Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii
Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..
@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.
Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi
KIONGOX BORA NI YULE ANAEJENGA URAFIK NA WATU WAKE TATIZO BAADHI YA VIONGOZ HAWAWEZ KUISH NA HAWA KWA SABABU WANATUMIA NGUVU❤
Sio nguvu tuu na kujipa ukubwa wanatumia cheo kunyanyasa watu
@@pendomushi6351Manka umepiga kwenye mshono Swahiba
Big up mkuu wa mkoa Makonda, you nailed it the way it's supposed to be, Kazi iendelee!
Congratulation RC Paul Christian Makonda 👏👏👏Kazi Iendelee 🇹🇿
R.c Makonda big up
Kiongozi wa kwanza kuwapa thamani watu wanaoonekana wahunu
Atawarekebisha kwa kiasi kikubwa.
Du!!!! Makonda is a leader, MUNGU akutunze Paul Christian
Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii
Ni kweli kabisa ulichosema.na hatuwezi kujua inawezekana wakabadilika kabisa.
Big up ...Makonda uko vizuri ..psychology yako iko vizuri...!!
Makonda ni Future ya vijana kiukweli Mimi makonda namuelewa sana anasimamia nafasi yake kwa umakini Sana
Wadudu watafute mlango uliofungwa kisha makonda aufungue waingie👏👏
Inapendeza sana. Mungu ni mwema...hongera RC makonda
Congratulations to MILLARD AYO kwa kufikikisha subscribes ML 5 hakika mnafanya kazi njema
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi uje kuwa rais wa hili taifa bro
Mimi kwakweli namkubali sana Makonda huyu ni kiongozi ongea na kila mtu
Ungwa we amka
Asante makonda, saidia pia kupambana dhidi ya madawa ya kulevya Arusha
dah big up sana makonda nakupendaga sana 💪✌️✈️🇹🇿🌍✅
Makonda hua nakuelewa sana bro Mungu ikimpendeza kuishika hii nchi itakaa sawa naamini mambo murua ni mtazamo wangu tu
Upo sahihi ndg yngu
Makonda anaakili sana anajua kucheza na akili za watu hongera zake
Hahaha saana ameongea nao kwa upole
Namakofi juuu wamepigaa😅😅😅😅😅😅😅
Mheshimiwa makonda Mungu akucmamia ktk kazi ya mikono yako❤
Safi makonda wape elimu ❤❤❤❤
Good leader🎉🎉🎉🎉
Arusha is our world
Mh.Makonda kazi unayo!! Mungu azidi kukupa hekima ujue jinsi ya kuchukuliana na hao watu
Hawa vijana waelekezwe namna ya kutofautisha kati ya KIPAJI na BANGI kinyume na hapo wataendelea kuonekana kituko kila siku ...
😅😅😅😂😂😂😂
Sure asee
Safi Sana makonda yaan ww ni rais ujae
Ukiachana na mambo mengne huyu jamaa ana akili nyingi sanaaaa
Naona Anawapanga wadudu😂😂😂😂😂Makonda mjanja sana
Hongera sana Mh makonda
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu kaka makonda
kadudu ako kambilikimo nakaenjoy sana😂
Wakonda usikize kwanza huo wimbo kabla mama hajausikia maana hao siyo watu,ohhooo!!!
😂😂😂😂😂 umewaza mbali
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂nimecheka aisee kwa saut
❤❤❤😅😅
Makonda nimekukubali sana kwa ushauri wako kwa vijana Barikiwa sana
Mdudu mdogo yule😂
Umenikumbusha huyu jamaa mrefu zaidi hapo😂😂😂😂😂
Makonda 🌹🌹🌹kakaa na na wadudu bila kuwanyunyizia sumu siyo kazi mdogo 😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅 si vibaka ni wao Jehovah akukupa uongoz atakupa na hekima ya namna yake akipenda ulete matekeo kwenye mwanga wake
🤣🤣🤣🤣🤣 wadudu leo wametulia
😂😂😂😂
Wamekutana na mhuni😂
Makonda mungu Azidi kukujaza hekima
Asa kenyonyo anataka kuwa nani😂😂😂
Huyo mdudu mrefu kuliko wote ndo ananichekesha zaidi😂
hahahahahaha
Kenyonyo
Daaa kiongozi Mzuri
Kuwauyaone yaurimwengu hayoo
Wadudu wameshakuwa CCM Tayar😂😂😂😂 CHADEMA Potelea ukooooo
Hakika
Nimecheka sana😂😂😂😂
😂😂😂😂
That's what we call leadership 👏 🎉
Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..
