Uwiiiiiii!..TAARIFA ya LISSU yatikisa NCHI JIONI HII!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 440

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 8 дней назад +13

    Magufuli mwacheni apumzike😢 kwa Amani, I ❤ Magufuli with my❤

    • @nuruhegera3760
      @nuruhegera3760 8 дней назад

      Kwahiyo mkapa asipumzike Kwa amani...? Mbona umesema magufuli tu umemwacha mkapa

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 7 дней назад

      Kwa hiyo mama samya asemwe?
      Acha ubaguzi

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 7 дней назад

      Lisu akipotezwa msimtafute.
      Hii ni kwa sababu ya uijnga wake wa kutukana wakubwa.

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 7 дней назад

      Samya ameshavuka hata kabla ya 2025.
      Kidumu chama cha Mapinduzi...
      KIDUMUUUUUUUUU

    • @wiliamkatala
      @wiliamkatala 7 дней назад

      ​@rashidmohamed1949Tafakari kauli yko,

  • @Mediemedie7838
    @Mediemedie7838 8 дней назад +23

    Fanyayote Lissu lakini usimguse Magufuli utapoteza muelekeo

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 8 дней назад +43

    Pepoooz power ✌️🇹🇿
    Kama una Imani na tundu Antipas mugwai Lissu
    Atatuvusha taifa hili like comment

    • @gelamuyombo6783
      @gelamuyombo6783 8 дней назад +1

      Akuvushe kwenda wapi wee juha

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 8 дней назад +1

      Juha hufanyi kazi unasubiri kuvushwa

    • @hassanthabit3726
      @hassanthabit3726 8 дней назад +1

      HIKI CHAMA BAADA UCHAGUZI KINAKUFA

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 7 дней назад

      @@oltetiangaroya8489 Juha unaelewa au akili ni matope unasubiri kuvushwa?

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 7 дней назад

      Atawazamisha kwenye mto usioonekana huyu mkosa akili mwenye mdomo kama choo cha stendi. Wewe ndie mwizi maskini.

  • @Oman-ue5el
    @Oman-ue5el 6 дней назад +2

    Yaani huyu baba simpendi mimi jmn kwa nini unapenda kuwaongelea wenzio kwa nini usiongee kiustarabu tu .usimseme magufuli 😢tafadhali baba tunakuheshimu

  • @FrankJuma-i8m
    @FrankJuma-i8m 8 дней назад +7

    Sema mweyeki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @prophetically
    @prophetically 6 дней назад +1

    Mh Prof lisu uko vzr zaidi ya jana

  • @ludovickfrancis1166
    @ludovickfrancis1166 7 дней назад +3

    Lissu hana nidhamu ya siasa atateseka sana anashindwa kutangaza sera ya chama anabaki kusengenya viongozi😢

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 7 дней назад +3

    Lisu anaongea kweli,mnaoona kuwa lisu anaropoka mjitafakali sana,lisu ndiyo talegemeo letu sisi wanyonge.

  • @richangel3437
    @richangel3437 5 дней назад

    Kama unaamni Bandari wamegawa na kodi za biashara zinapanda gonga like hapa

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 8 дней назад +5

    MUNGU akulinde najuwa umekabidhiwa🎉🎉

  • @RastaMany-p8x
    @RastaMany-p8x 8 дней назад +3

    Sema baba sema baba jiwe lao lisu mzarendoooo🇹🇿✌️✌️✌️❤️❤️👍👍👍💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🚣‍♀️🚣‍♀️🚣‍♀️🚣🚣🚣🚣🚣‍♂️🚣‍♂️🚣‍♂️🚣‍♂️🏊‍♂️🏊‍♂️🏊‍♂️🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @EvanceDamdam
    @EvanceDamdam 7 дней назад +1

