Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
Educating, inspiring, invigorating, reviving, correcting, reminding, memory challenging, messianic, socially cross cutting. May our Lord give this pastor more days and strength to educate and train, mould and prepare the next generation of teachers of the word of God holding high the banner of Jesus Christ our Lord and Saviour.
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
Hakika uinuliwe mtumishi Mungu akubarika sana japo sijatimiza ndoto zangu za elimu lakini natiwa moyo namafundisho yako yskua nisikate tamaa IPO Siku ntapata kuendelea namasomo yangu niombee nifanikiwe kupata ada ya chuo miaka mitatu Ili nikasome namim mchungaj
baba mungu akuweke na akupe afyasana, unafanya kazi ambayo akuna anaeweza kufanya vyote hilo kwapamoja. baba, mimi ni mwaandishi wa habari na mtangazaji wa radio kili fm moshi mkoani kilimanjaro, baba hukupia kunazo changamoto kubwa mkuu.
I have been loving this pastor and his teachings ever since i stumbled on one of his many podcasts, a gifted pastor in reciting scriptures without looking at the bible, every thing he says is anchored on the biblical verse, a rare thing to find in these last days,most men of God preach without proping up their preaching with bibiblical verses you would think they are reciting their own story.
Mchungaji uko vzr, unatuondolea stress baba Mungu akupe maisha marefu yenye furaha na amani
Namekusikiza for the first time but you have made me feel blessed and I have just loved you. Church is place of Joy
Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Asante mchungaji 💯 God bless you mtumishi I'M from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️🇰🇪 ✝️✝️✝️✝️ amen amen amen amen
God bless u pastor, I'm samwel from kenya
Noma sana,,Mzee Biblia kaiweka kichwani yote..
Mungu akubariki sana Mchungaji, nimebarkiwa sana na mahubiri yako. Karibu sana Usharika wa Mwika Moshi.
Barikiwa sana Mchungaji. Mungu atukuzwe kwa karama aliyokupa ya kuielewa biblia na kuhubiri.
My Favorite Pastor 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🔥🔥🔥👍🏾👍🏾
Mungu akupe maisha marefu mchungaji wetu tunskupenda sana
Whoever is reading this, I pray for you that God visits your home today with Healings, blessings, and Miracles. Amen💞
Amina
Ameeeeeeen❤❤
Bongo ukifanastress umependa mch barikiwa❤
Glory be to God!! Mungu azidi kukupa nguvu na hekima ya mafundisho Kama haya mchungaji. I'm so much blessed
mtumishi wa mungu..umefariji sana moyo wangu.ubarikiwe
for the first time in a while I have watched a full sermon nimependa sana mafunzo sitachoka mpaka Yesu afanye jambo. 🇰🇪
Mchungaji anaujumbe. Hayo do mahubiri na anaonyesha kuinua Biblia vilivyo sio kwa kukariri ila kuitumia katika maisha halisi ya mtu. Abarikiwe sana.
Mungu akubaliki muchungaji
Huyu mchungaji natamani nikutane nae siku nimempenda sana
Amen
@@angeluskapinga2255😊
Mahubiri sahihi kwa wakati sahihi ... Hii ndio vijana wanataka kuskia na watu woote wa dunia hiii... Barikiwa Baba hananja nakupenda
Mahubili 0:00
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Mungu aendelee kukubariki na kukutumia kwa kazi yake takatifu. Unalijua neno. Ubarikiwe sana Baba
Baba Mungu aendelee kukubariki mafundisho yako yanauchoma Moyo wangu na yanaubadili sana
Namkubali sana askofu
Nabarikiwa na maubiri yako
Mungu akubaliki sana mchungaji Hananja unafundisha,unachekesha na unahubiri respect kwako
😢God bless you
Asante sante mchungaji ipovizuri mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani Emeen
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
Ila Kuna watumishi wa Mungu waliotumwa na Mungu barikiwa sana pastor
Dah nimekuelewa mchungaji nice sana uko vizuri mno sadaka inaenda halali
Educating, inspiring, invigorating, reviving, correcting, reminding, memory challenging, messianic, socially cross cutting.
