SEHEMU YA- 1 (OFFICIAL VIDEO) HATARI YA KUKOSA NAFASI NA MUNGU PR. DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • SEHEMU YA PILI • # SEHEMU YA 2 -(OFFICI...

Комментарии • 15

  • @Christophemufariji
    @Christophemufariji 8 месяцев назад +6

    Naomba msaada wamaombi nimpate binti wakuowa anae nifaa awe ana mtumikiya Mungu

  • @YusuphShija-cd6cp
    @YusuphShija-cd6cp 8 месяцев назад +1

    Namshkru mungu kwa ajili ya huduma Njema inayoendlea, nami namtukuza mungu kwa wema wake ULIO Mkuu mno katka Maisha yang, ninawaombeeni wote mungu ajidhihilishe maishani mwenu

  • @joyceademba6573
    @joyceademba6573 8 месяцев назад +1

    Eeh Mungu naomba uponyaji wako ukaonekane katika siku hizi 10 za maombi

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal9748 8 месяцев назад

    Pastor naomba uniombee uchumi wangu unaxorota nikipata msharaha pesa haikai inapotea bilskufanys kitu cha maana

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 8 месяцев назад +1

    Amen ubarikiwe Pastor.

  • @Lizzy-px8zx
    @Lizzy-px8zx 8 месяцев назад +1

    Mungu jibi maombi yang

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 8 месяцев назад +1

    Naitaji msaada wamaombi kakangu anaumwa anasumbuliwa nanguvu zagiza yuko nahali mbaya

  • @huchachacha8501
    @huchachacha8501 8 месяцев назад +1

    Amen

  • @dr.kombosk5831
    @dr.kombosk5831 8 месяцев назад

    1.Mungu anisaidie kulijua kusudi na kuishi katika kusudi Hilo
    2.Aniweke mahali alipo pachagua yeye
    3.Anipe moyo na Nia ya kuishi hapo.

  • @MjakaziGladys
    @MjakaziGladys 8 месяцев назад

    Nauliza pastor je nguo zilzomruka mtt naweza gawia jirani naeona watt wake wanavaa nguo za kuchoka? Au nkanue mpya

    • @adorymongish2972
      @adorymongish2972 8 месяцев назад

      Mpe ila ni vyema kununua kwa sababu watoi,wasije wakasema ni zetu

    • @MjakaziGladys
      @MjakaziGladys 8 месяцев назад

      @@adorymongish2972 sawa Asante

  • @Kerubo262
    @Kerubo262 8 месяцев назад +1

    Amen Amen. Kwangu ni ushuuda leo, Mungu amenijibu ombi langu kwa yale niliyomwomba siku hizi kumi za maombi. Kweli Mungu ni mwaminifu siku zote na sifa na utukufu ni zake milele na milele. Pr Mmbaga Mungu akubariki kwa uongozi wako .