    Mungu akubarik

  • @HURUMAKALINGA
    @HURUMAKALINGA 8 дней назад +11

    Kwel akil huna jenga hoja sio matus kila ck hata hufai kuwa rais

    • @josephmarole5159
      @josephmarole5159 8 дней назад

      ila majizi ndo yanafaa siyo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 7 дней назад

      ​@@josephmarole5159Sasa kila cku kuongelea wastaafu au waliokufa ndio itampa wafuasi? We unazani chadema awaibi? Uliona Kampeni zao za uchaguzi? Chama maskini na walikuwa wanaibiana je wakipata nchi itakuwaje? Awake hoja la sivyo atapoteza mvuto zaidi ya kupata wafuasi wasiosoma tu

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 7 дней назад

      Sasa jaman hii ndyo agenda ya upinzani duuuuh kwisha

    • @josephmlatie
      @josephmlatie 7 дней назад

      Tusi ni lipi

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 7 дней назад

      Haya siyo matusi anakera sana. Na huenda wale HAMAS waliyotokea wakati wa kukabidhiana mateka baada ya siku tatu huenda walitokea TANZANIA KWENYE MAFICHO.

  • @petromagobonza4025
    @petromagobonza4025 8 дней назад +3

    Huyu kichaa😅, ujasiri hatari 😅

  • @MayengaMageme-n8h
    @MayengaMageme-n8h 5 дней назад

    Lisu Bado sana kwenye siasa hana sifa za utawala lisu nimtu mwenye visasi sana hatufai ss watanzania
    Wiongiz kama hawa Nyerere aliwakataa mapema

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 8 дней назад +7

    mr lissu akiongea jambo basi ujue kaona mbali na ana long vision

  • @faizahassan5398
    @faizahassan5398 8 дней назад +14

    Hovyo kabisa, mmechemsha kumchagua huyu mropokwaji.

    • @Ankomagu-h4k
      @Ankomagu-h4k 8 дней назад +1

      Ila msemakweli sio

    • @denisshimela169
      @denisshimela169 8 дней назад +1

      Ahsante kwa kumfuatilia kula madin yao chuma cha mjeruman

    • @husseinpatel2956
      @husseinpatel2956 8 дней назад

      ​@@Ankomagu-h4kukwel unauma😢😢😢😅😅

    • @sizorstartv6168
      @sizorstartv6168 8 дней назад

      Maboya huwa yanataka ukweli ufichwe ..ili mabadiliko yaje lini

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 7 дней назад

      Sasa ukweli huo ndio tangu 2010 ,, unaongea hayo hayo tu? Haya mkapa na Amagufuli inasaidia nini kuzungumzia waliokwisha kufa?​@@sizorstartv6168

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 8 дней назад +6

    Kichaaa kweli,kweli .kichwa kimeyumba haswa

  • @mashakasaidi969
    @mashakasaidi969 7 дней назад +1

    Huna sela broo

    • @fatumaAdamu-x9h
      @fatumaAdamu-x9h 5 дней назад

      Ongea sera zako sio kutaja wenzio huna aibu kumtaja marehemu magufuli alishatangulia mbele ya haki

  • @ProsistaTarimo
    @ProsistaTarimo 7 дней назад

    Hahaaaa tumekwisha😊😮 wamempa kichaa rungu. Ona sasahakuna sera za chama ni matusi kwa kwenda mbele. Huyu ni mshenzi sana

  • @SylivesterChimojino
    @SylivesterChimojino 8 дней назад +3

    Mungu akusaidie

  • @gaudencekondo3794
    @gaudencekondo3794 7 дней назад +1

    Huyu hana akili hana sera bali kama mlivo sema ni mropokaji ni kweli chama kinaenda kufa😅😅😅😅😅😅

  • @jumaswalehe5085
    @jumaswalehe5085 7 дней назад +5

    Bora ya mwenyekit mbowe kuliko huyu shinda yke hana hekima na busara ktk mazungumzo yke fany siasi za kiistarabu bro.❤❤❤❤❤ mama wa taifa mitano mingne.

