GIGY MONEY AMWAGA MACHOZI: 'SIO KILA MWANAMKE ANAEJIUZA ANAPENDA, BORA NIDANGE'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #OnAirwithMillardAyo #GigyMoney #AyoTv

Комментарии • 363

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 6 лет назад +688

    Mimi nataka kujua tunaompenda gigymoney❤🔥.. wacha like yko hapo🙌

  • @lindasophia1288
    @lindasophia1288 6 лет назад +43

    Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘

    • @gracerichard969
      @gracerichard969 6 лет назад +2

      ndio maana wanasema usihukumu hali yeyote ambayo hujawahi kuiishi

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 5 лет назад

      Hta mm Leo nimemuelewa sana

  • @naimanassib4900
    @naimanassib4900 6 лет назад +60

    Gigy go gigy go gigy tukikuelewa wachache inatosha nakupenda mama mayra

  • @yaelvictor5809
    @yaelvictor5809 6 лет назад +194

    Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems

  • @mfalmegideon
    @mfalmegideon 6 лет назад +29

    Gigy is too real
    Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa
    Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati
    Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 лет назад +112

    Napenda iterviu ya gig ni mkweli tena tunajifunza kuhusu anaco sema

    • @mwajumajuma3813
      @mwajumajuma3813 6 лет назад +1

      nakupend xan Gigi ww unaonge ukwel kila ukiojiwa

  • @nicefit_ness
    @nicefit_ness 6 лет назад +20

    Gigi unaakili saaaana,, na unaongeaga point mnooo,,, nakupenda saaaana ❤❤❤❤❤

  • @zawadisimoni8616
    @zawadisimoni8616 6 лет назад +25

    Daaa me zawadi pia ulio pitia nimepitia mpaka naogopa kwann Story inafanana kiasi hiki chamsing dua tutafika 😍

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 6 лет назад +29

    She is real , She only mixup mood and attitude and that’s normal in a real life.

  • @deearacemarg450
    @deearacemarg450 6 лет назад +37

    I love your spirit Gigy .I hope things will change for good.Yeah ghetto is tough life....been there seen that.

  • @gombatv7046
    @gombatv7046 6 лет назад +116

    hii interview, ni kiboko GIGY amefunguka vilivyo, atafika mbali kwakuwa ni mkweli

  • @zainabguthera7923
    @zainabguthera7923 6 лет назад +24

    Kweli zaa ukomae gigy umtisha sana point taken" co kila mwanamke anapenda kujiuza"

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 6 лет назад +2

    Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹

  • @ivournanjala
    @ivournanjala 6 лет назад +3

    I don't know her but I think I like her..she is sooo real and honest.love from 🇰🇪

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 6 лет назад +64

    Giggy matata lkn leo kanihuzunisha kweli, kiukweli umasikini unasababisha matatizo mengi

  • @anisayahya5018
    @anisayahya5018 6 лет назад +22

    Dah.... giygy mungu akupe hitaji la moyo wako umehaso kwa kweli so sad

  • @saumjuma7546
    @saumjuma7546 6 лет назад +4

    Gigi no mkweli Sana anachukia drama drama....Kama unamin hill gonga like to show love❤

  • @jojolicious_1445
    @jojolicious_1445 6 лет назад +78

    Yani hili demu lina akili basi tu

  • @elieshishamy9902
    @elieshishamy9902 6 лет назад +12

    nakupenda Mdogo Wangu kweli mawazo yako makubwa japo umri mdogo

  • @mamadoublem353
    @mamadoublem353 6 лет назад +18

    Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house

  • @evelyneroselusasila4687
    @evelyneroselusasila4687 6 лет назад +19

    Duuuuh inaumiza love u gigy

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 6 лет назад +7

    MAMA gigy mcheshii sana and 4sure anapambanaa sanaaaaaaaaaa yn mpiganajii anatafuta bt gigy sometime kichwa chako kizurii

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 6 лет назад +35

    Gygy huaga nasema daily this girl is iron..yani shupa..huyu ndo jike shupa

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 6 лет назад +4

    In shaa Allah;hata huko utatoka . Ukipata mda kidogo mkumbuke ALLAH kwa sababu ni mwenye huruma na atoae rizq

  • @dorcaskibona8619
    @dorcaskibona8619 5 лет назад +2

    This woman is too real 🙌🏽🙌🏽

  • @loveness6732
    @loveness6732 6 лет назад +1

    Gigy uko real.. we ni fighter na cash madame 😘😘😘

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +12

    Pole Gigi kwa uliyopitia najua unavyojisikia ila ni mapito tu 🙏

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 6 лет назад +14

    I love you gigy 😍😘😘

  • @platnumtanya2880
    @platnumtanya2880 5 лет назад

    nampenda giggy Mungu naomba muinue m bariki awe boss of boss mpka dunia ishangae

  • @tiffahhassan1192
    @tiffahhassan1192 6 лет назад +6

    love you😘❤️😘 gigy mapesa
    na
    milard big💪 up bruh

  • @agnessinja8967
    @agnessinja8967 6 лет назад +17

    You are going somewhere baby girl

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan3825 6 лет назад +4

    Yani mm nampenda sanaa Huyu dada aijalishi Tabia zake

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +12

    Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?

