Wolper Achumbiwa Rasmi, Mwanaume Mwenyewe, Mh!!!!
HTML-код
- Опубликовано: 3 янв 2018
- Subscribe / uwazi1
SHEREHE ya kuchumbiwa kwa Staa wa sinema za Kibongo na Malkia wa Mavazi, Jacqueline Wolper imezua gumzo la aina yake baada ya muoaji kufanya kufuru ya aina yake, Amani linaripoti habari hii kwa mara ya kwanza (exclusive).
Sherehe hiyo iliyohusisha msafara mkubwa wa magari kutoka jijini Dar, ilifanyika Moshi, wikiendi iliyopita nyumbani kwa bibi yake kijijini Moshi.
Ili kutazama picha zote za tukio zima la kuchumbiwa kwa Wolper na mpenzi wake, Sadiki Athanasy Sanga ‘Engine’, ingia kwenye Application yetu ya Global Publishers sehemu ya magazeti.
Kama Huja-download fanya hivyo sasa, install kwa kupitia hizi Link uzitazame picha zote za kuchumbiwa kwa Wolper.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. . Развлечения
hongera sana wolper kuolewa ni jambo la kheri. vipi tena yule kijana uliyekuwa naye baada ya mmakonde? umeshampiga chini nae
Hongera Ndoa nii jambo bora mnoo hongera Dada
Hongera sana Wolper mwaka umeanza vzr!
BETTY LEMANYA in kweli
hongera sana dada
Hongera sana mdogo wangu, ninakuomba utuletee watoto warembo kama mlivyo wewe na shemeji.
hongera
Hongera sana
Hongera dada safi sana mungu akujalie
hongera sana
Hongera sana wolper Mungu awafanikishe katika ndoa yenu
hongera mpenz Nkpnd Sana mungu akusimamie ktk ndoa yenu uswacklz awo sura ngum mn yk nn shenz zenu Lop you wolper stylish
Ametisha sana mshikaji wangu Engine
Mwanaume mwenyewe mh ugune kwani hana mboo
😂😂😂
Hongera wolpe happy new year handsome boy kuliko harmonize
hongera jack
Hongera sana wolper Mungu awe kila kitu kwako
Karibu wolper.
Nakupenda sana wolper
Hongera sana Wolper,
Hongera
woooow hongela sweet
Ndoa jambo laheri👏👏👏
nampenda sana gambe na namuombea aolewe na adumu kwenye ndoa yake aisee
Mabrook sister ndoa ya kheri mami mungu akupe maelewano Katika nyumba yako
Hongera sana mungu awe nanyi
hii Ni majibu kutoka Kwa mungu baada ya kuwapa sadaka watoto yatima cku yako ya kuzaliwa
sadaka Ni ktu kizur sana watu hawajui tu .insh mungu akufungulie iwe ndoa ya kher
m
Hongera sana Munbgu awasimamie
Kher in shaa Allah
MUNGU akusimamie mayo wangu umefurah kusikia hivyo bado wema naye MUNGU amkumbuke 🙏🙏,
Hongera Wolper Ndoa ni stara,Tunaangalia Wallet tuuu sio sura.
kumbeeeee ndo mnachoangalia???????wasio na wallet hawana haki????
😂😂😂
STEVEBAGGER TV 😅😅😅😅😅😅 sasa sura uipeleke wapi pochi mpango mzima.
Oops Wouw 😅😅😅 umecheka sana.
MWANAHALIMA MWACHILI 😂😂😂😂😱
Hongera Sana wolper
hngr mam
Hongera saaana
hongera ngoja tusubiri ndoa isije kuwa movie
Mko vizuri mm nasubiria move itoke tu
Kiukweli Wolper hongera sana sasa umekua,kubali kua mama mwenyenyumba na utapendeza sana kila la kheri.
Hongera Wolper!
duuuuh Dada hpo umepataaaa maaan siyo kwa hendsam huooo
Amina sana tu nakutakia mafanikio kwa doa yako
safii mamy nimefraijee
Congratulations my dear
Hee Engine iko on lakini isije ikanock ikawa off jacky huyo kivuruge. Mara Engine paaap off.
Asanteee no comment
Mmependeza kwa kweli
Mwaka mzur kwako
hongera_bibie_
Yesu akutangulie ktk ndoa yake
Huyu joti si kishaoa au kishamuacha mkewe mana wa sanii wabongo kwa fashem na majigambo wanaongoza,,dunia nzima wanajulikana kwa kuugiza maisha yasio kua halisi kwao,,
Unadhani kuolewa mchezo, usipotulia utatangatanga sana, utatumiwa na watoto,wababu na wababa ,tatizo hujatulia na unapenda sana ngono mdada.