Kwa nijuavyo mimi hakuna watu wema kama hawa kwa Arusha ila tu usiwatibue
Kabisa,watu hawajui tu,hawa vijana huwa hawana hat shida,mpaka uwakorofishe
Wema wao ni upi
@@jumahamadomar9124 Hawa wapo na busy zao Wala hawadhulu mtu
Kweli kabisa mm nilipotea njia wakanielekeza vizur bila shda
@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.
Kenyonyo chali yangu ❤❤😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba na wadudu wake mwenyewe hana baya MUNGU akulinde Mwamba 🙏🙏🙏🙏
Wadudu wameumbwa kwa mfano wa Mungu
Makonda bana km anakuja ivii km anakataaa
😂😂😂halafu ww
Aloooooooooo você me matou não sou de Tz mas quero tanto visitar Arusha
Hahahahaha aloooooh huyu kaijua chuga Sasa
Kenyonyo nakuona😂😂😂
very creative RC
Sasa hayo maviatu Mungu wangu
😂😂😂😂Wahesabu tu
Hahaha kaazi kweli 😅😅
Wanavyoitika wanajuw watapewa ela😂😂
Ka Kenyonyo 😂😂😂
P😊😊 0:29 😊 0:29
John
L
Ana maneno ya hekima
Kenyonyoo nowma sana😂😂😂
Kwa kenyonyo akaanze shule sasa
Sura za system kabisa izo na mafala wawili watatu
😂😂eti wadudu 😂halafu huyo mdudu mmoja yeye anafata mkumbo tu kofi kofi
Mama wadudu tunampenda😅
Muheshimiwa please tofautisha kipaji na bangi😂😂😂
bonga nao baba hawana baya
Hao wadudu ni usalama wa taifa xaxa jichanganyen😎😎
Arusha eeeee!! Mmhh
Hapo Kenyonyo haelewi Wala nini😂😂
😂😂😂😂halafu na wao wamejikuta wanakuwa makonda kweli😂😂😂😂
Mungu azidi kukupa uzima pol makonda
Vip blothe ngosha wanbie ukweli
Umekubali
Arusha nd maisha
Hikii kikundi baada ya miezi sita,kitakuwa kimepotea kabisaaa 😎
Daaa? Kweli dunia imeenda mbali kutoka binadamu hdi wadudu
Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi
😂😂😂😂 kenyonyo
Kwa stahili hii mama Samia anaweza ASIENDE😂😂😂😂
Akili ya kazi ,,
Kenyonyo haelewiiii😅😅
Ni utalii tosha
Acha kuwaset bana wanawezaje kuwa ata mmoja kati ya hao ulowataja. Ata km lengo ni inspiration umeenda mbali sana.
Hawana tofauti na hao aliowataja najua hata wewe unaweza
Uyoooo mfupi kama kichupaa cha piko ndo anahitaj vibokooo zaid😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂 kichupa cha piko tena 😂😂😂apigwe kakosea nini jamani
Kichupa cha piko 😅😅
Yani kinyunyu mpaka afundishwe kuongea 😂😂
Mhhh Makonda huko Arusha kuna mambo ya ajabu,itabidi utumie nguvu kubwa,watu wanaitwa wadudu mmhh kaxi ipo.
😂😂😂nacheka kama mazuri huyo mdudu mdogo kabisa anaitwa nani na anavyo skiliza kwa makini
Kenyonyo
Wadudu😂
Saana kiongozi
Kwel hawa n wadudu
Safiiiiii
Wamesikia kula na kunywa wakapiga makofi,
Wadudu eti nao wapo serious😂
Arusha nzima ishakua ccm😅
Gonga like kwa mwanangu mdudu yule wa kijani dwarf
Eti tuje na akili timamu😂😂😂
😂😂😂 kumbe wanazichaga home
Wadudu wanabalaa😂😂😂😂😂
Mwanzo mzuri... baada ya hapo mkung'uto
Mkuu umefanya vizuri kuwa karibu na watu wako ukienda hivyo busara zako zitabadili AR
Ata huyo mfupi anaweza kuwa makonda