BINTI JASIRI AZUNGUMZA MANENO MAZITO MBELE YA RAISI AHOJI MASWALI MAZITO MAZITO HUWEZI AMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 янв 2021
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #DktMwinyi

Комментарии • 185

  • @shaharaltaiwan4645
    @shaharaltaiwan4645 3 года назад +21

    Mdogo wangu umeongea vizuri sana,Allaah akulipe kheri.

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 3 года назад +16

    ndugu yangu umetuwakilisha vyema, mashaallah, ahsante sana.

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 года назад +8

    Shukrani sana. Ni vizuri Wanafunzi wahimizwe kuwa wabunifu na wawe na uwezo wa kuelimisha kama alivyo huyo mwanafunzi .
    .

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 3 года назад +3

    Masha Allah hongera sana mwanafunzi kwa kuzungumza ukweli na maneno ya hekma kila la kheri katika masomo yako insha Allah nimeipenda speech yako. you have confidence

  • @hensuuali3795
    @hensuuali3795 3 года назад +1

    Ni ya ukweli uloyaongeya mdogo wangu siuongo inshaallah Mungu ajaliye yafanyiwe kazi. Hongera sana umeongeya point.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 года назад +7

    Hongera sana mdg wangu umeongea pont👏👏👏👍😘

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад

    Allah akupe upeo zaidi Kuzidi kujiamini na akusaidie hekima pia

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +1

    MaashaaAllah MaashaaAllah
    Ahsante mwanafunzi tunaumani kwa raisi wetu huyu mpya ni muelewa na sio mbumbumbu na ni mzalendo na anajielewa na anahisia za uzanzibari wake atalifanyia kazi hilo na mengineo meeeeengi ambayo yanatukwanza wanzanzibari la muhimu tu tumuombee dua Allah amuongoze nia ya haki na yote InshaaAllah yatakaa sawa .
    Zanzibari kwanza👍

  • @ayoubkhatibu3768
    @ayoubkhatibu3768 3 года назад +14

    Ukitaka kutawaliwa lazima unyimwe elimu katika kuungana Zanzibari na Tanganyika elimu haimo kwenye Muungano

  • @sharifasalum841
    @sharifasalum841 3 года назад +7

    Huyu atakua mwanaharakati wa badae mashallah

  • @IdirisaKhamis
    @IdirisaKhamis 2 месяца назад

    Mashaa Allah umeongea hakika walio wengi huona kumuambia ukweli kiongozi ni kama kumtukana ila ww hauko ivo.

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +6

    Asante bi dadat kwa kuongea ukweli Allah akubariki

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 3 года назад +14

    Kabisa mwanafunzi unaongea hakika, unapo kwenda bara vyuo vikuu ukiambiwa walopata 1 unawapita wengi wao hawana lolote wanapeana tu

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 3 года назад

      Maneno kuntu,hijabu ya kauli please.

  • @salimjuma9494
    @salimjuma9494 3 года назад +2

    Safi sana mdogo wangu umeongea yamuhim sana kwa taifa la zanzibar

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 года назад +2

    Wazanzibari wanajua kujieleza maashaa Allah.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 3 года назад +9

    Haogopi na nakipaji cha kusema na ana points pia

  • @fauzakassim2271
    @fauzakassim2271 3 года назад +1

    Mashaallah allah akuzidishie

  • @nauhattz8226
    @nauhattz8226 3 года назад +1

    Mashaallah mungu akuongoze umeongea vizuri sana

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 3 года назад +2

    Mashaallah tabaraka llahu

  • @abrahmankhamis2324
    @abrahmankhamis2324 3 года назад +4

    Asamteee sana dada yng kwa kutuwakilisha vyema wnafunxi wenzako mh raisi umeyasikia hivyo uyatilie mananaii maana wazanzibar wengi wanafeli

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 3 года назад +3

    Oho girl you genius you are going to be a very important person in this country. Keep it up.

