Sophia ajibu mapigo, amfungulia mashtaka Davido kuzuia kumchukua mtoto wao, aanika madudu yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 31

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 3 дня назад +8

    ATM mashine haiwezi kuondoka lazima ipambaniwe nan anautaka ufukara wakat chanzo cha mapato iko apo

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 3 дня назад +5

    Jealous Is real😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад +1

      Hiyo sio jealous ni tamaa ya mali

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 2 дня назад

      @@rumdeesonsoa1811 😀😀😀davido hangeoa hata huyu Sophia hangesumbua 😀😀😀😀😀 ni wivu tooo

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 2 дня назад

      @@rumdeesonsoa1811 hiyo harusi ndio imemchoma sana

  • @Divinelinna
    @Divinelinna 2 дня назад

    Kaona mwanamke mwenzake kaolewa kaumia 🤣🤣siku zote alikuwa wapi khaa

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 3 дня назад +1

    Yan ni mpuuz inskataa kununuliwa nyumba je devid akifa gafla utachuma wap

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 3 дня назад +1

    Acha tuhuone move

  • @sund2553
    @sund2553 3 дня назад +3

    Penz likiisha mnageuka kuwa maadui ila huyu mam nae anatak asifanye kaz aishi kupitia mtoto

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 дня назад +7

    Ni wivu tu!

    • @anneedward3673
      @anneedward3673 3 дня назад +1

      Hawa wanawake wanakuwaga na wivu tu hawana lote hivi mtu anakupa kila kitu kwa ajili ya mtoto lakini huridhiki

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 дня назад

      @@anneedward3673 yan non sense... Ndio Mana jamaa aliona Bora aweke ndani chioma tu... Kavumilia mengi

    • @winfridapeter9455
      @winfridapeter9455 3 дня назад

      Hii kesi ipo muda kabla ya ndoa ya hawa wawili, ni huyu msemaji wetu ndo alichelewa kutuhabarisha hili tukio

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 дня назад

      @@winfridapeter9455 Ila win kwani ndoa huwa inakuwaga ya Ghafla? Alikuwa anajua kuanzia maandalizi ya ndoa yana Anza? May be kama alishtaki miezi minne nyuma.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад +2

      Sio wivu ni tamaa za mali

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 2 дня назад

    Wivu uyo

  • @jacquelinerayamu3187
    @jacquelinerayamu3187 3 дня назад

    Kumchimba mtt tu Jamani na kumtia nuksi

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u 2 дня назад

    Kuachana sio vita leeni tu mtoto kwa pamoja

  • @farahali6041
    @farahali6041 3 дня назад +2

    yani unataka mtoto mfanye kama kitega uchumi kaa huna haya ww😊

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 3 дня назад

      😂😂😂😂fear women

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад

      Hao ndio wanawake

    • @teddygabriel5662
      @teddygabriel5662 2 дня назад

      Ila watoto wanahitaj matunzo meng
      Ni gharama jamn usiombe yakukute

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад

      @@teddygabriel5662 Hizo gharama zinatakiwa ziwe shared sio baba pekee yake ndio atoe.