May our Lord give this pastor more days and strength to educate and train, mould and prepare the next generation of teachers of the word of God holding high the banner of Jesus Christ our Lord and Saviour.
Hello yule mh ni Ndg yako iliniuma sana kesi yake mungu amuwekee wepesi
Barikiwa mpendwa,ponya kizazi chetu .
Mungu aendelee kukutunza MCHUNGAJ!! Kumbe Boko haram na Elshababy ni kosa la Ibrahim? Mungu atusaidie sana
@@deograciakashaigili5973 in
Naomba no zako
Karibu Nairobi city Kenya mchungaji...glory be to God 🙏
Mungu akubariki sana mtumishi..nabarikiwaga sana namahubiri yako
Jamani, I have really been blessed... Enjoyed it..... Stress kwisha!
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
Uyu Pastor nampenda mpaka basi ❤Mungu akubariki sana Baba
I feel blessed with the preaching May The good lord bless you pastor
Ubarikiwe na akuongoze safari yako ya kutangaza injili daima ni kipaji umekilimiwa
Mimi nampenda sana huyu mchungaji
Pamoja nakua mm ni muislam
Hongera mchungaji
Nakuelewa sana
I love you from Iringa kwa Dr Rooooose😄😄😄🥰
Uso unachoka kwa machozi😢😢
Waubiri kama huyu hawapo Kenya 😂😂
Barikiwa na nusu sauti ya Mungu ndani Yako.
Barikiwa mno❤
Kama unampenda na kumkubali huyu mchungaji Kwa huduma yake gonga like kisha SEMA neno kwake
Safi SANA 😊
Hata mimi na muelewa sana huyu kiongozi,
Mungu akupe Maisha marefu
@oda😂😂😂y😂😂😂nmmbaga9806
Da! Mchungaji we Ni mwisho Asante nimebarikiwa Sana.
Pamoja sana mchungaji umetisha
That is true spich. God bless you,Paster Hananja
Mungu ampe miaka ya kutosha azidi kutuelimisha kumjuwa Munguuu
atleast tumepata mchungaji wa mtaa... Bravo kaka
The kind of preaching, waaa so knowledgeable, inspiring. Bible school did something here.
Anafaa huyu amafariji sana Mungu azidi kumbariki. Amina.
I am soo much blessed by this preaching......
ÀÀ
barikiwa sana mchungaji
Mh jamani mungu akupe maisha narefu mtumishi wa mun mungu
Hongera kwa ukweli na sema kweli ili tupone una mahubiri mazuri sana mchungaji Richard hananja
Ubarikiwe sana Mungu akutunze,wewe ni Genius !
Sana
Ameni asante Baba Mchungaji❤❤
Mch. Rich Jack Hananja. Salute to You Paster. Live Blessed. You are the transformer.
Pastor not Paster.
Nakupenda sana baba, Mungu akupe miaka elf ufundishe vizazi na vizazi
Uko vizuri mtumishi Mungu bariki kazi yako
Nimecheka kwenye daldala km chizi jmniii Baba Barikiwa sana
🤣🤣🤣
Homgera baba mungu akupe moyo huohuo wa kubeba matatizo ya watu
Huyu ni mtumishi halisi, Mungu amemuweka kusababisha Furaha ...furahini ktk Bwana siku zote tena NASEMA furahini..amewekwa kuondoka stress kwa watu
Ukweli huyu amesoma Maisha halisi ya watu, mtaani tumemchoka, ukija kanisani muhubiri anakusimanga umetoa sadaka ndogo, moyo unachaka zaidi.lakini huyu mchungaji ni FARAJA ya watu waliopondeka moyo
Barikiwa mno mtumishi
Nabarikiws sana watu kama hawa hakika hawata onja mauti pastor god bless you
Mungu akubariki mtumishi numebarikiwa mno na maneno
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji
Amen amen
Please mchuganji,I agree with your message, God bless you.