  • @esterdavid6664
    @esterdavid6664 6 лет назад +5

    Gigy umekuwa mama I like it 😍😍

  • @munahally2473
    @munahally2473 6 лет назад +2

    safari ya maisha ulianza vibaya...ila safari ya mafanikio ni nzuri sana sana jitihada sana harakati kama zote...keep it up my gal.......lv u much

  • @pindotanzania579
    @pindotanzania579 6 лет назад +78

    Afu ww millard kila siku tunakuambia weka tissure hapo mezan kwan shingap😏unafanya watu wafute makamasi kwa mikono

    • @tatut3889
      @tatut3889 6 лет назад

      😀😀😀😀😀😀kasikia ataweka

    • @faudhiasalim3305
      @faudhiasalim3305 6 лет назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ditaely7309
      @ditaely7309 6 лет назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @selestineosoo5045
      @selestineosoo5045 6 лет назад +1

      Its not called tissue.. Its saviet or wipes

    • @evelynemoshi5705
      @evelynemoshi5705 6 лет назад

      Selestine 😒😒 napkins 😔 wipes 😎

  • @jacklindaudi9038
    @jacklindaudi9038 6 лет назад +19

    Usilie mamy tunapitia mengi ss watoto wa mama

  • @julianadominic7436
    @julianadominic7436 6 лет назад +18

    Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk

  • @sintajulias3555
    @sintajulias3555 6 лет назад +2

    😭😭 this interview iko so emotional Gigy ameniliza

  • @jacklinkangero3339
    @jacklinkangero3339 6 лет назад

    Its enough Bby saiv ushakua na jina Fanya biashara sasa sahau hayo maisha. Pole mom

  • @joytz4401
    @joytz4401 6 лет назад +8

    Nakubali Gigy mihera

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +60

    Yaani gigi ninavyokupenda ni vile unaongea ukweli yaani sitamani hata interview iishe

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 5 лет назад

    Pole sana Gigi ndo maisha Ila unaakili.sana.sema tu unaonekana mapepe

  • @elizabethmachary9972
    @elizabethmachary9972 5 лет назад

    Nakupendaga sana wewe Gigi money mpaka naumwa haunaga unafiki kabisa wasanii wote wangekua kama wewe safi sana upo muwazi sana Luv sanaaa

  • @naymahh3504
    @naymahh3504 6 лет назад

    Yani gigy nakupenda allah akupemuongoza katika maisha yako

  • @kajjd40
    @kajjd40 6 лет назад +12

    Pole sana gigi

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 6 лет назад +7

    Millard nampenda interview zako sana lkn weka tishu

  • @rhonjanjaim7173
    @rhonjanjaim7173 6 лет назад +1

    Daaaah! We ni mwanamke dada ur strong enough my dear

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад +1

    Una ufahamu mzuri saana Gigy lv u saana 😘😘

  • @nasramohamed2446
    @nasramohamed2446 5 лет назад +1

    Umenigusa sana Gigi maisha niliopitia duu na mpaka sasa sjafika yan inaumiza sana

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 6 лет назад

    Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend bure dada ake mie nimejifunz mengi kupitia ww mpz... Asante sn #millardAyo kwa story nzuri kam hiz

  • @sabrinamohamedy1040
    @sabrinamohamedy1040 6 лет назад

    Anajielwaa sna ananyumbisha dish lak vile wee untakavy mchukuliaa😍😍

  • @violetyurassa4392
    @violetyurassa4392 6 лет назад +23

    Pole mwaya gift umepita kipindi kigumu ila usikate tamaa Pambana bado mdogo

  • @fafamabrouk7597
    @fafamabrouk7597 5 лет назад

    Kiukweli nasikia kukupenda sana giggy money 👌🏾

  • @samiraabdallah3987
    @samiraabdallah3987 4 года назад

    Na kupenda gigi mungu atakusaidiya nakuheshimu mimi samira kutoka kenya

  • @Mariam-ez4qw
    @Mariam-ez4qw 6 лет назад +15

    Daah kila mtu na mapito yake

  • @winndelule2302
    @winndelule2302 6 лет назад

    i lov u gigy...wish nikutane nawew nkuambie tu kua nakupnda sana....n hope utafka mbali...haupo fake...u r so real😊😊

  • @emmahKK2024
    @emmahKK2024 6 лет назад +1

    You have made me cry Gigy l see myself in you😭😭😭😭

  • @khalifacyrus4300
    @khalifacyrus4300 6 лет назад

    gigy l love the word you said sio kila anaye jiuza anapenda 👌

  • @charlesgadi5293
    @charlesgadi5293 5 лет назад +1

    I salute you, you're such an Insperational to all young people godbless more for being so honesty I hope to meet you oneday!

