Kasi_Simela_-_Mama(Official Lyrics Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • For booking
    Email: kasisimela@gmail.com
    Mobile: 0712532737
    Instagram @official_kasi_simela
    Tik Tok @kasisimela
    Facebook @Kasi Simela

Комментарии • 708

  • @ShidaMgala
    @ShidaMgala 6 месяцев назад +31

    Kwa sisi tulopoteza mama twaelewa haya maneno😢😢😢😢😢

  • @mrburudani
    @mrburudani Год назад +77

    Maneno Yametumika Yote Ynagusa sana Hasa kwa Watu ambao mama zao wametangulia mbele za haki, mUNGU AWALAZE MAHALA PEMA, Inshort Mizki ni Mzuri Bro BIG UP

  • @magrethtuma5843
    @magrethtuma5843 Год назад +43

    Daah uliyoyaongea yote mama yang kayafany,aisee mungu nilindie single mom wang 🙏🙏 and r.i.p kwa mama wote dunian

    • @emmadreva8602
      @emmadreva8602 Год назад

      God bless you

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 8 месяцев назад +1

      Masingo mama kwakwel ambao tunalea watt wetu peke yetu tupo radhi tufanye lolote watt wale waende shule na baba zao wapo* had watt wetu wanakua naomba Mungu aniweke nije nione mafanikio y mtt wangu hata akiwa na Kaz yyt kama mama Ake namuombea mwanangu 😭😭🙏

    • @abuubakrmilanbey
      @abuubakrmilanbey 5 месяцев назад

      Amina dada angu Naelewa hali uliyopo nayo kwa maana me pia nimelelewa na mama pekee na baba yupo wacha tu nampenda sana mama angu Alhamdu lillah bado yupo hai

  • @Priver_Jabir
    @Priver_Jabir Год назад +134

    GONGA LIKE APA KWAAJILI YA KIJANA WETU SIMELA✨✨

  • @SideNgairo
    @SideNgairo 8 часов назад +1

    3:44 😅😅😅😅😅😅umetishaaa sana singeri umeieshimisha

  • @abuubakrmilanbey
    @abuubakrmilanbey 5 месяцев назад +7

    Jinsi unavy imba huu wimbo nikama ulikuwa unaishi jirani na nyumbani kwetu unaona kila kinacho endelea big up sana unajua mdogo wangu

  • @haruna1
    @haruna1 Год назад +17

    Huu wimbo nimeutafuta hatimae nimepata, asee huu umeua hongera sana 🤝

  • @MussaMohamedMussa-lt8ke
    @MussaMohamedMussa-lt8ke Год назад +35

    Kasi smela... Mzeee unajua kinyama , Yani umenigusa maisha yangu halisi nilioishi... Ningekuwa na hela nikuzamini mzee.... Ilaa godblees u , never give up . Yupo nyuma yako.

  • @AntoniaGeorge-n3b
    @AntoniaGeorge-n3b Год назад +9

    Nampenda sana mama yangu mungu alinde daima

  • @damianlyochi3194
    @damianlyochi3194 Год назад +10

    Ujumbe mzito kwa kweli amenifanya kukumbuka mbali...2zidi kuwaombea dua mama zetu walotangulia mbele ya haki.

  • @hamzaselemani9171
    @hamzaselemani9171 Год назад +61

    Ndg yangu unajua Sana kuinba kwa ihii nyimbo noma sema ihii nyimbo fanya remix na msani Kama meja kunta ili uingiyee mjini❤

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Год назад +10

    nyimbo ni kubwa Sana hongera dogo.hapo fanya remix na artist mkubwa Ili ipae zaidi

  • @FatumaOmary-kf3os
    @FatumaOmary-kf3os Год назад +6

    Hongera kwa kuwafariji mama zao waliotangulia mbele za Hali😭😭😭

  • @mrburudani
    @mrburudani Год назад +42

    NO one can ever replace Her place in this World, No one Like MAMA....

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Год назад +6

    Bonge la Vocal 🔥🔥🔥 plus lyrics 🔥🔥💥🤔piga remix ipaeee🔥🔥..pia Kam ushaur bor ufuge nywel lakin so viereni manga...utafik mbal🥂

