PART2:JOSEPH KIJANA ALIEMTOA KAFARA MTOTO WAKE AKAPATA MILIONI 30/NAJUTIA MTOTO HUWA ANANITOKEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 36

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane Год назад +8

    Huwa najiulaza uislamu majini na waarabu wanacuhusiano gani😊😊

    • @barakanyunza
      @barakanyunza Год назад +1

      Jifunze kuandika basi

    • @barakanyunza
      @barakanyunza Год назад +1

      @@yohanahbyzehomba1352 wehu huo unielekeze nni?

    • @trillionthamani
      @trillionthamani Год назад +1

      Yeah majini ni viumbe wa Mungu wema na waovu kama tulivyo binadamu.kwani hapo unashindwa kuona km binadam ndo kacheza role kubwa kwenye huo uovu,yeye ndo kanuia kufanya shirki jini katumikishwa tu!

    • @anordgerase3372
      @anordgerase3372 Год назад

      @@barakanyunza 😁😁

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад +4

    Sheikh akapandisha majini??

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Год назад +1

    Pigo lako Davistar limenitisha kiaina fulani! Hilo sweta ulojifunika kichwani, kama watoa makafara. Au hapo ulipo pana hali gani ya hewa?

  • @AirethAire-nb8ym
    @AirethAire-nb8ym Год назад

    Naomba namba na simulizi yangu nzuri sana

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад +4

    Majini wanakwenda Makkah kuswàli?? Duu uwe na undugu na majini utoke salama???

  • @zephaniamaje5187
    @zephaniamaje5187 Год назад

    Naomba nisaidie namba yake joseph,,, tafadhali ninashida nae personal Mimi nipo Dodoma

  • @sanuramdegela9606
    @sanuramdegela9606 Год назад +3

    Duuhh hya maisha ni shidaa

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 Год назад +2

    Wende kwa kanisani LA walokole utubu waku ombeye

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Год назад +3

    Nina mashaka sana na din ya uislam

    • @msaysha5886
      @msaysha5886 Год назад

      Sawa kua naimani na dini yako basi

    • @richardjoseph3347
      @richardjoseph3347 Год назад +1

      Huna mashaka ila tu ni mvivu wa kusoma dini zote ukisoma vtambua vya dini ndio utajua kwn watu wengi wanasoma dini moja tu ile anayoo amin yy ila soma vtabu vya dini najua tm utajua vzur uwislamu na utajua vzur ukirusto

    • @ashuraabdulmaalik5319
      @ashuraabdulmaalik5319 Год назад

      Una mashaka ya nini soma vizuri Qur'an halafu utaielewa kama wanaikubaili, Huyo sio shehe ni mchawi, analitumia tu hilo jina kutafuta pesa, Muislamu safi anmuomba Allah peke yake pasi na kumshirikisha kitu chocolate duniani
      Na Huyo shehe akifa hivyo bila towba ni mototoni milele
      Au kwenye makanisa yanyewe yantokeaga mangapi tunayouaona

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +1

    Aibu kwa huyo baba wakambo na huyo mamako mbona badae wakukubali ona mateso uliopitia

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 Год назад +2

    Huyo si shehe. Alikuwa mshirikina. Mtowa kafara tuu. Shehe hapandiahi mashetani. Ni kivuli tu wanajifunika

  • @jumasaidmalengo2433
    @jumasaidmalengo2433 Год назад

    Davista umeuliza swali la kutuma pesa ukweni..ukajibiwa m1 uliwaza nn labda 😅😅
    Mana hukuendelea kuuliza

  • @carolkazi4211
    @carolkazi4211 Год назад +1

    Kwann yeye ndie aliye toa kafara halafu ame gawana pasu na jamaaa yake?

    • @benadethafrancis5223
      @benadethafrancis5223 Год назад

      Hapo ndiyo nilipoona ujinga. Kafara atoe yeye hela wagawane nusu kwa nusu

    • @godymynga3029
      @godymynga3029 Год назад

      Hapo umeuliza swali zuri davistar

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya2034 Год назад

    Bonge la stori ,Mr Fax hajawahi kufeli 🙌😅😅😅

  • @sabrinamwidadi8301
    @sabrinamwidadi8301 Год назад

    Duh jamani eti wanaenda Kusali mungu wangu kisha wanataka kutoa kafara

  • @williamdevis3955
    @williamdevis3955 Год назад

    Vip Ile nyumban bado unayo

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Год назад

    Waganga wangi ni waislam skawahi ona au kusikia mganga mkristo

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад

    Leo nimekua wa 3😢😢

  • @SaimonMatome-ry9xz
    @SaimonMatome-ry9xz Год назад

    Mambuzi

  • @ramadhanishabani2743
    @ramadhanishabani2743 Год назад

    Tunashukuru sana

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Год назад +1

    Tofautisheni baina ya mchawi,mganga na shehe ila pamoja na kashfa na kejeli zote dalili ya ukweli kujulikana zinaanza kuonekana.

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад +3

      Hakuna tofauti ya Mganga wala Mchawi wala anaetumia Majini kama Kinga au Ulinzi wote ni Washetani tu hakuna ushirika wowote na Mungu muumba Mbingu na Nchi labda miungu mingine kama Mungu Zumaridi.

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc Год назад +1

      @@charlesmapunda5905 kweli zote ni shirki muumini wa kweli hatumii majini wala shekhe wa kweli hatumii majini kama ndio kinga yake zaidi ya kumtegea mungu kwa sala na dua.oa wengine wanatumia tu jina la mungu kufanya ushirikina wao.

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Год назад

    🤣