Jamani mie hii CCM imenitia maradhi, imefikia kitu chochote chenye hizi rangi za ccm miye huwa nakitilia mashaka, huwaga najitahidi kujizungumzisha lakini haisaidii, na hii inafanya maisha kuwa ngumu, hata kama wala sipo tena huko Bongo karibu miaka 30 kwa sasa.
Hilo sio sawa, kuwa Katibu Mkuu wa CCM kama chama tawala ni cheo kikubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu, hakuna tena nafasi ya uteuzi inayomfaa labda aombe Urais wa Nchi. Katibu Mkuu wa CCM ni Mkuu wa Watumishi wote wa Serikali isipokuwa Rais tu ambae ni Mkuu wa Serikali, Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Naomba UIANGALIE Zanzibar katika utekelezaji wa majukumu yako. Kwa kutotekelezwa makubaliano ya Muungano CCM wa Zanzibar tunapata shida sana kukinadi chama chetu baadhi ya mambo yanayoelezwa na wapinzani wetu kuna asilimia fulani ya UKWELI.
UTABAKI KUWA JUU, BABA!!! AINA HII NDIYO YA VIONGOZI NDIYO TUNAOWAKOSA KTK MIAKA HII, BADALA YA YAKE NI VIONGOZI UNAONA WATU KAMA WAKINA MBOWE WAKIJIMILIKISHA MALI ZA VYAMA MA KUBAKI MADARAKANI MUDA WOTE!!
wenye akili wamemuelewa! "Tumikia nafasi uliyonayo kwa weledi bila kuwaza kwamba nafanya ili nije nipate madaraka ya juu, ukitumikia vema ulipo sifa zako zitakubeba"
Wewe ndiye Jemadari wa siasa Baadhi ya Wanasiasa ni walevi wa madaraka ASANTE Dr Bashiru
Namfananisha na nyerere
😀😀 na baadae akateuliwa ukatibu mkuu kiongozi lkn hakuukataa
Safiii kamanda
Uko wapi sasa.msiwemnaongea.mnamaliza maneno.
Mbona sasa umeteuliwa ubunge umekubali tonge linamambo kweli 🤣🤣🤣🤣
HIT MAN WA MAGUFULI.NI BORA SASA UPUMZIKE WATU WAKU SHUGHULIKIWA RAIS SAMIA HANA.
LAKIN TUNAJUA ULIKUA UKIFANYA NINI.ALLAH ANAKUNGOJA.
Kiongozi akiwa hana agenda ya kuongelea huwaga anaropokwa tu hahahaha
Dr Bashiru atakuwa Rais ndani ya miaka 10 ijayo
Hahahaaa,,,,,ni mapema mno ndugu Bashiru!!!!!!!!
vp saiv alikataa ubunge wa kuteuliwa?! Je alikataa katibu mkuu kiongozi? aisee
Uongo dhambi yaani
Jamani mie hii CCM imenitia maradhi, imefikia kitu chochote chenye hizi rangi za ccm miye huwa nakitilia mashaka, huwaga najitahidi kujizungumzisha lakini haisaidii, na hii inafanya maisha kuwa ngumu, hata kama wala sipo tena huko Bongo karibu miaka 30 kwa sasa.
Keshakiuka ahadi yake hiyo! Mdomo huumba!!!
Hilo sio sawa, kuwa Katibu Mkuu wa CCM kama chama tawala ni cheo kikubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu, hakuna tena nafasi ya uteuzi inayomfaa labda aombe Urais wa Nchi. Katibu Mkuu wa CCM ni Mkuu wa Watumishi wote wa Serikali isipokuwa Rais tu ambae ni Mkuu wa Serikali, Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Naomba UIANGALIE Zanzibar katika utekelezaji wa majukumu yako. Kwa kutotekelezwa makubaliano ya Muungano CCM wa Zanzibar tunapata shida sana kukinadi chama chetu baadhi ya mambo yanayoelezwa na wapinzani wetu kuna asilimia fulani ya UKWELI.
UTABAKI KUWA JUU, BABA!!! AINA HII NDIYO YA VIONGOZI NDIYO TUNAOWAKOSA KTK MIAKA HII, BADALA YA YAKE NI VIONGOZI UNAONA WATU KAMA WAKINA MBOWE WAKIJIMILIKISHA MALI ZA VYAMA MA KUBAKI MADARAKANI MUDA WOTE!!
Safi sana baba
Hili ni linafiki hakuna mzalendo hapo
Safi
aise. huyu kiongozi atabak kuwa juu. tuna imani na ww katibu
wenye akili wamemuelewa! "Tumikia nafasi uliyonayo kwa weledi bila kuwaza kwamba nafanya ili nije nipate madaraka ya juu, ukitumikia vema ulipo sifa zako zitakubeba"
2025
Ngonjera anamdanganya nani? Eti huo ndiyo utamaduni wa CCM. Ebo
M
dokta magufuri alikuona hajakosea kwako Fanya kz unaendana na kasi yamweshimiwa
Bashite je? Utamaduni wa CCM?
Aisee katibu Umeziba pengo mpaka imekua ova halijawah kung'oka
Utamaduni wa ccm? Mwongo!!!
Kwa nini huyu jamaa anasema maneno haya?
Kijana Abdu kashaona ngoma ngumu
Unamaanisha au ?????
KAMUULIZE MEMBE ANA MAANA GANI, NAFIKIRI YEYE ATAKUWA ANAELEWA ZAIDI! MAANA HABARI ZA WATU KUWA NA MIKIA MIFUPI MEMBE ANAZIELEWA ZAIDI.
Uko wapi sasa.msiwemnaongea.mnamaliza maneno.