PART12:BABA ALIYEZURUMIWA MTOTO NA MKE WAKE NA KUPEWA BABA MWENGINE KISA UMASKIN AIBUKA KUWA TAJIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 13

  • @florencerose859
    @florencerose859 5 месяцев назад +2

    Bii Adija alikwelekeza pahali mazuri pahali inafaa Yesu ndio njia

  • @ombeniyohaneaustin8415
    @ombeniyohaneaustin8415 5 месяцев назад

    Yesu ndio njia ya wookovu

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 5 месяцев назад +1

    Huyu ajapigwa msasa namna ya kueleza story

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 5 месяцев назад

    👍👍👍💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 5 месяцев назад +1

    Mm sijajifunza sana kwenye story hii kwakuwa kuna mambo ya shetani umeyaficha,Afichaye dhambi zake hatafanikiwa bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema!mwaibishe shetani ili akae mbali na wewe,habari za wachungaji na manabii wa uongo ziache cos everyone knows hao ni freemason na wao!wewe elezea vizuri shetani alivyokutumikisha na hasara uliyoipata ili mtu mwingine ajifunze kupitia ushuhuda huu

    • @FlorenceMlemi
      @FlorenceMlemi 5 месяцев назад

      Mmmh!? Em tuambie ulitaka aseme nn zaid ambacho unataka aongee hapo alipo fikia mpaka kuongea tayari kesha ungana dhambi zake na kamuaibisha shetan ulitaka aeleze alivyo kuwa anawavua wanawake nguo na kuwatuni. Kwa maoni jua kutofautisha kati ya hekima na uongo wewe hujajifunza lakin Kuna ss nyuma yake kunakitu na sio kitu tuu vitu tumejifunza.mungu akubariki

  • @tututz100
    @tututz100 5 месяцев назад +1

    J.B.B.1999

  • @salumally482
    @salumally482 5 месяцев назад

    Story nzuri ina mafunzo, ila naomba uandae episode ya maswali, tuulize maswali ili tujifunze zaidi

  • @daudipartson5463
    @daudipartson5463 5 месяцев назад

    Hebu tupe mawasiliano yake. tumuulize zaidi direct.

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 5 месяцев назад

    Kaficha sura kisha mambo ya shetani pia afiche sasa hakuna story achananae pumbavu zake huyu

    • @Irenes_Kitchen
      @Irenes_Kitchen 5 месяцев назад

      Acha kutopoka vitu usivyo vijua kaa kimya funga bakuli lako

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 5 месяцев назад

    13

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 5 месяцев назад +1

    Kumbe ameokoka na bado anawashauri watu waende kutafuta mali kwa njia za giza