Masha Allah hongera sana mwanafunzi kwa kuzungumza ukweli na maneno ya hekma kila la kheri katika masomo yako insha Allah nimeipenda speech yako. you have confidence
MaashaaAllah MaashaaAllah Ahsante mwanafunzi tunaumani kwa raisi wetu huyu mpya ni muelewa na sio mbumbumbu na ni mzalendo na anajielewa na anahisia za uzanzibari wake atalifanyia kazi hilo na mengineo meeeeengi ambayo yanatukwanza wanzanzibari la muhimu tu tumuombee dua Allah amuongoze nia ya haki na yote InshaaAllah yatakaa sawa . Zanzibari kwanza👍
Dada hongera umeongea vizur sana tna kwa point, ila hpo suala la elimu kuhusu ufaulu wa bongo mm nafikiria Zanzbar kidgo elimu yetu ni nyepesi Mno kulingna na Tzania bara.. Nandiomna Wzanzbr tunafel sana hatufati mifumo wanotumia wezetu wa Bara. Utamkuta mwalimu Kiswahili zanzbr amepewa kusomesha Chemistry hapo ndugu zngu Siku zote tutalaumu kua Zanzbr tunafel.
@@alonealvin4534 zanzbr elimu yake ni tofauti na bongo.. mm nakuambia ninazo hoja madhubuti hatakma mithn itasainishiwa zanzbr Bdo zanzbr wanafunz waloweng hawatofaulu... Kuazia vitabu vinavotumika kusomeshewa zanzb haviendan na vya Bongo.. Utakuta selybus wanazotumia kutungia mitihn ya taifa zanzbr hazifuatwi ipasavyo
Ata Mimi niliacha kazi ya uwalimu kutokana na maslah haikidhi haja Muheshimiwa makamo wa pili wa Rais ananielewa vizuri ni class mate wangu Hongera Bint Kwa kusimama kidete kutetea Haki zenu wanafunzi Shukran Muheshimiwa Rais Alla akufanyie wepesi kila penye zito
What if Tanganyika students ask for their own curriculum like how it is for zanzibar students. I think Tanzania curriculum for Tanzania students by which zanzibar is among will be out of use and there will be no more a so called Tanzania curriculum. Just opinion.
@@deomatochi9179the issue is not curriculum coz is clearly followed by all. We want to make free commission for directing examination issue concerning to results from national examination. If we are free to elect a president in our own country, why we don't given a chance to make and mark our own examination and select students?
Naam elimu watuachie wenyewe Zanzibar tutunge mitihani na isainishwe Zanzibar tumechoka na maziro ya kupewa mm mtoto wangu Alhamdulillah Maa shaa Allah ameongoza matokeo ya daras la 10 skuli nzima halafu huko mbele uje unambie ana zero siwezi amini
Well dane umeongea maneno mazito yenye kuku sisimua maana kuchaguliwa rais lazima ujiamini na kazi zote za katika nchi yako sio kuamuliwa na waamuzi ambao ni wana nchi yao na serekali yao huu ni mshiba mkubwa kwa inasikitisha sana sana SubhanaAllah
Kabisa mama amefanya kazi kuanzia mwaka 1978 lakin hakuna faida aliyopat mpaka amefarik Bora mshahar wamfanya kaz oman ni mzur kuliko walimu wa Zanzibar maana Daa wanamshahar mzur
Amegusa sehemu nyeti Sana huyu mwanangu jamani ambapo Ni ngumu kwa viongozi wa Zanzibar kuyazungumza Ila haki itaendelea kuwa wazi kadri siku ziendavyo.Allah amuhifadhi nakila mwenyeshari.
Daah huyu sister Do anauelewa wahali yajuu nakama hatukuchulia sireus maisha yote wa zanzibar Tutakuw hiv hivi siku zote Unamkuta mtto msahafu mzima umo kichwani nk
Mashaallah Allah akuzdishie kwa kuwa mkweli kwa akili zako nzuri tafuta ukweli popote na ukigundua tu ulipo ukweli basi ufuate usiuwache katu .we inavo onesha moyoni mwako unapend haki ndio Leo ukaweza kuyasema Yale ya haki pia kna haki ya mfumo wa maisha yako ichunguze kwa makini sio ya haki .basi wee ni mfuasi wa haki fata haki Allah atasimama na wee .wala usiogpe kma ulivo kuwa hujaogopa hapo .kwa ninavo kuhisi akli yko ni nzuri wengi kma wee walipo ugundua ukweli wameufuat ( uislmu )ahsante uislamu unapenda ukweli karibu kwenye ukweli na haki .nakunasihi mimi sabab hayo ni majukumu yetu .ahsante (by kifasihi)kuwa mtolewa nakusihi ndugu yangu
Si hayo tu hata utaratibu wetu wa mapumziko ubadilishwe jumamosi tunapumzika nini kwani sisi wasabato, la mishahara ya walimu ni rahisi tu badilisha tu mishahara wa mbunge apewe mwalim na wa mwalim apewe mbunge hapo ndo tutaona wazalendo wa kweli wanataka madaraka, kana kwamba hiyo haitoshi hebu pangeni mishahara mmoja tu tofauti iwe katika uzito wa kazi kulingana na elimu yako, na kulipwa kuwe kwa. Masaa ya kazi ikiwezekana futa kabisa mapumziko iwe ni uamuzi wa mtu na kulipwa ni kutokana na mahudhurio yako kulingana na Masaa yako ya kazi
Tunapenda kulalamika ,sina shaka na marking kufanyika bars,tujiulize walopasi znz hawapo,na wanofeli wamefeli wapi? Watoto wa Zanzibar mapenzi kwanza,ubishoo muhimu ,tuition mia lazima . je niuwongo?!
