KWANINI BIBLIA ILIFICHA UKWELI WA NUHU KUWA ALBINO? KITABU HIKI CHATOA USHAHIDI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • КиноКино

Комментарии • 145

  • @zephyrmahenge7252
    @zephyrmahenge7252 23 дня назад +10

    Uko sahihi sana Mwandishi. Nuhu alikuwa albino. Na ukweli ni kwamba Adam na Eva walikuwa weusi hawakuwa wazungu ndio sababu ya waandaaji wa bible ambao ni wazungu waliamua kukiondoa kitabu cha Enoki ambaye alikuwa mweusi(Mwafrika)kama alivyokuwa Adam.

    • @zephyrmahenge7252
      @zephyrmahenge7252 23 дня назад +4

      Inaonyesha baada Nuhu kuzaliwa ndipo wazungu ambao nao ni albino tu kama Nuhu alivyokuwa wakaanza kuonekana duniani

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 10 дней назад +1

      UNAJIDANGANYA NA UNAPOTEA BURE. MUNGU HADHIHAKIWI. BIBLIA NI NENO LA MUNGU LILILO HAI. NA MUNGU ALIWATUMIA WANADAMU KUANDIKA WAKIVUVIWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU. SIYO MANENO / MATAKWA YA MWANADAMU.

  • @water_music40
    @water_music40 19 дней назад +16

    Me nilijua wewe ni libaba flani hivi kwa ajili ya base lako, kumbe ni kabawana mdogo tu. Hongera🎉 ila usingejionesha kwenye video hiyo ilikua kama utambuliosho wako.😂😂😂 mpaka watu tukuzoee tukikuona. itachukua muda sana. Sasa twende kazi

  • @dollardavid955
    @dollardavid955 11 часов назад

    Nimefurahi sana kukuona kwa mara ya kwanza Bwana Justin shady

  • @EmmanuelNjugunah
    @EmmanuelNjugunah 2 дня назад

    Kiukakika napenda video zako kaka zaelimisha kweli🇰🇪🔥🔥🇹🇿

  • @francisrichard5033
    @francisrichard5033 20 дней назад +7

    Inaonekana watu wa zamani walikuwa weusi maana kama wangekuwa weupe wasingeshangaa sana rangi ya mtoto, inawezekana ndo maana haijawekwa kwenye biblia na hata kitabu cha nuhu hakipo!!

  • @jacobluckiztv2648
    @jacobluckiztv2648 21 день назад +4

    I got a very big understanding in biblical stories, Noah was albino,I knew that

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 23 дня назад +3

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big Justin Sheed Sauti Yako Tamu 🥰🥰🥰🥰

  • @B_class_mabawa
    @B_class_mabawa 3 дня назад

    Mimi Leo ndo nime kuona Sasa sijajua huenda sio mfatiliaji Sana au vip🎉

  • @hirzlmahll9965
    @hirzlmahll9965 22 дня назад +7

    Ulivyokua una hadithia bila kuonekana story ilikua kali sana

  • @gospelslaiton5975
    @gospelslaiton5975 16 дней назад +4

    Uko vizur sana Justine Shed may God bless u man of God

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 10 дней назад

      Kweli Sasa hivi Uposhwaji, Dhambi vimekuwa vitu vya kushangiliwa. Na yote sababu ya kukosa kuongozwa na Roho wa Mungu.

  • @kissjohantho617
    @kissjohantho617 11 дней назад +1

    JUSTIN...ENDELEA NA SIMULIZI NA PICHA TU KAKAA, ILIKUA POWA SANA

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 22 дня назад +8

    Mmh!!!
    Tuwekee sauti tu, video hazipendezi 😂😂

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  22 дня назад +5

      Tutachanganya, kuna aina za video hatuwezi weka picha kwasababu hakuna picha zake.

    • @TopQuality-br4ou
      @TopQuality-br4ou 13 дней назад +1

      Nakubali sana mwamba endelea kuweka video zako bhana,tengeneza setting ya studio au Set za out door Kali kali, ili watu wakujue na Deal
      Zingine ziendelee ma indozment namakila kitu ufaidike na kaziyako😂👍

  • @dennisisrael2187
    @dennisisrael2187 23 дня назад +5

    Kwenye kitabu Cha Enoch kmeelezwa kuzaliwa kwake kwa ajabu mtoto wa mjukuu wake Enock

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 21 день назад +2

    Daah !! Wee ni kiboko sanaa nakukubali kaka Justin mwana wa shed

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 23 дня назад +1

    umbri na sauti yako tofauti kbs kumbe ndo wewe ☝️

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 17 дней назад +1

    Akili za kuambiwa, ongeza zako...au Enock alimtabiri Nuhu kuwa atakuja kuzaliwa

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 20 дней назад +1

    Haihusu, hayo ni mapenzi ya Mungu msiyajadili

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv 22 дня назад +1

    Najiandaa kucomment......

