VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 102

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  17 дней назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 16 дней назад +11

    Wazazi tunatakiwa tumuombe sana mungu vizazi vyetu viwe vyenye kutusikiliza kwa kua mtoto wako akiangukia ktk bange panya roood na matukio ya uporaji siku zake zinahesabika.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 16 дней назад +9

    Kama ni wezi... Basi hiyo itakuwa kimya kimya!!

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 17 дней назад +7

    Poleni sana.wazaxi.mnapitia wakatimgumu. Allah awape subra kwawingi inaumasana jamani sasa wamewachukua kuwafanya nini. Basi wapigiwesm mapolic wahuko kilwa.

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 16 дней назад +8

    Temeke mh kunatisha mana wanaowachukua sio machiz wanakua wameshafanya upelelez kuhusu wao mana kuna kijana aliuliewa kwa visu wakamuibia cmu yke pia alikua ni mwanafunz mm km mzaz naomba kama walikua watt wema bas mungu awape ulinz walud salama ila km ni wasababishaj matukio ya kuua kupora bas lolote liwakute

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 16 дней назад +5

    Sura za marijuana kabisa hizi.😂😂😂😢😢😢

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 17 дней назад +9

    Sura inaonekana kabisa hawa ni wezi siku hz wakichukuliwa hawarud sahauni

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 17 дней назад +2

      Wangekuwa wanao ungesaau kilais

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 16 дней назад +2

      Huyo wa mwisho hiyo sura ngumu hata bangi anavuta

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs 16 дней назад

      Acha kusema ivo ndugu ​@@philemonmagesa5548

    • @charlesmugisha6529
      @charlesmugisha6529 16 дней назад +1

      Msiwaukumu watu kwa sura zao sio vizuri.unakuta ata bangi na wizi hawatumii kabisa.

    • @samwa9496
      @samwa9496 16 дней назад

      Sura ya mtu isiwe tishio hata Remi Ongala alikuwa na surab.mbovu

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 16 дней назад +6

    Mlidhani chalamila anawatania

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 17 дней назад +8

    Watoto mapanya unafikiri watakuwa wapi

  • @khadijauvuruge9700
    @khadijauvuruge9700 16 дней назад +4

    Namashaka hii kamata kamata inachangiwa na kifo cha yule mwanafunzi alieuliwa sababu ya cm tuu akatolewa roho yake maskini

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 16 дней назад +7

    Kwa sura ya huyo kijana kwenye picha duh

    • @DaheerK
      @DaheerK 16 дней назад

      Kwaiyo asimtafute kwakuwa alikuwa mwizi

    • @abelmwakipesile9868
      @abelmwakipesile9868 16 дней назад

      Wakwako ata akiweje utamtafuta maana ni wako​@@DaheerK

    • @madinasilima6925
      @madinasilima6925 16 дней назад

      🎉Allah akupeni subra inshaallah duwa kwa wingi na inshaallah watoto wenu watarudi inshaallah kuweni na amani mtangulizeni Allah mele yeye ndio kila kitu

    • @user-id1me9ve1o
      @user-id1me9ve1o 14 дней назад

      Nini kime hapeny jaman 😂😂

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 16 дней назад +9

    Mnalea wezi mkiambiwa mnakua wakali mnaletewa vitu walivyo ibia watu mnakula mnajifaya hamuelewi leo mnalia lia

    • @meckiphasonmorewa2944
      @meckiphasonmorewa2944 16 дней назад +2

      Ata kama mtu ni mwizi Si anapelekwa mahakamani...au sheria ya Tanzania inaruhusu mtu kupotezwa

    • @RidhiwaniMrisho
      @RidhiwaniMrisho 16 дней назад

      Omba yasi kukute

    • @user-id1me9ve1o
      @user-id1me9ve1o 14 дней назад

      Ayiii 😂

    • @user-ol7pp5dw8j
      @user-ol7pp5dw8j 14 дней назад +1

      Usiwe mtu wa kuhukumu mzee sura sio roho

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 13 дней назад

      ​@@meckiphasonmorewa2944kwani wao walivyoua mwanafunzi waliruhusiwa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 16 дней назад +8

    watoto wenu pengne Niwezi semeni ukweli mana bila shaka Nanyinyi mnajua kwamba watoto wenu Niwezi wanaumiza wengne kazi ya police wakiona mhalifu amekua sugu bx inatakiwa wafanye mpango hao wahalifu wasirudie tena iwe mwisho kabx inauma kweli ila tulieni kama sio wezi pengne wamesafili

    • @DaheerK
      @DaheerK 16 дней назад +3

      Ata km wakiwa wez mzazi ni mzazi uwez kukosa kumlilia mtoto wako

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 16 дней назад

      Hayo kweli ni mawazo ya kiscopion, sishangai!