Waaaa we ni kiboko doooh
Wachaga oyeeee
Mmmmm siamini mpaka ndoa
Boraaaa maana hao wauza sura hawanaa maaaana
Duh huyo anafanana na jot 🤣😂😂😂
Hivi kweli hawa wa dada wana Moyo au mashine? Maana mapenzi kwao ni kuhamisha hamisha tu bila problem.
Anna Upendo 😂
Mungu nimwema dadang upendo inatakiwa na c kuangalia sula
hahaahaha huyu jamaa anaictwa chansila kwao ni mpwapwa mwanakianga...
umenichekesha iyo mmh ulivyoiandika😂😂😂
Uyo jamaa ni laia WA kigeni akati Jina Lake la mwisho ni sanga 😁😁😁😁 sina hakika
Wolpa
Hayawihayawi yameku
Hahahaaa da Wolper huyu nani vile
Huyu atakuwa mkubwa wake joti
daaa uyu jamaaa namjuwa mfatilieni vizuli silaiya wakigeni
miaka ya nyuma alikuw Dodoma wilayani mpwapwa sijui ila uhu ndoukweli mfwatilieni vizuli
ongera mwaya
Atakuwa ndugu yake jote maana wamefanana sana
kweli akuna mchaga fala usiangalie sura mama kibunda ndo kitu ya mcngi ila ukienda uingereza ucnisahau mdogo ako plz unichkue niwe nakubebea pochi (kihere here wako) ktk mipuyango yako
Wolper mbn shemeji hajaandamana hata na rafiki wa karibu,hatari ndoa za hivo lazma watu wa shem wajitokeze kuna leo na kesho dunia haikukaa.Ila pongezi na nakutakia kila la heri maamuzi mazuri kabisa mda umesonga swiry
oya ana zingu huyo huyu jamaa mm namfaham hatar huyu 2meishi nae dodoma mpwapwa kijiji cha mwanakianga huyujamaa alikua kinyoz,alikua anabanda la nyanya na anamke anaitwa getruda m2gan na amezaanae watot wawili na mkewake mlev kupindukia nahuyu jamaa ni msanii mdogo sana wa mtaan na ananyimbo nyingi2 za kigogo asiwazingue kua katokea uingereza
jamani kumbe bff wake waliachanaga hee makubwa
Mmmmh kuchamba kwingu sasa adandia mavi loool uzur wote uo jmn.......ustaa usumbua wt
jamani Engine RAIA wa kigeni??!
Brotherke joti nn ? mana wamefanana sana
je,kama siyo kibamia itakuaje
Wawabadilisha km nguo
shiiii hovyooo mwana wume sura ngum
Alima 786 kwani sio mwanaume mbona hamuendelei jamani lol
sasa icho kichwa cha habar nn sas
Twasubir ndoa
+Zuhura Nauza Uchi nae anakibamia
+Zuhura Nauza Uchi je ikitokea ?
Kila la hreli dada...
Wolper nitafutie mchumba
Boea bibi uolewe Allah akujalie kila lakheiry ukatulie c kupost ujinga
Kuwa makin ndugu wa mume wako wapi mbona hatuwaoni
Tunasubii ndoaaaaaaaaaaaaaaa
Ndoa ni kuvumiliana sio brabra
mbona anafanana na joti
Valentina Mussa 😂😂😂😂umeonaee mimi pia nilidhani joti kaongeza wa pili lol
+Mboga Bahati nae anakibamia
umeonae
pumbavu zako wolper ndoa sio chai ya rangi unaachana na brown aujapita mwezi ushapata mume wa kukuoa apo umetudanganya dada uo mda wa kukaa na kuchunguzana mmeupata wapi au unataka utoe movie maana nyie bongo movie amshindwi mnatufanya watanzania mazuzu akuna ndoa hapo uongo mtupu
We umeachana na wangapi! Acheni kumkatisha tamaa wananzengo
sio joti huyu,, mbona kafanana na joti
Kakayake joti nini?
abdul llatif hongera xn wolper
abdul llatif nawamefanana na joti atar
Subscribe kwenye channeli yangu schoraship za uk , belgium na hungary mpya zimetoka .bonyeza picha yangu itakuleta kwenye chaneli yangu au nitafute hapa youtube as mama franjovlogs asanteni
ruclips.net/video/g08d-ZN5hs4/видео.html
NEW SONG....
LAVA LAVA WCB_ KILIO👆👆👆👆
Congratulations my dear