • @VictorJoseDamiao
    @VictorJoseDamiao 4 дня назад +1

    boa trabalho kiparabrand

  • @OmaryMwanah
    @OmaryMwanah 23 дня назад +3

    Kipara naicho kiengereza ety everyting ana mashizi usoni 😂😂😂😂😂

  • @henryonduko7693
    @henryonduko7693 21 день назад +2

    L like this with full of creativity

  • @FrankJohn-bi5dn
    @FrankJohn-bi5dn 23 дня назад +21

    WA Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪 hata like jameni

    • @WILLY_SKY1
      @WILLY_SKY1 23 дня назад

      Mtoto wa kiume likes za nini kaza

    • @aminakatana8721
      @aminakatana8721 21 день назад

      Jamani pia nawe waomba like mkenya mwenzangu tuiache hio

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 21 день назад +1

      @@WILLY_SKY1e hehehe akaze sio atashonwa🤣🤣🤣

    • @WILLY_SKY1
      @WILLY_SKY1 21 день назад

      @@sharifamohd3857 😂😂😂

  • @KijibaMussa
    @KijibaMussa 23 дня назад +3

    Kipara namkubali😅😅

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 23 дня назад +3

    😁😁😁😁😁🤣kipara umeolewa aibu

  • @mc-bii228
    @mc-bii228 22 дня назад +2

    😂😂😂😂😂 mm kingereza cha kipara t yan hoi🙌🏻

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 23 дня назад +3

    Mmetisha kinyama

  • @bilahimwalia1452
    @bilahimwalia1452 22 дня назад +1

    Kazi nzuri🎉

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 23 дня назад +2

    Sadra jmn😂😂😂 Next episode jmn isichelew,Oro ov oro much love from 🇰🇪🇰🇪😅😅😅😅

  • @Maarifasnr-gu6dp
    @Maarifasnr-gu6dp 23 дня назад +5

    Watoto wa elfu mbili mapema wameshawai ku'watch the show

  • @SamuelKatana-gk1yt
    @SamuelKatana-gk1yt 23 дня назад +2

    Wanaman...kaz kizazi...

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 22 дня назад +1

    Kazi nzur kipala tuko pamoja

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 23 дня назад +4

    Kipara,Mr unfair😂😂😂...twaelekea wapi na hi who am i? Lets wait and see😊

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 23 дня назад +3

    Sandra Unamtesa Sana Kiparaa Siumwambie Weni Nani

  • @user-dv5zg7ru9c
    @user-dv5zg7ru9c 22 дня назад +1

    Hizi sigara kuwapa madem wavute zina mafunzo gani 😂😂😂😂

  • @MgeniKhamis-wq5lx
    @MgeniKhamis-wq5lx 21 день назад +1

    who m'l... manake...mimi ninani?????kazi mzur sana amazing

  • @husnansabimbona4496
    @husnansabimbona4496 23 дня назад +3

    Nimeipenda😍

  • @ignatiousmaina9582
    @ignatiousmaina9582 22 дня назад +2

    Kwa kweli wabongo na kizungu mbingu na ardhi

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 23 дня назад +3

    Nice job ❤❤❤

  • @nancygrace1318
    @nancygrace1318 21 день назад +1

    Kipara 😂😂😂, much love from Kenya

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 22 дня назад +1

    Mpuuuuuuuuz weeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EnfridaManyama-xs5ub
    @EnfridaManyama-xs5ub 23 дня назад +3

    Nimemuelewa chizi sandra

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 22 дня назад +4

    Kwawasanii wakike wote kutoka gang zote nampa tuzo SANDRA, nilianza kumuona akiwa na Jumajicho tangia pale sijawahi kumuona kafeli. KWA WANAUME nawapa tuzo #BUTUA, #CHIBU & #KIPARA hawa watu wanavipaji asilia sio vyakulazimisha.

  • @user-sj5cb8du5n
    @user-sj5cb8du5n 22 дня назад +1

    Kipara unanikosha walah ❤

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 22 дня назад +1

    Hii kazi ni nzuri sana

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml 7 дней назад +1

    Nakukubali kipala

  • @melomusictz1079
    @melomusictz1079 22 дня назад +2

    Huyo demu wa kipara ndio Boss wa madawa ya kulevya huyo askari mpelelezi katumia njia hiyo ya kujifanya chizi kupata ukaribu kuwafuatilia
    Who am i
    Nimeguess tu sina majibu kamili utabiri tu tuendelee na movie huenda ikawa hvo
    Huenda

  • @emmanuelkihiyo9236
    @emmanuelkihiyo9236 23 дня назад +3

    Brand ya Amiri mzura umetsha

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 22 дня назад +1

    Sandra mmh umejua mamaa

  • @KijibaMussa
    @KijibaMussa 23 дня назад +2

    Kipara namkubali sana

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 23 дня назад +3

    Sandra chizi kwely EP 3

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 21 день назад +1

    Hii story safi kweli ila Sandra umeweza team kipara wa wana man 😂😂

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 22 дня назад +1

    Very much San 🎉🎉🎉

  • @ProudB719
    @ProudB719 21 день назад +1

    Sandra noma😂😂😂😂
    Kumtishia mtu ngumi tu na kutoa mbio.

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 23 дня назад +2

    Next ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 22 дня назад +1

    I'm sorry... I'm sorry, I'm so sorry..! 😂😂😂

  • @ErasmeHORANIMANA
    @ErasmeHORANIMANA 19 дней назад +1

    Butua umetisha omayiii

  • @HabibuMakumba
    @HabibuMakumba 19 дней назад +1

    Story mzur xana

  • @SixtusSperatus
    @SixtusSperatus 22 дня назад +1

    Mambo ya ifension vp

  • @rajabumuyumbu4586
    @rajabumuyumbu4586 23 дня назад +3

    kipara story hii umetulia umenikosha ngoja tuone mbele

  • @taqozer
    @taqozer 21 день назад +1

    Hii KALI SANA❤❤❤

  • @nickojamsen5149
    @nickojamsen5149 22 дня назад +2

    Ooh my😂😂❤

  • @AshaJembe-g6d
    @AshaJembe-g6d 22 дня назад +1

    Any everytime every saa😂😂😂

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 21 день назад +1

    Kali sana ❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-zp4zc2ln2n
    @user-zp4zc2ln2n 22 дня назад +1

    Am not fair my dear 😂😂kipara

  • @lizyjustin5153
    @lizyjustin5153 22 дня назад +1

    Nimeipenda bure

  • @mamume710
    @mamume710 23 дня назад +3

    Kipara unatukosea sn unachelewa kutoa mzigo

    • @rukingamaboar802
      @rukingamaboar802 22 дня назад

      #mamume710 kwani umetaka azifatanishe afu aingize nini ?

  • @FabianiAllex-sz2yx
    @FabianiAllex-sz2yx 20 дней назад +1

    Mbona kama kali kuliko snake boy

  • @MohamedSharif-mp5jh
    @MohamedSharif-mp5jh 20 дней назад +1

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮😂omaiii Bibi uyu kijana apewe mauwa yake