  • @allymohd7333
    @allymohd7333 21 день назад +3

    Umerud tena kwenye kochi😮

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg 11 дней назад

    Unasimulia vizur Sana🙋🙋 hongera sana

  • @OmarOmar-iw5kd
    @OmarOmar-iw5kd 21 день назад +1

    Nuhu hakuwa albino ila nikwasababu ni nuru iyo kuja kuwangoza watu bada ya kupotea kwa kukithisha maovu

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 19 дней назад +4

    Mimi ndie Nuhu ila nawapa siri msimwambie mtu.

  • @D_CLEFF_GOLDEN_VOICE
    @D_CLEFF_GOLDEN_VOICE 23 дня назад +2

    🎉🎉🎉Sasa twende kazi 🔥🔥🔥

  • @enosaliko5967
    @enosaliko5967 14 дней назад

    Je.kweli malaika anazaa mwanadamu Yani Rohi izae na mwili huo ni upotoshaji
    Pia mpangalio wa vitabu ktk bible vimekamilika vinajitoshereza na vinatimiza unabii

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 12 дней назад +1

    Nakuku Bali unachimbua

  • @user-nz8ly5sr3o
    @user-nz8ly5sr3o 23 дня назад +1

    Hapo safi Leo umekuja kuja

  • @Msakatonge23
    @Msakatonge23 23 дня назад +1

    Unaonekana yanalenga sana nyuma ya camera pekee upo fokasi sana kuangalia usawa mmoja ikiwezekana weka sawa na mazingira ya uwazi na yenye kuvutia zaidi tumeyakumbuka sana, Justin shedi Zanzibar Tunakukubali sana

  • @mrrajjy
    @mrrajjy 19 дней назад +1

    Sauti nikitu cha ajabu sana kabisa 🔥🔥🔥🔥

  • @peterkenwayz2258
    @peterkenwayz2258 23 дня назад

    Happy to see you🎉

  • @maureenkelly6751
    @maureenkelly6751 23 дня назад +1

    Amazing ❤❤❤

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 23 дня назад +1

    Sasa twende kazi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @flashbreezytz7472
    @flashbreezytz7472 22 дня назад

    Mkn sana

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga1728 7 дней назад

    Siku ya mwisho maubiri yatakua mengi

  • @MohamedHalake-cy8bh
    @MohamedHalake-cy8bh 19 дней назад

    Form Kenya big up sana

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k 13 дней назад

    mwamba nakapata mabashara kutoka mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 23 дня назад +1

    NILIKUWA SJAWAI KUKUONA KUMBE JANKI TU😊

  • @dmg9241
    @dmg9241 6 дней назад

    Kitabu cha Enoch kinapatikana wapi wala application gani?

  • @user-cg9df5nt1f
    @user-cg9df5nt1f 20 дней назад +1

    Chezeeni vyote ila sio neno la mungu tafadhali😢😢

    • @yasintajoseph7495
      @yasintajoseph7495 8 дней назад

      Sijaona kosa lake....amesoma vitabu anajaribu kushea na wengine

  • @marsdidas5733
    @marsdidas5733 16 дней назад +1

    Nivizuri kujificha tukusikie tu, inapendeza zaidi

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be 9 дней назад

    Halofu lazima tufahamu kama kuwa wapo wakina Henoko wapo wawili, hata Kaini alikuwa na mtoto anaitwa Henoko

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be 9 дней назад

    Kwani Alibino sio mtu kwa Nini mnashangaa

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 14 дней назад

    Kwani akiwa na akisipo kuwa sisi tunapata nn au tunapungukiwa na nnn

  • @arnoldpaschal8368
    @arnoldpaschal8368 13 дней назад

    Sio yote uliyosema ni ya ukweli, mengine uongo. Alafu zingatia sana unapotoa hadithi kutoka kwenye apocryphal books usisambaze kama vile una uhakika. Kuna sababu za msingi ndio maana viliachwa kuwekwa kwenye biblia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 23 дня назад

    ✌️👍👊.

