Uko sahihi sana Mwandishi. Nuhu alikuwa albino. Na ukweli ni kwamba Adam na Eva walikuwa weusi hawakuwa wazungu ndio sababu ya waandaaji wa bible ambao ni wazungu waliamua kukiondoa kitabu cha Enoki ambaye alikuwa mweusi(Mwafrika)kama alivyokuwa Adam.
UNAJIDANGANYA NA UNAPOTEA BURE. MUNGU HADHIHAKIWI. BIBLIA NI NENO LA MUNGU LILILO HAI. NA MUNGU ALIWATUMIA WANADAMU KUANDIKA WAKIVUVIWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU. SIYO MANENO / MATAKWA YA MWANADAMU.
Me nilijua wewe ni libaba flani hivi kwa ajili ya base lako, kumbe ni kabawana mdogo tu. Hongera🎉 ila usingejionesha kwenye video hiyo ilikua kama utambuliosho wako.😂😂😂 mpaka watu tukuzoee tukikuona. itachukua muda sana. Sasa twende kazi
Inaonekana watu wa zamani walikuwa weusi maana kama wangekuwa weupe wasingeshangaa sana rangi ya mtoto, inawezekana ndo maana haijawekwa kwenye biblia na hata kitabu cha nuhu hakipo!!
Nakubali sana mwamba endelea kuweka video zako bhana,tengeneza setting ya studio au Set za out door Kali kali, ili watu wakujue na Deal Zingine ziendelee ma indozment namakila kitu ufaidike na kaziyako😂👍
Je.kweli malaika anazaa mwanadamu Yani Rohi izae na mwili huo ni upotoshaji Pia mpangalio wa vitabu ktk bible vimekamilika vinajitoshereza na vinatimiza unabii
Unaonekana yanalenga sana nyuma ya camera pekee upo fokasi sana kuangalia usawa mmoja ikiwezekana weka sawa na mazingira ya uwazi na yenye kuvutia zaidi tumeyakumbuka sana, Justin shedi Zanzibar Tunakukubali sana
Sio yote uliyosema ni ya ukweli, mengine uongo. Alafu zingatia sana unapotoa hadithi kutoka kwenye apocryphal books usisambaze kama vile una uhakika. Kuna sababu za msingi ndio maana viliachwa kuwekwa kwenye biblia
Shuhuda ziko nyingi, wengi walitamani kujua mambo megi kuhusu Mungu wakajitahidi kuchimba Ili wajue ukweli na mwisho wakajikuta wanatokezea kuzimu wakapotelea huko. Kuwa makini FUATA KILE YESU KRISTO ALICHOKIFUNUA NA ROHO WAKE MTAKATIFU. LAKINI PIA KUKOSA KUONGOZWA NA ROHOVMTAKATIFUVHUKUFANYA UJITAFUTIE MAFINUO YAKO MWENYEWE NA KUPOTOSHA WENGI.
Mtazamo wangu ni juu ya stail mpya ya maudhui. Sipati feeling ya kuwa unaongea na mimi kutokana na kuwa unatazama pembeni kabisa. Eyes on camera ni off kabisa... Ni furaha kukufahamu lakini nafkiri video yako ingetutosha kwenye muhtasari na baadae tupate mchanganyiko wa picha za wahusika kama awali ilivyokuwa
ushauri wangu.. 1.Bora tu utuekee picha tu za maelezo usieke video yako. nahis km zmepoteza ile haiba na ladha yko.. hamu y watu n.k. lkn ikiwa ni lazma kueka video yko basi rekebisha uwezo wa mpiga picha wako bdo ni mdogo .. kw body yako inabidi atumie shot mbili tu. close up na extrmly close up
Yes ni ukwer kabsaaaa mm nlimwambia mtu kisa cha nuh Na kisa cha Enoch ni sawa sbb galika lilikuja sabb ya wale nephilims na nephilims walkuja kwny kisa cha enock ukwer kama hii story amtamin vipi mkiadsiwa story ya annunaki si mtakufa nyie
Enock Alkua mweusi na enock ni mjukuu wa Adam Na Eva Na iyo tukio lote limefanyika Ethiopia 🇪🇹 vitabu vya nuh vimekutwa Ethiopia ata kanisa la exodus lipo Ethiopia Mungu annunaki alishuka EASTAFRICA kufata zahabu kilA kitu kimeanzia Ethiopia
Usije ukafananishwa na watu waliochumbiana wakapeana picha halafu baadaye waoana wakawa wanazidi tu kuziangalia picha zao wakati Sasa wako pamoja wafurahie kuonana USO Kwa USO. Sasa ukiona hivyo hapo Kuna shida.
