WAZIRI SILAA AWAKA -"UNANIJARIBU? OCD MCHUKUE HUYU"-HURUMA ya RAIS SAMIA YATUA MGOGORO MSITU WA KUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • WAZIRI SILAA AWAKA -"UNANIJARIBU? OCD MCHUKUE HUYU"-HURUMA ya RAIS SAMIA YATUA MGOGORO MSITU WA KUNI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 174

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  16 дней назад +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 16 дней назад +24

    Tatizo viongizi wetu ubabe umezidi mnatisha Sasa wananchi ngoja aongee umsikilize kwanza lkn ocd mchukue sheria ipo wapi kiongozi?

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 15 дней назад +3

      Unapo ulizwa hii nichumvi inatakiwa ujibu Vipi huyu majibu yake nizarau

    • @ibrahmatage
      @ibrahmatage 15 дней назад +1

      Unajua ugumu wa kumsikiliza mtu anae jibu, jibu refu nenda kwenye kiini cha Swali ukiwa kiongozi utajfunza

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 16 дней назад +14

    Umemchukua ndani kwa Sheria gan

    • @allynguba2579
      @allynguba2579 16 дней назад +1

      We unaejua sheria kamtoe

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 16 дней назад

      Unajua sheria hiyo yenyewe 😅

    • @senixdanethox
      @senixdanethox 15 дней назад

      Kuchangia sio kumiliki ardhi

    • @Jose-ut5hg
      @Jose-ut5hg 13 дней назад

      ​@@allynguba2579Kwa akili kama zako hizi mtaendelea kukamatwa hovyo hovyo bila kufuata Sheria kama kuku.😂

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 16 дней назад +15

    Emotional decision Mr Jerry kama kakukwaza unamuweka ndani kwa sheria ipi? Ungemtoa tu hapo ukasikiliza wengine basi akileta jeuri ndo unamtia nguvuni. Sasa we Mwanasheria halafu unatumia hasira kufanya maamuzi.

    • @barakamwasala228
      @barakamwasala228 16 дней назад +2

      Hapoo kamkwaza kivipii Hawa Huwa hawapendi mtu hamzidii kitu

    • @magangamwidaghat4324
      @magangamwidaghat4324 16 дней назад +3

      Waziri jery usitumie hasira wakati wa kufanya maamuzi jaribu kusikiliiza kwa makini ndo ufanye maamuzi bila kupendelea upande wowote mwenyezi mugu akutangulie kufanya maamuzi sahihi

    • @geographyteacher.2961
      @geographyteacher.2961 15 дней назад +1

      Kuna suala la uongozi na namna ya kujibu maswali kila pande hapo inakosa na zaidi mr jery ameilinda hadhi yake tu kwamba kiongozi hastahiki kuyumbishwa

    • @gabrielrobert8677
      @gabrielrobert8677 11 дней назад

      Huyo nae anajifanya mjuaji saana waziri anamuuliza swali maelezo mengine alafu anajichekesha nini??

    • @keshalasubuhi
      @keshalasubuhi 11 дней назад

      Jambo la kwanza elewa kuwa huyo ni waziri wa ardhi, ameenda hapo akijua mipaka ya eneo lote hilo wanaldai ni hifadhi ya msitu wa nyuki, walip ni wavamizi na uhakiki umeshafanyika, limetengwa eneo kwa huruma kuwasaidia wavamizi wapewe viwanja. sasa huyo anaulizwa pesa alikuwa anampa nani anataka kujistfy kuwa alikuwepo kihalali na hana document yeyote, bado unataka asikilizwe kuptosha umma

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 16 дней назад +7

    KWA NINI ACHUKULIWE NA POLISI, TUNA UHURU WA KUONGEA NA VIONGOZI WETU, SISI HATUNA WAFALME WALA MABWANA BALI WATUMISHI WA WANANCHI...IKIWA KWELI MNQVYOSEMA KUWA BOSS NI MWANANCHI KWA HIYO WAZIRI KAMKAMATA BOSS WAKE, WANASIA MNA MANENO YASIYO YA UKWELI..ASAMEHEWE TU

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 16 дней назад +2

    Kaka Leo umezingua sana. Ubabe sio mzuri hadharani huyo Mzee ungemsikiliza. Pole, naona kazini kulikuwa na kazi

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 16 дней назад +6

    Sema kaka yetu jeri leo hayuko kwene mood nzuri.😂

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 16 дней назад

      Itakiwavyo Unapokuwa Unaongea Nakiongozi Wako Yoyote Awe Wakidini Au Kiserikali. Nilazima Tuwe Na Tahadhari. Nionavyo. Naitakiwavyo.