    • @mussahassan1779
      @mussahassan1779 3 года назад

      Ukitaka kuangamiza taifa tumia mfumo mzima wa Elimu tu bas
      Huna hajayakutumia mabom au guvu za jeshi nk

  • @ummymohamed869
    @ummymohamed869 3 года назад

    Alhamdulillah upo vizuri mwanangu Allah Akubarik ktk masomo yako

  • @saeedjuma4335
    @saeedjuma4335 3 года назад +1

    Maneno mazima kabisa mdada maa Shaa Allah hata mm inaniuma Sana Zanzibar km Zanzibar tunaendeshwa na third partماحصت،

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 3 года назад +6

    Natumai Mheshimiwa rais tuko pamoja tunangoja maamuzi yako mema na Mungu akuongoze na jopo lako lote ameen znz oyeeeeee

  • @alihemed7721
    @alihemed7721 3 года назад

    Asante Sana dugu yg umetuwakilisha na umeongea bwent mzuri kweli asante

  • @feiz3180
    @feiz3180 3 года назад +5

    wazanzibari wakipata nafasi wanaongea na wala hawaogopi. Ila siasa kandamizi ndio zinazo tuumiza. Asili yetu sisi sio wakandamizaji wala wakandamizi.

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @salumkassim7949
    @salumkassim7949 3 года назад

    Dadaangu umeongea vizurii sanaaa wanatunyima haki zetuu namapato ya Zanzibar yabakie Zanzibar ili ipate mandeleoooo

  • @amneothman6792
    @amneothman6792 3 года назад +1

    Hongera carolina u just speak truth only truth big up vikoooo👏👏

  • @yussufsaid8223
    @yussufsaid8223 2 года назад

    Mashallaah Allaah Akubaarik

  • @ajimalmtumb9896
    @ajimalmtumb9896 3 года назад +1

    Dada hongera umeongea vizur sana tna kwa point, ila hpo suala la elimu kuhusu ufaulu wa bongo mm nafikiria Zanzbar kidgo elimu yetu ni nyepesi Mno kulingna na Tzania bara.. Nandiomna Wzanzbr tunafel sana hatufati mifumo wanotumia wezetu wa Bara. Utamkuta mwalimu Kiswahili zanzbr amepewa kusomesha Chemistry hapo ndugu zngu Siku zote tutalaumu kua Zanzbr tunafel.

    • @alonealvin4534
      @alonealvin4534 3 года назад

      Hoja si kusomesha masomo yaliokuwa si ya mwalimu husika...hoja ni mitihani kusahihishwa na kusainiwa znz

    • @ajimalmtumb9896
      @ajimalmtumb9896 3 года назад

      @@alonealvin4534 zanzbr elimu yake ni tofauti na bongo.. mm nakuambia ninazo hoja madhubuti hatakma mithn itasainishiwa zanzbr Bdo zanzbr wanafunz waloweng hawatofaulu... Kuazia vitabu vinavotumika kusomeshewa zanzb haviendan na vya Bongo.. Utakuta selybus wanazotumia kutungia mitihn ya taifa zanzbr hazifuatwi ipasavyo

  • @fatmakhamis6069
    @fatmakhamis6069 3 года назад +2

    Ata Mimi niliacha kazi ya uwalimu kutokana na maslah haikidhi haja Muheshimiwa makamo wa pili wa Rais ananielewa vizuri ni class mate wangu
    Hongera Bint Kwa kusimama kidete kutetea Haki zenu wanafunzi
    Shukran Muheshimiwa Rais Alla akufanyie wepesi kila penye zito

    • @khajumkhamis7910
      @khajumkhamis7910 3 года назад

      Kweli dada angu au???

    • @deomatochi9179
      @deomatochi9179 3 года назад

      What if Tanganyika students ask for their own curriculum like how it is for zanzibar students. I think Tanzania curriculum for Tanzania students by which zanzibar is among will be out of use and there will be no more a so called Tanzania curriculum. Just opinion.

    • @kabyjxjrd9874
      @kabyjxjrd9874 3 года назад

      @@deomatochi9179the issue is not curriculum coz is clearly followed by all. We want to make free commission for directing examination issue concerning to results from national examination. If we are free to elect a president in our own country, why we don't given a chance to make and mark our own examination and select students?

