I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo Kiswahili yangu si nzuri vile Mimi natoa mke uswahilini🌹 Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
Munguu nijaliiy na mm nipate mume jamani naona hadii wivuuu😢😢😢😢😢😢😢😢
Kaka yangu yupo nitakupa😅
I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
Sure, uko sahihi Sasa anapiga taarabu sannah hatar inakuja zaidi zinaporuka kwenye public
Mm harusi yangu nawalika
Machallah Ukhty Dida tunashukuru sana kwa ma kaswida zako, khasatan Mimi kuliko nisikilize niombo afadhali kaswida muendeleye
Hakika hizo ni nyimbo tu na miziki na allah ameharamisha
😮
Mashaallah Mashaallah anaimba Hana pupaaa katuliaaa 👌👌❤️❤️
Mashaalaa...inapendeza sana😍😘🥰🥰🥰🥰
Mmekuw kama siafuuu😂😂😂😂😂
Mashaallah ❤
Hongera Dida❤
Allah akujaaliye 🎉❤
Mashaallah ukthy dyder nakupenda sana na naikubali sanaaaaa kazi yako Allah akupe kheri na mwanga kwenye kazi zako🤲 wallah raha sana
Mashaallah ukthy dyder nakupeda Sana
@@shuwenahassan1970 hi
Mashallah ukthy dyder naipnda xna
Hi to
Unatisha xana dada akeee!!!!❤❤ Maashallah
❤❤❤❤❤❤❤ ovyo 🎉
Mashallah ukhty dida mtt usojua kununa wallah kazi zako huwa sichoki zitazama nakupenda mtt mzuri Allah akuondoshee husna za watu na majini
mashallah i always 💖💝 this qaswida congratulations ukty dida
Hongera sn naikubali sn na imenibamba mno
Ukhty umetish mashallah mola akulinde❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Mashalha dida machekooo
ahsante sana kwa wimbo mzuri sana kutoka Rwanda
From Somalia... Saa hii nina soma Kiswahili.. Nampenda this girl. Sauti yaku ni nzuri sana ❤
Y66ý
Ww unajua vizur kiswahili
⁸7this y5ou😢f😊
@@Cutiehelena ir
Penda sana!
She sings well tusimuonee wivu tumpongeze🥰🥰🥰🥰🥰
Pambe
Mashalah
MashaAllah 🤲🇰🇪💕💕💕
Ongera mwaya
Very good
Da dida siwez kujiung n chuo chen wallah nawapend mpk bas
Ngoma NI Moto 🔥,,wale wa 2024 twende nalo
Masha Allah kuolewa raha jaman 😘😘😘😍😍😍😍😍
Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo
Kiswahili yangu si nzuri vile
Mimi natoa mke uswahilini🌹
Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
Wallahi
Ukhty Didah NAKUPENDA buree.... nice nasheed🤩🤩🤩👌
Hii sio nasheed kipenz
Hongela dada nyimbo nzuli sana ❤❤❤❤
Nice mumy❤
Mashallh jongera. Qaswida mashallh 👌👌👌👌👌👌👌😅
Dyda jamaniii wallah ww hatar na nusu ....mashallah. ...jicho la hasad lsikuonee......faaaa akeeeeee
💞🤝💃🏼
Amin thumma AMin
Hata me nampenda xn ukhuty d❤❤❤
Wonderful song. Sisi waswahili toka Rwanda na DRC tunaburudika na Qaswida
l need more ❤
ouzouri wa zanzibar raha nana fasi hamou nyengui oulawa rohoni Marahaba wadjama watoukoufou wami bweni mariama wami oufourahi kabisa nahikiya saouti ndjema kasuida🤲🏻🤍 macha allah saouti yatarabou AAAA🤍🤍🎉🎉🤍🎉💓🤍💖💖🎉🎉💯💯💯🎉🎉🤩🥰🤩🤩💋💋💋🤩🤩💋👍🏾👍🏾💋
Epitome of Taarab, uandishi 💯💯💯🔥🔥🔥, mashairi 🔥🔥🔥 I love this 😊
MashaAllah hongera ukhty didah...bi harusi hongeraa nmkupenda bureee cute and simple 😍😍😍
Ma sha Allah Swadakta Mungu Akuwezeshee Zaidi Ukhty Dida
7a🙂
apaa.didaa me rohoo yng kituu inapndaa nawaza harus yng.inshallah ukujeee sin shakaa habibty😊😊😊
❤❤❤ukhty Diyda ahallumtangana from khm shy
Mashallaah qaswida nzuriiiii saaan
Mmependa San na pia mnaimba vizuri San ten san jmn
I love you so much my sister yaan huna mbay dadaang
Dyda wandu mshuli nakupend atary I love u dyda Allah akuzidishie kipaji chako Ameen nakupenda mno Kwa kwl by ifa