Kweli walimu wapewe mishahara mizuri wapate moyo zaidi wa kufundisha na wapate muda wa kupumzika wakitoka kazini sio wakatafute kazi nyengine baada ya kutoka kusomesha skuli
Mdogo wangu umeongea vizuri sana,Allaah akulipe kheri.
Inshallah kwA sote
Hongera sana
ndugu yangu umetuwakilisha vyema, mashaallah, ahsante sana.
Pg
Shukrani sana. Ni vizuri Wanafunzi wahimizwe kuwa wabunifu na wawe na uwezo wa kuelimisha kama alivyo huyo mwanafunzi .
.
Masha Allah hongera sana mwanafunzi kwa kuzungumza ukweli na maneno ya hekma kila la kheri katika masomo yako insha Allah nimeipenda speech yako. you have confidence
Ni ya ukweli uloyaongeya mdogo wangu siuongo inshaallah Mungu ajaliye yafanyiwe kazi. Hongera sana umeongeya point.
Hongera sana mdg wangu umeongea pont👏👏👏👍😘
Allah akupe upeo zaidi Kuzidi kujiamini na akusaidie hekima pia
MaashaaAllah MaashaaAllah
Ahsante mwanafunzi tunaumani kwa raisi wetu huyu mpya ni muelewa na sio mbumbumbu na ni mzalendo na anajielewa na anahisia za uzanzibari wake atalifanyia kazi hilo na mengineo meeeeengi ambayo yanatukwanza wanzanzibari la muhimu tu tumuombee dua Allah amuongoze nia ya haki na yote InshaaAllah yatakaa sawa .
Zanzibari kwanza👍
Ukitaka kutawaliwa lazima unyimwe elimu katika kuungana Zanzibari na Tanganyika elimu haimo kwenye Muungano
Huyu atakua mwanaharakati wa badae mashallah
Mashaa Allah umeongea hakika walio wengi huona kumuambia ukweli kiongozi ni kama kumtukana ila ww hauko ivo.
Asante bi dadat kwa kuongea ukweli Allah akubariki
Kabisa mwanafunzi unaongea hakika, unapo kwenda bara vyuo vikuu ukiambiwa walopata 1 unawapita wengi wao hawana lolote wanapeana tu
Maneno kuntu,hijabu ya kauli please.
Safi sana mdogo wangu umeongea yamuhim sana kwa taifa la zanzibar
Asante
Wazanzibari wanajua kujieleza maashaa Allah.
Haogopi na nakipaji cha kusema na ana points pia
Mashaallah allah akuzidishie
Mashaallah mungu akuongoze umeongea vizuri sana
Mashaallah tabaraka llahu
Asamteee sana dada yng kwa kutuwakilisha vyema wnafunxi wenzako mh raisi umeyasikia hivyo uyatilie mananaii maana wazanzibar wengi wanafeli
Oho girl you genius you are going to be a very important person in this country. Keep it up.
Ukitaka kuangamiza taifa tumia mfumo mzima wa Elimu tu bas
Huna hajayakutumia mabom au guvu za jeshi nk
Alhamdulillah upo vizuri mwanangu Allah Akubarik ktk masomo yako
Maneno mazima kabisa mdada maa Shaa Allah hata mm inaniuma Sana Zanzibar km Zanzibar tunaendeshwa na third partماحصت،
Natumai Mheshimiwa rais tuko pamoja tunangoja maamuzi yako mema na Mungu akuongoze na jopo lako lote ameen znz oyeeeeee
Oyeeee
Znz acheni ubaguzi,tanzania ni moja.
Asante Sana dugu yg umetuwakilisha na umeongea bwent mzuri kweli asante
wazanzibari wakipata nafasi wanaongea na wala hawaogopi. Ila siasa kandamizi ndio zinazo tuumiza. Asili yetu sisi sio wakandamizaji wala wakandamizi.