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +1

    Hongera jamani kaongea kweli ivi zanziba hakuna walimu wakusainisha iyo mitihani

  • @aliarkam9548
    @aliarkam9548 3 года назад

    Mashaaallah hongera sana ndugu umewaakilisha vizur

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад

    Naam elimu watuachie wenyewe Zanzibar tutunge mitihani na isainishwe Zanzibar tumechoka na maziro ya kupewa mm mtoto wangu Alhamdulillah Maa shaa Allah ameongoza matokeo ya daras la 10 skuli nzima halafu huko mbele uje unambie ana zero siwezi amini

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 3 года назад

    Great this is women power 👍👍👍👍👍yesss

  • @badrumohd5066
    @badrumohd5066 3 года назад

    Hongera sana dada anguu umeongea point

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 года назад +2

    Vzur umeitetea Zanzibar na Ana juwa kuongea

  • @jumamatao3628
    @jumamatao3628 3 года назад +3

    Darasa la 7 lirudi km zaman maana watoto wa sku hiz darasa 6 ni wadogo sana wengine hata kusoma hawajuwi.

  • @zakwani885
    @zakwani885 3 года назад

    daima ukizungumza haki huogopi cc yule unae mueleza ayafaham mazingira yaliopo na kuyatekeleza ni wajibu wake

  • @mosnasnas131
    @mosnasnas131 3 года назад

    Umefikisha ujumbe wawengi asante sana dadaangu

  • @mohdslim8278
    @mohdslim8278 3 года назад +2

    Great!
    This is very talented girl .
    Mashallah.

  • @hafidhyusuph6282
    @hafidhyusuph6282 3 года назад

    Maaaaashallah umenenee Nduguu

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад

    Mashallah nice

  • @husseinhincha1846
    @husseinhincha1846 3 года назад

    Unaakili sana ostadhat,🥰🥰🥰

  • @chiefzumo1688
    @chiefzumo1688 3 года назад

    MaashaaaALLAAH bint ndie

  • @bizzboy5490
    @bizzboy5490 3 года назад

    Good point dada mungu akulinde

  • @balqisabdullah6200
    @balqisabdullah6200 3 года назад

    Nimekupendaa bureee bureeeee Mashallah....

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 3 года назад

    Well dane umeongea maneno mazito yenye kuku sisimua maana kuchaguliwa rais lazima ujiamini na kazi zote za katika nchi yako sio kuamuliwa na waamuzi ambao ni wana nchi yao na serekali yao huu ni mshiba mkubwa kwa inasikitisha sana sana SubhanaAllah

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c 3 года назад +2

    Kabisa mama amefanya kazi kuanzia mwaka 1978 lakin hakuna faida aliyopat mpaka amefarik
    Bora mshahar wamfanya kaz oman ni mzur kuliko walimu wa Zanzibar maana Daa wanamshahar mzur

  • @biubwaabdalla4293
    @biubwaabdalla4293 3 года назад +1

    Vizuri mdogo wangu

  • @ahmedkhamis9539
    @ahmedkhamis9539 3 года назад +1

    Hongera sanaa my sstry

  • @jaarif08juma81
    @jaarif08juma81 2 года назад

    Mashhallah safisana

  • @iddikhamis7769
    @iddikhamis7769 3 года назад +2

    Mwambieni huyo. Nchi inaangushwa kielimu serikali imelalaa. Zanzibar mambo yake ifanye yenyewe.

  • @rashidpema4299
    @rashidpema4299 3 года назад +1

    Kweli kabisa

  • @lukmankhamis7041
    @lukmankhamis7041 3 года назад

    Mashalla ukhty kwa mazur yaliyomo kwenye akili zetu kuyawasilisha.

  • @mizamiza6223
    @mizamiza6223 3 года назад

    Asalam alaykum shukran ndugu tunahitaji utekelezaji

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 года назад

    Amegusa sehemu nyeti Sana huyu mwanangu jamani ambapo Ni ngumu kwa viongozi wa Zanzibar kuyazungumza Ila haki itaendelea kuwa wazi kadri siku ziendavyo.Allah amuhifadhi nakila mwenyeshari.

