Tatizo Mzee wagu sio kupiga kuratu Kura tunapiga lakini kama utakumbuka kauli ya nape anasema inategemea na nani anatangaza matokeo ukisha tangaza sio baadae unaomba radhi kwaiyo hakuna haki yakutambuliwa Kura nibosheni
Una uchungu na taifa na unatamani sana vijana wapate akili ya kujisimamia na kutokua chawa maana hii husabasha kukosa haki zao za kiuzarendo... Hiii ni kwa mtu yeyote anayelipa kodi (VAT) kwa haki. Corporate tax na tax zozote zile zinauma sana pale unapoona hazifanyi kazi sawa sawa.. big up i promise, ntajifunza mengi kutoka kwako
@margarethpolepole7438 ni kutokujitambua tu Kwa serikali usika, TBC ni lawananchi wa Tz na chadema ni chama cha siasa ndani yake wapo ao ao wananchi wa Tz wanaolipa Kodi, wanakosea
Mimi ni chadema mbowe akishinda nahamia act maana kipindi magufuli na lisu Mimi nilikuwa wakala madhaifu ya mwenyeki tuliyaona tulilazimishwa kusain na police huku ccm wamepigwa kwenye sanduku
Hii kauli ya mmiliki wa chombo cha habari afungamani na chama chochote kile ...hii inatafsiri ya wazi kuwa diamond na Alikiba sio wamiliki wa radio station
@@josephkiwale374umemjibu vizuri sana hata hafikirii anachokiongea mbona huyu yupo hapa chadema? Pili wale anaosema si wamiliki anatakiwa ajue kuwa ni wafanyabiashara na lazima wasapoti sehemu ambayo itawalinda kibiashara zao
Mbona hakuna maneno ya kumkataa Mbowe acha uchwa wako ama na ww ni kspuku big up Kusaga una Akili
Sasa hawa wanaanza kufanya utumbo kama viombo vya habari vingine…. Kichwa cha habari na maongezi tofauti
Uko vizuri Boss kusaga
Kudos Kusaga, well-spoken words !!!!!
KUMBE KUSAGA NI MWANAUME WA KWELI ANATEMA MADINI TU SAFI❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wewe ni mwanamke wa uongo
Wewe ni mwanamke wa uongooo
Hongera sana brother 🤝
Genius, royal people do speak fact
My mentor ❤❤❤
Kuna level ukifika hautak8wi kuwa na upande big up bro
Brilliant!!!
Safi sana ❤🎉
Boss Jo
Salute sanaaaaa
Big minded person🎉
Nice big J
Safi sana bwana Kussaga
Unajtambua saana mzee good
Wajina🎉
Huyu jamaa akili kubwa.hajaongea kichawa kama vyombo vingine
WELL SAID BOSS
Chadema sio chama cha wananchi wote hata ccm sio chama cha wanachi wote
Afadhali ww hujipendekezi na ccm moja kwamoja
True,Kusaga.
Dah kusagaaaaaaaaaaaa miaka bukuuuuu mjombaaaaa
Huyu bwana mtulivu sana wa fikra
Afadhali yako unaongea point.
Kusaga asante sana
Big up sana
Big joe❤
Big brain 🧠
Well said
Kusaga na kukomboa big up Mzee
Tatizo Mzee wagu sio kupiga kuratu Kura tunapiga lakini kama utakumbuka kauli ya nape anasema inategemea na nani anatangaza matokeo ukisha tangaza sio baadae unaomba radhi kwaiyo hakuna haki yakutambuliwa Kura nibosheni
Joe kaongea vizuri sana,tatizo ni kichwa cha habari,poor journalism.
Una uchungu na taifa na unatamani sana vijana wapate akili ya kujisimamia na kutokua chawa maana hii husabasha kukosa haki zao za kiuzarendo...
