Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto. Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
@@VincentGamboMuye andika CHIBU TV itakuja channel ya huyo jamaa. Amecheza kwenye Snake Boy kama baba yao na wale mabinti wawili ambao wanaishi na CLAM VEVO.... jamaa ni hatari sana
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪😂😂😂 kipara nakukubl na icho kizungu 😂😂
Kipara Wana man hongera sana kaka Kwa kazi nzuri plz mwisho uwe mzuri msiishie njiani 🔥🔥🔥💥💥
Kipara Niue na hicho kizungu tu 😂😂😂ila mnaweza team kipara hii kali❤❤😊
Kipara uko genius sana,mambo ipo sawa❤❤❤❤❤❤
Kipara jayva hongera sana kwa kazi nzuri naomba ongeza dk kidg kwa maan ni 🔥 mkali ❤❤
Hongera kwa director kije madevu 🔥 🔥
Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 twafuatilia nyie.... Waigizaji shupavu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Wa kum na mbili mim nampenda kipara igwe 🤣🤣🤸
Kazi safi mmbea kipara 🇰🇪🇰🇪
Ikiekewa ubunifu mzuri huenda ikawa filamu nzuri ya kutazama.....kazi nzuri naifuatilia toka Kenya
Nimempenda sandra, anajua kigiza sana, natafuta movie zake nione
Kipara wana man Kizi zuri ❤❤❤
Kipara wanamani kipara jaivah 🤣🤣🤣🤣 nakukubali broh
Mkemia apa from Tanga Tanzania kaz nzur sana tuko pamoja mwanzo mwisho
Much love from Kenya 🇰🇪
Kipara Wana man, au kipara jaiva aweeee😅😅😅😅😅
olooooo in oloooo😂😂😂
Kazi safi Sana hongereni next plz 🎉🎉❤
Kazi nzuri kipara ❤
Nzurii sanaa❤❤Sandra nakupenda❤
Big story Kipara una kitu Utafika mbali 🤜🤛
Good nice one job mr wanaman🎉🎉
Kipara Jaivah aweeh bibi hajasema hapo aweeh 😂😂😂ila udiwani na kipara mmmmh... mhuu🙌🙌
orrrrrro in orrrrrrro
Aweeeee bonge lishapagawa na chizi😂😂😂
Kipara big up😊
iyi nimeipend kipara wana man saut y jeiva awiii😂😂😂 umbea alishag aca kitamboo
Kipara jaiva aweeeh😂😂
Move Kali kinoma Ila una chelewa kuileta.tuwaishie sawaa jaiva
Kipara after vevo.. Kipara vevo😅
Kipara wana man💪🏻💪🏻🙏🙏
Watu wa Clam Vevo Gang 🤣🤣🤣🤣 Aloooh english imewapitia kushoto sana
Muheshimiwa diwani kipara 🎉🎉🎉❤
Kipara lakin unatueka sana bwana utasema watu wanasubiri kiama 😂😂😂😂
Sema una chelewesha sana kipara wanaman au kipara Jaiva movie Kali sana ii 🔥🔥✔✔✔✔✔
Assesnation formation juction 😂kipara unawazim😂
Kipara kazi nzuri kaka❤❤❤
Safi San kipara KAZI inaonekan Kwa kwel n nzur xan wallah big up xan kipara Wanaman mzungu WA Tz
Kazi nzuri sana ❤❤❤
Kazi nzuri sana BANA na kubwa hii nimependa tu sana nipo Mombasa kenya hapa jomvu like zenu bn❤❤❤❤ tuonyeshe upendo bn
Leo wa kwanza jaman naomben like zangu ❤❤❤❤ from tanga korogwe
Sawa all in all😂😂😂
Kwani Aby mbona mpeku peku sana 😂😂😂akiwa chizi au sio chizi inakuhusu nini? Sandra na wewe bora umeletewa nguo nilitaka nikuchambe😂😂😂🥰👏❤❤❤
Ongeza dakika bwana kipara movie nzuri dakika n kidogo 😢
Kipara 😊🔥
Kipara hebu tulia na hicho kizungu chako daaaa watueka njia panda ulisomea wapi na mm nirudi shule😂😂😂
Kaz nzr kipara
Kazi Yako naikubali sana ila kazi zinachukua mda kutoka tunasubili sna
❤KAMA UNAMUKUBALI KIPARA NIPE LIKE NA S'ABONNER WATANZANIA❤ SIMICHOANGU NISHAACHA
Kipara ana lo😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
kipara napenda ukiongea kiingereza😂💔
Kazi nzuri broo safi sana kipara wana man ❤💯
Bwana diwani umepigaje apo😂😂😂
Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Nakubali sana kipala❤❤❤
Kali kali kali kali saaaaaanaaaaaaaa
Habi sandra anakuumiza kicwa kiukweli atami sijamuelewa sandra 😅aca tutaona mwisho
Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto.
Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
Mr chibu n gani
@@VincentGamboMuye andika CHIBU TV itakuja channel ya huyo jamaa. Amecheza kwenye Snake Boy kama baba yao na wale mabinti wawili ambao wanaishi na CLAM VEVO.... jamaa ni hatari sana
Kipara brand 💪
Mnaweka muda mchache bhna Ata huenjoy
Physics ishageuzwa na kipara ikawa syphics😂😂😂kizungu yako nomaa
😂kazi safi sana
Kipara❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa burundi wanao mukubali kipara wanama ao kipara jaivah tuko niaciy like nzangu bas✌💨💣
Oya mbeaaa wa kiumee kaz yko nzulii sanaaaa
SANDRA nilianza kumuona kwenye Tamthilia ile akiwa na JUMA JICHO 😂 Tangia nianze kumuona nampa tuzo zake ktk uigizaji anaweza sana......
❤❤❤napenda sana hii from kenya
Nakukubari kipara
Kazi mzuri kipara lete vituu
Kipara wana man au kipara eeeeeee- ! 😅
Nimefika wala sichelewi kabisa
Kipara ndo mridhi wa clamvevo
Mnipe namba za kipara nimwambie kama Sandra sio chizi 😂😂😂
Tuongezee muda kipara wana man
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Nimetumia D mbili zangu Naona Anachembe chembe za Ubakaji😅😅😅😂😂😂
Oro in oro kazi nzuri sana kiukweli. Sandra kuna idea naomba nikupe story utaweza kuicheza vizuri.@sandra
Eti kipara alisomea nn Allo in allo😂😂
Mheshimiwa diwani
mwanang ww kipara wana man
Wakwanza toka Uganda like zangu
good job
Usichelewe kuleta mwendelezo
Kipara the genius ❤❤❤😂😂😂😂 wapi subscribe zangu ❤❤
Kweli ni bomba. Nipe lik zenu na subscribed
Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba
Hivi hiki kizungu kingi hivi mmekitoa wapi jamani🤣🤣🤣🤣 from 🇰🇪👌
Leo naombeni like jamani 🇲🇿🇲🇿
Kaz kaz
Jamaa hamchelewi😂😂😂
I'm from Malaysia
Kipara huelewi wwe 😂😂😂
Sandra mashaallah upo vizur
Bib una d2 ila ujui mjukuu wako ni nani😂😂😂
Safi sana
Jaman miwamwisho nipeni like zangu
Kazi safi
Kipara na umbea ameshindwa kujua huyu Si chizi😂😂😂😂
Kazi safi kipara
Mwamb Hill ni dude jaribu kuficha matukio
Brother kipara umezingua tena kinoma yani
Mshangazi kwani iko wapi
First one
Çhizi omba kipara asijue ukweli