Nakupenda xana Giggy,na hua ni mkweli xn MUNGU akupe mafanikio endelea kumpenda mwanao na kupmbana kumlea,kwavile unamuamn MUNGU na kulitaja jina lake lazma atakusaidia,maana MUNGU alisema ktk vitabu vyake tumwite nae atatuitikia na atatuonyesha Mambo makubwa na magumu tucyoyajua!tukiomba lolote kwa jina lake atafanya!
Baba watt wangu arinipiga Niko na wiki mbili nimejifunguwa akachukuwa kichanga akataka kumtuba inje natambaa nafata mwanangu arinipiga teke la usoni nirihisi kufa 😭😭😭mungu nimwema turiachana na watt wawiri nimereya wanangu Sina ata habari yake🙏🙏🙏🙏
Huu mtihani inaonyesha unahitaji counselling maana una stress nyingi sana. Achana na mitandao itakuharibia zaidi wewe unajieleza wao wanatengeneza pesa wakati haikusaidii wewe wala familia yako. Take it easy Gigy.
Gigi wewe kiboko, unatuliza 😭😭😭😭 mwisho wa siku unatufurahisha jamani 😂😂 Nakupenda bure.
😭🤣🤣🤣
Kweli tenaaa 😂😂😂
🤣🤣🤣 kabisa uyu ni komed
@@janethjasson9958 😂😂😂😂😂😂
Yan umeona eeeh
First time I've paid attention to Gigi and I am loving her so much ako real sana. Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
UK
UK
UK
@@godrobart6288 I like your name.
This is my first time too and I love her on God.
Gigy is such a vibe ❤️🥰.and she is a brave and kind hearted woman.l really love her ❤️🎉
I love this woman ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
You are a very brave woman, always strong💪💪🥳🎉🥳🥳🥳
😭😭😭😭Muachenii Gigy jamani hamjui anayoo pitia jamani Single Mama tunajua uchungu wa mateso ya watoto we2😭😭😢
I love this lady she is very strong
Nampenda Gigy sana sana mana n mkwel na kiatu chake nakielewa mno mana nikiatu changu pia
Nakupenda xana Giggy,na hua ni mkweli xn MUNGU akupe mafanikio endelea kumpenda mwanao na kupmbana kumlea,kwavile unamuamn MUNGU na kulitaja jina lake lazma atakusaidia,maana MUNGU alisema ktk vitabu vyake tumwite nae atatuitikia na atatuonyesha Mambo makubwa na magumu tucyoyajua!tukiomba lolote kwa jina lake atafanya!
super woman.Gigi despite her age she is wise confident and a strong lady.Kudos
Gigy shikamooooo🤣🤣🤣🤣 umejua kunikunaa🤣🤣 mkaka mzurii kumbe mwanga🤣🤣🤣💯💯
🤣
Huyu dada ni real sana. Yan sio mnafik na uongo hajui..
#live WIVU UKIZIDI NI TATIZO KUBWA UNAWEZA KUFANYA TUKIO BILA KUTEGEMEA GUSA LINK KUTAZAMA ruclips.net/video/N9WSFQhSiTM/видео.html
Nampenda sana yani huwa ananifurahisha sana
Respect Gigy mahelaaaaa....Love u much mamy
All vibe in one show Gigy ni firee🔥🔥🔥
Ndo maisha dear,kuwa uyaone.
Kikubwa kila jambo lina mwisho,haya pia yatapita,mzingatie Mungu🙏🙏
Uyu dada me napendaga tu confidence yake yani 😂😂
Gigi, you're a brave woman 👏
Sure
💯
kuna namna atafutiwe tuzo huyu dada, shes brilliant anajiamini sio powa
gigy i love u,yaan una tabia zote za gemin,gemin haturogeki kirahisi,tunapenda sana ila ukitukosea aloooh utajutraa,wapambanaji hatujali wala nini
Sema wewe Gigi we ni mwanamke, nakupenda, ety nalala na bible chini ya mtu nikifa nakufa na Yesu
😂😂😂
I love gigy is interview she is so really. Much love from Kenya.