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b 16 дней назад

      Hata kama wez wawapele polic wabakaji wanawabaka watoto wadogo wanapelekwa polic wanatoka

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +1

      mahakamani kufanya Nini kama Niwezi wapotee kabx

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 12 дней назад

      Hata wakiwa ni wezi kweli wtt wetu wana tabia ambazo hata mzazi uzijui sura si tatizo wapo watt wapole ukija juwa anayoyafanya mzazi uwezi.kuamini cha.singi ni kusali.kumuomba Mungu..na.mzazi lazima alie uchungu watt acheni mambo mengi mtatuuwa wazazi wenu Mungu aweke mkono wake jamani aisee vijana wa Sasa Mungu awasahidie na.malezi ayana ujuzi tusali sana wtt wa.kiume wengi wao ni mwiba yaan uwiiii polisi kwakweli wana kazi.kubwa.mnoo na.kizazi cha Sasa ni ahidaa

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 17 дней назад +8

    Km niwadokozi. Ndoimetoka. Hvy hameshawauwa kunavijana HK kwetu walipotea 3 mpk Leo nwaka 8

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 16 дней назад

      Duh mwaka wa nane?

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 13 дней назад

      Wazazi tyonye wanetu waache udokozi hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wazazi

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 17 дней назад +5

    Msijue kulialia mjue na kuwalea watoto vzr maana wizi upanyarod umewatawala

    • @rajabuidd45
      @rajabuidd45 16 дней назад

      Wewe usimalize maneno kama haujazaaa

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 16 дней назад +2

    Mwandishi tafuta na wababa wa hao vijana uwahoji! Maana mtoto mbovu ni mzigo Kwa mama na mtoto mwerevu ni sifa kwa baba

  • @aggysammy6756
    @aggysammy6756 16 дней назад +1

    Hayo maeneo Temeke Mikoroshini kuna mtoto wa kidato cha tatu kauliwa kwa kuchomwa visu,aliporwa simu wakamchoma visu mpaka akafariki... Mungu awape subra wazazi hao watoto wenu wasiwe wanahusika kwenye hilo tukio

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x 16 дней назад +7

    Mitoto mijizi iyoo mbona inaereweka na ukitaka kujua ubaya wa mwizi kutana nae kuku ua kukulawiti kukubaka sio shida zao

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 16 дней назад

      Unauhakika uyasemayo?

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 16 дней назад

      Subiri kw uwezo wamungu yakufike huna haya kumwambia mtoto wamwezio mwiz kua na sura ngumu ndo kua mwizi au

    • @user-xq6rg2pb1x
      @user-xq6rg2pb1x 16 дней назад

      @@SihabaAbdallah-li6dx haya una wewe ulikuja ku replying kwenye comments ilo dua la kuku alimpati mwewe ushukuru TCRA Kenge

    • @user-xq6rg2pb1x
      @user-xq6rg2pb1x 16 дней назад

      @@SihabaAbdallah-li6dx sikiliza stoli kwa umakini soma na comments za watu wengine mbona unaerewa kabisa sio unakurupuka unaniletea makasiliko mimi hii nchi huru bwana watu kutoa mawazo yetu ili mradi usivunje sheria

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 6 дней назад

      @@user-xq6rg2pb1x KWANI we uss ema Nini hemm nenda kajifunze kusoma ten kidog😂

  • @user-jj3yt1ex5c
    @user-jj3yt1ex5c 16 дней назад +2

    Mama zeto wapata chida kweli mungu awape subra

  • @latifamubba100
    @latifamubba100 17 дней назад +3

    Poleni San viatu vyenu vinaban San mungu nilindie watt wangu mie

  • @RamlaRamadhan-do8mw
    @RamlaRamadhan-do8mw 17 дней назад +4

    Nendeni kwa kiboko ya wachawi buza mtajuwa watoto wenu wako wapi

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 17 дней назад +2

      Nauy pia muongo ushuuda wa uwongo

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 16 дней назад +3

      Tapel tu huyo kawateka akil zenu endeleen kua misukule yake mwenzenu anapiga hela😂😂😂