  • @nathanfrancisondieki6586
    @nathanfrancisondieki6586 7 дней назад

    I'm akenyan but i'like Hon tundu lissu, so maybe he will be a president of Tanzania next time

  • @HusnaNyakundi
    @HusnaNyakundi 8 дней назад +8

    Hapo Kwa magu mzee wangu unafeli

    • @MohamedHamza-q6u
      @MohamedHamza-q6u 8 дней назад

      Magufuri ni nani Asisemwe mungu mwenyewe Anasemwa Acheni Aongee anamaumivu

    • @murubonabaptistmbstudentce7293
      @murubonabaptistmbstudentce7293 8 дней назад

      Kivipi

    • @godwineliya4686
      @godwineliya4686 8 дней назад

      Kakosea Nini kwani uwongo

    • @MchungajiNzelani
      @MchungajiNzelani 7 дней назад

      Anaferi si anatoa ushahidi

    • @abdallahluhinda
      @abdallahluhinda 5 дней назад

      @godwineliya4686 ni muongo kweli kwani hujui,mkosa akili wewe kama bichwa lako mshenzi mkubwa wewe bisu lako moto wa mungu unawasubiri,hata namie namalaani mara mia moja. Ibilisi nyang'au huyo wa ubelgiji,atakushawishi wewe falaula.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 5 дней назад

    Bora Mwizi kulikobaguzi. Mwizi hamjui mwizi ila ni mwizi mwenziwe.

  • @saudamgallah880
    @saudamgallah880 8 дней назад +1

    Wachafue wengine lakini magufuli muache hata kama mlikosana muache mzee wawatu Apumnzike😢😢😢😢😢

  • @Mohamedi-y1j
    @Mohamedi-y1j 8 дней назад +7

    Hamna kiongozi hapoooo

    • @MaryKihata
      @MaryKihata 5 дней назад

      Uchafuuuuuu

    • @abdallahluhinda
      @abdallahluhinda 5 дней назад

      @@Mohamedi-y1j kweli kabisa hata mie ananikera sana.

  • @HaikaFoya
    @HaikaFoya 7 дней назад

    Hii ya lini?

  • @JoshuaKasesela-k5l
    @JoshuaKasesela-k5l 7 дней назад

    Kakosasela uyooo matusi na kelele basi anajuaje wenzie wezi nayeye mwizi vilivile kiongonzi tumia mda wako nafamilia yako nchiuiwezi😊😊😊😢

  • @RenatusAmos
    @RenatusAmos 8 дней назад +2

    Wee ni Rais gani uliwai kumsemea mema? Ovyo kuwaongelea walio tangulia mbele za haki

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 7 дней назад +1

    Pole Lissu mbona umeshindwa kutawala mdomo

  • @Justine-xb3uy
    @Justine-xb3uy 6 дней назад

    😢😢😢

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 8 дней назад +4

    Mwaka huu ccm kazi mnayo,Lissu baba pambana tunakuombea kwa Mungu useme ukweli Tanzania ipone

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 8 дней назад +4

    Ee mora mora muumba wetu,sikia vilio vya masikini wako,,, waja wako,,wanyonge wako,, angalia tulipo fikia sasa, tutazame kwa huruma sisi wanyonge wako,, tuokowe katika safari yetu ya uchaguzi Baba,,wasimamie viongozi wetu,, walinde kira kona wakanyagapo,,waongoze vyema katika mikutano yawo,,ww ndo ukawe nguzo ya moto mbele yawo,,bira ww bwana,hawezi kitu,, aminaaaaaaaaa

  • @amamossi4203
    @amamossi4203 6 дней назад +1

    Jamani tuwe makini na wanasiasa hizo ni kweli sera jaman

    • @MaryKihata
      @MaryKihata 5 дней назад

      Cjapata onaaa afaiiiii

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn 7 дней назад +1

    Sema usemavyo lakin huwezi kukabizi nchi hii

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 8 дней назад +8

    Mungu akupe ulinzi Kila uendako kwa faida yawatanzania

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 8 дней назад +10

    Kanuma mlitaka afe na hakufa hii ni miujiza hiyo

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 8 дней назад +2

    Ivi wanaocheka nimatahira au? Matabira?

