WHO AM I[4]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 139

  • @ketchmanmpandela602
    @ketchmanmpandela602 2 месяца назад +19

    Kaz nzur sana sema mnachelewa mno kutoa had inasahaulika

  • @abbaskpcarsallers996
    @abbaskpcarsallers996 2 месяца назад +3

    Kipara Ongeza dakika bhna kp from usa🇱🇷

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 2 месяца назад +3

    Good work kipara wana man na team yako❤❤ watching nikiwa dubai

  • @GetrudaSanga-d7l
    @GetrudaSanga-d7l 2 месяца назад +9

    Sandra kama Sandra nakupenda bureeh❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @AhmadRashey-oc1cx
    @AhmadRashey-oc1cx 2 месяца назад +3

    Kaz nzur Sandra Naye anabadilika kweli Uzuri Yuko poa kabsa

  • @NyagaEric
    @NyagaEric 2 месяца назад +2

    Sipendi umbea nishaachanga😂😂nakukubali sana kipara♥️💪

  • @Chanbreezy
    @Chanbreezy 2 месяца назад +4

    Jamn iyo nyumba alokotoka mwnyekit na ni migomba si ndo kashutia mshangazi jaman aka Sara ❤😂

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 2 месяца назад +2

    Nakubalii tuko pamoja mpaka mwisho 🎉

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao 2 месяца назад +6

    Tatizo mnachelewa sanaa ebu jitahidini...kipara wana man 😂😂😂😂

  • @HauratyRajabu
    @HauratyRajabu 2 месяца назад +4

    Kipara wanaman❤ Sandra ❤ nawapenda sana kwa kazi nzuri🎉

  • @ChimumyClassic-xq7dk
    @ChimumyClassic-xq7dk 2 месяца назад +6

    Kazi nzuri kipara Sandra anajaua sana kuigiza big up allah azidi kukupa nuru❤❤

    • @ChimumyClassic-xq7dk
      @ChimumyClassic-xq7dk 2 месяца назад

      Najiulizw mkiwaga wa1 mnavyogombania like nikajua zinaongeza MB loooh😮😮😮😅

  • @Tototulivu
    @Tototulivu 2 месяца назад +3

    Wanao mkubali Sandra

  • @josephswana7286
    @josephswana7286 2 месяца назад +2

    Sandra amefanya vizuri kabisa❤❤❤

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 2 месяца назад +3

    Kipara una kawia sana 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @NshomaSayi
    @NshomaSayi 2 месяца назад +20

    wanao mkubali kipara na Sandra like ziwe nyingi jaman❤❤❤

  • @JacquelineLightness
    @JacquelineLightness 2 месяца назад +3

    Nzurii sanaa ila tunaomba utuongezee dk

  • @Mwashinge255
    @Mwashinge255 2 месяца назад +2

    Kazi safi mzee mungu atuongoze tuu

  • @FredClaus-ql3vb
    @FredClaus-ql3vb 2 месяца назад +3

    Nakubali kipara wana man hunaga kazi mbovu.

  • @ZainabuHussein-w5i
    @ZainabuHussein-w5i 2 месяца назад +4

    Khaaaaaa dk Tano tu aaaaaah jaman ongezen muda afu mnachelewa kutuma mpaka tunasahau kama Kuna who I am

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 месяца назад +2

    Kipara unachwkewesha sana mzigo😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 2 месяца назад +4

    Kali mnooo muhim usiifanye ndefuuuuu kama isidingo ya snake boy....!!!!!!!!!......!!!!!!!! Utapoteza ubora

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад

      Isidingo tena😂😂😂

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 2 месяца назад

      We huoni kitu hakiishi kila kukicha watu wapya?? ​@@aishaomar2287

  • @suedswedgotagota9732
    @suedswedgotagota9732 2 месяца назад +3

    Anaemkubali bibi bongwa na D zake mbili tujuane kwa 🥰🥰

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 2 месяца назад +28

    Nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya Sandra jamani

  • @JackyTarimo
    @JackyTarimo 2 месяца назад +3

    Sandra we ni noma

  • @bakarkombo3393
    @bakarkombo3393 2 месяца назад +23

    Wanaomkubali kipara gonga like

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 2 месяца назад +2

    Good nice one job 🎉🎉🎉

  • @bettyfuraha4796
    @bettyfuraha4796 2 месяца назад +5

    Msichelewe kutubwagia dudee jameni

  • @jumasadiki141
    @jumasadiki141 2 месяца назад +3

    Ongeza DK bro

  • @franknyaganya1453
    @franknyaganya1453 2 месяца назад +2

    Sandra good job

  • @SaidesimbaSimba-sm1xx
    @SaidesimbaSimba-sm1xx 2 месяца назад +4

    Kipara tukupe mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AishaMohamed-xh7uf
    @AishaMohamed-xh7uf 2 месяца назад +9

