"WADUDU TAFUTENI HELA" MAKONDA AKUTANA NA WADUDU AWAPA MBINU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024

Комментарии • 280

  • @user-zn8sy8nc3h
    @user-zn8sy8nc3h Месяц назад +47

    KIONGOX BORA NI YULE ANAEJENGA URAFIK NA WATU WAKE TATIZO BAADHI YA VIONGOZ HAWAWEZ KUISH NA HAWA KWA SABABU WANATUMIA NGUVU❤

    • @pendomushi6351
      @pendomushi6351 Месяц назад +3

      Sio nguvu tuu na kujipa ukubwa wanatumia cheo kunyanyasa watu

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 Месяц назад

      ​@@pendomushi6351Manka umepiga kwenye mshono Swahiba

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634 Месяц назад +24

    Big up mkuu wa mkoa Makonda, you nailed it the way it's supposed to be, Kazi iendelee!

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 Месяц назад +30

    Congratulation RC Paul Christian Makonda 👏👏👏Kazi Iendelee 🇹🇿

  • @ibrahimsadick6137
    @ibrahimsadick6137 Месяц назад +20

    R.c Makonda big up
    Kiongozi wa kwanza kuwapa thamani watu wanaoonekana wahunu

  • @jeraldjensen6504
    @jeraldjensen6504 Месяц назад +23

    Du!!!! Makonda is a leader, MUNGU akutunze Paul Christian

  • @gracemushi3668
    @gracemushi3668 Месяц назад +29

    Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 Месяц назад +2

      Ni kweli kabisa ulichosema.na hatuwezi kujua inawezekana wakabadilika kabisa.

  • @anorderick7162
    @anorderick7162 Месяц назад +6

    Big up ...Makonda uko vizuri ..psychology yako iko vizuri...!!

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 Месяц назад +10

    Makonda ni Future ya vijana kiukweli Mimi makonda namuelewa sana anasimamia nafasi yake kwa umakini Sana

  • @charlesbululu3858
    @charlesbululu3858 Месяц назад +5

    Wadudu watafute mlango uliofungwa kisha makonda aufungue waingie👏👏

  • @stephanopaul83
    @stephanopaul83 Месяц назад +6

    Inapendeza sana. Mungu ni mwema...hongera RC makonda

  • @Kalongotv
    @Kalongotv Месяц назад +8

    Congratulations to MILLARD AYO kwa kufikikisha subscribes ML 5 hakika mnafanya kazi njema

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Месяц назад +3

    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi uje kuwa rais wa hili taifa bro

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 Месяц назад +24

    Mimi kwakweli namkubali sana Makonda huyu ni kiongozi ongea na kila mtu

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Месяц назад +8

    Asante makonda, saidia pia kupambana dhidi ya madawa ya kulevya Arusha

  • @starjay3052
    @starjay3052 Месяц назад +5

    dah big up sana makonda nakupendaga sana 💪✌️✈️🇹🇿🌍✅

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +15

    Makonda hua nakuelewa sana bro Mungu ikimpendeza kuishika hii nchi itakaa sawa naamini mambo murua ni mtazamo wangu tu

  • @nellyjuju5325
    @nellyjuju5325 Месяц назад +18

    Makonda anaakili sana anajua kucheza na akili za watu hongera zake

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Месяц назад +2

      Hahaha saana ameongea nao kwa upole

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p Месяц назад

      Namakofi juuu wamepigaa😅😅😅😅😅😅😅

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena Месяц назад +3

    Mheshimiwa makonda Mungu akucmamia ktk kazi ya mikono yako❤

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Месяц назад +11

    Safi makonda wape elimu ❤❤❤❤

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Месяц назад +7

    Good leader🎉🎉🎉🎉

  • @CreatureIey-eh8nh
    @CreatureIey-eh8nh Месяц назад +18

    Arusha is our world

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Месяц назад +1

    Mh.Makonda kazi unayo!! Mungu azidi kukupa hekima ujue jinsi ya kuchukuliana na hao watu

  • @AndrewYona-vo4zv
    @AndrewYona-vo4zv Месяц назад +11

    Hawa vijana waelekezwe namna ya kutofautisha kati ya KIPAJI na BANGI kinyume na hapo wataendelea kuonekana kituko kila siku ...

  • @user-vw4fn5pj3n
    @user-vw4fn5pj3n Месяц назад +5

    Safi Sana makonda yaan ww ni rais ujae

  • @memesnamatukiomuhimu8453
    @memesnamatukiomuhimu8453 Месяц назад +3

    Ukiachana na mambo mengne huyu jamaa ana akili nyingi sanaaaa

  • @raphaelhombo5060
    @raphaelhombo5060 Месяц назад +1

    Naona Anawapanga wadudu😂😂😂😂😂Makonda mjanja sana

  • @juliananasari2526
    @juliananasari2526 Месяц назад +4

    Hongera sana Mh makonda

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y Месяц назад +3

    Mwenyezi mungu akupe maisha malefu kaka makonda

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard Месяц назад +2

    kadudu ako kambilikimo nakaenjoy sana😂

  • @martineopapa7383
    @martineopapa7383 Месяц назад +9

    Wakonda usikize kwanza huo wimbo kabla mama hajausikia maana hao siyo watu,ohhooo!!!