  • @JoyceKisenga-mq8tt
    @JoyceKisenga-mq8tt 8 дней назад +1

    Magufuli unamuonea
    Hapo unagusa mboni za wengi

  • @JamesGisiri-h6w
    @JamesGisiri-h6w 8 дней назад +3

    Ubarikiwe

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 8 дней назад +4

    Unapomsema mtu huku ukihusisha dini hapo unapotea

  • @JacklineMwaleleka
    @JacklineMwaleleka 7 дней назад

    Nakuonea huruma ndg

  • @mc-stephenmasome6553
    @mc-stephenmasome6553 8 дней назад +4

    Hamasisha watu wajiandikishe kupiga kura wakati ukifika

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 8 дней назад

    Njaaa mbaya Sana

  • @saidimohamed3244
    @saidimohamed3244 8 дней назад +4

    Uislam unausu nini hapo

    • @mohamediddi5126
      @mohamediddi5126 8 дней назад

      Ni roho mbaya tuuu na Ana chuki za waziwazi kwenye dini yetu.
      Nitashangaa kumuona Muislam akimchagua huyu mbaguzi

  • @adamisihaka1186
    @adamisihaka1186 7 дней назад +1

    Duh huyu hafai kuwa kiongozi

    • @MaryKihata
      @MaryKihata 5 дней назад

      Motec Wala kilanja afaiiiiiiii

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 8 дней назад +2

    Kuwa makini kwa magufuli utachemka kabisa. Nikishaanza kukusikilizq lakini umenikera

  • @MushiroseAlberth
    @MushiroseAlberth 7 дней назад +1

    Staha ni muhimu sana

  • @MaickoMsingwa
    @MaickoMsingwa 7 дней назад

    Usimguse magufuli lisu ila nakubali sana kula yangu nakupa pipozi pawa

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 8 дней назад +3

    Wa Tz wengi hawana Malinda una mcrash mtu bila Hoja na mtu anae mcrash utashaangaa mlala hoi kaka mimi Sijui kwanini hutupendi mtu anaeongea ukwel Tundulisu anaongea ukwel tupu lakini lijitu lina pinga bila hoja Tutabuluzwa san nchi hiii

    • @gelamuyombo6783
      @gelamuyombo6783 8 дней назад

      Uislaam unakujaje hapo kama sio udini unamla huyo lisu wako

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 8 дней назад

      @gelamuyombo6783 uslam upi wew ukati kawataja Marais wote ni wezi uslam upi alieutaja

  • @Omarimakuka
    @Omarimakuka 8 дней назад +2

    Utaishia majukwaani kuongea tu😂😂😂😂

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 8 дней назад +3

    Siasa z Tanzania walizoachiwa na Nyerere UDINI UKABILA

  • @TamashaKanisius
    @TamashaKanisius 6 дней назад

    Mka.🎉😂

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 7 дней назад

    Tunakukubali Lisu lkn Magufuli mwache sisi wananchi tunampenda

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 8 дней назад +2

    Na ww ni mwizii unakumbatia ushoga na Trump amewakataaa nyie mashogaaaa

  • @ZabibuMasele
    @ZabibuMasele 7 дней назад +1

    Kama Hana hekima kwa rais wake je kwenu nyie je wananchi?????????????

