WHO AM I? [3]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 202

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 3 месяца назад +3

    Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪😂😂😂 kipara nakukubl na icho kizungu 😂😂

  • @fridacharles4173
    @fridacharles4173 3 месяца назад +10

    Kipara Wana man hongera sana kaka Kwa kazi nzuri plz mwisho uwe mzuri msiishie njiani 🔥🔥🔥💥💥

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 3 месяца назад +1

    Kipara Niue na hicho kizungu tu 😂😂😂ila mnaweza team kipara hii kali❤❤😊

  • @CHYULLUKENYA
    @CHYULLUKENYA 3 месяца назад +3

    Kipara uko genius sana,mambo ipo sawa❤❤❤❤❤❤

  • @HauratyRajabu
    @HauratyRajabu 3 месяца назад +4

    Kipara jayva hongera sana kwa kazi nzuri naomba ongeza dk kidg kwa maan ni 🔥 mkali ❤❤

  • @Monystar01
    @Monystar01 3 месяца назад +5

    Hongera kwa director kije madevu 🔥 🔥

  • @pakpatriot-xk7qg
    @pakpatriot-xk7qg 3 месяца назад +1

    Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 twafuatilia nyie.... Waigizaji shupavu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 3 месяца назад +8

    Wa kum na mbili mim nampenda kipara igwe 🤣🤣🤸

  • @OdemoDennis-ku8eo
    @OdemoDennis-ku8eo 3 месяца назад +16

    Kazi safi mmbea kipara 🇰🇪🇰🇪

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 3 месяца назад +9

    Ikiekewa ubunifu mzuri huenda ikawa filamu nzuri ya kutazama.....kazi nzuri naifuatilia toka Kenya

  • @eldalisboa7403
    @eldalisboa7403 2 месяца назад +1

    Nimempenda sandra, anajua kigiza sana, natafuta movie zake nione

  • @josephswana7286
    @josephswana7286 3 месяца назад +3

    Kipara wana man Kizi zuri ❤❤❤

  • @mwanaidisaidi1101
    @mwanaidisaidi1101 3 месяца назад +5

    Kipara wanamani kipara jaivah 🤣🤣🤣🤣 nakukubali broh

  • @ImmaKerenge-iz2yb
    @ImmaKerenge-iz2yb 3 месяца назад +4

    Mkemia apa from Tanga Tanzania kaz nzur sana tuko pamoja mwanzo mwisho

  • @MercyWafula-x1x
    @MercyWafula-x1x 3 месяца назад +3

    Much love from Kenya 🇰🇪

  • @Oscarowen-tf1bx
    @Oscarowen-tf1bx 3 месяца назад +6

    Kipara Wana man, au kipara jaiva aweeee😅😅😅😅😅

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +2

    Kazi safi Sana hongereni next plz 🎉🎉❤

  • @RutbaChikukula
    @RutbaChikukula 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri kipara ❤

  • @JacquelineLightness
    @JacquelineLightness 3 месяца назад +3

    Nzurii sanaa❤❤Sandra nakupenda❤

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 3 месяца назад +6

    Big story Kipara una kitu Utafika mbali 🤜🤛

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 3 месяца назад +2

    Good nice one job mr wanaman🎉🎉

  • @Awoshy
    @Awoshy 3 месяца назад +3

    Kipara Jaivah aweeh bibi hajasema hapo aweeh 😂😂😂ila udiwani na kipara mmmmh... mhuu🙌🙌

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 3 месяца назад +4

    Aweeeee bonge lishapagawa na chizi😂😂😂

  • @jumaboy4918
    @jumaboy4918 3 месяца назад +4

    Kipara big up😊

  • @ndayizigapapy9725
    @ndayizigapapy9725 3 месяца назад +1

    iyi nimeipend kipara wana man saut y jeiva awiii😂😂😂 umbea alishag aca kitamboo

  • @crazykea2032
    @crazykea2032 3 месяца назад +4

    Kipara jaiva aweeeh😂😂

  • @DeogratiusKanda
    @DeogratiusKanda 3 месяца назад +5

    Move Kali kinoma Ila una chelewa kuileta.tuwaishie sawaa jaiva

  • @pasqueensebastian9930
    @pasqueensebastian9930 3 месяца назад +4

    Kipara after vevo.. Kipara vevo😅

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 3 месяца назад +3

    Kipara wana man💪🏻💪🏻🙏🙏

  • @mc-bii228
    @mc-bii228 3 месяца назад +5

    Watu wa Clam Vevo Gang 🤣🤣🤣🤣 Aloooh english imewapitia kushoto sana

  • @EmmanuelCharo-to4ij
    @EmmanuelCharo-to4ij 3 месяца назад +1

    Muheshimiwa diwani kipara 🎉🎉🎉❤

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 месяца назад +4

    Kipara lakin unatueka sana bwana utasema watu wanasubiri kiama 😂😂😂😂

  • @hamdunslimofficail4150
    @hamdunslimofficail4150 3 месяца назад +1

    Sema una chelewesha sana kipara wanaman au kipara Jaiva movie Kali sana ii 🔥🔥✔✔✔✔✔