Masha Allah
Dadaangu umeongea vizurii sanaaa wanatunyima haki zetuu namapato ya Zanzibar yabakie Zanzibar ili ipate mandeleoooo
Hongera carolina u just speak truth only truth big up vikoooo👏👏
Mashallaah Allaah Akubaarik
Dada hongera umeongea vizur sana tna kwa point, ila hpo suala la elimu kuhusu ufaulu wa bongo mm nafikiria Zanzbar kidgo elimu yetu ni nyepesi Mno kulingna na Tzania bara.. Nandiomna Wzanzbr tunafel sana hatufati mifumo wanotumia wezetu wa Bara. Utamkuta mwalimu Kiswahili zanzbr amepewa kusomesha Chemistry hapo ndugu zngu Siku zote tutalaumu kua Zanzbr tunafel.
Hoja si kusomesha masomo yaliokuwa si ya mwalimu husika...hoja ni mitihani kusahihishwa na kusainiwa znz
@@alonealvin4534 zanzbr elimu yake ni tofauti na bongo.. mm nakuambia ninazo hoja madhubuti hatakma mithn itasainishiwa zanzbr Bdo zanzbr wanafunz waloweng hawatofaulu... Kuazia vitabu vinavotumika kusomeshewa zanzb haviendan na vya Bongo.. Utakuta selybus wanazotumia kutungia mitihn ya taifa zanzbr hazifuatwi ipasavyo
Ata Mimi niliacha kazi ya uwalimu kutokana na maslah haikidhi haja Muheshimiwa makamo wa pili wa Rais ananielewa vizuri ni class mate wangu
Hongera Bint Kwa kusimama kidete kutetea Haki zenu wanafunzi
Shukran Muheshimiwa Rais Alla akufanyie wepesi kila penye zito
Kweli dada angu au???
What if Tanganyika students ask for their own curriculum like how it is for zanzibar students. I think Tanzania curriculum for Tanzania students by which zanzibar is among will be out of use and there will be no more a so called Tanzania curriculum. Just opinion.
@@deomatochi9179the issue is not curriculum coz is clearly followed by all. We want to make free commission for directing examination issue concerning to results from national examination. If we are free to elect a president in our own country, why we don't given a chance to make and mark our own examination and select students?
Hongera jamani kaongea kweli ivi zanziba hakuna walimu wakusainisha iyo mitihani
Mashaaallah hongera sana ndugu umewaakilisha vizur
Naam elimu watuachie wenyewe Zanzibar tutunge mitihani na isainishwe Zanzibar tumechoka na maziro ya kupewa mm mtoto wangu Alhamdulillah Maa shaa Allah ameongoza matokeo ya daras la 10 skuli nzima halafu huko mbele uje unambie ana zero siwezi amini
Great this is women power 👍👍👍👍👍yesss
Hongera sana dada anguu umeongea point
Vzur umeitetea Zanzibar na Ana juwa kuongea
Darasa la 7 lirudi km zaman maana watoto wa sku hiz darasa 6 ni wadogo sana wengine hata kusoma hawajuwi.
daima ukizungumza haki huogopi cc yule unae mueleza ayafaham mazingira yaliopo na kuyatekeleza ni wajibu wake
Umefikisha ujumbe wawengi asante sana dadaangu
Great!
This is very talented girl .
Mashallah.
Maaaaashallah umenenee Nduguu
Mashallah nice
Unaakili sana ostadhat,🥰🥰🥰
MaashaaaALLAAH bint ndie
Good point dada mungu akulinde
Nimekupendaa bureee bureeeee Mashallah....
Well dane umeongea maneno mazito yenye kuku sisimua maana kuchaguliwa rais lazima ujiamini na kazi zote za katika nchi yako sio kuamuliwa na waamuzi ambao ni wana nchi yao na serekali yao huu ni mshiba mkubwa kwa inasikitisha sana sana SubhanaAllah
Kabisa mama amefanya kazi kuanzia mwaka 1978 lakin hakuna faida aliyopat mpaka amefarik
Bora mshahar wamfanya kaz oman ni mzur kuliko walimu wa Zanzibar maana Daa wanamshahar mzur
Vizuri mdogo wangu
Hongera sanaa my sstry
Mashhallah safisana
Mwambieni huyo. Nchi inaangushwa kielimu serikali imelalaa. Zanzibar mambo yake ifanye yenyewe.
Kweli kabisa
Mashalla ukhty kwa mazur yaliyomo kwenye akili zetu kuyawasilisha.
Asalam alaykum shukran ndugu tunahitaji utekelezaji
Amegusa sehemu nyeti Sana huyu mwanangu jamani ambapo Ni ngumu kwa viongozi wa Zanzibar kuyazungumza Ila haki itaendelea kuwa wazi kadri siku ziendavyo.Allah amuhifadhi nakila mwenyeshari.
