MTOTO wa ajabu anaye treind HUKO TIK TOK II Tumemkuta nyumbani kwao..
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Kugira ubandanye wironkera amakuru yabaririmvyi bo kwisi yose na cane cane abi wacu +257 nutuntu nutundi dutangaje kwisi , fyonda SUBCRIBE( Sabonnez) hamwe na LIKE ( J'aime) na SHARE (Partage)
Wewe uliyeandika mtoto wa ajabu chunga sana kauli Yako mtoto mzuri ivyo mungu amjalie afya njema
Nahisi tu anamaanisha vizuri sio kwa uajabu wa ubaya
Umenichekesha ulivyomfokea et chunga sana😂😂😂kweli kabisa achunge sana
Kabisa akome kabisa
Nadhani mume muelea vibaya sio jise amemaanisha
Jamani kiswahili kigumu😂😂😂 husikii wanavyohangaika kuongea
Ukipewa kilema mungu hawezi kukunyima mwendo mtoto mzuri mungu akujaalie tunakupenda malaika ❤❤❤❤
Eeee mwenyezi mungu kwa neema yako naomba uweze kuwawekea hawa malaika ulinzi siko zote za maisha yao wabariki na kuwaongoza na kuwa katika furaha na amani daima na hata milele: IN JESUSS NAME%
Hongera kwa babake Gabriella sababu wengine wangetoroka kuona mtoto mlemavu mungu amzidishie
Inshallah
Maskini toto nzuri Mungu akukuze na Furaha ijae kwenye Moyo wako na Familia yako ishangae na Mambo mazuri Mungu anakwenda kuwatendea🥰🥰🥰🥰
Ameen... Soon anakwenda kuwa na mikono ya bandia kupitia Joely Lwaga... Tusiache msaport wapendwa
Amina🙏
Amina
Amiin😊
Amen 🙏🏿
Njo ivo mungu akuwezesh akupe roho ya uzazi kabisa wapende sana watoto wako mungu anawaona na atawawezesha 🥰🥰🥰
Mungu awafanyie wepesi mtoto Gabriella aweze kukamilisha viungo vyake,,,nawapenda
Mashaaaallah kazuri Allah akulinde kipenzi ongera wazazi kwa kuikibali hali yake na kumpa thamani kama watoto wengine
Mungu amjalie gabliela na wadogozake amani na furaha na maisha mazuri kabisa mkono wa Mungu usiwapungukiea kabisa jamni watoto wazuri kweli jmni Mungu awalinde
Da ni kazuri kweli yani🤦♀️🙏😍❤❤
Sanaaaa❤
Jamani. Yote ni kumshukuru Mungu. Ila Mtangazaji yupo vizuri na ana upendonna Watoto🇹🇿
This bby Gabriela😭
MUNGU akutunze mtoto mzuri milango Yako ikafunguliwe MUNGU akuinue 🙏🙏
Mtoto wa ajabu?????? ni mzuri sana sana Mungu amkuze vyema, kuna wasanii walikua wanamtafuta
Aki toto zuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉mrembo sanaa mungu amkuze na kumlinda daima mpk akue mkubwa naamtumikie mungu 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu analo kusudi juu ya hao watoto mum! Endelea kumshkru Mungu tuu Kwa hiyo hali!