  • @LawrenceKomba-w8k
    @LawrenceKomba-w8k 10 дней назад +1

    hayo mambo si sawa kabisa

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 10 дней назад +2

    Mbona jamaa Alikuwa Anaongea vizuri

  • @yerasimg7415
    @yerasimg7415 15 дней назад +2

    Hatari sana nchi ngumu sana hii

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 16 дней назад +3

    Ukiwatisha wananchi kwa kutumia mamlaka yako unakosea unawanyima uhuru wakuongea acha kuwatisha

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 16 дней назад +3

    Viongozi wa serikali yatazania wanapenda kusifiwa aukunyenyekewa maka waoni ngungu watu hamnamsaada hiyo nihuruma hivisasa watu tuishi.kama.vindenge tuishi kwenye miti watanzania hatuna aridhi .nduguzanguni.wamejisahau

  • @DanielKagika-d8f
    @DanielKagika-d8f 11 дней назад +1

    Waziri leo umeniangusha uyo ungemsikiliza ndo hekima, hapo watu wataogopa watukusikiliza tu wewe hiyo siyo sawa mbona mama yetu Samia hayuko hivyo

  • @fadhilmgahi1334
    @fadhilmgahi1334 6 дней назад

    Huyo waziri hapo kazingua katumia nafasi alionayo kimamlaka kumlandamiza huyo jamaa wala jamaa hakuna kosa alilofanya alikua anajaribu kueleza anachofahamu😢😢😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 16 дней назад +1

    Bila adabu nchi hii hatuwezi kuwa na heshima

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p 9 дней назад +1

    Yaan katika siku amabazo huyu waziri nimemwona hajatumia busara ni.leo kwakweli usifanye hivyo boss plz as ukimweka ndani utapataje maelezo

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 11 дней назад

    Waziri Slaa piga kazi kaka. Uko sawa.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 16 дней назад +1

    Sraa uko vizuri hujui lushwa ubalikiwe

  • @doriceyerico3421
    @doriceyerico3421 16 дней назад +1

    Wametuvunjia Nyumba zetu kibaha bila huruma eti tunaitwa Wavamizi😭

  • @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba
    @MahmoudMahdMahmadoueMombaMomba 13 дней назад

    Magufuli Legacy and his spirit will still prevail and survive for long time even if he died,

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o 16 дней назад +2

    AMEMJARIBU NAMNA GANI HAPO? MBONA SIONI TATIZO?

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 12 дней назад +2

    ZINGATIA NA WEWE UNATAKA KWENDA AKANYUTI😅😅😅CHEZEAAAAA

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 16 дней назад +2

    hapa wazili umezingua Yani mwananchi kauziwa eneo Na ofisi ya Kijiji kapewa kapewa hati ya mauziano ina mhuli wa serikali wewe unamuambia akamdai huyo alie muuzia sasa mnyonge hua kupata haki Nivigumu wewe ilitakiwa huyo alieuza aneo ambalo Nimali ya serikali asakwe

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 16 дней назад +2

    Hapa tunaita chuma kwa chuma bendera chuma mlingoti chuma kamba ya faru

  • @idrisaramadhani3519
    @idrisaramadhani3519 16 дней назад

    Daaaah 😢😢😢

  • @jmazura7400
    @jmazura7400 16 дней назад +1

    haki sawa Kwa wote. Hakuna mtu anayepaswa kuwa juu ya Sheria. Kama Sheria inamruhusu waziri kuagiza mtu awekwe ndani Kwa mambo madogo kama haya ya kuongea tu na kuelewana basi Sheria zetu mbovu. Ila kama haziruhusu na ametenda tu Kwa vilebyeye ni waziri basi akumbuke yeye si jaji. SOTE TUNAPASWA KUESHIMU SHERIA haijalishi waziri au yule mtu wa chini kabisa. HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEPASWA KUJIONA JUU YA SHERIA.

