Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘
Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems
Gigy is too real Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future
Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹
Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house
Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?
Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk
Mimi nataka kujua tunaompenda gigymoney❤🔥.. wacha like yko hapo🙌
Nampenda
mm🙋
lov gigy
Nampenda Huyu mimi
Mwenye chuki nimuajii
Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘
ndio maana wanasema usihukumu hali yeyote ambayo hujawahi kuiishi
Hta mm Leo nimemuelewa sana
Gigy go gigy go gigy tukikuelewa wachache inatosha nakupenda mama mayra
❤❤✌
Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems
yael victor na pia akili ilianza kuathirika huyu dada kwa hali ya maisha maskini
yael victor kweli kabisa ana akili sana
yael victor true
Pole waya, yatapita
Real...Mungu amsaidie tyuuu
Gigy is too real
Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa
Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati
Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future
Napenda iterviu ya gig ni mkweli tena tunajifunza kuhusu anaco sema
nakupend xan Gigi ww unaonge ukwel kila ukiojiwa
Gigi unaakili saaaana,, na unaongeaga point mnooo,,, nakupenda saaaana ❤❤❤❤❤
Daaa me zawadi pia ulio pitia nimepitia mpaka naogopa kwann Story inafanana kiasi hiki chamsing dua tutafika 😍
Poleee Zawadi
She is real , She only mixup mood and attitude and that’s normal in a real life.
I love your spirit Gigy .I hope things will change for good.Yeah ghetto is tough life....been there seen that.
Aisee
hii interview, ni kiboko GIGY amefunguka vilivyo, atafika mbali kwakuwa ni mkweli
Nimekuelewa sana una akili sana
True
Kweli zaa ukomae gigy umtisha sana point taken" co kila mwanamke anapenda kujiuza"
Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹
I don't know her but I think I like her..she is sooo real and honest.love from 🇰🇪
Giggy matata lkn leo kanihuzunisha kweli, kiukweli umasikini unasababisha matatizo mengi
Ludacriss Rangi Ya Bank nic Gigi
Dah.... giygy mungu akupe hitaji la moyo wako umehaso kwa kweli so sad
Gigi no mkweli Sana anachukia drama drama....Kama unamin hill gonga like to show love❤
Yani hili demu lina akili basi tu
Kristine matola sanaa
nakupenda Mdogo Wangu kweli mawazo yako makubwa japo umri mdogo
Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house
Duuuuh inaumiza love u gigy
MAMA gigy mcheshii sana and 4sure anapambanaa sanaaaaaaaaaa yn mpiganajii anatafuta bt gigy sometime kichwa chako kizurii
Gygy huaga nasema daily this girl is iron..yani shupa..huyu ndo jike shupa
In shaa Allah;hata huko utatoka . Ukipata mda kidogo mkumbuke ALLAH kwa sababu ni mwenye huruma na atoae rizq
This woman is too real 🙌🏽🙌🏽
Gigy uko real.. we ni fighter na cash madame 😘😘😘
Pole Gigi kwa uliyopitia najua unavyojisikia ila ni mapito tu 🙏
I love you gigy 😍😘😘
nampenda giggy Mungu naomba muinue m bariki awe boss of boss mpka dunia ishangae
love you😘❤️😘 gigy mapesa
na
milard big💪 up bruh
You are going somewhere baby girl
Yani mm nampenda sanaa Huyu dada aijalishi Tabia zake
Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?