  • @user-mo4gu3uc8m
    @user-mo4gu3uc8m 16 дней назад +2

    Ibada,ibada wapendwa acheni mambo ya kidunia lieni na MUNGU yeye ndiyo kila kitu siyo ukiwa na shida ndiyo unakumbuka MUNGU yupo unakuwa unakosea kwa kweli.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 17 дней назад +1

    Mmmh 😢

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 16 дней назад +1

    Tanzania jamani mbaka naogopa machozo haya.mungu awafute machozo.watapatikana,vijana hawa

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 4 дня назад

    Mungu nilindie kizazi changu

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 16 дней назад +1

    Weeeh sini watu wanaojielewa kwaio Kuna kitu inaendelea chini ya maji .

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 11 дней назад

    kiu ya mama kupata mtoto mwawenye kumjua Mungu tuwaonee huruma wazazi wanaopata mitihani ya watoto wao

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 13 дней назад

    Wazazi tunawapenda wanetu sana ila wakifikia umli wa myaka 15,18,20 apo watoto wanapotoka nyumbani huwa wanakuaga na mazingira mengine tupende kufatilia myenendo yao, tusiwaache tu kunamakundi huwa wanapitia kwenye makuzi yao, maana ukiangalia walipo kamatiwa kulikuwa na watu kibao ila wakachukuliwa wao tu, hii inatakiwa wachunguze kwa maragiki zao wakaribu wajuwe historia yao ya nje ya nyumbani.

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 17 дней назад +1

    Mm wazazi wanapata wakati mgumu basi tuuuu 1:14 1:17

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 16 дней назад

    Poleni sana aisee

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w 16 дней назад

    Shida tusiongee tukamaliza maneno tumuombe mungu atujalie watoto wanaokuwa na hofu ya mungu wazazi wanajua tabia ya watoto wao sema kibaya chako emungu tujalie watoto wema

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 16 дней назад

    Temeke watoto 3 wamebakwa na wameuwawa, temeke vijana wamepotea Mungu Saidia Tanzania yangu 😢😢

  • @alu_tz1
    @alu_tz1 16 дней назад

    Hatujajua kwanini wanatuulia watoto wetu hii ni serikali ndio inatufanyia hivi hata Mimi nimepotelewa na mdogo wetu hatujui haripo mbaka leo hatujajua wanampango gani na sisi hata ukishtaki Hakuna hata hushilikiano😭😭😭

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv 14 дней назад

    Yaan sasa hv wanakiachia wauwaji watekaji kwa magufuli walikua wanaogopa ila sasa hvi hawawaz kabisa polis shida yaan cjui tufanyeje duh mungu tusaidie na saidie familia yangu peke angu cwez ila ni wewe tu ulie juu ndie muweza wa yote simama kwa familia yangu na watt wangu kwa ujumla

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 16 дней назад +1

    Wameshauliwa hao ndio polisi yetu inavyofanya kazi yao sasa, mahakamani hakuna tena, wanapigwa risasi ndio hukumu

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 16 дней назад

    MUNGU AINGILIE KATI JAMBO JILO

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 16 дней назад +1

    Duuuuh

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 17 дней назад +3

    Sema temeke nako daah

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b 16 дней назад

    Hata kama wamikosea simungewapeka polic tuu nakwenda maakamani bac wazazi wanajua watoto wapo polic

  • @leilayathumani2295
    @leilayathumani2295 16 дней назад

    Ushaur wangu kwao wajarbu kwenda mochwar ya muhimbili na ile hospital ya keko na wazdishe maombi naumia mno mimi wa kwangu nilimkuta mochwar ya muhimbili na alikua anaanza kuoza

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 15 дней назад

    Naona mnapotezewa muda kidogo mpooze hasira mwishowe mtaambiwa mkazichukue maiti zenu serekali haina muda na vijana wadokozi hata kidogo😢

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n 16 дней назад

    Hapaliki wala Hapalaliki kwa kweli.

