hakuna kitu km hicho, katibu mkuu alitoa Tangazo mwezi May 2020 kuchukua fomu ya Urais ingawa hakuna aliyejitokeza kuiomba zaidi ya Magu kuna mwingine alidai alizuiwa sijui ukweli wake, Magufuli akalipia fomu akajaza fomu akarudisha baada ya hapo vikao vya uteuzi vikakaa kunteua kuwa mgombea ..Mama Samia kajiteua mwezi January bila hata kujaza fomu kuomba nafasi hiyo kinyume na ktb ya CCM inayosema lzm ujaze fomu na kulipia fomu hiyo ili kugombea nafasi yeyote ile hata ya kuomba kugonbea kuwa mkiti wa kijiji kupitia ccm..
Ukweli waga unauma kuupokea kusema ukweli CCM Watu wenye mvuto Kwa Sasa Kwa Wananchi ni Mh Majaliwa na Makonda Mama kurudi madarakani itatumika nguvu kubwa sana ya Dola kumrudisha madarakani ngoja October ifike
Huyo jamaa aliyefujuzwa mimi kwangu nimeipenda ccm kwa njia hiyo waliyo fanya kumtimua mamluki kama kwamaana yangu kuwaunga mkono kufukuzwa huyo nikwamba waliomchagua mama Samia waliyofanya uchaguzi walikuwa mamia na maelfu yeye na waliyo nyuma yake walikuwa wapi
Eleweni tu kuwa Watanganyika hatutaki kuongozwa na Rais toka taifa jingine tena. Bi Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari toka nchi ya Zanzibar. Tanganyika hatuko tayari tena kuongozwa na Mzanzibar!!!
Hapo mmezingua kabisa pia kumbukeni zama hizi ni za watu wengi waliosoma na wenye ufahamu hebu tiambieni ni lini alipgiwa kura zikaonyesha kuwa amepita bila kupingwa? Acheni jaman kuturudisha enzi za kale
KUNA WATU WENYE CHUKI BINAFSI , KWANI HUYO MZEE ALIVYOJITOKEZA KWENYE MEDIA NA KUTAKA ASIFIWE , KWANI ANGEKAA NA WANACHAMA WENZAKE AKAULIZA ASINGEPATA MAJIBU?
Katiba ya CCM inasema wazi ili kugombea nafasi yeyote ndani ya chama hata kuwa mkiti wa kijiji lazima ujaze fomu na kulipia kuomba nafasi hiyo baada ya hapo vikao vya uteuzi vikae kuteua jina moja..Samia fomu alichukua lini??akalipia lini???akarudisha lini???ni sawa wanaosema kajiteua kwa kuvunja taratibu za chama..
Swali ni je ninyi wajumbe wa huo mkutano milisoma hiyo katiba inssemaje isije kuwa ninyi kina mama ni kushabikia tu. Hata mkamu mwenyekiti Stephen masato Wasira alihamia huko NCCR mageuzi je ni mwadamizi . Hapo ninyi ccm mkukubali msikubali kuna tatizo lipo na wanachama wengine wanasoma hiyo katiba yenu wenywe kama alivyosema huyo mzee
Mimi nawashangaa watu wanao shangaa Kwa ccm kumfukuza huyo mhaini wa chama .SI ndio utaratibu ccm waliojiwekea wapi wamekosea.sisi watanzania ambao hatuna vyama tunajua hiyo demokrasia wanayotumia .pilipili ya shamba inakuashia nini
ww nimnafiku pengine ulijiunga ccm ukijua uta kuja wavuruga .ndugu ccm nicma makini sana kina raslimali watu bilakuficha nakuam ia ww u bado mpinzan uwezi kua ccm wakwel
Hata kama kafukuzwa chama, lakini alisema kweli
Kbs
Ukweli waga unauma
Hana ukweli wowote choyo tu kimemjaa magufuli nae si alifanya kama hivi au
@@MaryamMasoud-s2b Bora hata wewe umetukumbusha tulikuwa tumesahau basi kumbe ni utaratibu wa mtu kumalizia kipindi Cha pili
Wewe acha kujipendekeza kura gan zilipigwa alafu zikapitishwa achen kuhalalisha uovu kwa hila
Kura imepigwa wapi wakat kikwete alitoa kaul😂😂😂
Yeye ajipendi
Yaani ni upumbavu mtupu
Chama cha hovyo sana hiki
CCM Ina Watu wazuri wengi sema bado hawajapata nafasi
Hamna akili kabsa nyie, hovyoo kabsaa. Yaan ccm bana cjui mnafiki kwa kutumia nin?