Swari la kujiuriza:::kwan albino wanamacho yanayowaka kama mwanga wa jua hata akiwa chumban macho yake yanamulika chumba kizima ?? Jibu ni hapana albino Wana uon hafifu; Swal la pili::: je albino wananywele nyeupe kama theruji? Jibu ni hapana hawana nywele nyeupe
Nilitamani ufanye simulizi za sauti na picha tu...ila si wewe kuonekana kwenye midia. Hii ingeleta impact kubwa na kukufanya uwe bidhaa adimu sana. Jaribu kufanya hivyo it can bring results later.
Tutolee upuuzi wa kuleta habari za uongo huku ukigusa imani za watu (Imani ya Wakristo)!! Malaika wa Mungu hawawezi kuzaa na wanadamu, Malaika wa Mungu wameumbwa (programmed) KUFUATA TU KILE WANACHOAMBIWA NA MUNGU na hawana option ya kukataa au kufanya tofauti.
Wewe nae emb acha uongo! Na vichwa vya habari chonganishi! Biblia haiwezi kuandika kila kitu sijui rangi mbona, yesu wa karibuni hawajui rangi yake, na hivyo vitabu kama enoc,tobiti na wamakabayo! Viliandikwa kipindi cha giza ambapo Mungu hakutoa ufunuo kwa watumishi wake... Ndomn havijawekwa kwenye maandiko!...
Uko sahihi sana Mwandishi. Nuhu alikuwa albino. Na ukweli ni kwamba Adam na Eva walikuwa weusi hawakuwa wazungu ndio sababu ya waandaaji wa bible ambao ni wazungu waliamua kukiondoa kitabu cha Enoki ambaye alikuwa mweusi(Mwafrika)kama alivyokuwa Adam.
Inaonyesha baada Nuhu kuzaliwa ndipo wazungu ambao nao ni albino tu kama Nuhu alivyokuwa wakaanza kuonekana duniani
UNAJIDANGANYA NA UNAPOTEA BURE. MUNGU HADHIHAKIWI. BIBLIA NI NENO LA MUNGU LILILO HAI. NA MUNGU ALIWATUMIA WANADAMU KUANDIKA WAKIVUVIWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU. SIYO MANENO / MATAKWA YA MWANADAMU.
Me nilijua wewe ni libaba flani hivi kwa ajili ya base lako, kumbe ni kabawana mdogo tu. Hongera🎉 ila usingejionesha kwenye video hiyo ilikua kama utambuliosho wako.😂😂😂 mpaka watu tukuzoee tukikuona. itachukua muda sana. Sasa twende kazi
Nimefurahi sana kukuona kwa mara ya kwanza Bwana Justin shady
Kiukakika napenda video zako kaka zaelimisha kweli🇰🇪🔥🔥🇹🇿
Inaonekana watu wa zamani walikuwa weusi maana kama wangekuwa weupe wasingeshangaa sana rangi ya mtoto, inawezekana ndo maana haijawekwa kwenye biblia na hata kitabu cha nuhu hakipo!!
Sure broo wazungu wahuni sana
kingine uyo ndio chimbuko la ngozi nyeupe zote dunian
I got a very big understanding in biblical stories, Noah was albino,I knew that
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big Justin Sheed Sauti Yako Tamu 🥰🥰🥰🥰
Mimi Leo ndo nime kuona Sasa sijajua huenda sio mfatiliaji Sana au vip🎉
Ulivyokua una hadithia bila kuonekana story ilikua kali sana
Uta mzoea tu
MNAPOTOSHWA
Uko vizur sana Justine Shed may God bless u man of God
Kweli Sasa hivi Uposhwaji, Dhambi vimekuwa vitu vya kushangiliwa. Na yote sababu ya kukosa kuongozwa na Roho wa Mungu.
