Lakini hivi inakuwaje hayo ni mashindano sasa badala watu wakae chini ili majaji wawaangalie wao wanakuja wote kwenye steji kucheza kama vile ni concert jamani kulikoni? Mashindano ya bongo ujinga mtupu.
Huyu ndiyo anayejua kuimba kuliko wote katika shindano hili mwaka huu...tungekuwa tunashindani linguine la afrika na awakirishe....mh....angeshinda kabla hajashiriki...sioni anachofanya zaidi ya wahuni kushangilia....majaji 0
Jamaa Verry Creative Safi Sna Huyu Ni Mshndi Kwel
Aaah jamaaaa anatixhaaaaaa
Shout out kwake %%
Utafika mbali
Nakubali
Uwo ndio ukweli ushindi wake
Huyu ndio mshindi
Anastail jamn kua star tu lzm mashabik wakukubaliiiiiii
Jaman acheni ashinde tu anajua sana
Nakubal
Haiko vizuri kumashindano ku shangiriya hivo.
Kwani lazima wakae kimya??
@@imbatokamoyoni2209 huyo mbuzi hapo juu hajielewi sasa wasishangilieili iweje ulaya tu wanashangilia
Tuachie kiswahili chetu usitukane bure
Lakini hivi inakuwaje hayo ni mashindano sasa badala watu wakae chini ili majaji wawaangalie wao wanakuja wote kwenye steji kucheza kama vile ni concert jamani kulikoni? Mashindano ya bongo ujinga mtupu.
Siyo bongo ujingamtupu jinsi walivyojenga
Always mtu anayekubalika huwez zuia mafuriko ya mvua
Kipaji san
Nyota nyota watu na nyota zao bob😁
Iyi nyimbo inaitwa je?
Inaitwa wapolo ya weusi
😁 😁😁😁 JAMA ipovizurisana nc
Acheni wivu dogo anajua,burudani ndo tunataka wakuuu
Mashindano yalishapita they are just giving people a show
Kwani show Ilikua ya nini
Ukitaka kutoboa mapema ngona ya kwaza fanya na maua sama
Jaman tuongee ule ukweli iv uyu jamaa alichoimba mnakielewa et anaba alafu elisha anatoka siusenge huu
Kwani elisha katoka
@@torokamwanaidi3777 wamemtoa et sasa haya ni mashindano au walishawaandaa mshindi wao
Kwanza nashangaa mashindano gani watu woote wameenda kujaaa mbele wanacheza kama concert vile sasa majaji wataonaji, si kasheshe hii? Nonsense kabisa
Kwa sababu anaimba mziki wa tofauti
huyo Elisha wako hana ishu. Huyu anaimba mistari yake very talented
Huyu ndiyo anayejua kuimba kuliko wote katika shindano hili mwaka huu...tungekuwa tunashindani linguine la afrika na awakirishe....mh....angeshinda kabla hajashiriki...sioni anachofanya zaidi ya wahuni kushangilia....majaji 0
Wengi wape...akiimba laZima mashabiki worse wasimame... Kilichombeba ni ubunifu..wengine wanaimba nyimbo za wasaniiii
Kpaji anacho yusuph sema wanagawa tunzo kwa upendeleo wanakuwa wamemuandaaa mshind
Fainali ilikuwa ya kijinga sana Haina utulivu hata chembe
Bongo Ster Sach mwaka huu ni ujinga mtupu kwanza Aina utulivu ata kidogo
kajitahidi san
wew uliona ujinga lakini sio kila finally lazima zifanane bwege kabisaa
Diamond mchukue huyu bnna akaendwlwlze kipaji chake hicho
Aende konde boys
Hana nafas wcb
Ivi uyu jamaaa kashinda kwa kigezo gan