Machawa machawa mnahangaika semeni Kwa Amry ya kikwete ndio mlimpitisha sio Kwa utaratibu wa chama
Hata mukimfukuza ameshaongeaukweli kwani mlipiga kura wapi mnamuonea Mzee Kisha amepasua jipu
Kama si mwanachana mbona munamfukuza acheni propa ganda
Hapo Sasa yaani unajitekenya alafu unajichekesha mwenyewe
Sure kaka
Kumbe ccm ukiongea ukweli unafukuzwa,
Uwiiiii kweli tuna watu viazi 😮😮😮😮😮
Viazi kivipi yoko? hebu nipashe hapo nielewe
Ndiyo Tanzania yetu wao wanajifanya wanaona kuliko sisi
Ccm hakuna democracy ni ubabaishaji tu hamchagui ila mnateuana tu
Jiangalie kwenye Kioo mama Sura Yako inakusuta Mnafiki mkubwa
Dah nimeangalia comment za watu wingi nimegundua mumejaa chuki na choyo kwani magufuli hakufanya kama hivi au ndo Samia Mzanzibar,muislamu na mwanamke
hakuna kitu km hicho, katibu mkuu alitoa Tangazo mwezi May 2020 kuchukua fomu ya Urais ingawa hakuna aliyejitokeza kuiomba zaidi ya Magu kuna mwingine alidai alizuiwa sijui ukweli wake, Magufuli akalipia fomu akajaza fomu akarudisha baada ya hapo vikao vya uteuzi vikakaa kunteua kuwa mgombea ..Mama Samia kajiteua mwezi January bila hata kujaza fomu kuomba nafasi hiyo kinyume na ktb ya CCM inayosema lzm ujaze fomu na kulipia fomu hiyo ili kugombea nafasi yeyote ile hata ya kuomba kugonbea kuwa mkiti wa kijiji kupitia ccm..
Muda utaongea
uongooooooo mkubwa achien nchi
Ww mshamba kweli
Kila mwana CCM anauogopa ukweli iv hamjui kuwa wananchi wameshawaelewa ndiomaana hamuwezi kupata kura hata ya kichaa
Ukweli waga unauma kuupokea kusema ukweli CCM Watu wenye mvuto Kwa Sasa Kwa Wananchi ni Mh Majaliwa na Makonda Mama kurudi madarakani itatumika nguvu kubwa sana ya Dola kumrudisha madarakani ngoja October ifike
Nenda chadema kwa heri mamy asante kutusaidia kujua haya hongera dear
Fomu imelipiwa wapi?Nani kamdhamini mgombea..Tufuate katiba .Fomu imejazwa wapi?Walioko chini wakiiharibu mtawalaumu.?
Fomu zilianza tolewa lini?? Samia akachukua lini??akajza kuomba na akarudisha lini???😂
Chawa kazini
Alikua nccr mageuzi.aliamia chama cha mapinduzi kwa sababu alitaka kuwavuruga hamkulitambua hilo? Nilijua tu mmeingiza kunguni si chawa
Kunguni ni mafisiemu majambazi sugu yalio kubuu
🎉mama mungu akulinde saana amina.
😏😏
tumewachoka bwana aa
Hakuna Katiba hapo Dada,mlivunja Katiba
Mtahikumiwa tu kwa ubabe wenu. Yaani hamtaishi milele ndani ya nchi hii
Misukule bad mingi sana
Safi sana,mtu kaingia 2021 leo anajifanya mjuaji.
Acha akili kuifyatika kwenye kishundu,ebu uwege na MDA wa kufikiria
Safi sana mpuuzi huyo,akajiunge na vyama vya kipuuzi
Ni kweli nchi hii ukiwa msema kweli mbayaa ila bora kufa na fikra sahii kuliko kuishi na fikra zilizokufa
Kwani MTU akipinga ni dhambi? Kwa nini afukuzwe uanachama?au ni lazina kuchagua MTU huyohuyo?
Femokrasia iko wapi?
