Pr. Paul Semba,NDOA AU FAMILIA INAPOKUWA NA DHORUBA
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- NDOA INAWEZA KUKUMBWA NA DHORUBA,WAKATI MWINGINE INAWEZA KUVUNJIKA,INAPOTOKEA HIVI UFANYEJE?
ILI KUPATA KITABU CHA SIRI YA MAOMBI YALIYOJIBIWA PIGA NUMBER 0758820060 DAR ES SALAM,MWANZA 0767516567,MBEYA 0754 88 53 42
Barikiwa sana pr.Bwana azidi kukutumia kulijenga kanisa
ubarikiwe mtumishi
Asante MUNGU
Amina
Amina mtumish Mungu akubalikisana kwaneno lauzima hakika nimepokea kitu hapa tenakikubwamno
Japo nilikuwa sielewi Leo nimeelewa
Mchungaji ninashukuru kwa somo hili linanitia nguvu sana
Nayapenda haya maubiry
Mchungaji Mungu akubariki!! Nini maana ya tunguja?
Amina MUNGU akubarik san 🙏
Hili somo limenigusa sana naombeni mawasiliano ya huyu pastor.
jeremiah kiberenge +255755930637
Mahubiri Kiswahili Tz thanks pastor@
Somo hili limelenga kundi moja la Bina damu sasa maisha maishayao yamekua ni majuto makubwa Saba vijana wakiume acheni kuadanganya wasichana eti hujaoa nahali unamke zaidi ya mmoja.
@@MahubiriPrMmbaga hii namba ipo valid?
Pls namba ya pastar mwenye nayo plz
Amina