Gigy umekuwa mama I like it 😍😍
safari ya maisha ulianza vibaya...ila safari ya mafanikio ni nzuri sana sana jitihada sana harakati kama zote...keep it up my gal.......lv u much
Afu ww millard kila siku tunakuambia weka tissure hapo mezan kwan shingap😏unafanya watu wafute makamasi kwa mikono
😀😀😀😀😀😀kasikia ataweka
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Its not called tissue.. Its saviet or wipes
Selestine 😒😒 napkins 😔 wipes 😎
Usilie mamy tunapitia mengi ss watoto wa mama
Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk
😭😭 this interview iko so emotional Gigy ameniliza
Its enough Bby saiv ushakua na jina Fanya biashara sasa sahau hayo maisha. Pole mom
Nakubali Gigy mihera
Yaani gigi ninavyokupenda ni vile unaongea ukweli yaani sitamani hata interview iishe
Kweli vyo
Pole sana Gigi ndo maisha Ila unaakili.sana.sema tu unaonekana mapepe
Nakupendaga sana wewe Gigi money mpaka naumwa haunaga unafiki kabisa wasanii wote wangekua kama wewe safi sana upo muwazi sana Luv sanaaa
Yani gigy nakupenda allah akupemuongoza katika maisha yako
Pole sana gigi
Millard nampenda interview zako sana lkn weka tishu
Daaaah! We ni mwanamke dada ur strong enough my dear
Una ufahamu mzuri saana Gigy lv u saana 😘😘
Umenigusa sana Gigi maisha niliopitia duu na mpaka sasa sjafika yan inaumiza sana
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend bure dada ake mie nimejifunz mengi kupitia ww mpz... Asante sn #millardAyo kwa story nzuri kam hiz
Anajielwaa sna ananyumbisha dish lak vile wee untakavy mchukuliaa😍😍
Pole mwaya gift umepita kipindi kigumu ila usikate tamaa Pambana bado mdogo
Kiukweli nasikia kukupenda sana giggy money 👌🏾
Na kupenda gigi mungu atakusaidiya nakuheshimu mimi samira kutoka kenya
Daah kila mtu na mapito yake
i lov u gigy...wish nikutane nawew nkuambie tu kua nakupnda sana....n hope utafka mbali...haupo fake...u r so real😊😊
You have made me cry Gigy l see myself in you😭😭😭😭
gigy l love the word you said sio kila anaye jiuza anapenda 👌
I salute you, you're such an Insperational to all young people godbless more for being so honesty I hope to meet you oneday!
Nakupenda tu mummiii... Your fan from kenya
Umeongea point
She is always true to her self...Allah akujalie mema
nampenda sana huyu Dada kwanza ni mkweli apendi mambo yakufeki dah maisha ni safari ndefu ila ipo siku tu utanyanyuka mdg wangu gift
Your a strong woman I love ❤️ it
Gigi money..umepitia kweliii usijali Mungu wetu sote..kisha Mungu halali..
Gigy unagusa san maisha yangu hata mm nimelelewa na mama n aliteseka san mm nwe hapa lov u gigy wanawake tunaptia meng sana
Gigy nakupenda sana. Unatufundisha sana maisha.hujawah ongea uongo hata siku moja
I love gigy so, much , and mirad is very nice
mungu akufanye uzidi kua juu gigi
pole gigy kila mtu anayapitia
Namprenda sana gigiy money ana akili sana na hana kufeki .nakuelewa sana kichwa chako.
nakupenda sana gig
Gigy nakupenda sana
pole sana gigy,Mungu akusaidie to become a better person, you have been shaped like that by life, so be strong
Gigy money nimependa unaongea pwent,,,,kbxa kwer ww ni strong women💪💪💪💪
safi sana gigy unajielewa sana.swali,unanunuaje gari kwa pesa za vidio vixen kwa laki tatu?
Uko vzr sana Gigy
dah Gigy hongr mumy unachsema ni kwelii kikubwa ni kujua ni wap watokaa na kutokukumbk maumivu Bali kuhaso ili upate utulivuu
Hii n serious interview sijawah ona from gigy
Nampenda gigy mpaka basi
Nampenda sana gigy jmn nampenda mpaka nachanganyikiwa....cjielew jmn
gigy money nampenda sana
Love uuuu ming ming....
Mungu akutangulie
Sio siri Gigy nampenda sana kwa sababu ni muwazi na yuko real. Hafeki, I really like her for sure
Kweli gigy maisha nisafari ndefu songa mbele mamangu mungu yopo pamoja nawee tuko wengi hatuongei ila tuna mengi
Daah wengi tumeyapitia
Gigi leo umenilizaa sana aiseee upo truee
Giggy Mungu atakupa furaha
Gig hebu njoo tuanzishe family nimeona kumbe una akili hata zaidi ya wema sepenga
We binti unaakili sana nimetambua mungu akufungue
❤❤❤Gigy msema kweli
Pole sana gigy,maisha uliyopitia kiukwel yalikuwa ya simanzi,ila jitahid Mayra asipitie maisha hayo
Mungu akutangulie uzidi kubadika na kujielewa, usiangalie ulipo toka Angalia uendapo mwaya
I love this dada
nakupenda mno gigy
Duuuh pole San gigy ndio Maana nakupenda
God bless you
Da mimi nakupenda bure gugy unvyo kuwaga mkweli tu