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 8 дней назад +1

    Utaupata kweli uraisi kwa style hii cheo kidogo tu hivi unawaka

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 8 дней назад +1

    Alahu akbaru😮😮😮😮

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 8 дней назад +1

    HII MBONA YA SIKU NYINGI 😂😂😂😂😂

  • @wazirituppa6739
    @wazirituppa6739 8 дней назад

    Hii ya lini

  • @veronicacharles2102
    @veronicacharles2102 8 дней назад

    Nakukubali baba

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 8 дней назад +2

    Nurdin ACHA HIZO Rais ashitakiwi aibe auwe afanywi chochote ni kwa sababu ya katiba.HAYO YOTE NI YA KWELI.

  • @EvanceDamdam
    @EvanceDamdam 7 дней назад

    Nikweli n mwiz

  • @ShafighuShabani
    @ShafighuShabani 7 дней назад

    Tatizo ya watanzaniamtu anae sema kweli nikumuita majina yasofaa kichaa chizi mwenda wazimu taira lakini yote ukweli utabaki kua ukweli kwawale waolopew akili yakuelewa na mungu lisu yupo sawa hata kama mtamchukia pia ushauri Kwa lisu urudi sana kwamungu nazieshimu sana dini wakati waongea myaje sana mungu ndo salama Yako usimjali atakae kusema kwaubaya Bali msaadi ni mungu tu

  • @ummy0095
    @ummy0095 7 дней назад

    Ninachoomba kwa mola wetu ni amani tuu hatuhitaji .mkuwa Kama Congo sisi mama mwaya endelea tu na kazi zako

  • @JonathanBagashe
    @JonathanBagashe 4 дня назад

    Yanga na kager

  • @Veronica-z6b4t
    @Veronica-z6b4t 8 дней назад +2

    Analeta udini huyu jamani hafai kuwa

  • @chantalnizigama5012
    @chantalnizigama5012 7 дней назад

    Wewe Tundu Lisu kwa nini humuachi JPM wetu akaendelea kupumuzika kwa amani? Wivuuu na roho mbaya kwake.

  • @shafiimussa-tv8ez
    @shafiimussa-tv8ez 6 дней назад

    Wana siasa wote wezi kila mtu atafutia tumbo lake😂

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 8 дней назад +3

    Habari njema inapo hubiriwa wafuasi wa sheteni walikejeli , tunajua hawata ipenda kweli, wametawaliwa na dhulma, unyang'anyi n.k

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 8 дней назад +5

    Ukweli hauna njia nyingine ya kusemwa.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 8 дней назад +1

    Kwan bandari mwanzo zilikuwa wapi acha siasa chafu Lissu... Mwanzo bandari sizilikuwa kwa wachina tena karibu miaka 30 huko, leo wameamua wabadilishe muwekezaji kisa ni waarabu ndio useme kauza,
    Huyu mpuuzi sana. Sasa sisi hatutokubal na usitufanye sisi kama wajinga,, ukileta Udini utoboi

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 8 дней назад +3

    Kwaiyo wewe unajifanya mtakatifu sana au kuliko wote

  • @bumimwamasage5463
    @bumimwamasage5463 7 дней назад

    Mwenyekiti unapoongea angalia sura za watu unapomtaja JPM, utasoma kitu. Usiwe unaongea peke yako, angalia audience yako. JPM remains a hero in this country forever. It doesn't matter who says what, nothing will change his status as a hero. R.I.E.P. JPM

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 7 дней назад

    Lisu oye

  • @RaphaelSimba-o7r
    @RaphaelSimba-o7r 8 дней назад +1

    Lisuu huna sela nimeamini toa hotuba ya maendeleo

  • @FumbukaSamwel
    @FumbukaSamwel 8 дней назад +2

    Jamàni mtu kasha fariki. Bado unamsema tu unatukumbusha machungu jamani muache apumzike kwa amani ww ndo utakuwa mwizi mkubwa

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 8 дней назад +2

    Sikuzote muovu hawezi kufurahia kweli ni mwiba Kwa waovu, nasiku nichache hapa duniani ila wamepigwa upofu hawawezi kuona wadhani wataishi milele.