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha 3 месяца назад +2

    Assesnation formation juction 😂kipara unawazim😂

  • @RahmaMoon-e3h
    @RahmaMoon-e3h 3 месяца назад +4

    Kipara kazi nzuri kaka❤❤❤

  • @SuleimanSalim-q9j
    @SuleimanSalim-q9j 3 месяца назад +1

    Safi San kipara KAZI inaonekan Kwa kwel n nzur xan wallah big up xan kipara Wanaman mzungu WA Tz

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana ❤❤❤

  • @hellismtotowakifalme4009
    @hellismtotowakifalme4009 3 месяца назад +7

    Kazi nzuri sana BANA na kubwa hii nimependa tu sana nipo Mombasa kenya hapa jomvu like zenu bn❤❤❤❤ tuonyeshe upendo bn

  • @OmaryMbaruku-ob8te
    @OmaryMbaruku-ob8te 3 месяца назад +8

    Leo wa kwanza jaman naomben like zangu ❤❤❤❤ from tanga korogwe

  • @husnansabimbona4496
    @husnansabimbona4496 3 месяца назад +5

    Sawa all in all😂😂😂

  • @Awoshy
    @Awoshy 3 месяца назад +2

    Kwani Aby mbona mpeku peku sana 😂😂😂akiwa chizi au sio chizi inakuhusu nini? Sandra na wewe bora umeletewa nguo nilitaka nikuchambe😂😂😂🥰👏❤❤❤

  • @LovelyDandelion-dv5ht
    @LovelyDandelion-dv5ht 3 месяца назад +4

    Ongeza dakika bwana kipara movie nzuri dakika n kidogo 😢

  • @mc-bii228
    @mc-bii228 3 месяца назад +4

    Kipara 😊🔥

  • @coolbz133
    @coolbz133 3 месяца назад +5

    Kipara hebu tulia na hicho kizungu chako daaaa watueka njia panda ulisomea wapi na mm nirudi shule😂😂😂

  • @GabrielYohana-e1f
    @GabrielYohana-e1f 3 месяца назад +6

    Kaz nzr kipara

  • @LifeJumanne-m5q
    @LifeJumanne-m5q 3 месяца назад +7

    Kazi Yako naikubali sana ila kazi zinachukua mda kutoka tunasubili sna

  • @binwacomedy2453
    @binwacomedy2453 3 месяца назад +37

    ❤KAMA UNAMUKUBALI KIPARA NIPE LIKE NA S'ABONNER WATANZANIA❤ SIMICHOANGU NISHAACHA

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 3 месяца назад +5

    Kipara ana lo😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @collinsouma-cv1uo
    @collinsouma-cv1uo 3 месяца назад +3

    kipara napenda ukiongea kiingereza😂💔

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri broo safi sana kipara wana man ❤💯

  • @772moana
    @772moana 3 месяца назад +2

    Bwana diwani umepigaje apo😂😂😂

  • @melomusictz1079
    @melomusictz1079 3 месяца назад +2

    Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please

  • @AsumaniSikitu
    @AsumaniSikitu 3 месяца назад +2

    Nakubali sana kipala❤❤❤

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 3 месяца назад +3

    Kali kali kali kali saaaaaanaaaaaaaa

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +2

    Habi sandra anakuumiza kicwa kiukweli atami sijamuelewa sandra 😅aca tutaona mwisho

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 3 месяца назад +14

    Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto.
    Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤

    • @VincentGamboMuye
      @VincentGamboMuye 2 месяца назад

      Mr chibu n gani

    • @DonMooFILMES_Express
      @DonMooFILMES_Express 2 месяца назад

      @@VincentGamboMuye andika CHIBU TV itakuja channel ya huyo jamaa. Amecheza kwenye Snake Boy kama baba yao na wale mabinti wawili ambao wanaishi na CLAM VEVO.... jamaa ni hatari sana

  • @PacifiqueKalenga-we5hf
    @PacifiqueKalenga-we5hf 3 месяца назад +4

    Kipara brand 💪

  • @TheddyAlistarick-dn4tg
    @TheddyAlistarick-dn4tg 3 месяца назад +4

    Mnaweka muda mchache bhna Ata huenjoy

  • @SophiaMurithi-c5c
    @SophiaMurithi-c5c 3 месяца назад +2

    Physics ishageuzwa na kipara ikawa syphics😂😂😂kizungu yako nomaa

  • @UmiMazari
    @UmiMazari 3 месяца назад +5

    😂kazi safi sana

  • @GloriaMtana
    @GloriaMtana 3 месяца назад +2

    Kipara❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JigoSengiyumva-ln9xf
    @JigoSengiyumva-ln9xf 3 месяца назад +20

    Wa burundi wanao mukubali kipara wanama ao kipara jaivah tuko niaciy like nzangu bas✌💨💣

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 3 месяца назад +2

    Oya mbeaaa wa kiumee kaz yko nzulii sanaaaa

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 3 месяца назад +26

    SANDRA nilianza kumuona kwenye Tamthilia ile akiwa na JUMA JICHO 😂 Tangia nianze kumuona nampa tuzo zake ktk uigizaji anaweza sana......