JUSTIN...ENDELEA NA SIMULIZI NA PICHA TU KAKAA, ILIKUA POWA SANA
Mmh!!!
Tuwekee sauti tu, video hazipendezi 😂😂
Tutachanganya, kuna aina za video hatuwezi weka picha kwasababu hakuna picha zake.
Nakubali sana mwamba endelea kuweka video zako bhana,tengeneza setting ya studio au Set za out door Kali kali, ili watu wakujue na Deal
Zingine ziendelee ma indozment namakila kitu ufaidike na kaziyako😂👍
Kwenye kitabu Cha Enoch kmeelezwa kuzaliwa kwake kwa ajabu mtoto wa mjukuu wake Enock
Daah !! Wee ni kiboko sanaa nakukubali kaka Justin mwana wa shed
umbri na sauti yako tofauti kbs kumbe ndo wewe ☝️
Akili za kuambiwa, ongeza zako...au Enock alimtabiri Nuhu kuwa atakuja kuzaliwa
Haihusu, hayo ni mapenzi ya Mungu msiyajadili
Najiandaa kucomment......
Umerud tena kwenye kochi😮
Unasimulia vizur Sana🙋🙋 hongera sana
Nuhu hakuwa albino ila nikwasababu ni nuru iyo kuja kuwangoza watu bada ya kupotea kwa kukithisha maovu
Mimi ndie Nuhu ila nawapa siri msimwambie mtu.
😂😅😂
🎉🎉🎉Sasa twende kazi 🔥🔥🔥
Je.kweli malaika anazaa mwanadamu Yani Rohi izae na mwili huo ni upotoshaji
Pia mpangalio wa vitabu ktk bible vimekamilika vinajitoshereza na vinatimiza unabii
Nakuku Bali unachimbua
Hapo safi Leo umekuja kuja
Unaonekana yanalenga sana nyuma ya camera pekee upo fokasi sana kuangalia usawa mmoja ikiwezekana weka sawa na mazingira ya uwazi na yenye kuvutia zaidi tumeyakumbuka sana, Justin shedi Zanzibar Tunakukubali sana
Sauti nikitu cha ajabu sana kabisa 🔥🔥🔥🔥
Happy to see you🎉
Amazing ❤❤❤
Sasa twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mkn sana
Siku ya mwisho maubiri yatakua mengi
Form Kenya big up sana
mwamba nakapata mabashara kutoka mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
NILIKUWA SJAWAI KUKUONA KUMBE JANKI TU😊
Kitabu cha Enoch kinapatikana wapi wala application gani?
Chezeeni vyote ila sio neno la mungu tafadhali😢😢
Sijaona kosa lake....amesoma vitabu anajaribu kushea na wengine
Nivizuri kujificha tukusikie tu, inapendeza zaidi
Uovu hafichiki ni kama mimba mwisho wa siku huonekana
Halofu lazima tufahamu kama kuwa wapo wakina Henoko wapo wawili, hata Kaini alikuwa na mtoto anaitwa Henoko
Kwani Alibino sio mtu kwa Nini mnashangaa
Kwani akiwa na akisipo kuwa sisi tunapata nn au tunapungukiwa na nnn
Sio yote uliyosema ni ya ukweli, mengine uongo. Alafu zingatia sana unapotoa hadithi kutoka kwenye apocryphal books usisambaze kama vile una uhakika. Kuna sababu za msingi ndio maana viliachwa kuwekwa kwenye biblia
✌️👍👊.
Enock ndio alikuwa Albino. Mtoto aliyezaliwa na wazazi wenye rangi ya kahawa lakini mtoto alitoka mweupe mithili ya karatasi.
Big up sana kaka🫡
Lack of revelation
Gym inakuhusu mzee, miez mi3 tu nyama za kutosha
Albino ndo akifungua macho yanawaka chumba kizima😅😅 sio kwel
Reference plz
SIKU ZOTE UFUNUO WA KWELI UKO KWA YESU KRISTO NA ROHO WAKE MTAKATIFU. VINGININEVYO UNATAFUTA MATAKWA YAKO
Nakungojea sana unifundishe mengi.