    Ongezen dakika bwana

  • @nurdeensamri8197
    @nurdeensamri8197 2 месяца назад +4

    Nakubali sana Kipata Wanaman

  • @PaulineNasoro
    @PaulineNasoro 2 месяца назад +1

    Taka your 🎉🎉🎉 kipara and Sandra nice movie 😂😂😂🇰🇪

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri kipara Big up sana guys

  • @Awoshy
    @Awoshy 2 месяца назад +2

    Boss umepowaa😂😂😂

  • @GloireKalufai
    @GloireKalufai 2 месяца назад +3

    Kipara uko vema sana, nakukubali sana mwamba wa taifa.. hâta uku 👉🇨🇩 tunaku fatiliya sana 5 sur 5 du courage à toi Fréro 👌 tien fort lobi ekosimba💪

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 2 месяца назад +1

    Kumbe kuna wachina humu😂😂😂❤

  • @JumaSafia
    @JumaSafia 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana sandra

  • @Joshmedia-u2y
    @Joshmedia-u2y 2 месяца назад +4

    Kipara umekuja kivengine ban🎉

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 2 месяца назад +5

    Safi kipara Wana man na team mzima ❤❤❤❤

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 2 месяца назад +2

    Ogeza muda basi😊

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha 2 месяца назад +2

    Sandra umewez 🎉

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 2 месяца назад +5

    I'm the first one viewing kipara 😂❤

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 2 месяца назад +3

    Mzeeee wa d2

  • @maylucson001
    @maylucson001 2 месяца назад +3

    Nzuri sanaa❤❤❤❤

  • @jofreyevansantony2770
    @jofreyevansantony2770 2 месяца назад +5

    Wanam Brand ni fire

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 2 месяца назад +10

    Kipara bhana kuchelewa kote huko unatuletea dk11 kweli???!
    Hebu ongeza dakika na utoe kwa wakati

  • @ashnurbae6562
    @ashnurbae6562 2 месяца назад +5

    Ni nzuri ila muongeze iwe ata dakika angalau 30❤

  • @SergeNgongo-q1x
    @SergeNgongo-q1x 2 месяца назад +2

    Kazi zuri kbs

  • @jeanmarievianneyndayishimi6703
    @jeanmarievianneyndayishimi6703 2 месяца назад +6

    Kazi nzuri Ila mjitahidi kuongeza dakika mfanye iwe nusu saa basi

  • @Giventzmedia
    @Giventzmedia 2 месяца назад +4

    Kipal kazi mzuri sana picha kali story atali na uyo best yangu chizi umemaliza kabisa safi san🎉🎉🎉🎉

  • @BijouxBulose
    @BijouxBulose 2 месяца назад +1

    Hii imeenda nzuri kweli❤❤❤

  • @VaiBata
    @VaiBata 2 месяца назад +1

    sandra na uyo chizi naotea watakuwa ni mapacha awa 😉

  • @clintonsteven6276
    @clintonsteven6276 2 месяца назад +1

    Iko bomba tupeni nyengine

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад +1

    Nzuri sana next plz 🎉🎉❤

  • @ImmaKerenge-iz2yb
    @ImmaKerenge-iz2yb 2 месяца назад +2

    Good work kaka

  • @MosesIsamba-d7f
    @MosesIsamba-d7f 2 месяца назад +2

    Shanjaaa kipara

  • @AlphayoJames
    @AlphayoJames 2 месяца назад +3

    Mnachelewa kutoa kazi hadi tunaisahau bnaa jitahidini kutoa kazi kwawakati

  • @Awarewell4
    @Awarewell4 2 месяца назад +4

    🔥🔥🔥

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 2 месяца назад +4

    Kipara Brand

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 2 месяца назад +1

    Zungu nakukubali saana uko vizuri 🥰🥰🥰👍👍👍

  • @okeymediatz1024
    @okeymediatz1024 2 месяца назад +3

    Mnachelewesha sana kazi

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 2 месяца назад +2

    Bibi unakoseya sana EP 6

  • @swalehbakari2667
    @swalehbakari2667 2 месяца назад +3

    Movie kali

  • @EliudMethod-h6f
    @EliudMethod-h6f 2 месяца назад +1

    Mnachelewesha Sana movie zenu

  • @RUKIAOmar-f9i
    @RUKIAOmar-f9i 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri snaa

