MANARA KUMPOSTI GB 64 NA KUMWITA KOLO MWENYEWE AIBUKA AUWASHA MOTO ATEMA SANA CHECHE ATOA ONYO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Комментарии • 111

  • @AidaniMwaipaja
    @AidaniMwaipaja 2 месяца назад +8

    Nakukubali sanaa brother GB64 asaa vp kuhusu mpanzu brother

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 2 месяца назад +14

    Watu wa Yanga wote machiziiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 2 месяца назад +9

    Yanga + manala ovyooooo

  • @OvinusOsward
    @OvinusOsward 2 месяца назад +2

    Kaka wewe hufai another level nakbal sana

  • @Martinpendael-j7i
    @Martinpendael-j7i 2 месяца назад

    We mwamba

  • @MwajumaNgaruma
    @MwajumaNgaruma 2 месяца назад +15

    Gb ivi wewe unapamba na uyo mwehu ,,,😂😂😂achana nae ila wajue mwaka huu ubaya ubwela ,, maana tumechoka kuonewa

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 2 месяца назад +4

    Hyo manara mwehu kaka achana nae hyo chzi

  • @thadeyfedrick4376
    @thadeyfedrick4376 2 месяца назад

    Ubaya kauanza mwenyew mpe vitu huyoo😂😂😂

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Месяц назад

    Zeruzeru nitaila uyo hayuko sawa

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 2 месяца назад +3

    shida manara njaa sana analazimisha amateur msos

  • @JasonJohnkidende
    @JasonJohnkidende 2 месяца назад

    Manala hajielewi

  • @Asmaharunamohd
    @Asmaharunamohd Месяц назад

    😢😊

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад

    Watu wayanga wote maginuni😂😂😂😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад

    Xav mtupu

  • @Annaonesmo-x5b
    @Annaonesmo-x5b Месяц назад

    Achana na manara amesha zeeka akir zake zipo kwenye puwa sasaivii

  • @cletusviatory6907
    @cletusviatory6907 2 месяца назад

    Pambania simba Gb64

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 2 месяца назад +6

    Yan katika watu cjawa kuwaelewa ktk hiinchi ni manara

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 месяца назад +2

    Mbona kama tayari kichwani?.

  • @ufahamsahihi
    @ufahamsahihi 2 месяца назад +1

    Nanunua voice note ya haji manara akilia wakati kafukuzwa simba

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад

    Yan huyu manara kaitukana sana yanga sio wakupokelewa mmbwa huyu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад +2

    Makolo naona wameanza kuongea... bado wiki tu mtafunga hizo bakuli zenu

  • @TabuSalumu-d9o
    @TabuSalumu-d9o 2 месяца назад

    Achana nae hana jipya chizi uyo😅

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 месяца назад +1

    Manala huyo yanga kweli

  • @JoyaVilla-z9f
    @JoyaVilla-z9f 2 месяца назад

    Kwani tatizo nini mbona hatuelewi wana simba

  • @husseinalliy5787
    @husseinalliy5787 2 месяца назад

    gb 64 we hatri nimeamin we mzalamo kwel unamchamba mtu adi anakufa

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 2 месяца назад +2

    unajivunia shombo mwanaume utaliwa

  • @DativaMdachi
    @DativaMdachi 2 месяца назад

    Ubaya ubwela mwaka huu wameyakanyaha hata wazue ya kuzua😂😂😂 Moto ni ule ule😅

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 2 месяца назад

    😂😂😂😂 Generator la Mazwazwa limefunguliwa ....makolo ubwela

  • @VumiliaDaudi
    @VumiliaDaudi 2 месяца назад

    Simba bigwa misimu 4 tena

  • @RojaAbdul
    @RojaAbdul 2 месяца назад

    Achana nae ,,,chauongo manala

  • @methuselaemmanuel1950
    @methuselaemmanuel1950 2 месяца назад +1

    Ila huy jamaa huw anaamk n tungi kbsaaa

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 2 месяца назад

    Duuh hahaha 😂😂😂😂

  • @zuhuratwalibu
    @zuhuratwalibu 2 месяца назад

    Achana na uyofara Gb64 chama ni fara

  • @AllyNyoka-g5v
    @AllyNyoka-g5v 2 месяца назад

    Kwa aina hii ya washabiki tuna safari ndefu katika ushabiki na kuelezea mpira

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 2 месяца назад

    Asojua fadhila huyu msenge kweli kweli mbona km hao kolo mwenzio hawajakutoa ulivoswekwa ndan walikutoa hao hao machizi ....mpuuzi moja ww