  • @hakeemwamahoro5144
    @hakeemwamahoro5144 16 дней назад +1

    Mr Jerry kazi anaifanya vizuri sana tatizo lake anatumia ubabe ukitazama video zingine utaona,..hakuna freedom speech is not right

  • @chacha-255
    @chacha-255 13 дней назад

    Mgema akisifiwa ................ Waziri naona kaanza kuyumba, Hapo kwenye kumweka ndani ubabe zaidi umetumika.

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 10 дней назад

    Acheni ubabe wazeeee fanyeni Kaz Kwa kumwogopa mungu

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 16 дней назад +1

    Silaa hapo umezingua kumweka ndani kwasababu yakujieleza

  • @linusmasawe5060
    @linusmasawe5060 16 дней назад +10

    Waziri nakukubali sana hila leo kama ujafanya vizuri

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 16 дней назад

    + value to life

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p 9 дней назад

    Hapo waziri umekosea sana....tenh sana unapswa kumsikiliza mtu mwanzo mwisho usiingilie maongezi, mbona ulianza vizuri tuu whats happen had unamchukua daah

    • @josephignas3988
      @josephignas3988 9 дней назад

      Ni sawa Lakini mpaka waziri anafika hapo huwa ana taarifa zote za nan mwenye haki na nani siye, Kwa hiyo muda mwingine anakuwa anaona kama anapotezaewa muda kwa kujitetea kwa mtu ambae inajulikana wazi kabisa ndo tatizo

  • @OdinaEdwini
    @OdinaEdwini 15 дней назад

    Daaaa umekosea wazir

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 16 дней назад +1

    Divide and rule iliyotokea Malela tokea kata ya TOANGOMA TEMEKE kile kile aise

  • @barackcanc7954
    @barackcanc7954 12 дней назад

    TANZANIA kuna usenge mwingii sna mamae

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 13 дней назад

    Namuelewa sana MAKONDA

  • @user-ti8fw5wm8f
    @user-ti8fw5wm8f 16 дней назад +1

    Mimi naona waziri Yuko SAWA kwani tumeletewa mapiki pili inchi nzima

  • @user-ti8fw5wm8f
    @user-ti8fw5wm8f 16 дней назад +1

    Kwakweli Yuko SAWA Mimi napongeza serikali tumepewa piki piki inchi nzima

  • @bakarithegeoinformatician7406
    @bakarithegeoinformatician7406 10 дней назад

    Waziri kulikoni miti sio ardhi!? Au na ww waziri hujui maana ya ardhi kwa mujibu wa sheria?

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 7 дней назад

    Waziri Gani huyu

  • @alphoncembasa592
    @alphoncembasa592 16 дней назад +1

    Sasa hapo huyo bwana anakosa wapi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 16 дней назад +1

    Hapo waxiri ujatenda haki ungemsikiliza kwanza. Ilasikulaumu sana kunamudamtuunachoka au umetokanyumbani mambosi mambo

    • @josephminja7953
      @josephminja7953 15 дней назад

      😅nsawa lakini mambo yanyumbani yaishie huko huko 😅

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 14 дней назад

      @@josephminja7953 🤣🤣🤣

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p 15 дней назад

    Kuna wakat ulikuwa unaenda vzur so umeanza kijchanganya hayo ni maisha ya watu itazame kesho yao acha alama kuna sku utakumbukwa na vzaz vjavyo punguza maneno makal

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 12 дней назад

    dah 2we wawazi leo kunakitu akikuwa sawa kwake niki2 ambacho sikukitarajia kukiona kwake ira yeye nae nibinadamu maana mi sijaona kosa apo wara zalau mbona mwanainchi alikuwa anajenga oja ili waerewane aya bana

  • @olewangaparmitoro1395
    @olewangaparmitoro1395 16 дней назад +2

    Huyu mtu uliyemkamata amekosea nn???

    • @daslamonline4665
      @daslamonline4665 14 дней назад

      Unabishana ueleweki ujuaji haujibu unachoulizwa sukuma ndani ,

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 16 дней назад +1

    Mbona kama ubabe

  • @nicholasmakule2381
    @nicholasmakule2381 13 дней назад

    This is pure drama,shame he's even a state's minister.

