Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Nimeona kipaji kwake huyu mchungaji amekariri mafungu mengi sana nilikuwa namfatisha kwenye bible yuko vizuri sana aiseee ,,, Mungu akubaliki pastor Ananja
I have been loving this pastor and his teachings ever since i stumbled on one of his many podcasts, a gifted pastor in reciting scriptures without looking at the bible, every thing he says is anchored on the biblical verse, a rare thing to find in these last days,most men of God preach without proping up their preaching with bibiblical verses you would think they are reciting their own story.
Educating, inspiring, invigorating, reviving, correcting, reminding, memory challenging, messianic, socially cross cutting. May our Lord give this pastor more days and strength to educate and train, mould and prepare the next generation of teachers of the word of God holding high the banner of Jesus Christ our Lord and Saviour.
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
baba mungu akuweke na akupe afyasana, unafanya kazi ambayo akuna anaeweza kufanya vyote hilo kwapamoja. baba, mimi ni mwaandishi wa habari na mtangazaji wa radio kili fm moshi mkoani kilimanjaro, baba hukupia kunazo changamoto kubwa mkuu.
Kama unampenda na kumkubali huyu mchungaji Kwa huduma yake gonga like kisha SEMA neno kwake
Safi SANA 😊
Hata mimi na muelewa sana huyu kiongozi,
Mungu akupe Maisha marefu
@oda😂😂😂y😂😂😂nmmbaga9806
Yuko poa sana
mtumishi wa mungu..umefariji sana moyo wangu.ubarikiwe
Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Mchungaji uko vzr, unatuondolea stress baba Mungu akupe maisha marefu yenye furaha na amani
Noma sana,,Mzee Biblia kaiweka kichwani yote..
Asante mchungaji 💯 God bless you mtumishi I'M from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️🇰🇪 ✝️✝️✝️✝️ amen amen amen amen
God bless u pastor, I'm samwel from kenya
Mungu akubariki sana Mchungaji, nimebarkiwa sana na mahubiri yako. Karibu sana Usharika wa Mwika Moshi.
Mimi nampenda sana huyu mchungaji
Pamoja nakua mm ni muislam
Hongera mchungaji
Baba Mungu aendelee kukubariki mafundisho yako yanauchoma Moyo wangu na yanaubadili sana
Namkubali sana askofu
Nabarikiwa na maubiri yako
My Favorite Pastor 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🔥🔥🔥👍🏾👍🏾
Whoever is reading this, I pray for you that God visits your home today with Healings, blessings, and Miracles. Amen💞
Amina
Ameeeeeeen❤❤
❤@@Gladness682
Ameeeeen
Mimi ni munyarwanda,lakini nakupenda sanaaaaaaaaaaaaaa mungu azidi kukubariki
asante sanaaa
Namekusikiza for the first time but you have made me feel blessed and I have just loved you. Church is place of Joy
thank you glory to god piga subsribe uweze kunifutilia mtu wa Mungu
Nipo Kenya, you a ablessing to me and my family, God bless pst Richii
Mahubiri sahihi kwa wakati sahihi ... Hii ndio vijana wanataka kuskia na watu woote wa dunia hiii... Barikiwa Baba hananja nakupenda
Mahubili 0:00
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Barikiwa sana Mchungaji. Mungu atukuzwe kwa karama aliyokupa ya kuielewa biblia na kuhubiri.
Mungu aendelee kukubariki na kukutumia kwa kazi yake takatifu. Unalijua neno. Ubarikiwe sana Baba
Nimeona kipaji kwake huyu mchungaji amekariri mafungu mengi sana nilikuwa namfatisha kwenye bible yuko vizuri sana aiseee ,,, Mungu akubaliki pastor Ananja
Asante sante mchungaji ipovizuri mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani Emeen
Uko vizuri Mchungaji,Mungu akubariki
Mungu akupe maisha marefu mchungaji wetu tunskupenda sana
Bwana yesu Asifiwe.Baba umenifariji Sana.Naomba no zako za cm mchungaji.
ubarikiwe kwa mafundisho mazuri,usikate tamaa songa mbele
I have been loving this pastor and his teachings ever since i stumbled on one of his many podcasts, a gifted pastor in reciting scriptures without looking at the bible, every thing he says is anchored on the biblical verse, a rare thing to find in these last days,most men of God preach without proping up their preaching with bibiblical verses you would think they are reciting their own story.