❤❤ baba unatufurahisha sana
Amen mtumishi ubarikiwe barikiwa na mafundisho yako
🎉 this preaching is so powerful 🙌
Am blessed 😊😊😊😊
Amen ubalikiwe mtumishi wa mungu
Mungu akubali sana
Hakika uinuliwe mtumishi Mungu akubarika sana japo sijatimiza ndoto zangu za elimu lakini natiwa moyo namafundisho yako yskua nisikate tamaa IPO Siku ntapata kuendelea namasomo yangu niombee nifanikiwe kupata ada ya chuo miaka mitatu Ili nikasome namim mchungaj
Mungu akusaidie, Ajibu Haja ya Moyo wako. Ameni.
Barikiwa sana ekima yako yatoa nuru
Amen baba mungu akupe maisha marefi😢😢😢
NIMEFARIJIKA SANA MCHUNGAJI MUNGU ALIBARIKI NENO LAKO LISAMBAE DUNIANI KOTE , AMEN
Ubarikiwe sana mchungaji
Ameni mchungaji ba
MUNGU akubariki baba.
baba mungu akuweke na akupe afyasana, unafanya kazi ambayo akuna anaeweza kufanya vyote hilo kwapamoja. baba, mimi ni mwaandishi wa habari na mtangazaji wa radio kili fm moshi mkoani kilimanjaro, baba hukupia kunazo changamoto kubwa mkuu.
Mungu akubariki Sn Mchungaji Hananja
God bless you baba mchungaji
Be blessed man of God
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa huduma zako
mooyo unatweta. kujutana nawe pr. mtatiwa nguvu akiisha kukujiliahuyo roho mtakatifu. pr roho amekujilia Asante Munguu
Ahsante mtumishi.
Amen mtumishi Barikiwa sana
God blesss you pastor🙏🙏
Be blessed🙏🙏
Amen mchungaji nakufuatiliasana mb zangu haziishibure napatajambokwako
Mungu akubariki
Love the way you incorporate the gospel and humour you❤ 😂😂 can't tire to listen to you
I have been loving this pastor and his teachings ever since i stumbled on one of his many podcasts, a gifted pastor in reciting scriptures without looking at the bible, every thing he says is anchored on the biblical verse, a rare thing to find in these last days,most men of God preach without proping up their preaching with bibiblical verses you would think they are reciting their own story.
Mungu akubariki sana
Hananja baba uko vizuri mahubiri yako yako sawa na yanatia moyo sana.hii ndiyo faraja ya moyo...
Haya Sasa ndiyo mahubiri,hogera sana Mchungaji Hanaja na Mungu akubariki pamoja na familia yako
Mungu akupe miaka mingij🙏
Unahubiri km utani lkn
Usemayo ni kweliiii
Bwana yesu Asifiwe.Baba umenifariji Sana.Naomba no zako za cm mchungaji.
Rev. Richee you are so humble , josephat Leonard jumbe
Mungu akubariki sana mtumishi wa munguu
Ur preaching mean a lot to my life😭🤲❤️
Barikiwa sanaa baba mungu azindi kukupa afya njema Kila sku.
Mchungaji unawafaa vijana sana
Waache walalee🎉 nmefurahiii
Ur the best of the best God bless you and your family so much
Real blessed be blessed pastor
Barikiwa Sana mchungaji
Ameen,,nmebarikiwa na mafundisho,,be blessed pastor 🙏🥰
Jescaas
Asante mtumishi wa kweli wa mungu..
Asante.pastor
🤣🤣🤣Mungu nisaidie nimecheka jmn
Sema nimefarijika sana
Amina mtumishi
Karibu Metrochurchwelove nakuru kenya
Barikiwa