BASHIRU AKATAA KUTEULIWA TENA "SITAKUBALI KUTEULIWA, SITAGOMBEA NIKISTAAFU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 33

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Год назад +1

    Wewe ndiye Jemadari wa siasa Baadhi ya Wanasiasa ni walevi wa madaraka ASANTE Dr Bashiru

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 5 лет назад +3

    Namfananisha na nyerere

  • @philipkomba5525
    @philipkomba5525 Год назад +1

    😀😀 na baadae akateuliwa ukatibu mkuu kiongozi lkn hakuukataa

  • @jeffcash5437
    @jeffcash5437 5 лет назад +2

    Safiii kamanda

  • @sophiaabeid6024
    @sophiaabeid6024 3 года назад +1

    Uko wapi sasa.msiwemnaongea.mnamaliza maneno.

  • @petershokolo9894
    @petershokolo9894 3 года назад +1

    Mbona sasa umeteuliwa ubunge umekubali tonge linamambo kweli 🤣🤣🤣🤣

  • @abdul2780
    @abdul2780 3 года назад

    HIT MAN WA MAGUFULI.NI BORA SASA UPUMZIKE WATU WAKU SHUGHULIKIWA RAIS SAMIA HANA.
    LAKIN TUNAJUA ULIKUA UKIFANYA NINI.ALLAH ANAKUNGOJA.

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 3 года назад +1

    Kiongozi akiwa hana agenda ya kuongelea huwaga anaropokwa tu hahahaha

  • @eutychusthiongo1335
    @eutychusthiongo1335 3 года назад

    Dr Bashiru atakuwa Rais ndani ya miaka 10 ijayo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад

    Hahahaaa,,,,,ni mapema mno ndugu Bashiru!!!!!!!!

  • @michaelmugashe5963
    @michaelmugashe5963 2 года назад +1

    vp saiv alikataa ubunge wa kuteuliwa?! Je alikataa katibu mkuu kiongozi? aisee

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 3 года назад +1

    Uongo dhambi yaani

  • @peterchibukumakomeo3031
    @peterchibukumakomeo3031 3 года назад

    Jamani mie hii CCM imenitia maradhi, imefikia kitu chochote chenye hizi rangi za ccm miye huwa nakitilia mashaka, huwaga najitahidi kujizungumzisha lakini haisaidii, na hii inafanya maisha kuwa ngumu, hata kama wala sipo tena huko Bongo karibu miaka 30 kwa sasa.

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 3 года назад +1

    Keshakiuka ahadi yake hiyo! Mdomo huumba!!!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 5 лет назад

    Hilo sio sawa, kuwa Katibu Mkuu wa CCM kama chama tawala ni cheo kikubwa zaidi kuliko Waziri Mkuu, hakuna tena nafasi ya uteuzi inayomfaa labda aombe Urais wa Nchi. Katibu Mkuu wa CCM ni Mkuu wa Watumishi wote wa Serikali isipokuwa Rais tu ambae ni Mkuu wa Serikali, Nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Naomba UIANGALIE Zanzibar katika utekelezaji wa majukumu yako. Kwa kutotekelezwa makubaliano ya Muungano CCM wa Zanzibar tunapata shida sana kukinadi chama chetu baadhi ya mambo yanayoelezwa na wapinzani wetu kuna asilimia fulani ya UKWELI.

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 5 лет назад +3

    UTABAKI KUWA JUU, BABA!!! AINA HII NDIYO YA VIONGOZI NDIYO TUNAOWAKOSA KTK MIAKA HII, BADALA YA YAKE NI VIONGOZI UNAONA WATU KAMA WAKINA MBOWE WAKIJIMILIKISHA MALI ZA VYAMA MA KUBAKI MADARAKANI MUDA WOTE!!

  • @eddybayzor5072
    @eddybayzor5072 5 лет назад

    Safi sana baba

  • @labanbishirabandi3740
    @labanbishirabandi3740 3 года назад

    Hili ni linafiki hakuna mzalendo hapo

  • @idifonceshizle
    @idifonceshizle 5 лет назад

    Safi

  • @justinewaziri7082
    @justinewaziri7082 5 лет назад +1

    aise. huyu kiongozi atabak kuwa juu. tuna imani na ww katibu

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE 5 лет назад

    wenye akili wamemuelewa! "Tumikia nafasi uliyonayo kwa weledi bila kuwaza kwamba nafanya ili nije nipate madaraka ya juu, ukitumikia vema ulipo sifa zako zitakubeba"

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 3 года назад

    2025

  • @akwanzamtenga2174
    @akwanzamtenga2174 5 лет назад +1

    Ngonjera anamdanganya nani? Eti huo ndiyo utamaduni wa CCM. Ebo

  • @mwanaidizumo6364
    @mwanaidizumo6364 3 года назад

    M

  • @damkanyembe5884
    @damkanyembe5884 4 года назад

    dokta magufuri alikuona hajakosea kwako Fanya kz unaendana na kasi yamweshimiwa

  • @akwanzamtenga2174
    @akwanzamtenga2174 5 лет назад

    Bashite je? Utamaduni wa CCM?

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 5 лет назад

    Aisee katibu Umeziba pengo mpaka imekua ova halijawah kung'oka

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 лет назад

    Utamaduni wa ccm? Mwongo!!!

  • @kijanaabdu7732
    @kijanaabdu7732 5 лет назад +1

    Kwa nini huyu jamaa anasema maneno haya?

  • @eddokasanga6338
    @eddokasanga6338 5 лет назад +1

    Unamaanisha au ?????

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 5 лет назад

      KAMUULIZE MEMBE ANA MAANA GANI, NAFIKIRI YEYE ATAKUWA ANAELEWA ZAIDI! MAANA HABARI ZA WATU KUWA NA MIKIA MIFUPI MEMBE ANAZIELEWA ZAIDI.

  • @sophiaabeid6024
    @sophiaabeid6024 3 года назад +1

    Uko wapi sasa.msiwemnaongea.mnamaliza maneno.