Big up Gigy....kumbe lishirikina? Tupa kule...,tembea kubwa kubwa na Yesu.
Wewe ni zaid ya mwanamke zaid ya mamaa❤️
Much LOVE ❤🇰🇪🇰🇪
Am proud of you G
Much love from Kenya Gig baby
May Allah protect you and your baby🙏❤️
You can be a bad person but if you love your kid . there's nothing going to touch it. My dear stand strong and keep going 😘
Love from south Africa😍😍😍😘😘😊😊
Gigi umenifundisha kitu maana wengine tumekuwa wa kwenda mbele na kurudi nyuma bt interview hii imenifanya niwe mpya.
Ukrud nyuma unapotea kbs yaan keep forward my dear
single mom wote wanaelew nn kinaongelewa nq gigy
Kweli kabixa
Sana yani
This lady is actually beautiful!!! I think she even didn't drink today! she looks beautiful kabisa!!!
Acha uongo
Angalia interview ya part 1 😂😂 kuna glass ya pombe apo pembeni yake
Kuna kitu najifunza kupitia maneno yako
Yaan Interview Akihojiwa Baba levo ama Gigy inakia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tupo pa1 my
Gigy! 🤣🤣🙌,Unatuliza na kutuchekesha hapohapo.
Mungu ni mwema utakuwa sawa,kikubwa upendo Kwa mwanao,na mtangulize Mungu Kwa Kila Jambo.
Dah mo j ni mjinga kupitiliza 😏😏 gigy watanzania tunakupend xan t lea mtot wko n mung atakuxaidia ❤
Waah you're very strong imagine unalia unakausha
Wangekuwa wanakuja hata huku mtaani wanatuoji jaman dah ningeyatoa yamoyon aisee😥😥
Ila wanaume wengine bhanaa,,,, can't say anything koz cna mtoto,,cna mume,,,,Ila kwenye Miti mingi hamna wajenzi,,,,
I love her, ni msichana pekee mwenye kujiamini whatever the weather and the situation.
Thanks you gig money
Yani gigy ila amesema ukweli kabixa yani mungu akuongoze kiukweli kwa wale ma single tunajua shida hizi kweli😭😭😭😭😭😭😭
Unatufurahisha huku unalia hahaha gigy we kiboko🥰
Mwenyezi mungu akutie nguvu Inshallah na akustiria mayra
She’s too real😍
Nakupenda sana gigy money
I love this women 😘
Hakuna mama chiz kwa mtoto wake nimependa ulivyo funguka nilikua naisubilia part 2 nimefurah sana
Nampendaga uyu mdada anajiamini sana
Gigiy kiboko ajua kutuliza nakutufrahisha mungu akutie nguvu
@@adelinamaiko9272 gigiy shikamoo yaan unaniliza kisha unanifrahisha
Mtu anakupenda awezi kubali uteseke ata dakika moja pole sana gigy
Safi sana gig uchawi so mzur unarudisha nyuma sana baba mtoto wangu nae ana mambo hayo wallah naumia sana naelewa maumivu unayo pitia kama mama
Penda Sana gigy wew ni super woman more lovee❤️👌
I will always love you Giggy💓💓💓💓💓😘
Baba watt wangu arinipiga Niko na wiki mbili nimejifunguwa akachukuwa kichanga akataka kumtuba inje natambaa nafata mwanangu arinipiga teke la usoni nirihisi kufa 😭😭😭mungu nimwema turiachana na watt wawiri nimereya wanangu Sina ata habari yake🙏🙏🙏🙏
Pole sana😩
Jaman pole sana
Pole sana jamani🙆♀️🙆♀️😭😭
Pole pole my
Jmn pole sana,,, huyo alikuwa jini
My forever admire 🥰🥰🥰omg 🥺🥺🥺💔
Ninachoelewa kua mpaka mtu anafikia kulia kwa uchungu kiasi hichi ni kwamba ana maumivu makali !!!! Aisee mo jay utalipa hili
Aki giggy jamani uku tunalia uku tunacheka 🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 super woman
Nimecheka Sanaa Gigy et Kuna mwanasheria na advocate, ahahaha raha sanaaa
We gigy love you so much
I love you Gigy. God bless you na akupe amani yako dear.
