Davido ndo hajamove on na ukitaka kujua hilo tu Davido alimtolea vitisho tiwa savage kwa kuwa tu karibu na sophia na kisa cha Davido kustop kumuhudumia mtoto ni sophia kuwa na mahusiano na tajiri mmoja huko Nigeria ...sasa nani Haja move on hapo .....fatilieni mwanzo kwanza ndo muhukumu Davido ana makosa sana tuu
Sijapenda kumuingixa ifenye maana anamuumiza chiiii ba bora katoa hiyo kauri chioma ana watoto laa sivyo ingekuuja zaidi
Ooooh
Ana wivu uyu
Baby Mama drama
Huyo dada ni wivu skuzote alikua wapi
Awaowe wote ma Bby mamaz wake🤣🤣🤣 problem solved
Mungu aliumba mwanaume mmoja tu na mwanamke mmoja tu zaidi ya hiyo ni kazi za shetani za kumpinga Mungu na kuanza kuingiza tamaa zake.😊
Sophia or sophie move on
Me nadhani ana mapenzi sana kwa Davido ndomana ku move on kunamushinda kama baby mamas wengine wa Davido...
@@hopechiderahuo ni mzee kwa davido ndio mana 😂😂😂
Davido ndo hajamove on na ukitaka kujua hilo tu Davido alimtolea vitisho tiwa savage kwa kuwa tu karibu na sophia na kisa cha Davido kustop kumuhudumia mtoto ni sophia kuwa na mahusiano na tajiri mmoja huko Nigeria ...sasa nani Haja move on hapo .....fatilieni mwanzo kwanza ndo muhukumu Davido ana makosa sana tuu
Ww nae nitimu Sofia fatilia vizur story Yao yamqusiano kama alimpenda nawakat Sofia alijirahisisha mwenyewe😅@@zainabuabdul7852
@@zainabuabdul7852100 %