Shuhuda ziko nyingi, wengi walitamani kujua mambo megi kuhusu Mungu wakajitahidi kuchimba Ili wajue ukweli na mwisho wakajikuta wanatokezea kuzimu wakapotelea huko. Kuwa makini FUATA KILE YESU KRISTO ALICHOKIFUNUA NA ROHO WAKE MTAKATIFU. LAKINI PIA KUKOSA KUONGOZWA NA ROHOVMTAKATIFUVHUKUFANYA UJITAFUTIE MAFINUO YAKO MWENYEWE NA KUPOTOSHA WENGI.
Ni ngumu kipofu kumuongoza kipofu mwenzake
Atutaki sura lako mmzee
Tushazoea kukusikiliza
90's and 20's are taking over now days 😂
Hicho kitabu nimekisikia sana kuwa kilifutwa kwenye biblia THE BOOK OF ENOCK kina siri nyingi sana ulimwengu ngoja nikitafute
Ninacho hicho kitabu,ni kizuri sana ila ni mambo magumu ya rohoni zaidi na kimemtabiri mpaka Yesu kristo wazi wazi
Hii Inacho Kipindi Cha Nuhu nani alikuwepo 😂
Uposa nimehelewa
Mtawapotosha hao watumwa wa shetani sio wana wa ufalme
Mtazamo wangu ni juu ya stail mpya ya maudhui.
Sipati feeling ya kuwa unaongea na mimi kutokana na kuwa unatazama pembeni kabisa.
Eyes on camera ni off kabisa...
Ni furaha kukufahamu lakini nafkiri video yako ingetutosha kwenye muhtasari na baadae tupate mchanganyiko wa picha za wahusika kama awali ilivyokuwa
Nipe connection ya vitabu
NENO LA MUNGU NDILO UNALOTAKIWA KUWA NALO SIYO VITABU.
Mjomba mmeanza kuishiwa na simulizi sasa. mnanza kuzingua kw upotoshaji
Siku za mwisho watatokea waalimu wa uongo wenye kupotosha kweli ya Mungu. Kwa kufuata mapenzi ya mwanadamu
ushauri wangu..
1.Bora tu utuekee picha tu za maelezo usieke video yako. nahis km zmepoteza ile haiba na ladha yko.. hamu y watu n.k.
lkn ikiwa ni lazma kueka video yko basi rekebisha uwezo wa mpiga picha wako bdo ni mdogo .. kw body yako inabidi atumie shot mbili tu. close up na extrmly close up
Kweli ya Neno la Mungu ndilo linalotakiwa Kwa mwanadamu. Ili uwe na hofu ya Mungu na update nguvu za Roho Mtakatifu. YESU NDYE KATIKA YOTE.
Nipeni like 100000
Unapakatwa😅
Za nini
Muongo
Yes ni ukwer kabsaaaa mm nlimwambia mtu kisa cha nuh Na kisa cha Enoch ni sawa sbb galika lilikuja sabb ya wale nephilims na nephilims walkuja kwny kisa cha enock ukwer kama hii story amtamin vipi mkiadsiwa story ya annunaki si mtakufa nyie
Kwani Albina sio mtu
Kama nuhu alikuwa zeruzeru je huyo enock alikuwa sampuli hipi
Enock Alkua mweusi na enock ni mjukuu wa Adam Na Eva Na iyo tukio lote limefanyika Ethiopia 🇪🇹 vitabu vya nuh vimekutwa Ethiopia ata kanisa la exodus lipo Ethiopia Mungu annunaki alishuka EASTAFRICA kufata zahabu kilA kitu kimeanzia Ethiopia
mjombaee
Bro hebu mtafute huyu jamaa u tube anaitwa billy Carson utapata majibu ya kila kitu unachotakiwa kujua na hautakuwa the same baada ya kumuelewa
Kikowapi sasa
Napataje kitabu cha henock
KABLA HUJAKIPATA KITABU CHA HENOCK JE, YESU KRISTO NA ROHO WAKE MTAKATIFU UMEMPATA?
Usije ukafananishwa na watu waliochumbiana wakapeana picha halafu baadaye waoana wakawa wanazidi tu kuziangalia picha zao wakati Sasa wako pamoja wafurahie kuonana USO Kwa USO. Sasa ukiona hivyo hapo Kuna shida.