  • @user-cf3fe3cu8v
    @user-cf3fe3cu8v Месяц назад +1

    Makonda nimekukubali sana kwa ushauri wako kwa vijana Barikiwa sana

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days Месяц назад +6

    Mdudu mdogo yule😂

  • @joycenaipanoi3157
    @joycenaipanoi3157 Месяц назад +12

    Umenikumbusha huyu jamaa mrefu zaidi hapo😂😂😂😂😂

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Месяц назад +7

    Makonda 🌹🌹🌹kakaa na na wadudu bila kuwanyunyizia sumu siyo kazi mdogo 😂

  • @olivertadeo6991
    @olivertadeo6991 Месяц назад +2

    😅😅 si vibaka ni wao Jehovah akukupa uongoz atakupa na hekima ya namna yake akipenda ulete matekeo kwenye mwanga wake

  • @yasinkazimil9470
    @yasinkazimil9470 Месяц назад +20

    🤣🤣🤣🤣🤣 wadudu leo wametulia

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Месяц назад +1

    Makonda mungu Azidi kukujaza hekima

  • @user-xe2pu6un3z
    @user-xe2pu6un3z Месяц назад +1

    Asa kenyonyo anataka kuwa nani😂😂😂

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Месяц назад +6

    Huyo mdudu mrefu kuliko wote ndo ananichekesha zaidi😂

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 Месяц назад

    Daaa kiongozi Mzuri

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i Месяц назад +1

    Kuwauyaone yaurimwengu hayoo

  • @josephmakange3541
    @josephmakange3541 Месяц назад +25

    Wadudu wameshakuwa CCM Tayar😂😂😂😂 CHADEMA Potelea ukooooo

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 Месяц назад

    That's what we call leadership 👏 🎉

  • @michaelshirima5638
    @michaelshirima5638 Месяц назад

    Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..

  • @apostleagnes5769
    @apostleagnes5769 Месяц назад +15

    Kwa nijuavyo mimi hakuna watu wema kama hawa kwa Arusha ila tu usiwatibue

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Месяц назад +1

      Kabisa,watu hawajui tu,hawa vijana huwa hawana hat shida,mpaka uwakorofishe

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 Месяц назад

      Wema wao ni upi

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Месяц назад +1

      @@jumahamadomar9124 Hawa wapo na busy zao Wala hawadhulu mtu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Месяц назад +3

      Kweli kabisa mm nilipotea njia wakanielekeza vizur bila shda

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Месяц назад

      ​@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Месяц назад

    Kenyonyo chali yangu ❤❤😂😂😂

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba na wadudu wake mwenyewe hana baya MUNGU akulinde Mwamba 🙏🙏🙏🙏