Nakupenda piaaaa
❤mashallah dadangu Allah akuzidixhie kipaji chako
Weuweeeeee dyda hap umetisha kuliko zote mmh yan adi rahaa kitu pambeeee ataryyy
Mashallah nimependa wimbo sana wimbo wako Raha leo raha
Mashaallahha mumy nakupenda sanaaa. ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mashallah siz... Inshallah harusi yngu nakualika hku Kenya💖💕❤️
Ooh my god 🤲🙏 niwamisi kinoma🫶🫶🫶🫶💓👌🇧🇮
Mashaallah kaswaida imetulia sn nkpnd sn diyda ww kwel kiongoz wa mabanat hilo hkn wa kupingaa
kuna mdada alievaa miwanii nampenda san km kun mty anamfaham anifamishe
I love this lady nataka kusoma Kiswahili
Courage my sister
Kwel mungu azidi kukutia nguvu❤❤❤
Ukhty Dyda mashaallah nakupa sn hapa Dar nisalimie Fakky na juma wote AQaz
Yupo vzr uht dida mashaallah mng mzdshie mwenyewe
Hakuna kaswida ktk Dini yetu .zote hizi namfan wahizi ni nyimbo tu .Allah awaongoze nass pia .
Mambo ndio hayo thukham✍✍✍✍
Mchetu anaimba vizuri
Much love Ukhty 🥰🥰
Mashallah by ukhut swaumu anakupenda
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie kipaji❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice kasida pambe tup👌mashallah 😘😘😍😍
Mashaallah nzuri cna
Hongera dida
Very nice qaswida. Mashaallah.
Mashallah😍😍😍😍
Yani pambe sanaaa🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mashallah kazi nzuri xana kipenzi .....I like
Mashaallah nzur adi raha😘😘😘
From somali
So Amazing voice an qasida
My sister keep going
Mash allh mash allh
100/%
Wfhbkfvmjvcxcvvbbvvvvvv v v
Mashallah pambee dida huna mbaya
Mashallah sana vooo👌🥰❤❤❤
Always on top
Much love daa ukhty ❤❤❤
From omán
Napenda qaswida zako dida
Ninzuri san ❤
Ana pedeza sana huyu dada akicheza na sauti yake pia daa
From somalia napenda huyu mischana
Nakupenda sana dida na qaswida zako napenda kusikiliza sana allaha akuongoze inshaallaah ktk kipaj chako
Great song, great tune and words 👍👍
Mashallah
Naipenda hiyo Ngoma.
Naipenda hiyo Ngoma.
Classic wedding 💒... @ukhtydida can I marry you ❤️💞 please I'm from Somalia nimekupenda 🤩
Safi sana ukht dida nakupenda sana kwa kasda zako
Mashaallah kazi nzuri
Agelic voice💖💖
Umebarikiwa sana sauti nzuri Hadi nkatamani kuolewa uswahilini
Shida hujubu coment ila kazi nzurii au vip
Maishaallah nawapend sana
Mashallah kaswida ya kusisimua had I wamependana
Mashallah dada dida Allah akuzidishie kipaji chko🥰🥰
qaswida nayo ni kiboko yako pambe Mashallah
Ukhaty dida pambeeee 2 haubahatishgi ww, nakupend my sis kaz nzur more bless keep it up
Mungu akubariki Dida na akupe kizazi chema
Aaamin
Hongera san
Mashaallah thabarakallah dayda juu sana wallah
wallahi didah itabidi uniozeshe mwanafunzi wako mmoja mwenye sauti kinanda kama yako, nafarijika kuskiza qaswida zako
Da napenda nyimbo zako. Tafadhali itayarishe official video ya wimbo "wapeni njia warembo". Love from Nairobi, Kenya
Hamna sio nyimbo ni mashair ya kiislam
@@ashrunaomar4882 nyimbo iyo qasida hapo ivo
Ma shaallh nakupongeza nikiwa 🇰🇪
Kwa kweli wamependana 😋😋😋♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mashallah hongera dada Allah akuzidishie kipaji chako kizidi
I'm here with love of my life #Leen💖💖
Ila huu wimbo ni mtamu sana yaan hauchoshi kusikiliza hata kutazama 😘🌹 hongera kipenzi kwa kazi nzuri
Yaani mwanamke ana sauti ya upole huyu
Mi nimkristu lakini naipenda Sana hii qaswida
Tenaaa mashallah
Best wishes