  • @Kamchetube
    @Kamchetube 10 дней назад

    Enock ndio alikuwa Albino. Mtoto aliyezaliwa na wazazi wenye rangi ya kahawa lakini mtoto alitoka mweupe mithili ya karatasi.

  • @SilvesterNyambega
    @SilvesterNyambega 18 дней назад

    Big up sana kaka🫡

  • @paulmaina1089
    @paulmaina1089 17 дней назад

    Lack of revelation

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 18 дней назад +1

    Gym inakuhusu mzee, miez mi3 tu nyama za kutosha

  • @flavy_kipps4025
    @flavy_kipps4025 11 дней назад

    Albino ndo akifungua macho yanawaka chumba kizima😅😅 sio kwel

  • @Magdalena-fr5qc
    @Magdalena-fr5qc 10 дней назад

    Reference plz

  • @faustinemillanzi2899
    @faustinemillanzi2899 11 дней назад

    SIKU ZOTE UFUNUO WA KWELI UKO KWA YESU KRISTO NA ROHO WAKE MTAKATIFU. VINGININEVYO UNATAFUTA MATAKWA YAKO

  • @bethkimani92
    @bethkimani92 23 дня назад +1

    Nakungojea sana unifundishe mengi.

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Shuhuda ziko nyingi, wengi walitamani kujua mambo megi kuhusu Mungu wakajitahidi kuchimba Ili wajue ukweli na mwisho wakajikuta wanatokezea kuzimu wakapotelea huko. Kuwa makini FUATA KILE YESU KRISTO ALICHOKIFUNUA NA ROHO WAKE MTAKATIFU. LAKINI PIA KUKOSA KUONGOZWA NA ROHOVMTAKATIFUVHUKUFANYA UJITAFUTIE MAFINUO YAKO MWENYEWE NA KUPOTOSHA WENGI.

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Ni ngumu kipofu kumuongoza kipofu mwenzake

  • @adamutilar3147
    @adamutilar3147 21 день назад

    Atutaki sura lako mmzee

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 12 дней назад

    Tushazoea kukusikiliza

  • @ancelimiangelus2664
    @ancelimiangelus2664 16 дней назад +1

    90's and 20's are taking over now days 😂

  • @leonardmanyama1601
    @leonardmanyama1601 9 дней назад

    Hicho kitabu nimekisikia sana kuwa kilifutwa kwenye biblia THE BOOK OF ENOCK kina siri nyingi sana ulimwengu ngoja nikitafute

    • @ebenezerchurchsupremetv9490
      @ebenezerchurchsupremetv9490 9 дней назад

      Ninacho hicho kitabu,ni kizuri sana ila ni mambo magumu ya rohoni zaidi na kimemtabiri mpaka Yesu kristo wazi wazi

  • @ramadhanmkombelwa3065
    @ramadhanmkombelwa3065 23 дня назад +1

    Hii Inacho Kipindi Cha Nuhu nani alikuwepo 😂

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv 22 дня назад

    Uposa nimehelewa

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 22 дня назад

    Mtawapotosha hao watumwa wa shetani sio wana wa ufalme

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv 22 дня назад

    Mtazamo wangu ni juu ya stail mpya ya maudhui.
    Sipati feeling ya kuwa unaongea na mimi kutokana na kuwa unatazama pembeni kabisa.
    Eyes on camera ni off kabisa...
    Ni furaha kukufahamu lakini nafkiri video yako ingetutosha kwenye muhtasari na baadae tupate mchanganyiko wa picha za wahusika kama awali ilivyokuwa

  • @bahatipaul273
    @bahatipaul273 19 дней назад

    Nipe connection ya vitabu

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 19 дней назад

    Mjomba mmeanza kuishiwa na simulizi sasa. mnanza kuzingua kw upotoshaji

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Siku za mwisho watatokea waalimu wa uongo wenye kupotosha kweli ya Mungu. Kwa kufuata mapenzi ya mwanadamu

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 19 дней назад +1

    ushauri wangu..
    1.Bora tu utuekee picha tu za maelezo usieke video yako. nahis km zmepoteza ile haiba na ladha yko.. hamu y watu n.k.
    lkn ikiwa ni lazma kueka video yko basi rekebisha uwezo wa mpiga picha wako bdo ni mdogo .. kw body yako inabidi atumie shot mbili tu. close up na extrmly close up

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 10 дней назад

      Kweli ya Neno la Mungu ndilo linalotakiwa Kwa mwanadamu. Ili uwe na hofu ya Mungu na update nguvu za Roho Mtakatifu. YESU NDYE KATIKA YOTE.