  • @sabasmisanga139
    @sabasmisanga139 Год назад +23

    😭😭 nimejikuta nakumbuka mbali R.I.P Kwa wamama wote waliotuacha Dunia ❤

  • @martinchawala4471
    @martinchawala4471 Год назад +9

    Ujumbe mzurii sana hakika mama ndio kila kituu❤

  • @kigodolotv
    @kigodolotv 3 месяца назад +21

    Wangapi Bado tupo Humu 2024🎉🎉
    Like ❤❤

  • @zakhialibanangu9490
    @zakhialibanangu9490 Год назад +15

    Hii nyimbo kila nikisikiliza inaniliza😭😭

  • @SylviaFerguson-u8g
    @SylviaFerguson-u8g 18 дней назад +1

    Brown Patricia Hernandez Ruth Miller Scott

  • @maftahmwinyi7781
    @maftahmwinyi7781 Год назад +12

    NYIMBO KALI ,UANDISHI SAFI BLESS BOY ✊🏾👑

  • @samybaro3428
    @samybaro3428 Год назад +23

    Ndug yangu This is number one Tanzania song for this Year My G You kill it😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @redemtamkemwa6067
    @redemtamkemwa6067 4 месяца назад +2

    Mama angu yupo ila najikuta naliaa mana wapo wasio na mama

    • @Lilta660
      @Lilta660 2 месяца назад

      Una roho nzuri sana

  • @adamondokawwlusinde5237
    @adamondokawwlusinde5237 9 месяцев назад +2

    😢😢binafsi Nimeumia sana, R.I.P mama

  • @KhalidMwombeki
    @KhalidMwombeki 4 месяца назад +2

    HUYU NDO SIMERA TRANSPORT AU

  • @dralex.e.shirima2732
    @dralex.e.shirima2732 5 месяцев назад +3

    nyimbo sichoki kuisikiliza hongera sana sanaaa

  • @ndinyaboy9074
    @ndinyaboy9074 Год назад +3

    Umetulia sanaa mwananguu tupo pamoja ngoma nzuri sound Good inachezeka 🔥🔥🔥🎵🗣️

  • @hilwamammy829
    @hilwamammy829 Год назад +5

    This is my life story 😭😢 I love you so much mom

  • @SalvatoryMwanyika-to3wk
    @SalvatoryMwanyika-to3wk 9 месяцев назад +2

    I love so mach my mam

  • @RaphaelMuhuta
    @RaphaelMuhuta 9 месяцев назад +2

    Saut mujarabu.kabisa.

  • @millymachimbo7188
    @millymachimbo7188 Год назад +5

    Mama kafanya wema na amesha ondoka ni vibaya Sana 😭

  • @Rayasaidi-gy6qr
    @Rayasaidi-gy6qr 9 месяцев назад +2

    Hongera❤

  • @DoreenEsther-p9k
    @DoreenEsther-p9k Год назад +2

    Mama yangu wew nikisema nikusifiee siwezimaliza I love you so much Martha brother good job ongeeraaaaa❤❤

  • @salmaahmadramadhani8118
    @salmaahmadramadhani8118 Год назад +5

    Ongera Sana wimbo mzuri sn jamn ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nakupenda mama yangu

  • @salamakahindi3038
    @salamakahindi3038 Год назад +4

    ❤❤😢😢😢😢good job kijana yetu nimejiona tu nalia nikikumbuka venye nalea watoto bila baba yao 😢😢😢

  • @jumasaid6073
    @jumasaid6073 Год назад +2

    Ama kwa hakika wimbo wako umewaimbia wengi,wimbo umejaa hisia kali sana,hakuna asiyekuwa na mama,na wengine wamepoteza mama zao tayari,WIMBO HUUU HAUWEZI KUPITWA NA WAKATI,UTAISHI DAIMA!! Hongera Simela!!

  • @HelenaMasekesa-pi6sn
    @HelenaMasekesa-pi6sn Год назад +6

    Mbona aionekani

  • @rehemanbwengo3754
    @rehemanbwengo3754 Год назад +5

    Umeniliza bro

    • @rehemanbwengo3754
      @rehemanbwengo3754 Год назад +1

      Salute from kenya 💗💗💗💗💓💓💓💞💞💘💘💘

    • @rehemanbwengo3754
      @rehemanbwengo3754 Год назад

      Umenikumbusha juhudi alizokuwa nazo mamangu

  • @HassanMapande
    @HassanMapande Год назад +1

    Kijan upo vzur kwel

  • @ZukhailahMuammed-gu9og
    @ZukhailahMuammed-gu9og Год назад +3

    Una nikumbusha mbali

  • @nurudinissa-zy9gx
    @nurudinissa-zy9gx Год назад +5

    Pamoja boy munguakuongoze

  • @Liliana-mc2su
    @Liliana-mc2su Год назад +5

    Waoooooo mama 💖💖💖🙏 nimekapenda 💖💖

  • @theresiaseverini680
    @theresiaseverini680 Год назад +12

    Full package melody, writing, vibe plus feeling am like oooh😮 good music keep it up👍

    • @AbilahIddi
      @AbilahIddi Год назад +2

      Hiinyimbo mtafute dulaa makabila aiweke sokon❤❤🎉

    • @HamisSangali-w7u
      @HamisSangali-w7u 9 месяцев назад

      ​@@AbilahIddi❤

  • @faridakhalifa5231
    @faridakhalifa5231 6 месяцев назад +1

    Mashaallahuu

  • @chinatown8499
    @chinatown8499 Год назад +2

    Dah nimejikuta tu machoz yananitoka.....Ilove u mama wote dunian

  • @Zenice-ol5yr
    @Zenice-ol5yr Год назад +5

    ❤❤❤❤I can not explain about this song but may God grant you until to the end of your life ...umenikumbusha mbl san😢

  • @anitamutheu711
    @anitamutheu711 Год назад +6

    Wow so nice song🎵 god bless you💚💚💚💚

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤😢😢😢

  • @mohammedabdallah2218
    @mohammedabdallah2218 Год назад +1

    kaka nakuku bali mpk naumwa

  • @producerdyson2796
    @producerdyson2796 Год назад +13

    Unyama mwing sana SIMELA home boy 🔥💪

  • @BongoGalaxy_Tv
    @BongoGalaxy_Tv Год назад +3

    Wa wap ww faza?

  • @TanzaniaGamers
    @TanzaniaGamers Год назад +1

    @mejakunta remix inakuhusu Melody zinaendana broo

  • @zungusela3071
    @zungusela3071 Год назад +1

    Nakbal ⛹️

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr Год назад +1

    Kijana uko vizur

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 Год назад +2

    Ngoma kali sana nimeiona TikTok nimeipenda nikaja you tube

  • @ayubuamsonjr9437
    @ayubuamsonjr9437 Год назад +6

    Gomaaa❤🎉 Kali hili popote ulipo❤nakupenda mama ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ajenezaa
    @ajenezaa Год назад

    Ivi kweri hakuna anayeweza kuniunganisha na huyu dogo nikamsapoti jamani???

  • @yuzzodizaina222
    @yuzzodizaina222 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂 hii nyinbo imenikiza sana by yusuph kutoka mtwara vijijini libobe

  • @adamondokawwlusinde5237
    @adamondokawwlusinde5237 21 день назад

    Dah nimejikuta machozi yananitoka, R.I.P mama zetu waliotangulia mbele za haki😢😢

  • @crisofficialtv3940
    @crisofficialtv3940 Год назад +1

    Mi pia ni msanii ila nakukubal sana mdogo ang na hili song umeandika sana ni kama umemuimba mama ang had nalia nkiusikiliza👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ChandeAll
    @ChandeAll 4 месяца назад +1

    mwenyez mng akusaidie ufike mbl

  • @ummymohamed8811
    @ummymohamed8811 Год назад +3

    Mashallha ❤

  • @Bettermustcome714
    @Bettermustcome714 Год назад +4

    Wimbo mzuri sana kaka

  • @victorinaakili-rw1se
    @victorinaakili-rw1se Год назад +1

    Unapatika wapi

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Год назад +1

    2lioichek tktok 2juane hapa! Weka like Yako hapa!

  • @YusraKharid-yf9vx
    @YusraKharid-yf9vx Год назад +2

    Allah ampunguzie adhabu ya kabr mama angu nyimbo inaniumiza sana hi umegusa watu wengi Allah akujalie katik kazi zako insha Allah

  • @hassannibigira
    @hassannibigira 8 месяцев назад +1

    Sana Kaka,,nyimbo hii ilinigusa ingawa bado mama yangu yu hai,,
    Big up sana broooh!!!

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Год назад +2

    Duhh aisee ili ni bonge la jiwe, congratulations my young brother

  • @DeeBrown-dr4cb
    @DeeBrown-dr4cb 8 месяцев назад +1

    Sana

  • @MbMb-g8n
    @MbMb-g8n Год назад +2

    Unajua dogo bg nyimbo

  • @willykhan20
    @willykhan20 Год назад +1

    Kasimu janja imekaa saw San endelea na juhudi

  • @fiaboy
    @fiaboy 5 месяцев назад +1

    Mama ❤❤

  • @manethjunior3782
    @manethjunior3782 6 месяцев назад +1

    Huwa narudia kuangaliaa hili song Kila siku

  • @nellymarylucas
    @nellymarylucas Год назад +1

    Penda weweeee Mom

  • @victorinaakili-rw1se
    @victorinaakili-rw1se Год назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😔♥️😔😔

  • @MuhandoSelemani
    @MuhandoSelemani 6 месяцев назад +1

    Daaa huu wimbo umeimba vzuri sana umenigusa sana broo

  • @footballchannel8254
    @footballchannel8254 Год назад +26

    Voice 💯
    Melody 💯
    Good writing 💯

  • @SamiraRamadhan-s9c
    @SamiraRamadhan-s9c 2 месяца назад

    Tuwaheshim mama zetu coz pepo iliyo njema ipo nyayon Kwa mama 😢😢😢

  • @bluelionboyhistory6591
    @bluelionboyhistory6591 Год назад

    Sawah kwaajili ya mama na ndivyo ilivyo wasanii au watoto wengi wanamsahau Baba
    Baba anaamka saa 10: kwenda kufanya kazi Ili watoto wale wale nyumbn nakufurahi Ili wavae wapendeze sikuu wavae nguo mpya asomeshe watoto wa nne akinunua kitu Kwa mmoja basi wengine hawapendwi anunue nguo kwaajili ya Mama nyumban wageni wakija waondoke na chochote 😭😭😭😭
    Anarudi nyumbn saa 4 usiku analala saa Tano kuamka mwendo uleule
    Basi story ni nyingi ila LOVE MOMY

  • @deejayazizi
    @deejayazizi Год назад +3

    Umemeeee ...ngoma kaliii

  • @Kimbinyikododoma-nd3no
    @Kimbinyikododoma-nd3no Месяц назад

    R i p mamangu mwaka wa 17 huu toka umetutoka endelea kupumzka mwatatu bakari umeniacha namaisha xhv natamani ungekuwepo nunue hata kitengee tyu

  • @douglasnjoka3894
    @douglasnjoka3894 Год назад +2

    Goo

  • @PendoGervans
    @PendoGervans Год назад +3

    Nice song ujumbe mzuri Sana hakuna wakushika nafasi ya mama

  • @FatumaMbaga-oy5di
    @FatumaMbaga-oy5di 11 месяцев назад +1

    Noma sana my bro nawatakia kila la kheri kina mama wote 😭😭😭❤️❤️❤️

  • @sarahflora710
    @sarahflora710 Год назад +9

    Wow so amazing 👏 God bless you 🙏

    • @kautharmwinyi736
      @kautharmwinyi736 Год назад

      Kweli wimbo mzuri sana ❤❤❤❤❤ nakupenda sana mama ang 🍎🍎🍎🍗🍗

  • @PhausterMbena
    @PhausterMbena Год назад +2

    Daaa ii nyimbo nalikubali Sana ❣️❣️ jitaidi utavuka

  • @stellamathias-pb2fg
    @stellamathias-pb2fg Год назад +1

    Aisee kipaji unacho mungu akuzidishie

  • @bonkeamenye4738
    @bonkeamenye4738 Год назад +1

    Ngoma kali kinoma ume tisha

  • @RechoJacson
    @RechoJacson 2 месяца назад

    😢😢😢😢 jaman sjui niseme nn kwel 😢😢😢😢machoz yang nan atanifuta

  • @AysherNindi
    @AysherNindi 5 месяцев назад

    Huu wimbo wataimba wanangu soon, siku zangu za kuishi zilizobaki zinahesabika

  • @SimonisanareSimonisanare
    @SimonisanareSimonisanare 5 месяцев назад +1

    Axee jamaa Yuko vizuli sana

  • @mahinduzihonorech
    @mahinduzihonorech 3 месяца назад

    Nakupenda Sana ❤❤❤❤❤ from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @Mafia6Pls
    @Mafia6Pls 7 месяцев назад

    Wimbo mzuri ila SEMA jitahid kuvaa uhakisia

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Год назад

    daah mdogo wangu ulianza mziki kama utani hila sasa umenishangaza......Mungu hakuweke sana

  • @rahimbangaseka3852
    @rahimbangaseka3852 Год назад +7

    Keep it well Home boi🔥🔥👏🏽

  • @FelistaAtanasi-ws5fz
    @FelistaAtanasi-ws5fz Год назад +1

    Hongera San nyimbo nzur San maneno tu hapo

  • @aminasheshe2234
    @aminasheshe2234 Год назад

    Yani nikisikiza hii nyimbo😅😅😅😅 mama ndio kila kitu duniani

  • @joycejames7150
    @joycejames7150 Год назад +2

    Nakuombea mama yangu uishi miaka mingi kwa ealiondokewa mama zao mungu aendelee kuwatia nguvu

  • @MwanahawaSaidi-vx7ec
    @MwanahawaSaidi-vx7ec 11 месяцев назад +1

    Waoo❤❤❤❤

  • @issaramadhan9937
    @issaramadhan9937 Год назад

    Apo umeuza pombe ××× 😊please fanya remix