Huyo mama mybe alikua ayuko sw stress msamehe tu kumbuka wema wake ila usijal ukijipata mtaji fanya biashara binadamu atupendi kuombwa mwenyezimungu tu ndio ukimuomba anafurah wanadamu wakiombwa kila saa uchoka pole kwa mitihan subra huvuta kher @@FarhatMaumba
Pole sana Dada angu mungu atakupa wepesi
Pole dada kuwa na Subra usikate tamaa..yote ni mipango ya Allah..bada ya dhiki faraja
Pole sana dada mungu akusaidie na akuoe subra kwa mitihan inayokusibu😢😢
Pole dada mungu atakusaidia
Hao wanaosema unajidharirisha hawajapata shida kwani vyombo vya habari vipo kudharirisha au kutoa habari?.
Pole dada mung akusaidie
Pole dada
Madaktari wezi
Pole Sana dada
Ahsant sana
@@FarhatMaumbaPole sana Habibty 😢 MWENYEZI mungu Akupe Subra na nguvu.. Allah Yupo Pamoja na mwenye Kusubiri
@@aminaramdan3283 allahumma aamiin 🙏 ahsant sana
Yaan nimeumia mno@@FarhatMaumba
Huyo mama mybe alikua ayuko sw stress msamehe tu kumbuka wema wake ila usijal ukijipata mtaji fanya biashara binadamu atupendi kuombwa mwenyezimungu tu ndio ukimuomba anafurah wanadamu wakiombwa kila saa uchoka pole kwa mitihan subra huvuta kher @@FarhatMaumba