  • @Isakhiayusuph-jb3yx
    @Isakhiayusuph-jb3yx 2 месяца назад

    Ubaya ubwela

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 2 месяца назад +2

    Succession 😂😂😂

  • @AllyKistiki
    @AllyKistiki 2 месяца назад

    Gb 64 Simba timu kubwa mipango mikubwa

  • @TamimDuge
    @TamimDuge 2 месяца назад

    Leo tena baadae mangungu hatumtaki

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 2 месяца назад

    Msomi wa Simba

  • @NtuzuNtuzu
    @NtuzuNtuzu 2 месяца назад

    manala hana hela anasubili tusema aende haki zabinadam, nyama choma huyo

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 2 месяца назад

    manara shobo

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 2 месяца назад

    Tukutane tarehe 08/08

  • @Joseph-i8x1d
    @Joseph-i8x1d 2 месяца назад

    Bado haja gongwa date 8 ata chonga sana

  • @MalikiKavindi
    @MalikiKavindi 2 месяца назад

    Ubaya ubwelaaaa

  • @HgguHhij
    @HgguHhij 2 месяца назад

    GB mbavuzangumie😂😂😂😂😂😂

  • @JumaJux-fn3ff
    @JumaJux-fn3ff 2 месяца назад

    Yanga wote machizi😂😂😂 wehu kasoro wawili tuuu ujub palangwe ya ilaaaa

  • @barakaswallo8214
    @barakaswallo8214 2 месяца назад

    Itanichukua muda mrefu kuamin manara ni mtu sahihi ktk game

  • @TheresiaFransic
    @TheresiaFransic 2 месяца назад

    Hahahahahah na kuelew baba woteee waend milembe

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 2 месяца назад

    LUKA MODRIC ANA MIAKA 39 NDIO UMRINGANISHE NA WACHEZAJI WENU HAO ?

  • @HajiSimai-pp9cm
    @HajiSimai-pp9cm 2 месяца назад

    Hata chama kasema haendiyanga hatasikumoja nahakuna mtu wa kumpapasi wala wa kupokea pasi ya chama

  • @radhakikoko
    @radhakikoko 2 месяца назад

    Kaka yangu Ubuko(GB64) katika maisha yangu sitaisahau sitaisahau ile siku ya fainali ya Argentina v Ujerumani alipompamba Messi katika viti virefu vya uchambuzi pale TBC hadi kuelekea dkk ya 90 akaja kumbadilikia baada ya matokeo ...sitaisahau maisha😂😂😂😂

  • @asmambaga1931
    @asmambaga1931 2 месяца назад

    Gb 64 yaan we mtu wa maana kweli wewe,unafaa sana,mwambie huyo mwehu😂

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 2 месяца назад

    Ww mbona umetolewa police wanachama wa yanga acha ukenge ww chawa

  • @RojaMfikilwa
    @RojaMfikilwa 2 месяца назад

    Wamemzuiy fey bwana wanataka b 1,5 maku kwel

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 2 месяца назад

    Gb wape maneno yao hao

  • @RichardLibuma
    @RichardLibuma 2 месяца назад

    Huyu Gb 64 kweli mzalamu, Issa athumani kachezea simba mwaka gani? Na hiki kiingereza cha mtaani duuuh.

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 2 месяца назад

      Huyu ni mwalim tena wa science Acha dharau weee

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm 2 месяца назад

    Bangi mbaya

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 2 месяца назад

    watu siokama wanashindwa kunyea maneno tuwaweza sana ila siu najua atacama munanionea saba

  • @DamasFungamtama
    @DamasFungamtama 2 месяца назад

    achana nashetani huyo buloo mwemu manala

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 2 месяца назад

    Achananae huyo kalewa na lungu la mzee Magoma,mzee hamtaki huyo na hivi karibuni anaenda kujadiliwa kwahiyo anaanza kuwachokoachokoa watu wa Simba ili wamuone kama ni utopolo mwenzao,lakin kiuhalisia huyo ni Simba damu mwenzetu ila tu njaa imemtoka tumboni imempanda kichwani

  • @VailethBeautus
    @VailethBeautus 2 месяца назад

    UBAYA + UBWELAAAAA

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад +1

    Manara shoga TU bwabwa TU hata magoma kasema manara akimchokoza atasema mengi yamanara na hata mange alisema manara ni shoga kipindi nyuma

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 месяца назад +2

    KOLO....🤣🤣🤣

  • @JojoLaq
    @JojoLaq 2 месяца назад +2

    Yani gb64 kweli wewe mwamba

  • @Joseph-i8x1d
    @Joseph-i8x1d 2 месяца назад

    Mwalim mwenye vyeti feki

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 2 месяца назад +1

    Usibishane na "SOPE" Takadini ni chizi tuuu

  • @ShaabanRamadhanKombo
    @ShaabanRamadhanKombo 2 месяца назад

    GB achana nae huyooo

  • @piniaskhamis7886
    @piniaskhamis7886 2 месяца назад

    huyu mbwa anataarifa mno za soka🙌

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy 2 месяца назад

    Huna akili

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 2 месяца назад

    Mwanzoni nilikua napenda kukusikiliza lakini nakushangaa kila leo wewe ni kumshambulia chama kwani kaondoka vibaya au kasema vibaya wapi ila wewe kila ck ni kumchana chama unauwezo wa kuongea taratibu na lugha za kiungwana ili uonekane muungwana