Femokrasia ndo nn tena
@@AbuuSwafwaan-m7nni typing error tu alimaanisha demokrasia jiongeze
kwa sbb ndani ya CCM hakuna demokrasia
Huyo jamaa aliyefujuzwa mimi kwangu nimeipenda ccm kwa njia hiyo waliyo fanya kumtimua mamluki kama kwamaana yangu kuwaunga mkono kufukuzwa huyo nikwamba waliomchagua mama Samia waliyofanya uchaguzi walikuwa mamia na maelfu yeye na waliyo nyuma yake walikuwa wapi
Ccm nyinyi nimajizi na majambazi mbwa nyinyi
Malisa watoe mavi ao
Tumeipenda hiyo safi sana huyo nimpumbavu sana
Mbona hizo kura hatukuziona zikipigwa kama chadema ninyi mlikuwa mnagia sirini
Mama mitano5🖐️ tena 👅💪🔥💯🎉❤️
mama mbona unaongea kwa jaziba
Ndio wanawake walivyo
Siyo democracy, ni maoni yake lazima yaheshimiwe, mnataka wote wakubali tu hata kama hawataki, kikatiba ana hoja pia
Chama kinakwenda kuanguka.Hii ndio aibu ileeee,iliyotabiriwa na mtumishi wa Mungu juu ya huyo mama enu.
Sasa unapigaje kula ya hapana wakati mtu ni mmoja?
Karee watoto 2
Mumerikoroga wenyewe mutalinyw hilo
its the matter of time. time will tell...by Bob Marley
Ccm wote ni wajinga😢
Hiyo hoja yako siyo sahihi CCM Ina Watu wengi wazuri sema bado hawajapata nafasi
Wengi wamekosa radhi za mwalimu Nyerere hawafuati maagizo yake
Si mulimpokea vipi tena bado msigwa
Hapo CCM hamtendi haki kabisa
Ifike mahali basi ccm muwe na aibu jaman kwa mnayoyafanya Mungu hapendi kabisa.Kwani ni wapi pameandikwa kwamba lazima atawale yeye wakt wengine wapo?
Karibu chadema
uyo mama hamna anayemtaka mnaforce tu
😂😂😂
Walikutana watatu tu kijana wa mwinyi, kikwete na mama ndo walipitisha nyie njaa tu mmenigishwa tonge nono bumbavu zenu mnafikili hii nchi ya CCM!
Chadmea kura waazi
Eleweni tu kuwa Watanganyika hatutaki kuongozwa na Rais toka taifa jingine tena. Bi Samia Suluhu Hassan ni Mzanzibari toka nchi ya Zanzibar. Tanganyika hatuko tayari tena kuongozwa na Mzanzibar!!!
Hawakosolewi hao na ccm wenzao madhara yake n kumfukuza lakin ukweli umefika
Hapo mmezingua kabisa pia kumbukeni zama hizi ni za watu wengi waliosoma na wenye ufahamu hebu tiambieni ni lini alipgiwa kura zikaonyesha kuwa amepita bila kupingwa? Acheni jaman kuturudisha enzi za kale
Limama chizii kama ilii una weza sema wana wake wana akiliii kweliii Sasa kula walipiga lini na alishindana na nani
Huyo samia sio malaika kwa hiyo mzee yupo sahihi na kupigwa ni lazima
Tatizo nyie ccm ni wezi na kuambiwa ukweli hamtaki dini yenu wenyewe inakataa mwanamke kuwa kiongozi
Ccccm aibu
Uchaguzi walifanya CHADEMA huko kwingine ni utapeli tu ulifanyika
KUNA WATU WENYE CHUKI BINAFSI , KWANI HUYO MZEE ALIVYOJITOKEZA KWENYE MEDIA NA KUTAKA ASIFIWE , KWANI ANGEKAA NA WANACHAMA WENZAKE AKAULIZA ASINGEPATA MAJIBU?
We,mama muogope mungu kura zilipigwa wapi wakati mtu mmoja tuu ndo aliamua
Kulikon
Kwani mlikuwa na wagombea wangapi kwenye ngazi rais?
Hawapendi ukweli Hao ndio ccm
Kuna umaskini maradhi na ujinga Sasa ujinga aloukataa mwalimu ndo huu
Hiii ni thithiem OG
Huyu kiasi kweli! Kura gani ilipigwa hapo? Ilikuwa ni kuitikia tu kama mnachagua kiongozi wa soko! Shame on you!
mm nawashangaa note wanao sema sheria hazija fwatwa .mapendekezo yalio tolewa yalipigiw kura na wajumbe sasa mnataka sheriagani ten?
