SHERIA YA NDOA: " HAKUNA TALAKA!" na MCHUNGAJI SEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • TALAKA NI USHAHIDI WA UGUMU WA MOYO kKWA WANANDOA LAKINI PIA NI HATI YA KIFO. MUNGU ANATUHITAJI KUJIFUNZA NENO LAKE NA HIVYO KUPATA UWEZO KATIKA KUSHINDA SHAMBULIO HILI LA NDOA TAKATIFU.

Комментарии • 22

  • @modestaboniface7544
    @modestaboniface7544 4 года назад

    Barkiwa snaa pr kwa somo nzr.....ttz kwet leo hatujawa tayar kuambatana kikamilifu nà wenzii wet.....tuspokubl kuwaacha wazaz wetu ndoa zetu bado zitakuwa ktk changamt mbalimbl yandoa.....👏👏❤❤
    marufuku mzazii kufanya maamuz kwa watt waoo

  • @alexandertimberson8599
    @alexandertimberson8599 5 лет назад

    Pr barikiwa sana...ukiwa Dodoma nilibarikuwa sana

  • @amanijames2628
    @amanijames2628 5 лет назад

    Powerful...
    Mwalimu wangu

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 2 года назад

    Aminaaaaaaa

  • @jacklineathoo9667
    @jacklineathoo9667 5 лет назад

    thanks i was not aware

  • @lukamapunda628
    @lukamapunda628 3 года назад

    Ndoa Kama haijafungw kanisan inatafsriwa VP.jee mungu anaitambua

  • @modestaboniface7544
    @modestaboniface7544 4 года назад +1

    Lakn pia nadhan ktk seminaa za ndoaa au madarasa ya kaya na family kwa wazzaz wetu ni vyemaa ikawashaurii wazaz juu yahlo..........wazaz wengii hawajakubl kuwaacha vjana wao.......wamama wengi wanataman kucontroll ndoa za watt waooo.....na ni waumin wazr tu; bado wanataka kuongz family zawatt wao

  • @musajulius3364
    @musajulius3364 5 лет назад

    Hakika na kweli,barikiwa PR. maana unanisaidia sana

  • @abelynyota6598
    @abelynyota6598 Год назад

    Mch naomba namba yako Nina shida ya Kiroho naomba ushauli wako. Kupitia karama ambayo Mungu, Mwumbaji. Amekupatia utanishauli Jambo

  • @orwamartine5272
    @orwamartine5272 5 лет назад

    Hakika na Barikiwa sana Pastor. Bwana azidi kukupa hekima ili ili watakatifu wake tupate neno

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 3 года назад

    Amen

  • @paulpeter2108
    @paulpeter2108 Год назад

    How about u biblical marriages????

  • @mariammwita8216
    @mariammwita8216 2 года назад

    Ni vipi kwa habari ya mwanaume mzinifi yeye hatakiwi kuachea lkiea amejali vimada kuliko mkewe?

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  2 года назад +1

      MAISHA YA DHAMBI HAYAMFAI YEYOTE KATIKA NURU YA BIBLIA

  • @abeljoseph5546
    @abeljoseph5546 5 лет назад

    pastor ukiingia kwenye ndoa maana yake unaingia mzima mzima so nusu