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 15 дней назад

    Kwa kweli hapo kwenye maamuzi ya msittu wa kuni hujachukua maamuzi mazuri hapo umewaonea mkuu.kajiulize kwanza na uwe makini utakuja kurogwa

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 13 дней назад

    Hivi kwa nini wasiwajibishwe wanaotoa hufu za kiserikal? Utakuta mtu kauziwa eneo serikal za mtaa na mtendaji kaweka muhuri kajenga na anaishi arafu anakuwa mvamizi? Hii kitu huwa inanichanganya sana

  • @edyboychamiliion1360
    @edyboychamiliion1360 13 дней назад

    Waziri wangu hapo kidogo umekosea samahani tunakupenda sana lakin tunaomba uwe na subra mhe slqa

  • @charleskamkunguru6071
    @charleskamkunguru6071 10 дней назад

    Si vema

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 16 дней назад +1

    Uonevu kweli tutafika?

  • @salummasooud4401
    @salummasooud4401 16 дней назад

    Mwambieni Waziri wenu aache ubabe

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 12 дней назад

    Ningekuwa mama ningekungoa

  • @CalvinmMagele
    @CalvinmMagele 7 дней назад

    Sasa alichoo kosea nini kamaa sio ujingaa tu na ulibukeni wa viongozi wetu

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 15 дней назад

    Waziri yupo vizuri ila sisi tunashindwa kujieleza tunatumia pia ubabe.. Msimlaumu waziri kiongozi ni kiongozi tu. Basi Rais samia angekuwa hivi nchi isingeenda kwakweli si maana yake nini? 😊

  • @lushiligolegwa4025
    @lushiligolegwa4025 12 дней назад

    Miungu watu,
    Kamjaribu kwa lipi

  • @swahilifashion2206
    @swahilifashion2206 9 дней назад

    Kwa nnavyomjua Silaa hao watu walishavuruga sana

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig 16 дней назад

    Duh leo nimemkumbuka mfalme Sulemani alipoambiwa na MUNGU omba utakalo nikupe, mfalme Sulemani Hakuomba chochote zaidi ya hekima katika kuongoza watu.

  • @user-zo7lf4qp6m
    @user-zo7lf4qp6m 16 дней назад +1

    Mbona mm sijaona kosa la huyu big

    • @Jose-ut5hg
      @Jose-ut5hg 13 дней назад

      Shida viongozi wetu wanapenda kunyenyekewa

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 12 дней назад

    hii nchi demokrasia bado sana....ubabe umetawala

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 7 дней назад

    Uyu dada ni nani ni mke wa sulutani or mfalume

  • @salcle9702
    @salcle9702 15 дней назад

    Tatizo nyie wananchi mnawaogopa hawa viongozi kama Huna tatizo kwanini utetemeke nenda kwenye point

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 16 дней назад +8

    Haki ya Mungu tukipata watu 30 Tanzania km huyu waziri, pamoja na Mr Makonda🎉 Tanzani yetu itakua hakunaga zulima.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 12 дней назад

    Hivi huu ubabe wa Viongozi unatokana na Nini? Mbona wananchi hawaheshimiwi😮

  • @mambas264
    @mambas264 16 дней назад +4

    Hapo umetumia ubabe Waziri

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 13 дней назад +1

      Ubabe lazima utumiwe ukiwa huna adabu.Jibu swali bila kutoa hutubu.
      Huyo mzee hajakamatwa ila kazimishwa ili asiongeza sintomfahu kwa wengine.

  • @npiperito19
    @npiperito19 7 дней назад

    Tuko utumwani, akuna uhuru wa mwananchi kuongea.

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z 16 дней назад

    Aya maeneo ya serikal serikal ya mtaa inajua kwann msianze kuwakamata awa viongoz kama wajumbe na watendaj na mwenyekit

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 14 дней назад

    Wangap tumecheka amejibu vibaya wapiiii

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 16 дней назад

    Tangia wanaanza kujengenga mulikuwa wapi hadi watu wanamaliza kujenga wanazaana hapo wanajukuu hapo kama watumishi wa sirikali mulikua wapi kuzuia hilo???ni upuuzi na ujinga tu.

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo 14 дней назад

    Huyu jamaa 😂😂 Bwana Et OCD mchukue huyu

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 16 дней назад

    Inchi ingekuwa imepangwa kusengekuwa na haya yanayotokea.