  • @navioma4882
    @navioma4882 16 дней назад

    Hiii nchiii jamani😢😢😢😢😢

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 16 дней назад

    Tanzania tanzania sisisote niwa Safili tutapita kwanini mnageuka mamba nakuraana nyinyi mtaliwananani? Jiulizeni tabia hizo nizakichawi

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 16 дней назад

    Kuna mwingine hapa petu makangarawe ana mwezi sasa tumeshaenda mochwari zote hayupo magerezani hayupo

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 16 дней назад

    Wanakwapua simu na mikoba ya watu, nanyi ni zamu yenu Julia wengine tunalilia Mali zetu ziliporwa. Waleeni vizuri na funikeni mabega yenu.

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 16 дней назад

    mhhh mbona huyo Kelvin anaonekana kabisa ni mvuta bange tu hata sura yake

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 16 дней назад +2

    Kama ni majambazi acha wapotee maana wanatuchoma visu usiku mnaona Raha tu kulia Lia pengine nyie wazazi mnajua watoto wenu sio watu wazuri kwa binadamu wenzao kwa hayo macho ya mzee wa Simba sio poa poleni ila mwizi sio mtu mzr

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba 16 дней назад

    Hawa vijana waliwatenda kosa gani

  • @rajabuidd45
    @rajabuidd45 16 дней назад

    Kwahiyo kama ni wezi ndio wawauwe kwa kuwapoteza siwangefata sheria na utaratibu wa nchi.....

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 16 дней назад

    Siku hizi mtoto akiwa ni mhalifu sugu ni kimyakimya!!

  • @leilayathumani2295
    @leilayathumani2295 16 дней назад

    Viongoz wa police watakupa Iman nenden muhimbili omba maiti za police mtaonyeshwa afu Hawa watoto wetu Kuna matukio wanafanya Bila xx wazaz kujua

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 17 дней назад +2

    😢😢😢 inaumiza jamani. .hawawatu wasiyojulikani.nimtihani tz sijuiwi wanatokea wapi Mungu tuhurumie wafichue.haowatu kwauwezowako. Najaalia watoto wapatekane wakiwawazima yaraby

    • @AminahChaupole
      @AminahChaupole 16 дней назад

      Achatu my sister kapotelewa namwanae j2 mbagala kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna chaajabu kapatikania jirani2 namaeneo yanyumban jana ndy timezika 😭😭😭😭😭😭inasikitisha sana mtoto wa miaka5 kakosa nn 😭😭😭

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 16 дней назад

      @@AminahChaupole Subuhanallah. Yaraby. ,inalillahi wainailahi rajuun .huwoniunyamawa haliyajuu. Jamani sshapohatawakumkatata unashindwa mtuujuininani. Pengine.hatokimbali mualifu.....polenisana Allah awapesubra naatawali0ia.lnshaallah

  • @AminahChaupole
    @AminahChaupole 16 дней назад

    Wandugu yetu alipotea jumapili kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna 😭😭😭😭😭 mtoto wa miaka5

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 16 дней назад

    Wazazi mwende kwa Nabii kiboko ya wachawi Buza tumieni imani nendeni Buza kwa Nabii kiboko ya wachawi mutapata mafanyikio

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 16 дней назад +4

      Huyo kiboko ya wachawi mpk akupe mimba ndio utajua km ni tapel mwiz tuu mshatekwa ufaham hamjielew😂😂😂

    • @mwaget0815
      @mwaget0815 16 дней назад

      Hao wameshapotezwa. Wanasumbua sana mtaa. Panyarodi kukata watu kwa visu na silaha kali, kupora kubaka. serekali inafanya kazi yake..

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 16 дней назад

    Ccm oyeeeee

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 16 дней назад

    Halafu majizi mnaita watoto mijitu mizima!

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 4 дня назад

      Chalamila alishawambia kila mzazi achunge mwanae

  • @saidismailgatalya8174
    @saidismailgatalya8174 16 дней назад

    Mbona wanaolalamika na kuhangaika ni wamama tu,hao vijana walikuwa hawana baba zao?

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 16 дней назад

    Hilo limama limevaa ccm hovyo kabisa