  • @FarajiHaruna
    @FarajiHaruna 8 дней назад +3

    Mtu yeyote anae msema MAGUFULI kwa mabaya tuu hua namuona ni fara mpumbavu asiejielewa na utafeli kwenye uchaguzi kuendelea hivo yani wewe levo za MAGUFULI huwezi huwezi kuzifikia hadi unakufa levo zyako wewe nizakina january

    • @Sharifa-e7y
      @Sharifa-e7y 8 дней назад +2

      Mimi mwenyewe kaniboa kumsema Magu wangu tuachie Mpenzi wetu apumnzike kwa amani

    • @jacksonjuliusTZ
      @jacksonjuliusTZ 7 дней назад

      Kama ni mwiz ataitwa mwizi

    • @Mrsalt-zs
      @Mrsalt-zs 7 дней назад

      Kwan uongo hakuuwa tumia akili

  • @Debora-s8j
    @Debora-s8j 6 дней назад

    Mimi napita tuu jamani

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 6 дней назад +1

    Hamna mtu hapa

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 7 дней назад

    Sasa Lissu watendee haki walio kuchagua basi maneno yako jaribu kuyapima maana una kuwa kama umerukwa na akili, usijisahau kiasi cha kuvua heshima yako ukiamini watu wanafurahia jaribu kujistahi.

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 7 дней назад

    Lisu una mawakili wangapi kwan

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 8 дней назад

    Kweli

  • @nurdinimzimbiri
    @nurdinimzimbiri 8 дней назад +1

    Mpaka Dunia iishe hatuwezi kulipa kwani unapokea maagizo kutoka ubelgiji

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 дней назад

    Achana na Magufuli wewe kenge! Mbwa koko, Magufuli was my here.

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 8 дней назад

    Mh Tundu kwa kwer waga nakerwa na hotuba zako mda mwingine lakin naishiaga kucheka😂😂

  • @DonDallas
    @DonDallas 8 дней назад +1

    lisu mm namchukulia kama nangalia Osman bay azam

  • @SaidMohamed-j2v
    @SaidMohamed-j2v 7 дней назад

    kitawaka soon . muda si mrefu watamkumbuka mbowe 😂😂😂

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 8 дней назад +6

    Huyu mwamba kwelikweli,mama kayakanyaga awamu hii kitaeleweka tu

    • @Lake_zone
      @Lake_zone 8 дней назад

      Atakufa this time buda

  • @Mwalwange
    @Mwalwange 8 дней назад

    Kwanza amezungumza lini hii?

  • @alithani686
    @alithani686 7 дней назад

    Wacheni siasa zisizo na kichwa na propaganda ..wastarabu ni wale wanaozungumza vitu sio wanaozungumza watu hata waliokufa..Allah awaoneshe haki watu wa siasa kujua haki

  • @Jeanjuma-y2o
    @Jeanjuma-y2o 7 дней назад

    Ukitaka kumtambuwa kiongozi kwenye hekima na busara Utamfahamu kipindi Anapngeya huyu afayi kuiongoza nchi

  • @HemedAlly-h9k
    @HemedAlly-h9k 6 дней назад

    Kuwa mwanasheria sio kua utakua Kila kitu shahada sio lazima ujue Kila kituu bandari Sasa ina tia faida sasa

  • @salumlibembe6986
    @salumlibembe6986 7 дней назад

    Huyu dishi limeyumba tumchulie mlemavu wa akili

  • @petroluchagula4299
    @petroluchagula4299 6 дней назад

    Huyu jamaa namkubari kitu kimoja anajikubali lakini hana busara na hana hekima ya jinsi gani ya kutatua jambo Ubaguzi umemtawala lakini Urais hauwezi

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 7 дней назад

    Chadema ya lissu sasa inakinukishaaaas😅😅😅😅😅😅😅

  • @ameerlehao2320
    @ameerlehao2320 8 дней назад +1

    Huyu jamaa achafue wote ila magu amwache pembeni