HII NDIO HISTORIA YA SOKOINE NA JINSI KIFO CHAKE KILIVYOTOKEA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 37

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Год назад +10

    Nakumbuka tulimlilia sana

  • @ElizabethBeny
    @ElizabethBeny 2 месяца назад

    Jamn vzr havidum kanisan majambaz ndoyanaishi

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад +10

    Hawa ndo katika viongozi wazalendo na waadilifu wa bara letu la Afrika

  • @AbdallahSimba-wr1wr
    @AbdallahSimba-wr1wr Год назад +1

    Edward moringe sokoine alikuwa ni muadilifu sana msicomment kitu ambacho hamkijui kila kiongozi amefanya kazi kwa nyakati zake kuna watu wanatuletea udini hacha kama ijui viongozi wetu wanafanya nini
    Unafananisha viongozi mnajua julias nyerere kazi alizofanya

  • @JamesLyakurwa-zi8kb
    @JamesLyakurwa-zi8kb Год назад +2

    Ñilimpenda Sana

  • @daboy_255
    @daboy_255 Год назад +5

    Ile Dhana ya watu wa kaskazini hawatakiwa kuwa Marais ndo ilitekelezwa hapa ... ila jamaa ni mtu na nusu aisee

  • @saidramadhan5086
    @saidramadhan5086 Год назад +7

    Hongera Sana sokoine

  • @sylvanusmillanzi
    @sylvanusmillanzi Год назад +2

    Huyu ndiye kiongozi mzalendo SI kama mwanakwenda na makanjanja wengine

  • @allychale2885
    @allychale2885 Год назад +2

    Nandomaa nyerere analaaniwa na wazanzibari hadi leo

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Год назад +2

    Mmm haya kifo chake kilipangwa au kilikuja kimazingira gani ?

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Год назад +3

    Angekuwepo leo angeitwa dikteta

  • @kisotatiitye8221
    @kisotatiitye8221 Год назад +4

    Vichwa vya kitanzania halisi ndio hisi

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Год назад +4

    Huyu bwsna alikuwa ni mcha MUNGU

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es Год назад +1

    Alikua bado kijana kabisa daaaaa

  • @edwinnzigo4670
    @edwinnzigo4670 Год назад +6

    Sokoine alikuwa nimtu nanusu hawa ndio viongozi bhana. Alafu anatoka mtu mmoja anasema wazuru wanadumu kivi?

    • @josephmoyo5617
      @josephmoyo5617 Год назад

      Mamburula ndiyo haya , yanayosema wazuri hawafi.yani nikauli yaajabu kbs kuwahi tokea.

    • @fadhilmoses5499
      @fadhilmoses5499 Год назад

      Alishiba makande yule mzee

  • @sebastiangeophrey7860
    @sebastiangeophrey7860 Год назад +1

    Wanajituma viongozi wetu watakatifu

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 Год назад +1

    Baada ya sokoine amefuata majaliwa, hapa Kat mawazir feki

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +2

    Watu watatu tu Tz

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 Год назад +1

    Walimuua people sio people

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Год назад +5

    JPM alifuata nyayo za huyu jamaa!

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Год назад

      Unajuwaaaa ivoivooo Tania nzuri uerewa WA maisha ya watu Hawa ndo viongozi WA kweri lakin mungu anajuwa tungekuwa mbari sanaa kiuchumi arooooo

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Год назад

      Halafu mnajiongopea kwamba wakati wa Nyerere hakukuwa na upigaji?

    • @johnbabo975
      @johnbabo975 Год назад

      sijaona kiongozi km sokoine na mgufuli wengine wanaiga tu na hawatatokea kamwe

  • @user-gr2ec5uj1s
    @user-gr2ec5uj1s Год назад

    Uyu na magufur ndio viongizi bwana sasa iv mafsad watupu

  • @hanafitotoya7762
    @hanafitotoya7762 Год назад +1

    Mimi naona shetani nimama yko mzazi pamoja na babayako

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Год назад +10

    Kiongozi ni SOKOINE na MAGUFULI wakina samia na kikwete ni mashetani wanaotembea

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Год назад +1

      Kama ulivyo shetani ww.

    • @nemecymsanya4952
      @nemecymsanya4952 Год назад +1

      @@yakobokuzenza6837 😂😂😂

    • @stevenbenedict1750
      @stevenbenedict1750 Год назад

      Lazima angekua raid baada ya mwNyerere

    • @stevenbenedict1750
      @stevenbenedict1750 Год назад

      Kifo chake ilikua in njama za mabeberu Kwa aliegonga gari lake hakua mtanzania.

    • @frashconnect.1
      @frashconnect.1 Год назад

      Watu hua wanajizima data, jana nimetoka mahakan mshikaj wangu aliandika upuuz kama huu na kupewa sifa, leo mwez wa 3 yupo ndani . Kijana kabla ya kuandika , Tafakari.
      Nione mjinga sasa, lakin utakumbuka siku 1