Asante kwa elimu❤ila muendelee kutuelimisha je bando letu linaenda wapi? na bando ni nini pia chanzo cha internet ni nini yani inafuliwa kama Umeme wa kidatu au😂😂😂
Bando ni kama nauli ya mawasiliano uliyotuma kutoka kw computer moja mpka nyengine.. amesema hio izo nyaya zilizokatika zinatumia terabyte mbili..terabyte moja ni milions of bundles.. So nyaya ni kama barabara.. bundles ni kma nauli
Chukulia mfano huu: Kwenye simu yako kuna Bluetooth, ukikutana na rafiki yako anayetaka umtumie picha/video kwa Bluetooth, utalazimika kuwasha Bluetooth yako naye awashe ya kakw, mtafanya pairing kisha utamtumia hiyo picha au video. Sasa Bando ni ruhusa ya wewe kumruhusu kufanya pairing ili aweze kupokea hiyo picha/video. Na hiyo ruhusa unailipia, sababu Bluetooth inakula charge, na itakupasa uchaji simu yako kwa LUKU unayoilipia, so rafiki yako inabidi akusaidie hilo kwa naye kulipia kidogo kwa wewe kwenda kuchaji simu. Lakini pia kama kutumia watu vitu kwa Bluetooth ndo kazi yako, inamaana na simu itanunuliwa spesho kwa ajili ya kazi hiyo na utamuweka mtu(unaye mlipa mshahara) mwenye elimu fulani kuweza kuwatumia watu vizuri vitu kwa Bluetooth. Hivyo vyote ni uwekezaji na ni gharama na vitahitaji watu wanaopokea vitu toka kwako(picha/video) wachangie gharama ya kuwekeza na kuziendesha, vikiharibika kufanya services,etc. Sasa kwa hapa hiyo Bluetooth ndio Network/Internet ila kwenye Bluetooth wewe ndio mmiliki wa vifaa vinavyowezesha hiyo Network/Internet
So excited! Mm swali langu nataka tu kujua hizi waya ziliwekwa miaka gan ivi pia ilichukua mda gani sabab izi kilometers kuweka waya tena za majini inahitaji maelezo kwa kweli. Thanks. May be pia zinawekwa usawa gan wa bahari kutoka nchi kavu na inahitaji njia maalum kuzipitisha ama vepe?
Dhaa iyo hali huwa inatokea sanaa kwa wagawaji wa intenet kupitia fibre optique kampuni ya cico nakumbuka mwaka juzi pa Burundi tumesumbuka tena sanaa wajikaze wabadili izo fibre optique zawo kama zimesha choka Sisi tulio somea département ya ingénieurie et technologie ( génie et gestion de télécommunications.) Iyo tunaelewa kiuraisi
Hahaha anajua nadharia kwa kusoma tubmaandiko ila anakurupuka kutoa taarifa kabla ya kufanya research ya sababu husika inabidi awe makini kabla hajatoa clarification ya kitu baada ya kufanya research
Uyu jamaa ana uelewa wa hali ya juu sana, unaweza kuelewa na ukashindwa kuelezea watu hata wasio na uelewa ila sio kwa uyu jamaaa, hata kama huna elimu ya kutosha utaelewa tu. Apewe maua yake
Wangekuwa wanatupa taarifa mapema kama tanesko wanavyo fanya ili watumiaji wa internet wasiingie kwenye hofu mpka wengine kuvunja cm zao kupeleka kwa mafundi wakizani ni mbovu
Ni ngum.sana samaki kuharib kwasabab huo waya una upana wa takriban 32cm uref wa rula lakn huo waya unaosafirisha data ni unene wake ni kama unywele wako...ina maana kawaya kanakofanya kazi kanarindwa na layer nying sana na ni kembamba sana
Huyu jamaa ni msomi Sana... mashalah.mungu akubaliki zaid
Wanaomkubal ali masubi like hapa😀👉
Yuko vizuri
Kila idara 🎉
@@J_Pabloescobar0806 jamaaa hatar san
Huyu Ally Masubi ni noma anajua sana…
Niko south Africa Durban nimeshindwa kutuma pesa kwa voda na aertel ila tigo goood sana
Huyu mungu jaman amejalia watu ufahamu wa ajabu
MUUMBA WETU
NI MUUMBA KWEL KWELI
Kwa kweli Mungu wetu wa ajabu mnoooo
Mnooo🎉🎉🎉🎉
Ally masudi bonge moja la mtoa speach na yupo deep kwwny maarifa
Airtel nayo inafany kaz vizuri
Airtel ipo vizuri kusini wants Africa tunawapata
Nataka kujua hii mfumo uliwekwa lini uko chini ya bahari??
