Ma Sha llah dadangu mungu akubariki na Nuru Yako izidi kungaa wallahi umenikumbusha mbali sana hii qasida Yako ya Allah watilie Nuru wazazi wetu katika kaburi zao na uwape kauli dhabiti😢
Mashaallah ukhty enjiid allah akupe umri mrefu na wewe uje ufanye mazuri zaidi kama ukhty dida yaa rabbi wajaalie akina mama wote waliotangulia mbele ya hakki wawe kwenye pepo nzuri jannat fir-daus
MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH.mung akuzidishie kipaji chako ddang.Ya ALLAH tuliendie wazazi wetu wawe na maisha marefu na mwisho mwema.qaswdah hii naiskila Kila wakt mpk yaniliza Niko mbl sana na mmng.ewe mung nilindie mmngu nikaweze kumuona Tena 🙏🙏🙏🙏 NAKUPENDA SANA MMA YANGU❤❤
Hii kasida nimeisikiliza nimelia sana😢😢😢 kwa kweli inanikumbusha mbali sana nilipokuwa na mamaangu, mamaangu ameshatangulia mbeleyahaki miaka 24 iliopita. Nawapenda sana mama nyote hakuna kama mama
MashaAllah shukrani my dear na kongole sana qaswaidah imesimama mahali pake ALLAH akuepushe na fitna na akupe Afya njema nina kipaji nataman sana kuimba na wewe nahisi tutafika mbali
Mashaa allah ❤❤🎉🎉
Masha'Allah kipenzi qasda yako mzuri sana Allah akuhifadhi❤
Allah akupe starehe katika pepo yake mama yangu,nakukumbuka sana mama ulale pema peponi mama😢😢😢
Allahumma aamin
❤❤❤
Mashaallah nyimbo nzuri 🎉❤
Mola akuzidishie kwa kutambua uwepo wa mama dunian
Masha allah
Mwenyezimung mpe Maisha maref mama angu
Mashaallah ❤❤
Allaah awahifadhi wazazi wetu na awajaalie Pepo ya Jannat Firdaus.
Awasamehe makosa yao.
Aamiiyn
Masha Allah dadaaa
Allah akuhidhi daima mdogo wangu kila nikiskiliza hii nyimbo nahis kulia eee Mollah wangu nitunzie mama angu kipenzi
Ma Sha llah dadangu mungu akubariki na Nuru Yako izidi kungaa wallahi umenikumbusha mbali sana hii qasida Yako ya Allah watilie Nuru wazazi wetu katika kaburi zao na uwape kauli dhabiti😢
Allahumma aaamiin.
Amiin yaraby❤🤲
@@mwajumamonze8792 Allah humma amiin
@@enjiidasnan2851❤
❤ahsante dada
MASHAALLAH UJUMBE MZURI SNA ILA NINAPO ISIKLIZA NALIA SN KW KUMKUMBUKA MAMA YANGU😭😭😭😭
Pole ndo yadunia
Kama mie 😢
Maashallah qaswida mzur mama nakuomba kwa mungu uishi Miaka milefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mamy mungu akujalie sana ❤
Mama namuomba mola akujalie kila lakheri,nakuru.buka,kwa mama yako amina
❤ hii qaswida nikisikilizaga na baki nafurahi sana dada yangu uliye imba nakuombea dua kwa allah akujalie
Amiin Amiin
Da jamani mama mama mungu akulinde ulale salama huko uliko nimekumiss mwanao mi yatima
Mungu awanusuru naadhabu zakaburi wazazi wetu warotangua mbere yahaki mpka nimeria wallah nimekumc mama
Mashaaalaaaa,
Mashallah jazakanllahu khaira ❤❤❤🎉
Masha Allah,,mpaka nimelia
Daah hzi ndioo qaswida jaman dada🥰🥰🙏🫡
Ee Mwenyezi Mungu nilindie Mama anguu🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu mlaze pema peponi mama ya gu aamin
Hakuna kama mama dunian mwenyezi mungu atulindie mama zeti yaalabi sikia Dua zeti wanusulu na moto wa jahanama
Amiin YaaRabbi'Allah Miin
Ujembe mzir San uwafkie wa mam wote dunian
Daaaah mungu akujalie sana kipenzi 💕💕
Masahallah
❤❤ wimbo mzuri sana hadi machozi😢
Mashallh mashallh mashallh mashallh 🙌😭 I tabarakalau khar mashallh mashallh mashallh
Amiin Amiin
Mashallah nimekumc mama yangu mpka nimeria nakuombea urare salam huko uriko mamii tazid kuombea dua mwanao
Mashalah alah awalinde wazazi wetu sote tuzeeke nao
Allahumma Amiyn
Maashallah Allah awajalie wazaz wet mwisho mwema❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Qaswida nzuri sauti nzuri sana basi wee raha sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 mashallah
Masha allah!