Love you more gigy, stay strong girl 😘😘😘
I love this girl from 🇰🇪
Tanzanian,, watu naowajua Wasema ukweli ni watatu tuu ,, baba levo,, shishi,, na gigi stop✋.
Hao kwa kweli ndo wanaosema kweli gia zikiachia wanasema yote wengine acheni tu
@@abdulmruke2246 na masha love😃
Faiza ally
watu wanaossema uongo ni Muhijako na nani tena?
@@Watema23 na juma lokole
i love this lady
Super woman ❤️❤️❤️
Zai kijiwenogwa unamuaribu giggy😀😀😀😀
Nampenda giggy jamn , and her couple is my favorite😘
Love you 😍 gigy 🇺🇸
Crazy girl😂😂😂nampenda huyu dada
Gigy Hakuna kama wewe mungu akusaidie jamani
Gigy I love you for free yesu akusaidia
It’s so sad she went to through that 😭😭😭
Napenda interview za gigi
Kama mm napenda sana interview zake
love you very much Gigy
Gigy anaongea jamaniiii uwiiiiii
Unaakili sana dada G
Nakupenda dada alafu hapo umependeza kuliko hongeraaa
Nakupenda we dada
Love you so so so much, strong woman 💞💞
Nyie Wanaume Wazuri na Wenye muonekano Wanashida sana jamani, Kweli Nimeamini.. Ukiwa na Mtu wako Personal Utaenjoy Sana.
Love you Gigi
Akili za gigy km zangu sitabiriki😭😭😁😁😁
I love Gigy she is my Role model kiukweli naitwa celine nipo kigali sikosi kumfaliya Gigy
I luv u Gigy strong woman
Love you Gigy ❤️
This Is so painful,i had shit different most human nawadays ain fine.GOD GUIDES YOU ..
Woman Mungu akupe ujasir Gigi wangu❤️❤️❤️❤️❤️🖤🖤🖤🔐🔐
Huu mtihani inaonyesha unahitaji counselling maana una stress nyingi sana. Achana na mitandao itakuharibia zaidi wewe unajieleza wao wanatengeneza pesa wakati haikusaidii wewe wala familia yako. Take it easy Gigy.
Nakukubali mno
Maish yote nakupenda gigy kwanz n mkwel sn dah unaniumiza
Gigy you are brave
😂😂😂😂😂😂najuagakukupenda yani hizi tabia sjui utanilisha hata skwelewi vyenue nakupenda nakupenda nakupenda
Mnaweza msimuelewe gigy ila kama unajua love and care utaelewa Mimi ninekuelewa gigy pole sana
I enjoyed this so much
Yani hata sielew ukiend huku unaambiwa ivi ukija huku unaambiwa vile bhna ee TUWAACHIE NA MAISHA YAO
Yni umeniliza mwisho unanichekesha nakupenda sana♥️♥️
Nakupenda sana ❤❤❤❤gig
Gigy is very smart 🙌🏾
Mtoto anakulaaa mawee huyuu😀🙌🏽🙌🏽
Giggy man unaongea point sana kwa wale wanaokuelewa kwanza natamani kulia😭😭😭 unatamani kucheka😆😆😆 very very nice 👌
Gigy my favourite girl 🥰🥰🥰
Big up sister nakuelewaga sana Kuna point unazilenga na zipo kwa wanawake.. hasa ma hassle...
😂😂😂😂sijawah kuacha kukupenda gigy
Gigi wew napendasan 🥰🥰🥰