Kumbe na internet ina mkongo ntatafta maana ya mkongo
Sawa Maana Hali Sio Nzur Kimawasiliano..Ingawa Kwa Ss Vodacom Wamejitahid MAmbo Shwar🙏🙏🙏
War🙏🙏
Ali amekwiva kihabari. Hongera Sky
Mambo ni poa kama una tumia fiber net.TTCL 🔥🔥🔥
Fiber yapatikan Playstor?
Hata wenywe kuna muda unakata kata
TTCL wana mkongo wao unajitegemea tofauti na hawa SEACOM na EASSY waliokatikiwa mkongo wao..
HATA TTCL TUKO POA TU UNYAMA KAMA WOTE BIG UP MY TTCL❤❤❤❤
Asante kwa elimu❤ila muendelee kutuelimisha je bando letu linaenda wapi? na bando ni nini pia chanzo cha internet ni nini yani inafuliwa kama Umeme wa kidatu au😂😂😂
Nenda channel moja inaitwa "Perfect side tz" anaelezea kabisa
Bando ni kama nauli ya mawasiliano uliyotuma kutoka kw computer moja mpka nyengine.. amesema hio izo nyaya zilizokatika zinatumia terabyte mbili..terabyte moja ni milions of bundles..
So nyaya ni kama barabara.. bundles ni kma nauli
@@tichalamar19sawa ila hiyo nauli wameweka kubwa sana
Chukulia mfano huu:
Kwenye simu yako kuna Bluetooth, ukikutana na rafiki yako anayetaka umtumie picha/video kwa Bluetooth, utalazimika kuwasha Bluetooth yako naye awashe ya kakw, mtafanya pairing kisha utamtumia hiyo picha au video.
Sasa Bando ni ruhusa ya wewe kumruhusu kufanya pairing ili aweze kupokea hiyo picha/video. Na hiyo ruhusa unailipia, sababu Bluetooth inakula charge, na itakupasa uchaji simu yako kwa LUKU unayoilipia, so rafiki yako inabidi akusaidie hilo kwa naye kulipia kidogo kwa wewe kwenda kuchaji simu.
Lakini pia kama kutumia watu vitu kwa Bluetooth ndo kazi yako, inamaana na simu itanunuliwa spesho kwa ajili ya kazi hiyo na utamuweka mtu(unaye mlipa mshahara) mwenye elimu fulani kuweza kuwatumia watu vizuri vitu kwa Bluetooth.
Hivyo vyote ni uwekezaji na ni gharama na vitahitaji watu wanaopokea vitu toka kwako(picha/video) wachangie gharama ya kuwekeza na kuziendesha, vikiharibika kufanya services,etc.
Sasa kwa hapa hiyo Bluetooth ndio Network/Internet ila kwenye Bluetooth wewe ndio mmiliki wa vifaa vinavyowezesha hiyo Network/Internet
@@ramadhanmahongole9293 biashra hiyo mtu wangu watu wanapiga pesa
Kumbe ndivyo ilivyo nilikuwa sijui Asanten nimejifunza kitu❤❤
Tigo wameamua kutumia server kutoka Nairobi
Fiber optic cable
"The Ugly bird became beautiful" hao ndo TTCL Kwa sasa 😁😁
Safi
Bado aujaelewa tu?
