WAZIRI SILAA AWAKA -"UNANIJARIBU? OCD MCHUKUE HUYU"-HURUMA ya RAIS SAMIA YATUA MGOGORO MSITU WA KUNI
HTML-код
- Опубликовано: 8 июл 2024
- WAZIRI SILAA AWAKA -"UNANIJARIBU? OCD MCHUKUE HUYU"-HURUMA ya RAIS SAMIA YATUA MGOGORO MSITU WA KUNI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Tatizo viongizi wetu ubabe umezidi mnatisha Sasa wananchi ngoja aongee umsikilize kwanza lkn ocd mchukue sheria ipo wapi kiongozi?
Unapo ulizwa hii nichumvi inatakiwa ujibu Vipi huyu majibu yake nizarau
Unajua ugumu wa kumsikiliza mtu anae jibu, jibu refu nenda kwenye kiini cha Swali ukiwa kiongozi utajfunza
Umemchukua ndani kwa Sheria gan
We unaejua sheria kamtoe
Unajua sheria hiyo yenyewe 😅
Kuchangia sio kumiliki ardhi
@@allynguba2579Kwa akili kama zako hizi mtaendelea kukamatwa hovyo hovyo bila kufuata Sheria kama kuku.😂
Emotional decision Mr Jerry kama kakukwaza unamuweka ndani kwa sheria ipi? Ungemtoa tu hapo ukasikiliza wengine basi akileta jeuri ndo unamtia nguvuni. Sasa we Mwanasheria halafu unatumia hasira kufanya maamuzi.
Hapoo kamkwaza kivipii Hawa Huwa hawapendi mtu hamzidii kitu
Waziri jery usitumie hasira wakati wa kufanya maamuzi jaribu kusikiliiza kwa makini ndo ufanye maamuzi bila kupendelea upande wowote mwenyezi mugu akutangulie kufanya maamuzi sahihi
Kuna suala la uongozi na namna ya kujibu maswali kila pande hapo inakosa na zaidi mr jery ameilinda hadhi yake tu kwamba kiongozi hastahiki kuyumbishwa
Huyo nae anajifanya mjuaji saana waziri anamuuliza swali maelezo mengine alafu anajichekesha nini??
Jambo la kwanza elewa kuwa huyo ni waziri wa ardhi, ameenda hapo akijua mipaka ya eneo lote hilo wanaldai ni hifadhi ya msitu wa nyuki, walip ni wavamizi na uhakiki umeshafanyika, limetengwa eneo kwa huruma kuwasaidia wavamizi wapewe viwanja. sasa huyo anaulizwa pesa alikuwa anampa nani anataka kujistfy kuwa alikuwepo kihalali na hana document yeyote, bado unataka asikilizwe kuptosha umma
KWA NINI ACHUKULIWE NA POLISI, TUNA UHURU WA KUONGEA NA VIONGOZI WETU, SISI HATUNA WAFALME WALA MABWANA BALI WATUMISHI WA WANANCHI...IKIWA KWELI MNQVYOSEMA KUWA BOSS NI MWANANCHI KWA HIYO WAZIRI KAMKAMATA BOSS WAKE, WANASIA MNA MANENO YASIYO YA UKWELI..ASAMEHEWE TU
Kaka Leo umezingua sana. Ubabe sio mzuri hadharani huyo Mzee ungemsikiliza. Pole, naona kazini kulikuwa na kazi
Sema kaka yetu jeri leo hayuko kwene mood nzuri.😂
Itakiwavyo Unapokuwa Unaongea Nakiongozi Wako Yoyote Awe Wakidini Au Kiserikali. Nilazima Tuwe Na Tahadhari. Nionavyo. Naitakiwavyo.
hayo mambo si sawa kabisa
Mbona jamaa Alikuwa Anaongea vizuri
Hatari sana nchi ngumu sana hii
Ukiwatisha wananchi kwa kutumia mamlaka yako unakosea unawanyima uhuru wakuongea acha kuwatisha
Viongozi wa serikali yatazania wanapenda kusifiwa aukunyenyekewa maka waoni ngungu watu hamnamsaada hiyo nihuruma hivisasa watu tuishi.kama.vindenge tuishi kwenye miti watanzania hatuna aridhi .nduguzanguni.wamejisahau
Waziri leo umeniangusha uyo ungemsikiliza ndo hekima, hapo watu wataogopa watukusikiliza tu wewe hiyo siyo sawa mbona mama yetu Samia hayuko hivyo
Huyo waziri hapo kazingua katumia nafasi alionayo kimamlaka kumlandamiza huyo jamaa wala jamaa hakuna kosa alilofanya alikua anajaribu kueleza anachofahamu😢😢😢
Bila adabu nchi hii hatuwezi kuwa na heshima
Yaan katika siku amabazo huyu waziri nimemwona hajatumia busara ni.leo kwakweli usifanye hivyo boss plz as ukimweka ndani utapataje maelezo
Waziri Slaa piga kazi kaka. Uko sawa.
Sraa uko vizuri hujui lushwa ubalikiwe
Wametuvunjia Nyumba zetu kibaha bila huruma eti tunaitwa Wavamizi😭
Magufuli Legacy and his spirit will still prevail and survive for long time even if he died,
AMEMJARIBU NAMNA GANI HAPO? MBONA SIONI TATIZO?