  • @KiondoSingo
    @KiondoSingo 19 дней назад

    Wadudu wameumbwa kwa mfano wa Mungu

  • @isacktemba551
    @isacktemba551 Месяц назад +6

    Makonda bana km anakuja ivii km anakataaa

    • @user-tq5di6mv9c
      @user-tq5di6mv9c Месяц назад

      😂😂😂halafu ww

    • @alunaali5105
      @alunaali5105 Месяц назад +1

      Aloooooooooo você me matou não sou de Tz mas quero tanto visitar Arusha

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Месяц назад

    Hahahahaha aloooooh huyu kaijua chuga Sasa

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Месяц назад +3

    Kenyonyo nakuona😂😂😂

  • @EgbertNkaniye
    @EgbertNkaniye Месяц назад

    very creative RC

  • @user-di6jz9bm4v
    @user-di6jz9bm4v Месяц назад

    Sasa hayo maviatu Mungu wangu

  • @husseinihassani3541
    @husseinihassani3541 29 дней назад

    😂😂😂😂Wahesabu tu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Месяц назад

    Hahaha kaazi kweli 😅😅

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад

    Wanavyoitika wanajuw watapewa ela😂😂

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 Месяц назад +2

    Ka Kenyonyo 😂😂😂

  • @SaudaJuma-pq9so
    @SaudaJuma-pq9so 24 дня назад

    P😊😊 0:29 😊 0:29
    John
    L

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c Месяц назад +4

    Ana maneno ya hekima

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Месяц назад

    Kenyonyoo nowma sana😂😂😂

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Месяц назад +3

    Kwa kenyonyo akaanze shule sasa

  • @evanswinston5102
    @evanswinston5102 Месяц назад +1

    Sura za system kabisa izo na mafala wawili watatu

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Месяц назад

    😂😂eti wadudu 😂halafu huyo mdudu mmoja yeye anafata mkumbo tu kofi kofi

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku Месяц назад

    Mama wadudu tunampenda😅

  • @GabrielSkyMtanzania
    @GabrielSkyMtanzania Месяц назад

    Muheshimiwa please tofautisha kipaji na bangi😂😂😂

  • @mobimbalongida
    @mobimbalongida Месяц назад +1

    bonga nao baba hawana baya

  • @osamanyoni
    @osamanyoni Месяц назад

    Hao wadudu ni usalama wa taifa xaxa jichanganyen😎😎

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q Месяц назад

    Arusha eeeee!! Mmhh

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Месяц назад

    Hapo Kenyonyo haelewi Wala nini😂😂

  • @AlodiaKagemulo
    @AlodiaKagemulo Месяц назад

    😂😂😂😂halafu na wao wamejikuta wanakuwa makonda kweli😂😂😂😂

  • @user-oh6wc8xr5w
    @user-oh6wc8xr5w Месяц назад

    Mungu azidi kukupa uzima pol makonda

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf Месяц назад

    Vip blothe ngosha wanbie ukweli

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 Месяц назад

    Umekubali

  • @CreatureIey-eh8nh
    @CreatureIey-eh8nh Месяц назад +2

    Arusha nd maisha

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Месяц назад +1

    Hikii kikundi baada ya miezi sita,kitakuwa kimepotea kabisaaa 😎

  • @elifurahambise3957
    @elifurahambise3957 Месяц назад

    Daaa? Kweli dunia imeenda mbali kutoka binadamu hdi wadudu

  • @user-md3xx7rd9z
    @user-md3xx7rd9z Месяц назад

    Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi

  • @taufikisalumu7639
    @taufikisalumu7639 Месяц назад +1

    😂😂😂😂 kenyonyo

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Месяц назад

    Kwa stahili hii mama Samia anaweza ASIENDE😂😂😂😂

  • @FREDCHILUMBA-hf5dm
    @FREDCHILUMBA-hf5dm Месяц назад

    Akili ya kazi ,,

  • @Pro_editings2024
    @Pro_editings2024 Месяц назад

    Kenyonyo haelewiiii😅😅

  • @elifurahambise3957
    @elifurahambise3957 Месяц назад

    Ni utalii tosha

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Месяц назад

    Acha kuwaset bana wanawezaje kuwa ata mmoja kati ya hao ulowataja. Ata km lengo ni inspiration umeenda mbali sana.

    • @upendokiwanga9538
      @upendokiwanga9538 Месяц назад

      Hawana tofauti na hao aliowataja najua hata wewe unaweza

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Месяц назад +1

    Uyoooo mfupi kama kichupaa cha piko ndo anahitaj vibokooo zaid😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Месяц назад

      😂😂😂😂 kichupa cha piko tena 😂😂😂apigwe kakosea nini jamani

    • @zuwenasaleh9613
      @zuwenasaleh9613 Месяц назад

      Kichupa cha piko 😅😅

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад

    Yani kinyunyu mpaka afundishwe kuongea 😂😂

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 17 дней назад

    Mhhh Makonda huko Arusha kuna mambo ya ajabu,itabidi utumie nguvu kubwa,watu wanaitwa wadudu mmhh kaxi ipo.

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Месяц назад +1

    😂😂😂nacheka kama mazuri huyo mdudu mdogo kabisa anaitwa nani na anavyo skiliza kwa makini

  • @Laizer3
    @Laizer3 Месяц назад

    Wadudu😂

  • @user-rs1qk2hn8r
    @user-rs1qk2hn8r Месяц назад +1

    Saana kiongozi

  • @sadafrancis8309
    @sadafrancis8309 Месяц назад

    Kwel hawa n wadudu

  • @mwanaidimavumba1186
    @mwanaidimavumba1186 Месяц назад +1

    Safiiiiii

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Месяц назад +1

    Wamesikia kula na kunywa wakapiga makofi,

  • @palistrofruly
    @palistrofruly Месяц назад

    Wadudu eti nao wapo serious😂

  • @ngwaleseif8586
    @ngwaleseif8586 Месяц назад +1

    Arusha nzima ishakua ccm😅

  • @MashakaZacharia-if9pm
    @MashakaZacharia-if9pm Месяц назад +1

    Gonga like kwa mwanangu mdudu yule wa kijani dwarf

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Месяц назад +1

    Eti tuje na akili timamu😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Месяц назад

      😂😂😂 kumbe wanazichaga home

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Месяц назад

    Wadudu wanabalaa😂😂😂😂😂

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Месяц назад

    Mwanzo mzuri... baada ya hapo mkung'uto

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 Месяц назад +1

    Mkuu umefanya vizuri kuwa karibu na watu wako ukienda hivyo busara zako zitabadili AR

  • @BillyNahum
    @BillyNahum Месяц назад

    Ata huyo mfupi anaweza kuwa makonda