Mama mzuri na watt wake MashaAllah Allah amtunze na ampe hitaji la moyo wake aweze kuwalea watoto wake vizur 🙏
Imana imurinde disi nanje naramubonye numva ndamukunze can disi imana imube hafi🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nukuri arababaje imana imurrnde
Eeeeh mwenyezi Mungu mmpe makuzi mazuri na afya njema huyu mtoto 🙄
Aamin
I really loved this baby girl the first day I saw her video on TikTok ❤. God bless you baby girl ❤
Life will seem hard for you, But God will surprise you with big things! Go kid, you are too blessed and nothing will ever limit your luck ❤🙏
Pole mom Mungu akukuzie mtoto na iyo ni Baraka Mungu hajawai kosea
Mashallah mtoto mzuri mungu akukuze vzr na uwe na furaha daima
Tumuacheni MUNGU aitwe MUNGU mtoto mkubwa mlemavu,anae mfata mlemav wangozi kwel MUNGU kila alitendalo analijua yeye,nimfano mzur kwa wale Jambo dogo wanaqfuru😢
Gabriella Mwenyezi Mungu akufanyiye wepesi mtoto mzuri❤❤
Kwel Isaac huyu mutoto Na mi alinushangaza kipindi nilimukutapo TikTok.hata machozi alitulilika kbx.kwa ile chalenge alifanya ya fernando.yani Fernando angekua mutu muzuli angemutafuta basi akamupea ka kitu kidogo.mana Alichalenge vizuli.nampenda sana huyu mtoto kbx .🥰🥰😘
Mimi nililia hadi niliamua kumtafuta yeye na mama yake
Tktok anatumia jina gan jaman please
Maskini Gabriella mtoto mzuri❤❤ allah amraisishie katik maisha yake
Amiiin
Maskin unaweka ya nini
Tunawapenda Familia tukiwa Tanzania tutawasidia vipi hawa Ndugu Mungu awape furaha pia awakuze watoto wazuri InshaAllah ❤❤🙏🙏
Mufatilie Joel Lwanga kaweka namba ya kuchangia
Anataka aje Tanzania kwajili ya kupata mikono badia
Jaman tutumien nyimbo za mtoto huyo ni nzurii saana mtoto ana kipaj sana Mungu ampe furaha sikuzote
Koodo mtangazaji yuko very patient Mungu akubariki
Mtangazaji ni mtu wa maana kabisaaa mungu akubariki saana❤❤
😅😅ni mtu wa mara pia ni mtu maana
Mtoto mzuri kweri sikujua kama ni Murundi wa kwetu❤❤❤🎉🎉🎉
Yesuweeee uwomwana disi😢Imana izomukuze disi ishoboze abavyeyi biwe gukomez kumurera
MashaAllah kazuri Allah azidi kumpa furaha na uzima
Mungu amfanyie wepes jaman mtoto mzuri na amtie nguvu mama ake Aishi vyema na watoto wake
Yaani kazi ya Mungu haina makosa. Yaani karembo wuui hivi alivyo ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Gabbie live long ❤
Mutoto muzuri mungu akurinde
Mungu kwer anajuwa chochote kwa bina dam
God bless this kid... N the presenter...
She is so beautiful my God bless this baby
Mtoto muzuri sana mwenyez mungu akubariki
Mashaallah muzurii😊❤❤
❤❤❤❤masking mtoto mzuri mungu akukuze my
Waaawooo lsahaku anajuwa kuongelesha watotoo😂😂.mungu akubariki.
Usife moyo dada mungu ndiye anajua kila kitu kuhusu wewe na hao watoto wenu hao,hiyo ni baraka wala msione ni laana"watanzania tunawapenda nyinyi
Yarabii !!! Machallah Iman iguhe kuram mwana 😮😮
Isaac tv sutwa aratohoza amakuruyose😂😂akokana Imana igahe umunezero wibihevyose🎉🎉🎉🎉
Huyu mtoto ni mzuri sana kina sura nzuri mungu amlinde sana
Yesu arakuzi mwana muto
Imana nimana nukuri ikora uko igomvye Imana imugirire neza uyu mwana ❤❤❤🎉🎉
Woow final you find queen of Burundi
Subahnallah³...allah ampe makuzi mema yaarab
Mungu awabariki sana wewe namume wako niwatu wamungu kweli maana hamjapata tamaa ❤❤ nawapenda sana
Mungu akutunze bébé na akufungulie kila milango ya baraka ❤️🫂❤️🙏
Amen
Mungu amsaidie mtoto mzuri uyoo Janam 😢😢
Mtoto mzuri Masha Alllah🤗🤗🤗🥳🥳 ❤❤❤
Machikin katot kaxuri😢😢alaf kachangamsh balaa yooh Allah akakuz vyem 😢 alaf kaongeaj kazur❤❤Allah akalind pand zot😢
Masha Allah, ni karembo
Katoto kazuri, mungu azidi kukuinua.
