Yeah majini ni viumbe wa Mungu wema na waovu kama tulivyo binadamu.kwani hapo unashindwa kuona km binadam ndo kacheza role kubwa kwenye huo uovu,yeye ndo kanuia kufanya shirki jini katumikishwa tu!
Huna mashaka ila tu ni mvivu wa kusoma dini zote ukisoma vtambua vya dini ndio utajua kwn watu wengi wanasoma dini moja tu ile anayoo amin yy ila soma vtabu vya dini najua tm utajua vzur uwislamu na utajua vzur ukirusto
Una mashaka ya nini soma vizuri Qur'an halafu utaielewa kama wanaikubaili, Huyo sio shehe ni mchawi, analitumia tu hilo jina kutafuta pesa, Muislamu safi anmuomba Allah peke yake pasi na kumshirikisha kitu chocolate duniani Na Huyo shehe akifa hivyo bila towba ni mototoni milele Au kwenye makanisa yanyewe yantokeaga mangapi tunayouaona
Hakuna tofauti ya Mganga wala Mchawi wala anaetumia Majini kama Kinga au Ulinzi wote ni Washetani tu hakuna ushirika wowote na Mungu muumba Mbingu na Nchi labda miungu mingine kama Mungu Zumaridi.
@@charlesmapunda5905 kweli zote ni shirki muumini wa kweli hatumii majini wala shekhe wa kweli hatumii majini kama ndio kinga yake zaidi ya kumtegea mungu kwa sala na dua.oa wengine wanatumia tu jina la mungu kufanya ushirikina wao.
Huwa najiulaza uislamu majini na waarabu wanacuhusiano gani😊😊
Jifunze kuandika basi
@@yohanahbyzehomba1352 wehu huo unielekeze nni?
Yeah majini ni viumbe wa Mungu wema na waovu kama tulivyo binadamu.kwani hapo unashindwa kuona km binadam ndo kacheza role kubwa kwenye huo uovu,yeye ndo kanuia kufanya shirki jini katumikishwa tu!
@@barakanyunza 😁😁
Sheikh akapandisha majini??
Pigo lako Davistar limenitisha kiaina fulani! Hilo sweta ulojifunika kichwani, kama watoa makafara. Au hapo ulipo pana hali gani ya hewa?
Naomba namba na simulizi yangu nzuri sana
Majini wanakwenda Makkah kuswàli?? Duu uwe na undugu na majini utoke salama???
Ni viumbe wa mungu na wanajua dini ya kweli
@@shuwehaharuna6309 hàya sawa
Naomba nisaidie namba yake joseph,,, tafadhali ninashida nae personal Mimi nipo Dodoma
Duuhh hya maisha ni shidaa
Wende kwa kanisani LA walokole utubu waku ombeye
Aende kwenye upofu na ushetani
Nina mashaka sana na din ya uislam
Sawa kua naimani na dini yako basi
Huna mashaka ila tu ni mvivu wa kusoma dini zote ukisoma vtambua vya dini ndio utajua kwn watu wengi wanasoma dini moja tu ile anayoo amin yy ila soma vtabu vya dini najua tm utajua vzur uwislamu na utajua vzur ukirusto
Una mashaka ya nini soma vizuri Qur'an halafu utaielewa kama wanaikubaili, Huyo sio shehe ni mchawi, analitumia tu hilo jina kutafuta pesa, Muislamu safi anmuomba Allah peke yake pasi na kumshirikisha kitu chocolate duniani
Na Huyo shehe akifa hivyo bila towba ni mototoni milele
Au kwenye makanisa yanyewe yantokeaga mangapi tunayouaona
Aibu kwa huyo baba wakambo na huyo mamako mbona badae wakukubali ona mateso uliopitia
Huyo si shehe. Alikuwa mshirikina. Mtowa kafara tuu. Shehe hapandiahi mashetani. Ni kivuli tu wanajifunika
Davista umeuliza swali la kutuma pesa ukweni..ukajibiwa m1 uliwaza nn labda 😅😅
Mana hukuendelea kuuliza
Kwann yeye ndie aliye toa kafara halafu ame gawana pasu na jamaaa yake?
Hapo ndiyo nilipoona ujinga. Kafara atoe yeye hela wagawane nusu kwa nusu
Hapo umeuliza swali zuri davistar
Bonge la stori ,Mr Fax hajawahi kufeli 🙌😅😅😅
Duh jamani eti wanaenda Kusali mungu wangu kisha wanataka kutoa kafara
Vip Ile nyumban bado unayo
Waganga wangi ni waislam skawahi ona au kusikia mganga mkristo
Leo nimekua wa 3😢😢
Mambuzi
Tunashukuru sana
Tofautisheni baina ya mchawi,mganga na shehe ila pamoja na kashfa na kejeli zote dalili ya ukweli kujulikana zinaanza kuonekana.
Hakuna tofauti ya Mganga wala Mchawi wala anaetumia Majini kama Kinga au Ulinzi wote ni Washetani tu hakuna ushirika wowote na Mungu muumba Mbingu na Nchi labda miungu mingine kama Mungu Zumaridi.
@@charlesmapunda5905 kweli zote ni shirki muumini wa kweli hatumii majini wala shekhe wa kweli hatumii majini kama ndio kinga yake zaidi ya kumtegea mungu kwa sala na dua.oa wengine wanatumia tu jina la mungu kufanya ushirikina wao.
🤣