Mtumishi wa bwana kazi yako ni njema.mungu akutunze.karibu Nachingwea lindi utusaidie vijana wetu kimaadili.
Mungu akubariki sana mtumishi..nabarikiwaga sana namahubiri yako
Educating, inspiring, invigorating, reviving, correcting, reminding, memory challenging, messianic, socially cross cutting.
May our Lord give this pastor more days and strength to educate and train, mould and prepare the next generation of teachers of the word of God holding high the banner of Jesus Christ our Lord and Saviour.
Hello yule mh ni Ndg yako iliniuma sana kesi yake mungu amuwekee wepesi
Barikiwa mpendwa,ponya kizazi chetu .
Mungu aendelee kukutunza MCHUNGAJ!! Kumbe Boko haram na Elshababy ni kosa la Ibrahim? Mungu atusaidie sana
@@deograciakashaigili5973 in
Naomba no zako
Jamani, I have really been blessed... Enjoyed it..... Stress kwisha!
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
for the first time in a while I have watched a full sermon nimependa sana mafunzo sitachoka mpaka Yesu afanye jambo. 🇰🇪
Mchungaji anaujumbe. Hayo do mahubiri na anaonyesha kuinua Biblia vilivyo sio kwa kukariri ila kuitumia katika maisha halisi ya mtu. Abarikiwe sana.
Mungu akubaliki muchungaji
Huyu mchungaji natamani nikutane nae siku nimempenda sana
Amen
@@angeluskapinga2255😊
Amina baba mungu akubariki
asanteh kwa neno lako 🙏🙏🙏
Ila Kuna watumishi wa Mungu waliotumwa na Mungu barikiwa sana pastor
Da! Mchungaji we Ni mwisho Asante nimebarikiwa Sana.
Glory be to God!! Mungu azidi kukupa nguvu na hekima ya mafundisho Kama haya mchungaji. I'm so much blessed
emen glory to god
Uko vizuri mtumishi Mungu bariki kazi yako
Uyu Pastor nampenda mpaka basi ❤Mungu akubariki sana Baba
Barikiwa na nusu sauti ya Mungu ndani Yako.
Barikiwa mno❤
Mch. Rich Jack Hananja. Salute to You Paster. Live Blessed. You are the transformer.
Pastor not Paster.
Asante kwa mahubiri mazuri Mungu alibariki baba
Ubarikiwe baba nakukubali kweli
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
I feel blessed with the preaching May The good lord bless you pastor
Mtumishi nakukubali sana mungu akubariki kwa maisha yako yote uko vzr
Barikiwa sanaa baba mungu azindi kukupa afya njema Kila sku.
Ubarikiwe sana Mungu akutunze,wewe ni Genius !
Sana
Nakupenda sana baba, Mungu akupe miaka elf ufundishe vizazi na vizazi
Ubarikiwe na akuongoze safari yako ya kutangaza injili daima ni kipaji umekilimiwa
Amen baba mungu akupe maisha marefi😢😢😢
Mungu akupe maisha malef mchungaji hananja
mooyo unatweta. kujutana nawe pr. mtatiwa nguvu akiisha kukujiliahuyo roho mtakatifu. pr roho amekujilia Asante Munguu
Amen mchungaji nakufuatiliasana mb zangu haziishibure napatajambokwako
Mungu akubariki
The kind of preaching, waaa so knowledgeable, inspiring. Bible school did something here.