  • @jaspreetsinghbadwal7856
    @jaspreetsinghbadwal7856 2 месяца назад

    Hapo hamna Kila kitu😂😂😂

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 2 месяца назад

    Manara ana undigonised narcissist personality disorder. Nchi zingine angekuwa jela lakini bongo ni celebrity.

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 2 месяца назад

    Mbona mishipa inakutoka umesadiwa kutoka posti hujangalia mpira tunajua haunakitu humuwezihyo utakunya dog

  • @manarakassimmanara3132
    @manarakassimmanara3132 2 месяца назад

    Wewe fala Fulani kacheze gombe sugu, Kwa maumbile, huwezi kutafuta umaarufu kupitia watu, mjini hapo usipo angalia utaachia mjini hapo,

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 2 месяца назад

    Acha kubweka ongea facts kama Manara tuone.

  • @LusekeloManyika
    @LusekeloManyika 2 месяца назад

    chama wakat anakuja cmba alipewa namba 27 baadae walimbadilishia wakampa namba 17

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 2 месяца назад

    Hukumbuki yeye alisema yanga wote hawana akili mwenye akili ni babayake na rais mstaafu kikwete basi KY.hata yeye hana akili huyo

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 2 месяца назад

    Chizi mamaako alikutotoa kwan wewe mzm

  • @DominickFredy
    @DominickFredy 2 месяца назад

    Kama ayupo huru kwanini kasaini yanga

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 2 месяца назад

    Huyo ASHULA CHEUPE mbona alishagawai kusema akienda UTOPOLO wamchome dispisi kwenye koromeo muulizeni leo yukowapi?

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 2 месяца назад

    Mmalizieni kibu malipo yake ahende kambini bana haja kubwabwaja tu

  • @JosephDaud-r6z
    @JosephDaud-r6z 2 месяца назад

    Continental kwa kina kisugu ila Manara chuo Cha Maneno. Unachanganyanlugha kama upo Kenya wenzentu wamezoea. Akili puto.

  • @dottomaganga2837
    @dottomaganga2837 2 месяца назад +2

    Jersey namba 17 ndo namba ya Chama tangu ZESCO, sasa wewe ulisema namba 17 ametengenezewa Msimbazi!! Naanza kuwa na mashaka juu yako! Umeanza kuzungumza kimhemko utapoteza mashabiki wako!!!

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

    KWAHIYO KUMBE NI CHIZI?

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 2 месяца назад

    Kapombe miaka 28😂😂😂😂😂😂😂

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 2 месяца назад

    Chama ametafuta kujulikana kwani ukifanya kazi mahala kwa mda mrefu ukaacha kazi ukaajiliwa na mwajiri mpya, mwajiri wa Zamani hajakuandikia recommendation letter lakini aliyekuajiri anakufahamu Kuna sababu ya kwenda labour kulalamika mwajiri wako wa Zamani hajakupa recommendation letter? wakati hata mwajiri wako mpya hajakudai recommendation letter kama siyo kick unafuta nini?

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy 2 месяца назад

    Kwani mbona povu linakutoka dogo tulia ikuingie mbwa ww

  • @OswardMwambete-en5uk
    @OswardMwambete-en5uk 2 месяца назад

    Kolo mandrake Familia.Makolo maanayake ukoo mmoja .Zeruzeru Atateseka sana

  • @makoreremakorere4212
    @makoreremakorere4212 2 месяца назад

    Asiliguse ilo Domo ataumia

  • @BarikiOmbay-i6q
    @BarikiOmbay-i6q 2 месяца назад +1

    Manara Hana akili porojo mingi yaan chura aliyechangamka

  • @ZuberiMhandoMsingwa
    @ZuberiMhandoMsingwa 2 месяца назад

    mwez huo mchanga

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 2 месяца назад

    Huyu ndokolopekee alie2shawishi 2kamtoa jela ila shisha zinampeleka vbaya😅😅😅😅

  • @ShafiiwilliamWilliam-mk6id
    @ShafiiwilliamWilliam-mk6id 2 месяца назад

    GB 64 acha bangi mzamiru anamiaka 40 harafu hujuwi kondoo wewe

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 2 месяца назад +2

    Usibishane 'na manara ni mwehu asikupotezee muda