  • @VictoriaMaunda
    @VictoriaMaunda 3 месяца назад +3

    Nakukubari kipara

  • @halemasuliman-js8ug
    @halemasuliman-js8ug 3 месяца назад +2

    Kazi mzuri kipara lete vituu

  • @energeticmbn4596
    @energeticmbn4596 3 месяца назад +4

    Kipara wana man au kipara eeeeeee- ! 😅

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 3 месяца назад +5

    Nimefika wala sichelewi kabisa

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 3 месяца назад +3

    Kipara ndo mridhi wa clamvevo

  • @MR_BAD_SHOOT
    @MR_BAD_SHOOT 3 месяца назад +4

    Mnipe namba za kipara nimwambie kama Sandra sio chizi 😂😂😂

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 месяца назад +2

    Tuongezee muda kipara wana man

  • @barakathdthekinda3722
    @barakathdthekinda3722 3 месяца назад +3

    Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana

  • @Shadu_Jiii
    @Shadu_Jiii Месяц назад +1

    Nimetumia D mbili zangu Naona Anachembe chembe za Ubakaji😅😅😅😂😂😂

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 2 месяца назад +1

    Oro in oro kazi nzuri sana kiukweli. Sandra kuna idea naomba nikupe story utaweza kuicheza vizuri.@sandra

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 3 месяца назад +4

    Eti kipara alisomea nn Allo in allo😂😂

  • @MussaNyaki-n3g
    @MussaNyaki-n3g 28 дней назад +2

    Mheshimiwa diwani

  • @AllyMbonho-n4y
    @AllyMbonho-n4y 3 месяца назад +2

    mwanang ww kipara wana man

  • @ngabungabrain6574
    @ngabungabrain6574 3 месяца назад +12

    Wakwanza toka Uganda like zangu

  • @Hawadadi-kt9bz
    @Hawadadi-kt9bz 3 месяца назад +3

    good job

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 месяца назад +4

    Usichelewe kuleta mwendelezo

  • @valuboy4335
    @valuboy4335 3 месяца назад +10

    Kipara the genius ❤❤❤😂😂😂😂 wapi subscribe zangu ❤❤

  • @Innocentfilm
    @Innocentfilm 3 месяца назад +3

    Kweli ni bomba. Nipe lik zenu na subscribed

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 3 месяца назад +18

    Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba

  • @PoleenNjeru
    @PoleenNjeru 2 месяца назад +1

    Hivi hiki kizungu kingi hivi mmekitoa wapi jamani🤣🤣🤣🤣 from 🇰🇪👌

  • @All_Star_Music_Label
    @All_Star_Music_Label 3 месяца назад +19

    Leo naombeni like jamani 🇲🇿🇲🇿

  • @gendaekafilmproduction4678
    @gendaekafilmproduction4678 3 месяца назад +5

    Kaz kaz

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy 3 месяца назад +1

    Jamaa hamchelewi😂😂😂

  • @yusufuiddy1064
    @yusufuiddy1064 3 месяца назад +1

    I'm from Malaysia

  • @Tatu-b9p
    @Tatu-b9p 3 месяца назад +3

    Kipara huelewi wwe 😂😂😂

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 28 дней назад +1

    Sandra mashaallah upo vizur

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 3 месяца назад +2

    Bib una d2 ila ujui mjukuu wako ni nani😂😂😂

  • @fguy2687
    @fguy2687 3 месяца назад +5

    Safi sana

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 3 месяца назад +3

    Jaman miwamwisho nipeni like zangu

  • @jumannemalungo5018
    @jumannemalungo5018 3 месяца назад +2

    Kazi safi

  • @dapheenndege7191
    @dapheenndege7191 2 месяца назад +1

    Kipara na umbea ameshindwa kujua huyu Si chizi😂😂😂😂

  • @abdallaali025
    @abdallaali025 3 месяца назад +4

    Kazi safi kipara

  • @RichardMasogola
    @RichardMasogola 3 месяца назад +3

    Mwamb Hill ni dude jaribu kuficha matukio

  • @KafehilaJunior
    @KafehilaJunior 3 месяца назад +3

    Brother kipara umezingua tena kinoma yani
    Mshangazi kwani iko wapi

  • @KASIMILKIBANO
    @KASIMILKIBANO 3 месяца назад +5

    First one

  • @UmiMazari
    @UmiMazari 3 месяца назад +6

    Çhizi omba kipara asijue ukweli