  • @ismailmohammed8418
    @ismailmohammed8418 3 года назад +1

    Binti huyu ni hatari !

  • @mussahassan1779
    @mussahassan1779 3 года назад +1

    Daah huyu sister Do anauelewa wahali yajuu nakama hatukuchulia sireus maisha yote wa zanzibar Tutakuw hiv hivi siku zote
    Unamkuta mtto msahafu mzima umo kichwani nk

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 3 года назад

    Masha allah🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mussasuleimanamour5999
    @mussasuleimanamour5999 3 года назад +5

    Umejitahidi kuongea

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 3 года назад +3

      Mashallah watoto wakizanzibari wakiongea wanazivuta hisia watu.ila hawapewi kipao mbele tu.

    • @ameiryussi9189
      @ameiryussi9189 3 года назад

      mashallah

  • @calorinyfrancis2208
    @calorinyfrancis2208 3 года назад

    Asante .wote mlionipongeza Kwa hili nitajitahidi zaidi .
    Na mnisamehe wale mlioona nimenena vibaya

    • @mudysule5495
      @mudysule5495 3 года назад

      Upo vzr hujaongea kibaya ila wajinga km hao wapo hata ukwel huupinga kw maslah yao binafsi

    • @calorinyfrancis2208
      @calorinyfrancis2208 3 года назад

      @@mudysule5495 thanks

    • @amneothman6792
      @amneothman6792 3 года назад

      Big up to uh love carolina💝💝 big up vikoooo 👏👏👏

    • @binseifalsuleimaniy503
      @binseifalsuleimaniy503 3 года назад

      Mashaallah Allah akuzdishie kwa kuwa mkweli kwa akili zako nzuri tafuta ukweli popote na ukigundua tu ulipo ukweli basi ufuate usiuwache katu .we inavo onesha moyoni mwako unapend haki ndio Leo ukaweza kuyasema Yale ya haki pia kna haki ya mfumo wa maisha yako ichunguze kwa makini sio ya haki .basi wee ni mfuasi wa haki fata haki Allah atasimama na wee .wala usiogpe kma ulivo kuwa hujaogopa hapo .kwa ninavo kuhisi akli yko ni nzuri wengi kma wee walipo ugundua ukweli wameufuat ( uislmu )ahsante uislamu unapenda ukweli karibu kwenye ukweli na haki .nakunasihi mimi sabab hayo ni majukumu yetu .ahsante (by kifasihi)kuwa mtolewa nakusihi ndugu yangu

  • @fauziamjengo9401
    @fauziamjengo9401 3 года назад

    Hongera my C

  • @jumamatao3628
    @jumamatao3628 3 года назад +2

    Ndugu yngu umeongea point haiwezekani miaka yote znz tuwe mapocho ipo namna na hili lazima lifanyiwe kazi .

  • @rukeakhamis9234
    @rukeakhamis9234 3 года назад

    dada yangu umeongea vizuri sana

  • @khakidsalimu1710
    @khakidsalimu1710 3 года назад

    Mashaallah

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 3 года назад +2

    Dả wa znz kweli wana akili mtoto kama mtu mzima

  • @AhmedAli-xw6xf
    @AhmedAli-xw6xf 3 года назад +2

    Mchukuw vdeo hafai pic ya student ni kivul

  • @allymohammed7323
    @allymohammed7323 2 года назад

    Allah akulinde na hasad lakni unaongea na watu wasiojitambua

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 3 года назад

    Si hayo tu hata utaratibu wetu wa mapumziko ubadilishwe jumamosi tunapumzika nini kwani sisi wasabato, la mishahara ya walimu ni rahisi tu badilisha tu mishahara wa mbunge apewe mwalim na wa mwalim apewe mbunge hapo ndo tutaona wazalendo wa kweli wanataka madaraka, kana kwamba hiyo haitoshi hebu pangeni mishahara mmoja tu tofauti iwe katika uzito wa kazi kulingana na elimu yako, na kulipwa kuwe kwa. Masaa ya kazi ikiwezekana futa kabisa mapumziko iwe ni uamuzi wa mtu na kulipwa ni kutokana na mahudhurio yako kulingana na Masaa yako ya kazi

  • @khadijaabbas1581
    @khadijaabbas1581 3 года назад

    Tunapenda kulalamika ,sina shaka na marking kufanyika bars,tujiulize walopasi znz hawapo,na wanofeli wamefeli wapi? Watoto wa Zanzibar mapenzi kwanza,ubishoo muhimu ,tuition mia lazima . je niuwongo?!