Karibu Nairobi city Kenya mchungaji...glory be to God 🙏
Be blessed pastor, unahubiri ukweli kabisa
Ameni asante Baba Mchungaji❤❤
Amen ubalikiwe mtumishi wa mungu
Hongera kwa ukweli na sema kweli ili tupone una mahubiri mazuri sana mchungaji Richard hananja
Asante.pastor
I am soo much blessed by this preaching......
ÀÀ
Mungu akubariki Sn Mchungaji Hananja
Mchungaji uko vzr mungu akuweke baba
baba mungu akuweke na akupe afyasana, unafanya kazi ambayo akuna anaeweza kufanya vyote hilo kwapamoja. baba, mimi ni mwaandishi wa habari na mtangazaji wa radio kili fm moshi mkoani kilimanjaro, baba hukupia kunazo changamoto kubwa mkuu.
Nabarikiws sana watu kama hawa hakika hawata onja mauti pastor god bless you
nimekubar pastor sela
That is true spich. God bless you,Paster Hananja
Uko vizur mungu akubariki
Asante mchungaji una maneno ya busara
Mungu akubaliki sana mchungaji Hananja unafundisha,unachekesha na unahubiri respect kwako
mchungaji unawezaaa big up 🙏🙏🙏
🎉 this preaching is so powerful 🙌
Am blessed 😊😊😊😊
Amina Mtumishi nabarikiwa na mahubiri, Mwenyeezi Mungu akutangulie katika safari Yako ya uchumgaji.
Amen
Barikiwa mchungaji hananja, mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
God bless u man of god am so bleess
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji
Amen amen
Anafaa huyu amafariji sana Mungu azidi kumbariki. Amina.
Hananja baba uko vizuri mahubiri yako yako sawa na yanatia moyo sana.hii ndiyo faraja ya moyo...
Haya Sasa ndiyo mahubiri,hogera sana Mchungaji Hanaja na Mungu akubariki pamoja na familia yako
Mungu akupe miaka mingij🙏
Unahubiri km utani lkn
Usemayo ni kweliiii
Nakuelewa sana
I love you from Iringa kwa Dr Rooooose😄😄😄🥰
Uso unachoka kwa machozi😢😢
Amina Baba...Mungu akulinde,akutunze na azidi kukufanya njia...naiona leo na kesho kupitia wewe.
Amina Barikiwa
Amen
Mungu akubariki mchumgaj tunaelimoka Sana Mimi emmanueli kutoka mondulijuu
Pastor hanaaaaanjaaaa MUNU akubariki kwakweli tunafurahi kwa maneno yakoooo
Mungu akubariki mtumishi numebarikiwa mno na maneno
NIMEFARIJIKA SANA MCHUNGAJI MUNGU ALIBARIKI NENO LAKO LISAMBAE DUNIANI KOTE , AMEN
Ubarikiwe sana mchungaji
Ameni mchungaji ba
MUNGU akubariki baba.
Uko vizuri mchungaji mstaafu
Mchungaji mungu akujalie maisha marefu
Watching from Kenya in 2024 more blessings in your life Mchungaji
asante man of god
Amen mchungaji nimebarikiwa San na neno lako mungu azid kukuweka dunian ili uzid kuwafundisha watu kwl ya Mungu
Duh sipati picha enzi izo
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa huduma zako
Noma sana
Pamoja sana mchungaji umetisha
Nakupenda sana pastor Mimi mkenya 🇰🇪
Amen mtumishi ubarikiwe barikiwa na mafundisho yako
Amazing ❤❤
Best pastor in the world
Barikiwa sana ekima yako yatoa nuru
Wewe no baba mlenz mungu akupe yalio mengi
Asante mtumishi wa kweli wa mungu..
Amen mtumishi Barikiwa sana
Mungu akubaliki muchungaji❤❤❤
atleast tumepata mchungaji wa mtaa... Bravo kaka
I like this pastor