  • @user-wc3yh9ct3z
    @user-wc3yh9ct3z 23 дня назад

    Nipeni like 100000

  • @khalfansaid4756
    @khalfansaid4756 5 дней назад

    Muongo

  • @chynabongoo405
    @chynabongoo405 22 дня назад

    Yes ni ukwer kabsaaaa mm nlimwambia mtu kisa cha nuh Na kisa cha Enoch ni sawa sbb galika lilikuja sabb ya wale nephilims na nephilims walkuja kwny kisa cha enock ukwer kama hii story amtamin vipi mkiadsiwa story ya annunaki si mtakufa nyie

  • @johbernard3628
    @johbernard3628 13 дней назад

    Kwani Albina sio mtu

  • @natunganatunga7510
    @natunganatunga7510 22 дня назад

    Kama nuhu alikuwa zeruzeru je huyo enock alikuwa sampuli hipi

    • @chynabongoo405
      @chynabongoo405 22 дня назад

      Enock Alkua mweusi na enock ni mjukuu wa Adam Na Eva Na iyo tukio lote limefanyika Ethiopia 🇪🇹 vitabu vya nuh vimekutwa Ethiopia ata kanisa la exodus lipo Ethiopia Mungu annunaki alishuka EASTAFRICA kufata zahabu kilA kitu kimeanzia Ethiopia

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 19 дней назад

    mjombaee

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 23 дня назад

    Bro hebu mtafute huyu jamaa u tube anaitwa billy Carson utapata majibu ya kila kitu unachotakiwa kujua na hautakuwa the same baada ya kumuelewa

  • @wittinessmbwambo5759
    @wittinessmbwambo5759 17 дней назад

    Kikowapi sasa

  • @newgarden8036
    @newgarden8036 19 дней назад +1

    Napataje kitabu cha henock

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      KABLA HUJAKIPATA KITABU CHA HENOCK JE, YESU KRISTO NA ROHO WAKE MTAKATIFU UMEMPATA?

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Usije ukafananishwa na watu waliochumbiana wakapeana picha halafu baadaye waoana wakawa wanazidi tu kuziangalia picha zao wakati Sasa wako pamoja wafurahie kuonana USO Kwa USO. Sasa ukiona hivyo hapo Kuna shida.

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      FURAHA YA MWAMINI NI KRISTO NA ROHO MTAKATIFU, SIO KUTAFUTA HADITHI ZA KUTUNGWA NA ROHO ZIDANGANYAZO.

  • @shd12m55
    @shd12m55 22 дня назад

    Mii nilijua wee ni bonge la mtu kumbe karatasi tu😊

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  22 дня назад +1

      Hahaa wengi hudhani hivyo.

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 17 дней назад

    Kitabu cha Enock kinawezaje kuelezea historia ya Nuhu maana Enock aliishi miaka zaidi ya 500 kabla ya kuzaliwa Nuhu? Tuache kuchekesha

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Ukikosa kuongozwa na Roho Mtakatifu na usipokuwa na Yesu ndyo madhara yake hayo

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 23 дня назад

    Swari la kujiuriza:::kwan albino wanamacho yanayowaka kama mwanga wa jua hata akiwa chumban macho yake yanamulika chumba kizima ?? Jibu ni hapana albino Wana uon hafifu;
    Swal la pili::: je albino wananywele nyeupe kama theruji? Jibu ni hapana hawana nywele nyeupe

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq 20 дней назад

    s

  • @EphraimWekesa-je7gy
    @EphraimWekesa-je7gy 20 дней назад

    Nuuh alikuwa Muzungu 😂😂😂

  • @Humble.....
    @Humble..... 23 дня назад

    Sw ila hakua mzungu😅😅😅😅

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s 18 дней назад

    Kwani albino sio mtu 😢

  • @amashamahenge3308
    @amashamahenge3308 23 дня назад

    Napita tu

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 19 дней назад

    Wadai tuikimbie chanel jamaa wameishiwa hawa sasa wananza kujionyesha wao..ili tujadili mionekano yao..
    leteni simulizi sio kuuza sura