alahuma amine mwenyezi mungu akubali dua
❤❤❤❤❤mungu azid kukulinda❤❤❤❤❤❤❤
Dada;umenikumbusha;mbali;Dada;yangu!huko;wap❤
Mashaaallah mamy mungu akuzidishie
MASHAALLAH QASWIDA NZURI SANAA ALLAH ATULINDIE WAZAZI WETU NA AWAPE AFYA NJEMA NA UMRI MREFU 🤲🤲🤲
Mashaallah ukhty enjiid allah akupe umri mrefu na wewe uje ufanye mazuri zaidi kama ukhty dida yaa rabbi wajaalie akina mama wote waliotangulia mbele ya hakki wawe kwenye pepo nzuri jannat fir-daus
Allahumma aaamiin.shukran sana kwa dua yako kipenzi Allah atujaalie sote kwa pamoja
Imeenda shule
Mashaallah mungu akuzidishie ujuzi uzidi kutuelimisha na kutupa furaha ishaallah
Masha allah Masha allah tabaraka rahman
Alhamdulillah Bint Allah akulpe kila jema kwa kuyatambua malez ya Mama
MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH.mung akuzidishie kipaji chako ddang.Ya ALLAH tuliendie wazazi wetu wawe na maisha marefu na mwisho mwema.qaswdah hii naiskila Kila wakt mpk yaniliza Niko mbl sana na mmng.ewe mung nilindie mmngu nikaweze kumuona Tena 🙏🙏🙏🙏 NAKUPENDA SANA MMA YANGU❤❤
Safi sana mama ni mama lnshaall
Yaan hii kaswida naipenda kupitakiyasi wallah Allah akupe.umri mlefu dada angu❤
Shukran sana habibaty
Maashallah maashallah maashallah allah akutangulie katika utunzi wako allah walinde wazazi wetu ameen iachilie jamani tuidanrod nzuri sana❤❤❤❤
Aaamiin aaamiin.waweza idownload kupitia boompaly ni rahisi sana.karibu sana kipenzi❤
Hakika mwenyezi Mungu 🙏 akulinde piaaa
Mashaaa 😍😍😍😍❤❤
Allah akupe starehe katika pepo mungu atukutanishe firdaus amiin
Aaamiin aaaamiin aaamiiin
Mm pia
Mashaallah
QASWIDA yangu pendwaaaaaa
Mashaallah allah akuzidishia kila lakher kipenzi
Xopoa Dada nimependa kaxda zako j Niki taka kuja chuoni kwenu baruhuxiwa 2onane
Maasha allah munguakihifadhi dada angu❤❤
mashallah dada yangu nakupenda kama mama yangu kaswida nzuri sana tamu sana
❤️🌹❤️
MashaAllah mashaAllah baarakallahu fyiik
ALLAH Awape pepo mzuury mama zetu
Nakupenda kwakujua mm nimuimu San bila yeye atuwezi .kujijua mungu akueke
Amiin insha'Allah mwxho mwma kw mum zetu wote duniani n Allah awaongzi kw yle mazto kwao awfnyie wpsi
Yaa allah wajalie wazazi wetu pepo yako🙏
Maashaallah dadangu mungu akuangazie nuru yako
❤❤❤❤❤ hongera Dada yangu mungu akulinde na wabaya❤❤❤❤❤
Masa Allh mama ni mama akuna Kama mama katika Dunia
Huu naupenda ila mbona umeufunga tusidanirod jamani
Karibu sana warid unakubali pia.
Mashaallah Allah awajaalie mama zetu jannah
Mbn una dowld tu unakubal
Dada nakupenda napenda sana qaswida zako masha allah mungu akuweke kipenz na pia awalehemu wazazi wetu nakupenda ❤️❤
@AminaCheupe-l4y Aaamiin aaaamiin habibty🥰🥰🥰
Haina mpizan
Mashalla dada mungu akupe Maisha malefu❤❤
Nimeipenda hiyo khawswida mungu awatangulie waliotunga
Aamiin mtunzi ni huyo huyo ukhty anaeimba.karibu sana
Hii kasida nimeisikiliza nimelia sana😢😢😢 kwa kweli inanikumbusha mbali sana nilipokuwa na mamaangu, mamaangu ameshatangulia mbeleyahaki miaka 24 iliopita. Nawapenda sana mama nyote hakuna kama mama
Pole sana kipenzi. Allah amrehemu mama
Waooooo hatibu kwanlooo
Ungereni sana bukoba umetisha
Dd up vyema
Mashllh kaswida pambe atar
Mashaallah mashallah mungu akuongoze kwa kazi nzur
Mashallah asante sana kwa qaswida hii I.enifariji sana
Mashaallah 🙏 dada ang
mashallah utunzi umenigusa Sana dadaangu mungu akubariki sana dada
Mashaallah mwenyezi mungu akuogoze
Mashalaaa nizuri sana 😘😘 hatasijui kwanini haidalodi
Aameen. Mwanangu killa kheiri kwa kaswida iliyotulia kilakipengele. Unanikumbusha Mama yangu.Alla akubarki awabarikiw Wazazi wet Aameen.
Allahumma Aaamiin❤️
❤
nice
Kawaida nzuri sanaaa🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Masha Allah habibty ❤❤❤ wallah ni melia ni memiss mama yang ku ona yenye napitia warabuni😢😢😢😢
Nani anae kata vitunguu😭😭😭
Shukrani hii imefika kbs
Mashallah kipenz kweli hakuna kama mama
MashaAllah shukrani my dear na kongole sana qaswaidah imesimama mahali pake ALLAH akuepushe na fitna na akupe Afya njema nina kipaji nataman sana kuimba na wewe nahisi tutafika mbali
Anza na mm kwanza unaenifahamu
@@twahamachozi8018 nakuja ucjal
Insha Allah qaswaida nzur tunakuomba uipeleke gugo tuipakue uko
Inshaallah tumia vidmate kuipakua ama ingia boomplay utaipakua
Hizi ndo nyimbo hufanya waluhya Na jaluo kutokwenda kwao😂😂
Ameen ya Rabii Ameen
Mashalla ❤❤❤ nkpnda
❤❤❤🎉 💐 nakupenda blue dada jamani qaswida nzuri sana
Masharh dada angu nimeinda hatari
Mashaallah🥰❤️❤️
Mashallah nakupenda sana dada yangu