  • @marykangina4476
    @marykangina4476 6 лет назад

    Nakupenda tu mummiii... Your fan from kenya

  • @tymermtatya565
    @tymermtatya565 6 лет назад +12

    Umeongea point

  • @raysulesh8589
    @raysulesh8589 6 лет назад

    She is always true to her self...Allah akujalie mema

  • @shaniamgunda7838
    @shaniamgunda7838 6 лет назад

    nampenda sana huyu Dada kwanza ni mkweli apendi mambo yakufeki dah maisha ni safari ndefu ila ipo siku tu utanyanyuka mdg wangu gift

  • @anneguth2390
    @anneguth2390 6 лет назад +1

    Your a strong woman I love ❤️ it

  • @saidaabdallah4320
    @saidaabdallah4320 6 лет назад

    Gigi money..umepitia kweliii usijali Mungu wetu sote..kisha Mungu halali..

  • @ashakigumi2263
    @ashakigumi2263 6 лет назад

    Gigy unagusa san maisha yangu hata mm nimelelewa na mama n aliteseka san mm nwe hapa lov u gigy wanawake tunaptia meng sana

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 6 лет назад

    Gigy nakupenda sana. Unatufundisha sana maisha.hujawah ongea uongo hata siku moja

  • @nurumanyota2592
    @nurumanyota2592 6 лет назад

    I love gigy so, much , and mirad is very nice

  • @bahatiabdallah5901
    @bahatiabdallah5901 5 лет назад

    mungu akufanye uzidi kua juu gigi

  • @merryn4891
    @merryn4891 6 лет назад +8

    pole gigy kila mtu anayapitia

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 6 лет назад +8

    Namprenda sana gigiy money ana akili sana na hana kufeki .nakuelewa sana kichwa chako.

  • @dianajavana4817
    @dianajavana4817 5 лет назад

    nakupenda sana gig

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 6 лет назад

    Gigy nakupenda sana

  • @mayathomas5560
    @mayathomas5560 5 лет назад

    pole sana gigy,Mungu akusaidie to become a better person, you have been shaped like that by life, so be strong

  • @nasrahcute4278
    @nasrahcute4278 6 лет назад

    Gigy money nimependa unaongea pwent,,,,kbxa kwer ww ni strong women💪💪💪💪

  • @ayadkishuga7229
    @ayadkishuga7229 6 лет назад +1

    safi sana gigy unajielewa sana.swali,unanunuaje gari kwa pesa za vidio vixen kwa laki tatu?

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 6 лет назад

    Uko vzr sana Gigy

  • @nexakadeus7855
    @nexakadeus7855 6 лет назад +14

    dah Gigy hongr mumy unachsema ni kwelii kikubwa ni kujua ni wap watokaa na kutokukumbk maumivu Bali kuhaso ili upate utulivuu

  • @tabithachacha2688
    @tabithachacha2688 6 лет назад

    Hii n serious interview sijawah ona from gigy

  • @eyshermohammed2236
    @eyshermohammed2236 6 лет назад

    Nampenda gigy mpaka basi

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 6 лет назад

    Nampenda sana gigy jmn nampenda mpaka nachanganyikiwa....cjielew jmn

  • @udainanassoro3676
    @udainanassoro3676 6 лет назад

    gigy money nampenda sana

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 6 лет назад

    Love uuuu ming ming....

  • @genarahaswile2990
    @genarahaswile2990 6 лет назад

    Mungu akutangulie

  • @annastaziaprudence7333
    @annastaziaprudence7333 6 лет назад

    Sio siri Gigy nampenda sana kwa sababu ni muwazi na yuko real. Hafeki, I really like her for sure

  • @mauwabijoux1498
    @mauwabijoux1498 5 лет назад

    Kweli gigy maisha nisafari ndefu songa mbele mamangu mungu yopo pamoja nawee tuko wengi hatuongei ila tuna mengi

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 6 лет назад +9

    Daah wengi tumeyapitia

  • @monicerhasani8206
    @monicerhasani8206 6 лет назад

    Gigi leo umenilizaa sana aiseee upo truee

  • @beatricemwakalinga4140
    @beatricemwakalinga4140 6 лет назад

    Giggy Mungu atakupa furaha

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 6 лет назад +6

    Gig hebu njoo tuanzishe family nimeona kumbe una akili hata zaidi ya wema sepenga

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 6 лет назад

    We binti unaakili sana nimetambua mungu akufungue

  • @tamalijafari8311
    @tamalijafari8311 6 лет назад

    ❤❤❤Gigy msema kweli

  • @anethanicet4786
    @anethanicet4786 6 лет назад

    Pole sana gigy,maisha uliyopitia kiukwel yalikuwa ya simanzi,ila jitahid Mayra asipitie maisha hayo

  • @dianarenard5853
    @dianarenard5853 6 лет назад

    Mungu akutangulie uzidi kubadika na kujielewa, usiangalie ulipo toka Angalia uendapo mwaya

  • @veronicamichael8351
    @veronicamichael8351 6 лет назад

    I love this dada

  • @priscamasongera6798
    @priscamasongera6798 6 лет назад

    nakupenda mno gigy

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 5 лет назад

    Duuuh pole San gigy ndio Maana nakupenda

  • @daniel4kt300
    @daniel4kt300 6 лет назад

    God bless you

  • @sandrasofia6597
    @sandrasofia6597 5 лет назад

    Da mimi nakupenda bure gugy unvyo kuwaga mkweli tu