🔴
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- 🔴#Live: RAIS SAMIA AWACHANA WASANII WENYE BIFU KWENYE UZINDUZI WA ALBUM ya HARMONIZE - ANAFUNGUKA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Vazi la Rais Dr. Samia limempendeza, naamini tutamwona tena akiwa amependeza hivi tena na tena kwa aina ya vazi hili Inshallah!
Alafu HARMONIZE kakazia mziki sana mpaka The Big mother of Nation drop some likes here
Sasa album ni jina la Mama Samiya
Mama leo katokelezea tamu Sana Sana duhh Leo sio mwendo wasuti. Leo Raha Raha Sana
Asante mama kwa kuwaasa waache maugomnvi
Mama Samia umependeza sanaaaaa unazungumza vizuri tena kwa pozi hadi raha mama wa Zanzibar unaitangaza Zanzibar kwa vazi ulilovaa hongera sanaaaaaaaaaaa
Tulia wewe mbwiga
Mashaallah hukukosea Hilo ni vazi la kinzanzibar hapana chezeaaaa
Harmonize you have great lyric youngman uko juu bro
Harpminize amepatia much respect to him
ahsante mama
Jambo Zur sana
❤❤❤❤❤❤❤❤
my country tz
Hamo anataka media kutoka kwa mama
Mama binafsi nimependa Sana Subaru wewe no mama was watu wote na wa kila Aina mama wewe ni mfano was kuigwa
Nihatari sana out nyingine ipo kwa wakulima huku
😅😂😂
Konde boy mjeshi Ndio msani wa kwanza kumleta mama Samia kwenye tukio la wasani mkumbuke😂😂
Hao mamenager j3shi wabadilishe hawakufai kila ukifanya sow sound inashida au kunamtu.huongwa
Ni aibu hiyo
Bado aende kwa vigoma vya kizaramo
Mkiwa na kiongozi ambaye anataka kuwaongoza watu kijanja kijanja namna hii ni hatari.kilikuwepo chuma very serios
Weee zombie haujui😁😁😁
Kwa hiyo kama yeye starehe yake kunywa wanzuki wote tuwe hivyo, Kuna muda wa kucheka muda wote gwaride
Unaenda kufanya fujo kwenye gym ya wenyewe kumbe ulikuwa unatengeneza kicky.. watu wanaalili zao
Yaw yaw
Hana kiongoz apa
Kafilishe wewe pumba
Waonaje ukawa wewe rais
Ukiona hivyo ujue wewe zombi