Tatizo watu wapo kutowa makosa hata hawasikilizi na wakisikiliza hawafahamu hapo ndio Kuna tatizo
Kidog nipeleke simu kwa fund nilijua imehalibika 😢😢 kumbe
😂😂😂
Ungeliwa vizuri.
Safi sana kaka sky Kwa kutuhabarisha kuhusu hii INTERNET sisi tusiosoma
Hapo Chakufanya Nikutafuta Fiber Yetu Ili Tuepukane Na Usumbufu Kama Huu
Nawasilisha
Kidogo mtandao umerudi now.
Kwaleo uduma ipo sawa
KAZI NZURI SNS
Noma
Huyu jamaa mungu kamjalia anajua mambo mengi sna
Salute SNS
Daaaaa kwa sababu ya mtandao nimechelewa sana wa 65 leo 😢😢😢😢 like zenu 😢
Zitakusaidia nini😂😂
@@chikundeboy9450 😂😂😂 wewe
@@Zillionking627🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tofati ya space x na fiber ni nini kwene hili swala je wote wameathiliwa kama no kwanini tuendee na fiber kwa maslahi ya wachache ?
Pia kenya iko hivo
So excited! Mm swali langu nataka tu kujua hizi waya ziliwekwa miaka gan ivi pia ilichukua mda gani sabab izi kilometers kuweka waya tena za majini inahitaji maelezo kwa kweli. Thanks. May be pia zinawekwa usawa gan wa bahari kutoka nchi kavu na inahitaji njia maalum kuzipitisha ama vepe?
Aliekata huo waya naenda kumloga
Kenya tunaita chemistry jamaa anajua sana
wa kwanza mimi kutoka Congo Lubumbashi
Airtel fresh tu
Hivi hawa watu waliyobuni internet wana hakili za kawiada au Kuna kitu Mungu katuficha
mwenyezimungu anasema elimu aliyotupatia ni kdg sana chanzo cha elimu muumba wetu
Dhaa iyo hali huwa inatokea sanaa kwa wagawaji wa intenet kupitia fibre optique kampuni ya cico nakumbuka mwaka juzi pa Burundi tumesumbuka tena sanaa wajikaze wabadili izo fibre optique zawo kama zimesha choka
Sisi tulio somea département ya ingénieurie et technologie ( génie et gestion de télécommunications.) Iyo tunaelewa kiuraisi
TTCL wapo vizuri
Huku kwetu fresh
Pole sana 255 😢😢
Interneto haijarudo 😂😂😂❤
Smart information
Ali anajua kila kitu 😂
Airtel kidogo ikopoa
Ufafanuzi mzuri sana
Kuna halotel ni nomaaaa sana nawasanua wanaaaaa
Kenya ATleast
big up sana millad
Huyu Sio Millad Bro Uyo Ni Sky Millad Kacopy Uku Utangazaji🙌🏻🙌🏻
Nipo hapa. Na sky.
Sasaa si alisema huyu kuwa tatizo lilitokana na Solar storm? Naona aliwahi sana kutoa sababu bila ya confirmation.
Hizi chanel za yohama, na vingine vya magetoni sio wakuwaamini sana.
Halotel ndio inapiga kazi aisee nimeangalia hadi mpira
Dah huy jamaa ally masud anajuw san kuchambua
Ama Malawi haipo Afrika???? Huo ni uwongo wanapitisha magendo yao hivyo ndio Afrika hii
Mbna halotel ipo fresh saiv
Kweli kaka naona kuna utofaut tangu tatizo lianze
mchana hamna kazi
Ally masubi anajua Kila kitu 😂😂😂
Ali masubi ni mtaalamu wa kila kitu kumbe
Mbona zilioasirika zaidi ni voda na airtel na ndy zina 5g
Huyo ally masub haku asichokijua, jan amesem unternet imesababishwa cjui na madude gan, leo anausem mkongo
Hahaha anajua nadharia kwa kusoma tubmaandiko ila anakurupuka kutoa taarifa kabla ya kufanya research ya sababu husika inabidi awe makini kabla hajatoa clarification ya kitu baada ya kufanya research
@@Dienacademy yaan anasoma habar za google na kujifany anatoa taarifa lakin uhalisia kuna vitu ving saan anatakiwa awe mbobevu ndo aseme,
#sns @sky Kigali Rwanda pia Kuna tatizo tokea Jana... Nilijua tatizo from your brother.... Mungu awazidishiye
NI EAST AFRICA NZIMA
Ok
Jitahidin mnunue cm
Maana mm natumia Voda na cjaona hiyo hizo cku zote mnasema nawaangalia tu
Wa kwanza ❤
Uyu jamaa ana uelewa wa hali ya juu sana, unaweza kuelewa na ukashindwa kuelezea watu hata wasio na uelewa ila sio kwa uyu jamaaa, hata kama huna elimu ya kutosha utaelewa tu.