FURAHA YA MWAMINI NI KRISTO NA ROHO MTAKATIFU, SIO KUTAFUTA HADITHI ZA KUTUNGWA NA ROHO ZIDANGANYAZO.
Mii nilijua wee ni bonge la mtu kumbe karatasi tu😊
Hahaa wengi hudhani hivyo.
Kitabu cha Enock kinawezaje kuelezea historia ya Nuhu maana Enock aliishi miaka zaidi ya 500 kabla ya kuzaliwa Nuhu? Tuache kuchekesha
Ukikosa kuongozwa na Roho Mtakatifu na usipokuwa na Yesu ndyo madhara yake hayo
Swari la kujiuriza:::kwan albino wanamacho yanayowaka kama mwanga wa jua hata akiwa chumban macho yake yanamulika chumba kizima ?? Jibu ni hapana albino Wana uon hafifu;
Swal la pili::: je albino wananywele nyeupe kama theruji? Jibu ni hapana hawana nywele nyeupe
Waalimu was uongo ni wengi na watazidi kutokea.
s
Nuuh alikuwa Muzungu 😂😂😂
Sw ila hakua mzungu😅😅😅😅
Kwani albino sio mtu 😢
Napita tu
Wadai tuikimbie chanel jamaa wameishiwa hawa sasa wananza kujionyesha wao..ili tujadili mionekano yao..
leteni simulizi sio kuuza sura
Kimbia wewe
Una jionesha onesha nini haivutii
Ni sawa na wale wanaotaka kuonekana kwenye Redio.
kama kitabu cha Enok naamini
Utapotea Mwamini YESU NA ROHO MTAKATIFU UPATE UZIMA WA MILELE
Makafiri nyie msipo isoma quran basi moto inawasubiri rejeeni kwa allah
Hii dini kwa kutukana manabii wao wanaongoza. Kuna mfalme alikuwa na michepuko 300. Hivi MUNGU Gani anaweza tuma MZINZI kuwa. Mwakilishi wake. 😂😂
Dini ipi hiyo?
Nilitamani ufanye simulizi za sauti na picha tu...ila si wewe kuonekana kwenye midia. Hii ingeleta impact kubwa na kukufanya uwe bidhaa adimu sana. Jaribu kufanya hivyo it can bring results later.
Hata ikisika sauti haiwezi kuwa bidhaa adimu. Ni vigumu kupata zabibu njema kwenye mzabibu mwitu.
Tutolee upuuzi wa kuleta habari za uongo huku ukigusa imani za watu (Imani ya Wakristo)!!
Malaika wa Mungu hawawezi kuzaa na wanadamu, Malaika wa Mungu wameumbwa (programmed) KUFUATA TU KILE WANACHOAMBIWA NA MUNGU na hawana option ya kukataa au kufanya tofauti.
😂😂😂😂kwaiyo shetani ameumbwa na nani?
Wapi walitoka malaika waovu? Lucifer alikuwa ni nani kabla ya usaliti??
Kama hawana option ya kukataa je wale walioshawishiwa na shetani ilikuwaje?
wewe husomi hio hisitoria ipo
imeandi kwa nuhu aliongea kwa mkunga tena arubino
Wewe tupe nakala ya hicho kitabu, otherwise wewe ni wakala wa shetani TU. Kumbuka albino is a mire mutant!
We mbona muongo wewe astagfirullah 😅
Kama ni uongo basi tuabie ukweli 🙄🙄
Wewe nae emb acha uongo! Na vichwa vya habari chonganishi! Biblia haiwezi kuandika kila kitu sijui rangi mbona, yesu wa karibuni hawajui rangi yake, na hivyo vitabu kama enoc,tobiti na wamakabayo! Viliandikwa kipindi cha giza ambapo Mungu hakutoa ufunuo kwa watumishi wake... Ndomn havijawekwa kwenye maandiko!...
😂😂😂😂 muongo sana mwandishi
Leave him be , dont judge
Hebu tupatie unachojua kuhusu nuhu maana sijakuelewa kabisa
Una ujuaji mwingi,ila point huna,no research no right to speak
Ni kweli, Nuhu alikuwa albino, akuwa binadamu wa kawaida
Nuhu hakuwa albino ila nikwasababu ni nuru iyo kuja kuwangoza watu bada ya kupotea kwa kukithisha maovu