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 11 дней назад

    Bado mze arikuwa na maerezo jamani ama Kuna sintofahm

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 16 дней назад

    Waziri kuongea na wananchi inahitaji uwe na kifua....

  • @FkenkiMwesya
    @FkenkiMwesya 14 дней назад

    Umetumia mamlakala yacheo chako

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 16 дней назад

    Sheria ya ardhi ngumu. Ukifuatilia utagundua wengi tunavunja Sheria. Tuendelee kupata elimu maana wapo viongozi wasio na nia njema kutushikisha

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 14 дней назад

    Jaman mzee amechukuliwa kisa uhuru wa kuongea

  • @Pemba680
    @Pemba680 15 дней назад

    Ubabe tu ndio wenu

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 13 дней назад

    yaani viongozi mnawachukulia poa Sana makamnda kila kitu kuwatafutia tu ubaya na wanainchi hata vituo vya porice tunasikilizwa hatukimbizani Kama unavyomfanya mzee wa watu hivyo acheni kusumbua watu itafika kipindi tutapigana mangumu ya chapu chapu alafu tufungane tu

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 14 дней назад

    Slaa anatatua kero bila kusikiliza watu

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao 15 дней назад

    Leo

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz 16 дней назад

    Hivi inakuwaje wavamizi wanapewa mpaka huduma za maji umeme shule nk kutoka kwa serkal hiyo hiyo

  • @mgityanyahurya8375
    @mgityanyahurya8375 12 дней назад

    Mtu anapewa madaraka anakua ndiyo mtishia watu

  • @user-dq9lf3vp8m
    @user-dq9lf3vp8m 13 дней назад

    Aliempokea alianguka 😂😂😂😂😂😂

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 16 дней назад

    😂😂😂😂 tutafika tumechoka sana 😂😂😂

  • @allymahmudu464
    @allymahmudu464 16 дней назад

    Uko vzr mkuu ila pungua kido ubabe

  • @richardmembe2934
    @richardmembe2934 13 дней назад

    Anajaribu kunwiga makonda lakini it didn't work here

  • @graciousmgeni7249
    @graciousmgeni7249 12 дней назад

    HUYO MZEE AKISONONEKA TU. LAANA ITAKURUDI HATA KAMA SIO LEO. UBABE KWA AJIRI YA CHEO SI HAKI YAKO KUMNYANYASA MTU .

  • @user-rf7tt9rm7r
    @user-rf7tt9rm7r 15 дней назад

    Kwa kos gan apo anamuwek ndan inaaman huyu akipewa nchi si atafunga watu otee huo namkubal kumbe ovyo tuu

  • @senixdanethox
    @senixdanethox 15 дней назад

    Wananchi sheria ni moja sio matwakwa yenu

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 12 дней назад

    hajafanya haki apo mkuu

  • @npiperito19
    @npiperito19 7 дней назад

    Kwenye utawala wa baba MAGUFULI Aya yote ayakueepo.

  • @ellymartin9343
    @ellymartin9343 16 дней назад

    Kweli hivi vyeo kuna watu hawaelewi bado kuwa ni dhamana? Sasa Huyo Mzee mtu mzima anajaribu kuelezea unasema anakujaribu, kivipi? Utafunga wangapi kwa sheria kandamizi ya kujitungia? Tumemuona na kumsikia huyo mzee unamuonea, usiwe unatumia vibaya nguvu uliyopewa, halafu umeanza lini kusifiasifia? Mbona Mheshimiwa ulikuwa unakwenda vizuri umekutwa na nini?
    Ni ushauri tu.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 12 дней назад

    Nae anatakwenda

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h 6 дней назад

    Akuna kz hp

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 4 дня назад

    At least sasa Watanzania mme ona! This guy is abusing his position! I comment 8 months ago! At least ame ondolewa from this ministry! 😢😮😂

  • @ShaabanmwanawimaMwanawima
    @ShaabanmwanawimaMwanawima 9 дней назад

    Yaani viongozi wengine.. sasa huyu mzee kafanya kosa gani sasa yaan yaan au basi tu😡😡😡😡😡

  • @alihussein4303
    @alihussein4303 8 дней назад

    Na wewe unataka kwenda

  • @PeterMandata
    @PeterMandata 15 дней назад

    Kuwa makini mh,kwahili haukosawa kidogo