  • @IsayaIsaya-sy6jj
    @IsayaIsaya-sy6jj 23 дня назад

    Una jionesha onesha nini haivutii

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 23 дня назад

    kama kitabu cha Enok naamini

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Utapotea Mwamini YESU NA ROHO MTAKATIFU UPATE UZIMA WA MILELE

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3k 6 дней назад

    Makafiri nyie msipo isoma quran basi moto inawasubiri rejeeni kwa allah

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 17 дней назад

    Hii dini kwa kutukana manabii wao wanaongoza. Kuna mfalme alikuwa na michepuko 300. Hivi MUNGU Gani anaweza tuma MZINZI kuwa. Mwakilishi wake. 😂😂

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 18 дней назад +1

    Nilitamani ufanye simulizi za sauti na picha tu...ila si wewe kuonekana kwenye midia. Hii ingeleta impact kubwa na kukufanya uwe bidhaa adimu sana. Jaribu kufanya hivyo it can bring results later.

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 11 дней назад

      Hata ikisika sauti haiwezi kuwa bidhaa adimu. Ni vigumu kupata zabibu njema kwenye mzabibu mwitu.

  • @tanoamani2205
    @tanoamani2205 20 дней назад

    Tutolee upuuzi wa kuleta habari za uongo huku ukigusa imani za watu (Imani ya Wakristo)!!
    Malaika wa Mungu hawawezi kuzaa na wanadamu, Malaika wa Mungu wameumbwa (programmed) KUFUATA TU KILE WANACHOAMBIWA NA MUNGU na hawana option ya kukataa au kufanya tofauti.

    • @YusuphJuma-oj1sw
      @YusuphJuma-oj1sw 19 дней назад

      😂😂😂😂kwaiyo shetani ameumbwa na nani?

    • @rutihindakiuyajibu2918
      @rutihindakiuyajibu2918 19 дней назад

      Wapi walitoka malaika waovu? Lucifer alikuwa ni nani kabla ya usaliti??

    • @DamOfficial-kn6bc
      @DamOfficial-kn6bc 18 дней назад

      Kama hawana option ya kukataa je wale walioshawishiwa na shetani ilikuwaje?

  • @marysanga5310
    @marysanga5310 23 дня назад

    wewe husomi hio hisitoria ipo
    imeandi kwa nuhu aliongea kwa mkunga tena arubino

  • @user-vt2el8pd6s
    @user-vt2el8pd6s 20 дней назад

    Wewe tupe nakala ya hicho kitabu, otherwise wewe ni wakala wa shetani TU. Kumbuka albino is a mire mutant!

  • @user-jg3ek6ot3u
    @user-jg3ek6ot3u 23 дня назад

    We mbona muongo wewe astagfirullah 😅

  • @SamhhIlo-ib4ij
    @SamhhIlo-ib4ij 23 дня назад +1

    Wewe nae emb acha uongo! Na vichwa vya habari chonganishi! Biblia haiwezi kuandika kila kitu sijui rangi mbona, yesu wa karibuni hawajui rangi yake, na hivyo vitabu kama enoc,tobiti na wamakabayo! Viliandikwa kipindi cha giza ambapo Mungu hakutoa ufunuo kwa watumishi wake... Ndomn havijawekwa kwenye maandiko!...

    • @safimaki6212
      @safimaki6212 23 дня назад +1

      😂😂😂😂 muongo sana mwandishi

    • @josephusabisay2128
      @josephusabisay2128 23 дня назад

      Leave him be , dont judge

    • @budodiun6269
      @budodiun6269 23 дня назад

      Hebu tupatie unachojua kuhusu nuhu maana sijakuelewa kabisa

    • @menlandmutashobya8377
      @menlandmutashobya8377 22 дня назад

      Una ujuaji mwingi,ila point huna,no research no right to speak

    • @jacobluckiztv2648
      @jacobluckiztv2648 21 день назад

      Ni kweli, Nuhu alikuwa albino, akuwa binadamu wa kawaida

  • @OmarOmar-iw5kd
    @OmarOmar-iw5kd 21 день назад

    Nuhu hakuwa albino ila nikwasababu ni nuru iyo kuja kuwangoza watu bada ya kupotea kwa kukithisha maovu