Da mungu akusimamie dada yangu tunakuombea Sana awakuze vyema watoto wako
Nukur uyumwana anteye ikingogwe can mungu wang kube ntanakuguru yifitiye mama watoto nakuloba ujikaze kwatoto napia awagukuzie vizuli
Wow kazuri mashallah
This is amazing talent Gabriella ❤ I Love you,She is beautiful bebe
Duuuu jaman mngu akusaidie mtoto mzuri
MANANI azidi. Kumpaa kipajii mashaALLAH kajuulii❤❤ALLAH akupee umrii mrefu pia toto mzurii
Jamni jaman mi nlimwona nikabaki mdomo wazi nimetokea kumpenda sanaa gabiii ni mrembo mungu akutunze vyema inshallah
Mrembo kweli kweli mungu amlinde na kumtunza daima❤❤❤❤
Subhanallah 😭 Gabriella Mungu akufanyie wepesi ktika maisha Yako inshaallah 🙏
Imana yomwijuru imukuze
Yallabii toto julijuli jaman masha allah❤❤❤❤❤❤
Mtoto mzuri mungu akujalie ukue vyema katika misingi ya kumjua na kumpendeza mungu inshallaH Kila jambo litakuwa jepesi kwenye maisha yako mtoto mzuri
Uyumwan aratey ikigongw nukur Iman imuh kwihangan
YESU amtunze mtoto wetu akawe mwenye hekima na akili🙏
Mtoto mzuri sana mwenyenzi mungu amfanyie wepes wa kila jambo
Mungu amukuze🎉🎉🎉🎉
Kumbe ntanukuguru afise yooo Imana imurinde
Aragufise nuko kutareha nukundi kandi
Aragufise nuko kutareha nukundi uwomwana ikintu kizobagora abavyeyi ukwakura ukwokuguru kurahindurwa
Bebe kaka iko na smile 🥰
Kabisa nawuku Ethiopia tunamufatilia🇪🇹🇪🇹🇪🇹🇪🇹🇪🇹
Kumbe huko kunawatu wanaongea kiswaili au nimgenu huko
Ndio sunajua ni city ya African
Nashanhaa ajabuyake Nini mtoto nimuzuri nimempeda Sana🙋🙋🙋💐💐
Yooh mtoto mzuri sana tena anakipaji
Yooooooo uyumwana kumbe numurundikazi koko naramubonye ndarira yongera nongera ndarira 😢😅ariko kandi kari Humble ❤❤❤❤❤❤
Watahuy nabi ntabw ari umurundi ahubwo baba I Burundi ni aba congolais
❤❤❤❤❤❤ manshallaah mtoto mzuri kumbe ni wa kwetu burundi
Imana ikuzigame kibondo iguhe namagara meza🙏♥️♥️
Narasabye nimero ya Lumicash yuwumureze cank nime yabo narabuze Isaac ww
Mtoto mzuri sana mungu aendelee kumtunza❤
Baraka congo amen ubarikiwe🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Gabriella mtoto wa kwanza miaka tatu na uko na sengine wawili wakumfuata kivipi unazaa kila mwaka anyway Gabriella ndiye ataleta baraka hapa duniani❤
Mashallah Uu ndio ukuu wa Mungu mtoto mrembo sana ukue ukimpendeza Mungu
Akooose manaaa kobwa nzizaaaaaaaa❤❤❤❤❤
Be blessed baby girl may Jehovah bless you
Kazuri haka kabinti jamani, Mungu amkuze vyema❤❤❤❤❤❤❤
Kazuri njameni mungu umulinde uyu mtoto wetu muzuri ❤❤❤❤
She is soooo beautiful.
Mungu nisaidie nisilie 😢❤❤❤❤❤❤nimependa ningekuwa niko Burundi ningekuja kumuona❤❤❤❤❤🇸🇦🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️
I love you so much ❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤
Leatitia from Rwanda 🇷🇼
Wooiii Kazi ya Mungu hayin makos mama Gabriella Mungu akutie nguvu usijal Mungu yupo
❤❤❤❤❤❤ Mungu wangu narinziko uwo mwana ari uwa Kitoko
Nakupenda sana mtoto wangu ❤❤❤❤❤
Mbega umwan wiza ❤❤❤❤🎉🎉🎉 Mana ntakib utabizi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🌹🌹🌹🌹🌹💕💕💕💕
Tatzo mnamkarisha mablmb ya.dunia na sio mungu jamn mfundishe kuhusu mungu amtnze
Karemboo kenyewe pamoja na mdogo ake❤❤❤❤❤