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 3 года назад

    Daaaah hongera cna ndugu yangu kwa kusema ukweli

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад

    Mashallaha

  • @ahmadomar3306
    @ahmadomar3306 3 года назад +1

    Dada nakukubali na ninakupenda sana

  • @britishadam1896
    @britishadam1896 3 года назад

    Hongera dada umeongea vitu vya maana sana na yenye hamasa

  • @abdullasalim279
    @abdullasalim279 3 года назад +1

    Upo sawa

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 3 года назад +1

    Munapenda.san kujipura tatzo lenu ziro nyingi hampo makini kwenye kusoma walimu wenye elimu zao atakaa znz wapo mikoani wanakula bata

  • @eastzuuzuu7050
    @eastzuuzuu7050 3 года назад

    👍👍👍

  • @mbaroukrajab4874
    @mbaroukrajab4874 3 года назад

    True student🙏🙏🙏🙏

  • @babyzuweynaalbusaidalbusai5890
    @babyzuweynaalbusaidalbusai5890 3 года назад +2

    Kweli umeongea walimu wapewe thamani bila ya Allah na walimu hatuwezi shika kalam

  • @selestinytz
    @selestinytz 3 года назад +1

    Hiii ndio maaana halisi ya elimu

  • @wazirhaji6913
    @wazirhaji6913 3 года назад

    Hongera sana bint maswali yako ni mazuri sana

  • @saidkhamis6873
    @saidkhamis6873 3 года назад

    Saw

  • @user-yw7st3dk7w
    @user-yw7st3dk7w 3 года назад

    Asante ww umeongea tunahitaji tujimiliki wenyewe wazanzibar tuna uwezo na ufanisi mkubwa

  • @fatmanassor8285
    @fatmanassor8285 3 года назад

    Asante san ndug yang

  • @binammwanafa2033
    @binammwanafa2033 3 года назад

    💯👍

  • @hassanhajjihamdan8318
    @hassanhajjihamdan8318 3 года назад

    Hongera sana binti

  • @ibramiddo4863
    @ibramiddo4863 3 года назад

    Honger mamyyy

  • @utaani1
    @utaani1 3 года назад +2

    Kweli walimu wapewe mishahara mizuri wapate moyo zaidi wa kufundisha na wapate muda wa kupumzika wakitoka kazini sio wakatafute kazi nyengine baada ya kutoka kusomesha skuli

  • @arafaali3689
    @arafaali3689 3 года назад

    Hongera kwa kutuwakilisha

  • @al.oufy_graphics5653
    @al.oufy_graphics5653 3 года назад +1

    Point ya darsa la saba kurdishwa ninzur

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 3 года назад

    Nice one

  • @kimuratv255
    @kimuratv255 3 года назад

    Good girl ♥️

  • @habilhamad1594
    @habilhamad1594 3 года назад +3

    Hongera dada umeongea point ya msingi darasa la saba pirudi watoto wa darasa la sita ni wadogo wa kuchanganua mambo,🤸

  • @imranmussa500
    @imranmussa500 3 года назад +2

    Dogo NAUNGA mkono asilia 100

  • @othmanbarua7157
    @othmanbarua7157 3 года назад +2

    Nikweli dd hayo yote yapo

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 3 года назад

    Ni kweli kabisa sister mitihani tunafelishwa

  • @officialpangaboymtotowamam8014
    @officialpangaboymtotowamam8014 3 года назад +3

    Huyo ata kuwa makamu wa rais

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад

    Mahafidhina wameiuza Zanzibar kwa Mkoloni Tanganyika.