Binti huyu ni hatari !
Daah huyu sister Do anauelewa wahali yajuu nakama hatukuchulia sireus maisha yote wa zanzibar Tutakuw hiv hivi siku zote
Unamkuta mtto msahafu mzima umo kichwani nk
Masha allah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umejitahidi kuongea
Mashallah watoto wakizanzibari wakiongea wanazivuta hisia watu.ila hawapewi kipao mbele tu.
mashallah
Asante .wote mlionipongeza Kwa hili nitajitahidi zaidi .
Na mnisamehe wale mlioona nimenena vibaya
Upo vzr hujaongea kibaya ila wajinga km hao wapo hata ukwel huupinga kw maslah yao binafsi
@@mudysule5495 thanks
Big up to uh love carolina💝💝 big up vikoooo 👏👏👏
Mashaallah Allah akuzdishie kwa kuwa mkweli kwa akili zako nzuri tafuta ukweli popote na ukigundua tu ulipo ukweli basi ufuate usiuwache katu .we inavo onesha moyoni mwako unapend haki ndio Leo ukaweza kuyasema Yale ya haki pia kna haki ya mfumo wa maisha yako ichunguze kwa makini sio ya haki .basi wee ni mfuasi wa haki fata haki Allah atasimama na wee .wala usiogpe kma ulivo kuwa hujaogopa hapo .kwa ninavo kuhisi akli yko ni nzuri wengi kma wee walipo ugundua ukweli wameufuat ( uislmu )ahsante uislamu unapenda ukweli karibu kwenye ukweli na haki .nakunasihi mimi sabab hayo ni majukumu yetu .ahsante (by kifasihi)kuwa mtolewa nakusihi ndugu yangu
Hongera my C
Ndugu yngu umeongea point haiwezekani miaka yote znz tuwe mapocho ipo namna na hili lazima lifanyiwe kazi .
dada yangu umeongea vizuri sana
Mashaallah
Dả wa znz kweli wana akili mtoto kama mtu mzima
Mchukuw vdeo hafai pic ya student ni kivul
Allah akulinde na hasad lakni unaongea na watu wasiojitambua
Si hayo tu hata utaratibu wetu wa mapumziko ubadilishwe jumamosi tunapumzika nini kwani sisi wasabato, la mishahara ya walimu ni rahisi tu badilisha tu mishahara wa mbunge apewe mwalim na wa mwalim apewe mbunge hapo ndo tutaona wazalendo wa kweli wanataka madaraka, kana kwamba hiyo haitoshi hebu pangeni mishahara mmoja tu tofauti iwe katika uzito wa kazi kulingana na elimu yako, na kulipwa kuwe kwa. Masaa ya kazi ikiwezekana futa kabisa mapumziko iwe ni uamuzi wa mtu na kulipwa ni kutokana na mahudhurio yako kulingana na Masaa yako ya kazi
Tunapenda kulalamika ,sina shaka na marking kufanyika bars,tujiulize walopasi znz hawapo,na wanofeli wamefeli wapi? Watoto wa Zanzibar mapenzi kwanza,ubishoo muhimu ,tuition mia lazima . je niuwongo?!
Daaaah hongera cna ndugu yangu kwa kusema ukweli
Mashallaha
Dada nakukubali na ninakupenda sana
Hongera dada umeongea vitu vya maana sana na yenye hamasa
Upo sawa
Munapenda.san kujipura tatzo lenu ziro nyingi hampo makini kwenye kusoma walimu wenye elimu zao atakaa znz wapo mikoani wanakula bata
👍👍👍
True student🙏🙏🙏🙏
Kweli umeongea walimu wapewe thamani bila ya Allah na walimu hatuwezi shika kalam
Hiii ndio maaana halisi ya elimu
Hongera sana bint maswali yako ni mazuri sana
Saw
Asante ww umeongea tunahitaji tujimiliki wenyewe wazanzibar tuna uwezo na ufanisi mkubwa
Asante san ndug yang
💯👍
Hongera sana binti
Honger mamyyy
Kweli walimu wapewe mishahara mizuri wapate moyo zaidi wa kufundisha na wapate muda wa kupumzika wakitoka kazini sio wakatafute kazi nyengine baada ya kutoka kusomesha skuli
Hongera kwa kutuwakilisha
Point ya darsa la saba kurdishwa ninzur
Nice one
Good girl ♥️
Hongera dada umeongea point ya msingi darasa la saba pirudi watoto wa darasa la sita ni wadogo wa kuchanganua mambo,🤸
Dogo NAUNGA mkono asilia 100
Nikweli dd hayo yote yapo
Ni kweli kabisa sister mitihani tunafelishwa
Huyo ata kuwa makamu wa rais
Amina nimepokea
Mahafidhina wameiuza Zanzibar kwa Mkoloni Tanganyika.