ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 164

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 16 дней назад +4

    Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa6381 17 дней назад +5

    Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana

  • @HelenAllySorirey
    @HelenAllySorirey 16 дней назад +3

    Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 17 дней назад +8

    Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa

    • @kitaraabdi9529
      @kitaraabdi9529 16 дней назад +1

      Mtasema tu tajiri kaludi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 16 дней назад

      Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 17 дней назад +5

    😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 17 дней назад +11

    Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 17 дней назад +3

      😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 16 дней назад +1

      Mnawashwa eeeh!!!???

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 16 дней назад

      Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo

    • @donkhan6841
      @donkhan6841 16 дней назад

      Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu

    • @yonaivan
      @yonaivan 16 дней назад

      Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu

  • @JofreyNyelo
    @JofreyNyelo 17 дней назад +5

    Ww utachekea chooni kesho tu!

  • @reggezawady4994
    @reggezawady4994 16 дней назад +1

    Yupoooo

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 15 дней назад +1

    Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 17 дней назад +5

    Mtasubili sana kolo nyiye

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 16 дней назад +2

    Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂

  • @EliasFijabo-pt2zb
    @EliasFijabo-pt2zb 16 дней назад +2

    Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu

  • @user-ot7yi6eq7s
    @user-ot7yi6eq7s 17 дней назад +4

    Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 15 дней назад

    Ama kweli!!!!

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 16 дней назад +1

    Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 16 дней назад +1

    MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah9449 14 дней назад

    Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe5192 17 дней назад +2

    3:47 imeisha iyo

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 16 дней назад

    Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 15 дней назад

    Ama kweli huna akili

  • @GiseracharlesGiseracharles
    @GiseracharlesGiseracharles 15 дней назад

    Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k 17 дней назад +2

    Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂

    • @Dewizzyommy
      @Dewizzyommy 16 дней назад

      🤣🤣 wew jau kinoma

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 15 дней назад

    Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule

  • @kitengekitenge4881
    @kitengekitenge4881 15 дней назад

    Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima

  • @JeladiMtengwa-p6v
    @JeladiMtengwa-p6v 17 дней назад +2

    namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 16 дней назад

    Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa

  • @kamanda7703
    @kamanda7703 17 дней назад

    Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h 17 дней назад +1

    Sema mdogo wangu ukweli

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 16 дней назад

    Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi 17 дней назад +1

    Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p 16 дней назад

    Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 16 дней назад

    Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah8416 14 дней назад

    Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando 15 дней назад

    Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 16 дней назад

    Hivi umeshahamia Azam

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 16 дней назад

    Awez ondoka yanga ongeza kufikiria

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 17 дней назад

    Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk 15 дней назад +1

    Pumbavuuu

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 15 дней назад

    Halafu anajifanya alikuwa mwalimu

  • @IsmailHija
    @IsmailHija 16 дней назад

    Ki azizi bado yupo yanga

  • @richardrashidi7878
    @richardrashidi7878 14 дней назад

    Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 16 дней назад

    Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii
    Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 15 дней назад

    Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 17 дней назад

    Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.

  • @AlfredEssau
    @AlfredEssau 17 дней назад +1

    Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws 15 дней назад

    Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 16 дней назад

    Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 16 дней назад

    Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 16 дней назад

    Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 16 дней назад

    Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 16 дней назад

    Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f 16 дней назад

    achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 15 дней назад

    Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa

  • @subiralema
    @subiralema 16 дней назад

    Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic 16 дней назад

    Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 дней назад

    😂😂😂😂 kweli huyu boya
    Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂
    Huyu hajui yanga ni mafya
    Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 16 дней назад

    Kachane nywelewweeeee

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 16 дней назад

    Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 16 дней назад

    We akili una

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 16 дней назад

    Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 16 дней назад

    Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 16 дней назад

    Mshabakwa teary nyieee😂

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 17 дней назад

    Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu.
    Mwehu tu huyu

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 16 дней назад

    Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid1129 16 дней назад

    Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin

  • @AndrewBernard-l3j
    @AndrewBernard-l3j 17 дней назад

    Mmh hata hujui kitu

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 16 дней назад

    Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo

  • @twahamapande2702
    @twahamapande2702 15 дней назад

    Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 16 дней назад

    HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 16 дней назад

    Ndio maana uliwekwa ndani

  • @user-xm7ew1uj1g
    @user-xm7ew1uj1g 17 дней назад

    Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo

  • @RehemaAbdala-kp9dz
    @RehemaAbdala-kp9dz 16 дней назад

    hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 17 дней назад +1

    YANGA WAONGO

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri 16 дней назад

    Sikia ili tahira maskini yamungu

  • @SaidSammedia
    @SaidSammedia 17 дней назад +1

    Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
    @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf 17 дней назад

    Huna akili wew

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki 17 дней назад

    Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp 16 дней назад

    Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 17 дней назад

    Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 16 дней назад

    Kolo wanaridhika haraka

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 16 дней назад

    Yanga wanasafiri wazee wa tasafu

  • @hamisibakari6525
    @hamisibakari6525 16 дней назад

    Etii nilikuwa mwalim

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 16 дней назад

    Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 16 дней назад

    Kumbe we MBUMBUMBU kweli

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani6995 17 дней назад +3

    Viwango gani? Kucheza na majini

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 14 дней назад

      Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 14 дней назад

      @@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?

  • @bashirjama8225
    @bashirjama8225 16 дней назад

    Hujamuelewa hajasema anakuja simba

  • @user-xt9ne1mx1c
    @user-xt9ne1mx1c 17 дней назад

    Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 16 дней назад

    Hahaaaaaaaaa

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 17 дней назад

    Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry 17 дней назад

    Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda

  • @user-lg3mv3ny4c
    @user-lg3mv3ny4c 17 дней назад

    Kwani ameondoka?

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 16 дней назад

    Nilikuwa nakukubali lkn kumbe naww nizuzu tu ulisema chama akienda yanga unahamia Azam au siyo ww kumbe naww nibwabwa tu mchome ndio shabik wasimba mwenye akili

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 16 дней назад

      Usijifariji mchome anapumuliwa kisogoni kama wewe tu usimuonee wivu ongeza ufundi wateja wataongezeka tu. SIMBA ina watu wenye akili %100. Mliambiwa kwenye timu nzima ile watu wote hawana akili wenye akili ni watu wawili tu Rais mstaafu na Mz Manara. Sasa ktk hawa watu wawili walio twajwa hapa wewe upo? Kama haupo jibu liweke matakoni. Acha Mchomwe ww na mwenzio mchezo mlio uchagua sio rafiki mbele ya safari.

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 16 дней назад

    Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 16 дней назад

      We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 16 дней назад

      Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 16 дней назад

      @@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g 17 дней назад

    Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 17 дней назад

    Kifariji 😅😅

  • @Faridagongo
    @Faridagongo 17 дней назад

    Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini

  • @user-zd9dx8lv5t
    @user-zd9dx8lv5t 17 дней назад

    😂😂

  • @edwarddastani3691
    @edwarddastani3691 17 дней назад

    Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂

    • @AlfredEssau
      @AlfredEssau 17 дней назад +1

      Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu

    • @awetumtengera1147
      @awetumtengera1147 17 дней назад

      Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 17 дней назад

      Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita
      Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 16 дней назад

      Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 16 дней назад

    Jeziimefubaa iyo boya ww

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 17 дней назад +1

    Ila huyu jamaa ni boya wa kupindukia hakika Makolo mna mtu