Apewe maua yake
Mmmh na jyo solar Storm nayo ilikua ni nin
Hapo dj sma sjaelewa
Ally yuko vizuri ila ingeshawishi sana kama iyo voice yake isingekua inatoka kwa njia ya simu yani itoke kwa voice ya kweli mfano kama ulivorecord
Hivi ni Mkongo Au Mkonga wa Intaneti
Juzi mmesema solar storm leo mkongo umekatika
Kenya lanterns napatikan
Mpaka leo jumanne 14/04/2024 inasumbua sna
Tigo unyamaaaaa
Hapo inabidi utupe somo juu ya setelilsoti
✌️👊👍.
Sns,,
ni MKONGO au MKONGA???
Wik nzma itarud
Airtel ndio mtandao ambao Internet iko sawa kuliko mitandao yote
Kweli kabis
Wangekuwa wanatupa taarifa mapema kama tanesko wanavyo fanya ili watumiaji wa internet wasiingie kwenye hofu mpka wengine kuvunja cm zao kupeleka kwa mafundi wakizani ni mbovu
Ila juz masubi ulituambia mionz ya jua ndio ime7bisha network kudhindwa kufanya kaz
Tigo watapata wateja sanaaaa
Nini kazi ya satellite
Nani alieweka kwa sea wire ,na Samaki waki haribu ,kwa kweli sinjui mambo mingi
Ni ngum.sana samaki kuharib kwasabab huo waya una upana wa takriban 32cm uref wa rula lakn huo waya unaosafirisha data ni unene wake ni kama unywele wako...ina maana kawaya kanakofanya kazi kanarindwa na layer nying sana na ni kembamba sana
Naomba namba ya Ally Masub, nmtumie hela ya maji
Ally soud ni mwamba san
hapa Congo Sisi tupo vyema kabisa Japo kuna itilafu kidogo piya ila siyo sana
Mwanzo Mulimdharau Mkwa mnasema sheet Sana. Ila watanzania tabia Yao wakiwa hawakujui hawana mpango na wewe
Uliosababisha au unaosababisha? bado hakuna internet
Jitahid tumuone ukimuhoji live na siyo tu sauti yake
Hii nyimbo inqyo piga mwisho inatiwaje
Yani ally masudi anajuwa Sana Sana mashalah..Yan ni msomi Sana anajuwa Kila kitu ..Yan huyu ni msomi haswa
Mbona mimi huku dubai yangu inafanya banaa
Malawi hapa tuko vizuri sana inamaanisha Malawi seakom haipo?
mjue german ilillalamikia putin kawazingua wasiiffiche waseme kweli wamelikologa watalinywa
Natumia airtel iko poa tu
Ambao hatujaelewa hata kidog si tupo 😂
Ni ungo kusema kuwa kutumia starlink ni ghali zaidi kulinganisha na cables...
Research na urudi tena...
Ni kiasi gani naomba utujuze...
Ali masubi
Lakin sisi watu wa burundi tunatumia vizuri ilo tatizo liko uko uko kwene au na sisi tutafikiwa
Duuh,Burundi mtandao upo vzur🤔🤔🤔
mbona ali kila kitu anakijua
Watu wanatumia Mkongo sana Mpaka Mkongo Umeharibika sasa
😂😂😂😂😂😂😂