Katiba ya CCM inasema wazi ili kugombea nafasi yeyote ndani ya chama hata kuwa mkiti wa kijiji lazima ujaze fomu na kulipia kuomba nafasi hiyo baada ya hapo vikao vya uteuzi vikae kuteua jina moja..Samia fomu alichukua lini??akalipia lini???akarudisha lini???ni sawa wanaosema kajiteua kwa kuvunja taratibu za chama..
Mfukuseni kabisa lakini mjue jamaa amesema ukweli
Acheni ukilitimba kwa masilahi Yanu hi nitanzania yatu
Wewe njaa itakuua simama kwenye haki waseme wananchi kura ilipigwa wap?
Mhh mama yangu hata mungu umuogopi?
Mulizani mumeokota dodo vipi tena
KURA mlipiga saa ngapi??
Maana mlikuwa Live😀😀😀😀😀
Swali ni je ninyi wajumbe wa huo mkutano milisoma hiyo katiba inssemaje isije kuwa ninyi kina mama ni kushabikia tu. Hata mkamu mwenyekiti Stephen masato Wasira alihamia huko NCCR mageuzi je ni mwadamizi . Hapo ninyi ccm mkukubali msikubali kuna tatizo lipo na wanachama wengine wanasoma hiyo katiba yenu wenywe kama alivyosema huyo mzee
bado munachama wenu mbona wakina halima mdee wapo bungeni mpaka leo huyo ni wenu mpaka mwisho wa dunia
Na wale wasanii wote mliowaokota mabaa pia walikuwa wajumbe wa mkutano mkuu pia ?
Huyu anaemfukuza malisa sauti ya kilevi
Mimi nawashangaa watu wanao shangaa Kwa ccm kumfukuza huyo mhaini wa chama .SI ndio utaratibu ccm waliojiwekea wapi wamekosea.sisi watanzania ambao hatuna vyama tunajua hiyo demokrasia wanayotumia .pilipili ya shamba inakuashia nini
Hata mkimfukuza ukweli tayari
ww nimnafiku pengine ulijiunga ccm ukijua uta kuja wavuruga .ndugu ccm nicma makini sana kina raslimali watu bilakuficha nakuam ia ww u bado mpinzan uwezi kua ccm wakwel
Jambo ambalo sio halali kulitolea maelezo utatumia nguvu sana hadi ushuzi utatoka
Hamtakagi ukweli nyee
Yuko MUNGU ataamua kwahaya mateso masikini wanayopitia masikini akitumapesa elifu 30000 anakatwa elifu 3000 tajiri akituma milioni anakatwa elifu sita jeiyonihaki
Huu ni ukweri kwanini muwanyime wanachama kugombea kwa mujibu wa Katiba ya ccm na hii itashusha viwango vya ccm
Uliingia kwenye mioyo ya watanzania au unaropoka tu wewe fara,,bc kumbe katiba haina maana😂😂
Hata mkimfukuza ili mradi kishawaambia ukweli
Wavunjaji wa kubwa wa katiba Chadema ndiyo Chama kinacho kubali mabadiliko CCM kunawaka moto kumekucha
Chama cha kihuni
Ngekuw na uwez ccm ingeenda saw na kipindi cha jpm,,ile ndio ccm ya haki
Kwani mkimuondosha ndio atakosa riziki ya Kula sauti kama kameza ngozi ya kenge sasa wewe dada ukiwa wewe mjumbe inatosha utazikwa peponi sawa
Wezi wasenge,achien nchi.yaan anayekaa anamnadi samia hana akili timamu
Kabisa
Hii si kwer ninauhkika Mpina na Ndugai hawakumpigia huyu mama😂
Kama mulijua kunashelia mbona mumevunja katiba mkampa fomu moja
Sema katiba ya chama na ya nchi haikavunjwa,
Samia kavunja katiba ya nchi ibara ya 21(1) kwa makusudi kbs
Sasa luga ya kufukuzwa imetoka wapi kama SI mwanachama
INAITWA SYSTEM SET...
Kama mmemuengua mmefanya vizuri maana kashajichokea
mzenge wewe mwabudu uyomungu wako Samia ilakichaja