SHERIA YA NDOA: " HAKUNA TALAKA!" na MCHUNGAJI SEMBA
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- TALAKA NI USHAHIDI WA UGUMU WA MOYO kKWA WANANDOA LAKINI PIA NI HATI YA KIFO. MUNGU ANATUHITAJI KUJIFUNZA NENO LAKE NA HIVYO KUPATA UWEZO KATIKA KUSHINDA SHAMBULIO HILI LA NDOA TAKATIFU.
Barkiwa snaa pr kwa somo nzr.....ttz kwet leo hatujawa tayar kuambatana kikamilifu nà wenzii wet.....tuspokubl kuwaacha wazaz wetu ndoa zetu bado zitakuwa ktk changamt mbalimbl yandoa.....👏👏❤❤
marufuku mzazii kufanya maamuz kwa watt waoo
Mungu akubariki mrumishi
Pr barikiwa sana...ukiwa Dodoma nilibarikuwa sana
AMINA
Powerful...
Mwalimu wangu
GLORY TO GOD!
Aminaaaaaaa
thanks i was not aware
Ndoa Kama haijafungw kanisan inatafsriwa VP.jee mungu anaitambua
Lakn pia nadhan ktk seminaa za ndoaa au madarasa ya kaya na family kwa wazzaz wetu ni vyemaa ikawashaurii wazaz juu yahlo..........wazaz wengii hawajakubl kuwaacha vjana wao.......wamama wengi wanataman kucontroll ndoa za watt waooo.....na ni waumin wazr tu; bado wanataka kuongz family zawatt wao
Hakika na kweli,barikiwa PR. maana unanisaidia sana
Mch naomba namba yako Nina shida ya Kiroho naomba ushauli wako. Kupitia karama ambayo Mungu, Mwumbaji. Amekupatia utanishauli Jambo
0621154690
Hakika na Barikiwa sana Pastor. Bwana azidi kukupa hekima ili ili watakatifu wake tupate neno
AMINA
Amen
How about u biblical marriages????
WHAT DO YOU MEAN?
Ni vipi kwa habari ya mwanaume mzinifi yeye hatakiwi kuachea lkiea amejali vimada kuliko mkewe?
MAISHA YA DHAMBI HAYAMFAI YEYOTE KATIKA NURU YA BIBLIA
pastor ukiingia kwenye ndoa maana yake unaingia mzima mzima so nusu
NI KUINGIA MAZIMA