  • @ayshastream
    @ayshastream 2 месяца назад +5

    Kazi mzuri sana ❤❤

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 месяца назад +2

    Sandra ❤❤❤❤❤

  • @ChazStephan
    @ChazStephan 2 месяца назад +1

    Nakubal familia zangu

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 2 месяца назад +3

    Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @CrytonPhillemon
    @CrytonPhillemon 2 месяца назад +2

    Kipara sio kweli Unachelewa kutoa kazi halafu inakuwa fupi hvii 😢

  • @Gospelmiracle-bd2kd
    @Gospelmiracle-bd2kd 2 месяца назад +5

    Tunaipenda kabx

  • @jumannemalungo5018
    @jumannemalungo5018 2 месяца назад +2

    Kazi safi

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu 2 месяца назад +2

    Keeping up guys

  • @LuisBezerra-ns8sg
    @LuisBezerra-ns8sg 2 месяца назад +7

    Wa 2 munip ata like 5

  • @MwanakomboAkida
    @MwanakomboAkida 2 месяца назад +4

    Mbn munachelewa kutuma muendelezo

  • @JustinKabila-ro5jt
    @JustinKabila-ro5jt 2 месяца назад +8

    Kipara ni mtaalam

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 2 месяца назад +2

    Du ongeza dagika munatumia muda muchache

  • @esekonlomoru5841
    @esekonlomoru5841 2 месяца назад +6

    Weeh umbea

  • @Husseinkachega
    @Husseinkachega 2 месяца назад +2

    Sis kama shabiki zenu tunaomba msicheleweshe kutoa kazi mnatukatisha tamaa

  • @IrenewillyMwenda
    @IrenewillyMwenda 2 месяца назад +1

    Unapamban sana very nice 🎉🎉🎉🎉

  • @marynyota6146
    @marynyota6146 2 месяца назад +2

    NeXt🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 2 месяца назад +3

    Kiparaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 2 месяца назад +2

    Mnacherewesha mpaka tuna sahau

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 2 месяца назад +5

    Kipara wanaman kazi inachelewa kutoka halafu ikitoka inakuwa fupi sana hujatutendea hadi fans wako kaka

  • @772moana
    @772moana 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri kipara❤❤

  • @SafaniaWafula
    @SafaniaWafula 2 месяца назад +1

    Kipara hii nayo ni fupi usianze kutuangusha bro

  • @FariOfficial142
    @FariOfficial142 2 месяца назад +2

    Like kwanza comment baadae 🇷🇼

  • @NzembiNyamai-u6l
    @NzembiNyamai-u6l 2 месяца назад +1

    Sandra nakukumbal sana❤❤❤🎉

  • @BuraimoAbudo-m9g
    @BuraimoAbudo-m9g 2 месяца назад

    Kipara
    ❤anFanya kazi nzuri sana

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj 2 месяца назад +1

    Namkubali sana kiparangoto

  • @rasco_seven52
    @rasco_seven52 2 месяца назад +1

    Kipara uwe unatoa harak bhn unachlew mno😢

  • @NickodemusMwembe
    @NickodemusMwembe 2 месяца назад +3

    👏👍

  • @hamzamadai6438
    @hamzamadai6438 2 месяца назад +3

    Kipala jaiva

  • @emaneman7899
    @emaneman7899 2 месяца назад +1

    Kipala acha ufara unatuwekea fupi fupi kama kidevu chako😂

  • @FloraPeter-sm6dz
    @FloraPeter-sm6dz 2 месяца назад +1

    Kaz nzur ila inachelewa kutoka

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 2 месяца назад +2

    Very 🎉🎉🎉

  • @dianamuendo5904
    @dianamuendo5904 2 месяца назад +3

    Kazi safi ila muda muongeze

  • @KhairuniSimba
    @KhairuniSimba 2 месяца назад +1

    Mnachelewesha muendelezo mbaka tunasahau muendelezo jmn jitaidini kutoa kazi kwa wakati

  • @GiftHeaven-sj9uu
    @GiftHeaven-sj9uu 2 месяца назад +2

    Add episode 5