Hiii ni kwa mtu yeyote anayelipa kodi (VAT) kwa haki. Corporate tax na tax zozote zile zinauma sana pale unapoona hazifanyi kazi sawa sawa.. big up i promise, ntajifunza mengi kutoka kwako
Big up kaka
KAJIVUWA😊
Uko sawa nimependa, ongereni sana cloud na Azam UTV mmefanya kitu Cha mahana sana, nimependa sana nimeshangaa TBC kutokuonyesha mkutano wa chadema.
@@josiacharles2778 Clouds Biashara na Azam Tbc Serikali ya ccm hsya kazi kwako
@margarethpolepole7438 ni kutokujitambua tu Kwa serikali usika, TBC ni lawananchi wa Tz na chadema ni chama cha siasa ndani yake wapo ao ao wananchi wa Tz wanaolipa Kodi, wanakosea
#akili kubwa Kusaga #5tena kwako na vyombo vyote vya habari vilivyo chini yako
Safi sana tajr akil ming
Akili kubwa sana.
Mimi ni chadema mbowe akishinda nahamia act maana kipindi magufuli na lisu Mimi nilikuwa wakala madhaifu ya mwenyeki tuliyaona tulilazimishwa kusain na police huku ccm wamepigwa kwenye sanduku
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amen anen
Les go guys and don’t forget to vote for opposition
Kusaga IQ is very higher than an ability of an individual who’s applying his mental and physical abilities in his daily life routine.
Hii kauli ya mmiliki wa chombo cha habari afungamani na chama chochote kile ...hii inatafsiri ya wazi kuwa diamond na Alikiba sio wamiliki wa radio station
Wamealikwa lkn🤔🤔
@@josephkiwale374umemjibu vizuri sana hata hafikirii anachokiongea mbona huyu yupo hapa chadema? Pili wale anaosema si wamiliki anatakiwa ajue kuwa ni wafanyabiashara na lazima wasapoti sehemu ambayo itawalinda kibiashara zao
Gud
Kila mtu na uamuz wake
😂😂😂
Unajuwa sn
Kwamaneno hayo Sina chakusema
hamia kwalisu kaka nimekuelewa mbowe kasongo lisuuuu
Kusaga Yuko vzr
Ila all in all ni chama chamapinduz sisi kama Tim ya mamayetu mi5 tena
Akili kubwa hii.!!!!!🎉
Safisan
Huyu Ana Kauchadema Ndani yake... Ni vile hataki kunyoosha maelezo... Wakubwa tuu ndo tunamuelewa
Una akili nyingi na unajua kumsoma mtu
🎉🎉🎉🎉
We kijana au madala?
Ukovizuri kaka
IQ KUBWA SANA
Why waandishi wake wa Habari aliowaajiri wanafungamana na vyama hali ikiwa haitakiwi
Nyie vyombo vya habari mmetuumiza sana vyombo vingi no uchawa tu umewajaa
Nenda kapige kura wwee waachie cdm yao
Og kabsa
Saf kaka
Simuamini huyu
Tajir asie mnafk na chawa
Amevurungwa msamehe bule tu
🤣🤣🤣🤣🤣
Kula unapigaaa unamchagua mtu anaefaa wanamtangaz asie faa kokunahaja ya kupiga
Nakukubali
Watanzania tuwe wabinafsi kivipi kuma nyie
Uyu chadema sema kule wanafosiwa
Sio watanzania sema watanganyika jina lenu hamlitaki
shida hujui hata asili yako, shule kwenu tatizo
Bila Tanganyika mtaishi vipi na kisiwa chenu mtakufa vibaya na njaa ,maisha yenu yanategemea Tanganyika
Hiyo Club siyo yake ilikuwa ya Baba yake mimi ni mkongwe nafamu kila kitu
Baada ya baba ake mdimamizi n nan tuambie we unaejua kila kitu
Mbowe siyo wa mchezo mchezo hana shida ndogondogo
Kura haifanyi kazi bali kukiza watu
😂
wewe ccm bwana Ila unaipenda chadema
Mbona chadema uyu kbs ana mzuga nani sasa wewe nyooka tuusizunguke bt tuna kuamini sana ila ukisimama upande wako ndipo utakua huru zaidi
Kaka tulia