ZINGATIA NA WEWE UNATAKA KWENDA AKANYUTI😅😅😅CHEZEAAAAA
😅 We kuweza!😅😅😅
hapa wazili umezingua Yani mwananchi kauziwa eneo Na ofisi ya Kijiji kapewa kapewa hati ya mauziano ina mhuli wa serikali wewe unamuambia akamdai huyo alie muuzia sasa mnyonge hua kupata haki Nivigumu wewe ilitakiwa huyo alieuza aneo ambalo Nimali ya serikali asakwe
Hapa tunaita chuma kwa chuma bendera chuma mlingoti chuma kamba ya faru
Daaaah 😢😢😢
haki sawa Kwa wote. Hakuna mtu anayepaswa kuwa juu ya Sheria. Kama Sheria inamruhusu waziri kuagiza mtu awekwe ndani Kwa mambo madogo kama haya ya kuongea tu na kuelewana basi Sheria zetu mbovu. Ila kama haziruhusu na ametenda tu Kwa vilebyeye ni waziri basi akumbuke yeye si jaji. SOTE TUNAPASWA KUESHIMU SHERIA haijalishi waziri au yule mtu wa chini kabisa. HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEPASWA KUJIONA JUU YA SHERIA.
Mr Jerry kazi anaifanya vizuri sana tatizo lake anatumia ubabe ukitazama video zingine utaona,..hakuna freedom speech is not right
Kabisa. Ila kuna watu wanapenda kuburuzwa. Huzani njia ya ubabe ndo namna pekee.
Mgema akisifiwa ................ Waziri naona kaanza kuyumba, Hapo kwenye kumweka ndani ubabe zaidi umetumika.
Acheni ubabe wazeeee fanyeni Kaz Kwa kumwogopa mungu
Silaa hapo umezingua kumweka ndani kwasababu yakujieleza
Waziri nakukubali sana hila leo kama ujafanya vizuri
Nikweri kaka leo waziri kama kachemka vile
Ulitaka afanyaje kama unajibu kwadharau
ulitaka atetemekewe kama Mungu?
+ value to life
Hapo waziri umekosea sana....tenh sana unapswa kumsikiliza mtu mwanzo mwisho usiingilie maongezi, mbona ulianza vizuri tuu whats happen had unamchukua daah
Ni sawa Lakini mpaka waziri anafika hapo huwa ana taarifa zote za nan mwenye haki na nani siye, Kwa hiyo muda mwingine anakuwa anaona kama anapotezaewa muda kwa kujitetea kwa mtu ambae inajulikana wazi kabisa ndo tatizo
Daaaa umekosea wazir
Divide and rule iliyotokea Malela tokea kata ya TOANGOMA TEMEKE kile kile aise
TANZANIA kuna usenge mwingii sna mamae
Namuelewa sana MAKONDA
Mimi naona waziri Yuko SAWA kwani tumeletewa mapiki pili inchi nzima
Kwakweli Yuko SAWA Mimi napongeza serikali tumepewa piki piki inchi nzima
Waziri kulikoni miti sio ardhi!? Au na ww waziri hujui maana ya ardhi kwa mujibu wa sheria?
Waziri Gani huyu
Sasa hapo huyo bwana anakosa wapi
Hapo waxiri ujatenda haki ungemsikiliza kwanza. Ilasikulaumu sana kunamudamtuunachoka au umetokanyumbani mambosi mambo
😅nsawa lakini mambo yanyumbani yaishie huko huko 😅
@@josephminja7953 🤣🤣🤣
Kuna wakat ulikuwa unaenda vzur so umeanza kijchanganya hayo ni maisha ya watu itazame kesho yao acha alama kuna sku utakumbukwa na vzaz vjavyo punguza maneno makal
dah 2we wawazi leo kunakitu akikuwa sawa kwake niki2 ambacho sikukitarajia kukiona kwake ira yeye nae nibinadamu maana mi sijaona kosa apo wara zalau mbona mwanainchi alikuwa anajenga oja ili waerewane aya bana
Huyu mtu uliyemkamata amekosea nn???
Unabishana ueleweki ujuaji haujibu unachoulizwa sukuma ndani ,
Mbona kama ubabe
This is pure drama,shame he's even a state's minister.
Kwa kweli hapo kwenye maamuzi ya msittu wa kuni hujachukua maamuzi mazuri hapo umewaonea mkuu.kajiulize kwanza na uwe makini utakuja kurogwa
Hivi kwa nini wasiwajibishwe wanaotoa hufu za kiserikal? Utakuta mtu kauziwa eneo serikal za mtaa na mtendaji kaweka muhuri kajenga na anaishi arafu anakuwa mvamizi? Hii kitu huwa inanichanganya sana
Waziri wangu hapo kidogo umekosea samahani tunakupenda sana lakin tunaomba uwe na subra mhe slqa
Si vema
Uonevu kweli tutafika?
Mwambieni Waziri wenu aache ubabe
Ningekuwa mama ningekungoa
Sasa alichoo kosea nini kamaa sio ujingaa tu na ulibukeni wa viongozi wetu
Waziri yupo vizuri ila sisi tunashindwa kujieleza tunatumia pia ubabe.. Msimlaumu waziri kiongozi ni kiongozi tu. