Maneno Yametumika Yote Ynagusa sana Hasa kwa Watu ambao mama zao wametangulia mbele za haki, mUNGU AWALAZE MAHALA PEMA, Inshort Mizki ni Mzuri Bro BIG UP
Masingo mama kwakwel ambao tunalea watt wetu peke yetu tupo radhi tufanye lolote watt wale waende shule na baba zao wapo* had watt wetu wanakua naomba Mungu aniweke nije nione mafanikio y mtt wangu hata akiwa na Kaz yyt kama mama Ake namuombea mwanangu 😭😭🙏
Amina dada angu Naelewa hali uliyopo nayo kwa maana me pia nimelelewa na mama pekee na baba yupo wacha tu nampenda sana mama angu Alhamdu lillah bado yupo hai
Kasi smela... Mzeee unajua kinyama , Yani umenigusa maisha yangu halisi nilioishi... Ningekuwa na hela nikuzamini mzee.... Ilaa godblees u , never give up . Yupo nyuma yako.
Ama kwa hakika wimbo wako umewaimbia wengi,wimbo umejaa hisia kali sana,hakuna asiyekuwa na mama,na wengine wamepoteza mama zao tayari,WIMBO HUUU HAUWEZI KUPITWA NA WAKATI,UTAISHI DAIMA!! Hongera Simela!!
Sawah kwaajili ya mama na ndivyo ilivyo wasanii au watoto wengi wanamsahau Baba Baba anaamka saa 10: kwenda kufanya kazi Ili watoto wale wale nyumbn nakufurahi Ili wavae wapendeze sikuu wavae nguo mpya asomeshe watoto wa nne akinunua kitu Kwa mmoja basi wengine hawapendwi anunue nguo kwaajili ya Mama nyumban wageni wakija waondoke na chochote 😭😭😭😭 Anarudi nyumbn saa 4 usiku analala saa Tano kuamka mwendo uleule Basi story ni nyingi ila LOVE MOMY
Kwa sisi tulopoteza mama twaelewa haya maneno😢😢😢😢😢
Pole
Pole sana
Kabisa😭😭😭😭
Maneno Yametumika Yote Ynagusa sana Hasa kwa Watu ambao mama zao wametangulia mbele za haki, mUNGU AWALAZE MAHALA PEMA, Inshort Mizki ni Mzuri Bro BIG UP
😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭, Asante
Ameeeen
@@FarhiyaRashid-o3z 🙏
Ameni
Daah uliyoyaongea yote mama yang kayafany,aisee mungu nilindie single mom wang 🙏🙏 and r.i.p kwa mama wote dunian
God bless you
Masingo mama kwakwel ambao tunalea watt wetu peke yetu tupo radhi tufanye lolote watt wale waende shule na baba zao wapo* had watt wetu wanakua naomba Mungu aniweke nije nione mafanikio y mtt wangu hata akiwa na Kaz yyt kama mama Ake namuombea mwanangu 😭😭🙏
Amina dada angu Naelewa hali uliyopo nayo kwa maana me pia nimelelewa na mama pekee na baba yupo wacha tu nampenda sana mama angu Alhamdu lillah bado yupo hai
GONGA LIKE APA KWAAJILI YA KIJANA WETU SIMELA✨✨
Gd job
Kàz nzr🥀🌹🍉🍎🛺
mambo vip simela nakukubali
Da
nrod
Kwakweli
3:44 😅😅😅😅😅😅umetishaaa sana singeri umeieshimisha
Jinsi unavy imba huu wimbo nikama ulikuwa unaishi jirani na nyumbani kwetu unaona kila kinacho endelea big up sana unajua mdogo wangu
Huu wimbo nimeutafuta hatimae nimepata, asee huu umeua hongera sana 🤝
Sawa
Kasi smela... Mzeee unajua kinyama , Yani umenigusa maisha yangu halisi nilioishi... Ningekuwa na hela nikuzamini mzee.... Ilaa godblees u , never give up . Yupo nyuma yako.
😭😭😭
Mwambie dogo anitafute
Nampenda sana mama yangu mungu alinde daima
Ujumbe mzito kwa kweli amenifanya kukumbuka mbali...2zidi kuwaombea dua mama zetu walotangulia mbele ya haki.
Ndg yangu unajua Sana kuinba kwa ihii nyimbo noma sema ihii nyimbo fanya remix na msani Kama meja kunta ili uingiyee mjini❤
Sio nyimbo ni wimbo
Haswaaa mtafuta meja msujudie fanya remix Alaf mengn yanafuata
Aisee kipaji unacho mungu akuzidishie
Hii nyimbo ni nzuri kweli jaman🙏💞💞💞💞💞
Waoooooo ninzuri sana mungu akukuzie kipaj chako❤❤❤❤❤
nyimbo ni kubwa Sana hongera dogo.hapo fanya remix na artist mkubwa Ili ipae zaidi
Hongera kwa kuwafariji mama zao waliotangulia mbele za Hali😭😭😭
NO one can ever replace Her place in this World, No one Like MAMA....
Ady
Kasimela
Kweli broo nilikua nakupima
Hakuna Kama mama
@@Ramadhani-xq8mu ¹1¹
Bonge la Vocal 🔥🔥🔥 plus lyrics 🔥🔥💥🤔piga remix ipaeee🔥🔥..pia Kam ushaur bor ufuge nywel lakin so viereni manga...utafik mbal🥂
😭😭 nimejikuta nakumbuka mbali R.I.P Kwa wamama wote waliotuacha Dunia ❤
😀😀😀😀😀😀😀
Acha2 mm mpk nimelia usiombe uondokewe na mzazi
amina dear
@@rehemahamad4442 Napendaga kusema sikuzote IS MORE THAN PAIN 💔💔😭😭
@@happinesspascalnyambita8426 Bless
Ujumbe mzurii sana hakika mama ndio kila kituu❤
Wangapi Bado tupo Humu 2024🎉🎉
Like ❤❤
Nipo mwanangu
@@Lilta660 👊
❤❤❤❤❤❤❤
Hii nyimbo kila nikisikiliza inaniliza😭😭
The same to me!!
❤❤❤ l love you momy
Brown Patricia Hernandez Ruth Miller Scott
NYIMBO KALI ,UANDISHI SAFI BLESS BOY ✊🏾👑
Ndug yangu This is number one Tanzania song for this Year My G You kill it😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama angu yupo ila najikuta naliaa mana wapo wasio na mama
Una roho nzuri sana
😢😢binafsi Nimeumia sana, R.I.P mama
HUYU NDO SIMERA TRANSPORT AU
nyimbo sichoki kuisikiliza hongera sana sanaaa
Umetulia sanaa mwananguu tupo pamoja ngoma nzuri sound Good inachezeka 🔥🔥🔥🎵🗣️
This is my life story 😭😢 I love you so much mom
I love so mach my mam
Saut mujarabu.kabisa.
Mama kafanya wema na amesha ondoka ni vibaya Sana 😭
Hongera❤
Mama yangu wew nikisema nikusifiee siwezimaliza I love you so much Martha brother good job ongeeraaaaa❤❤
Ongera Sana wimbo mzuri sn jamn ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nakupenda mama yangu
❤❤😢😢😢😢good job kijana yetu nimejiona tu nalia nikikumbuka venye nalea watoto bila baba yao 😢😢😢
Pole San good mommy
Nakbli san jitaid
Ama kwa hakika wimbo wako umewaimbia wengi,wimbo umejaa hisia kali sana,hakuna asiyekuwa na mama,na wengine wamepoteza mama zao tayari,WIMBO HUUU HAUWEZI KUPITWA NA WAKATI,UTAISHI DAIMA!! Hongera Simela!!
Mbona aionekani
Saa tatu
@@magamtumbaya3782 nakubali kazi yako
Umeniliza bro
Salute from kenya 💗💗💗💗💓💓💓💞💞💘💘💘
Umenikumbusha juhudi alizokuwa nazo mamangu
Kijan upo vzur kwel
Una nikumbusha mbali
Pamoja boy munguakuongoze
Waoooooo mama 💖💖💖🙏 nimekapenda 💖💖
Full package melody, writing, vibe plus feeling am like oooh😮 good music keep it up👍
Hiinyimbo mtafute dulaa makabila aiweke sokon❤❤🎉
@@AbilahIddi❤
Mashaallahuu
Dah nimejikuta tu machoz yananitoka.....Ilove u mama wote dunian
❤❤❤❤I can not explain about this song but may God grant you until to the end of your life ...umenikumbusha mbl san😢
Wow so nice song🎵 god bless you💚💚💚💚
❤❤❤❤❤😢😢😢
kaka nakuku bali mpk naumwa
Unyama mwing sana SIMELA home boy 🔥💪
Wa wap ww faza?
Ifakara morogoro
Ifakara
@mejakunta remix inakuhusu Melody zinaendana broo
Nakbal ⛹️
Kijana uko vizur
Ngoma kali sana nimeiona TikTok nimeipenda nikaja you tube
Gomaaa❤🎉 Kali hili popote ulipo❤nakupenda mama ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hf
Kuzondghuempa😢😅😮❤ no🎉😮 0:00
Ivi kweri hakuna anayeweza kuniunganisha na huyu dogo nikamsapoti jamani???
😂😂😂😂😂😂😂 hii nyinbo imenikiza sana by yusuph kutoka mtwara vijijini libobe
Dah nimejikuta machozi yananitoka, R.I.P mama zetu waliotangulia mbele za haki😢😢
Mi pia ni msanii ila nakukubal sana mdogo ang na hili song umeandika sana ni kama umemuimba mama ang had nalia nkiusikiliza👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mwenyez mng akusaidie ufike mbl
Mashallha ❤
Wimbo mzuri sana kaka
Unapatika wapi
2lioichek tktok 2juane hapa! Weka like Yako hapa!
Allah ampunguzie adhabu ya kabr mama angu nyimbo inaniumiza sana hi umegusa watu wengi Allah akujalie katik kazi zako insha Allah
Sana Kaka,,nyimbo hii ilinigusa ingawa bado mama yangu yu hai,,
Big up sana broooh!!!
Duhh aisee ili ni bonge la jiwe, congratulations my young brother
Sana
Unajua dogo bg nyimbo
Kasimu janja imekaa saw San endelea na juhudi
Mama ❤❤
Huwa narudia kuangaliaa hili song Kila siku
Penda weweeee Mom
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😔♥️😔😔
Daaa huu wimbo umeimba vzuri sana umenigusa sana broo
Voice 💯
Melody 💯
Good writing 💯
Nice kaka
Voice 100%
Bomba xan
Tuwaheshim mama zetu coz pepo iliyo njema ipo nyayon Kwa mama 😢😢😢
Sawah kwaajili ya mama na ndivyo ilivyo wasanii au watoto wengi wanamsahau Baba
Baba anaamka saa 10: kwenda kufanya kazi Ili watoto wale wale nyumbn nakufurahi Ili wavae wapendeze sikuu wavae nguo mpya asomeshe watoto wa nne akinunua kitu Kwa mmoja basi wengine hawapendwi anunue nguo kwaajili ya Mama nyumban wageni wakija waondoke na chochote 😭😭😭😭
Anarudi nyumbn saa 4 usiku analala saa Tano kuamka mwendo uleule
Basi story ni nyingi ila LOVE MOMY
R.I.P my daddy 😥😥😥😥
Umemeeee ...ngoma kaliii
R i p mamangu mwaka wa 17 huu toka umetutoka endelea kupumzka mwatatu bakari umeniacha namaisha xhv natamani ungekuwepo nunue hata kitengee tyu
Goo
Nice song ujumbe mzuri Sana hakuna wakushika nafasi ya mama
Noma sana my bro nawatakia kila la kheri kina mama wote 😭😭😭❤️❤️❤️
Wow so amazing 👏 God bless you 🙏
Kweli wimbo mzuri sana ❤❤❤❤❤ nakupenda sana mama ang 🍎🍎🍎🍗🍗
Daaa ii nyimbo nalikubali Sana ❣️❣️ jitaidi utavuka
Aisee kipaji unacho mungu akuzidishie
Ngoma kali kinoma ume tisha
😢😢😢😢 jaman sjui niseme nn kwel 😢😢😢😢machoz yang nan atanifuta
Huu wimbo wataimba wanangu soon, siku zangu za kuishi zilizobaki zinahesabika
Axee jamaa Yuko vizuli sana
Nakupenda Sana ❤❤❤❤❤ from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Wimbo mzuri ila SEMA jitahid kuvaa uhakisia
daah mdogo wangu ulianza mziki kama utani hila sasa umenishangaza......Mungu hakuweke sana
Keep it well Home boi🔥🔥👏🏽
Hongera San nyimbo nzur San maneno tu hapo
Yani nikisikiza hii nyimbo😅😅😅😅 mama ndio kila kitu duniani
Nakuombea mama yangu uishi miaka mingi kwa ealiondokewa mama zao mungu aendelee kuwatia nguvu
😭😭😭🙏🙏🙏
Waoo❤❤❤❤
Apo umeuza pombe ××× 😊please fanya remix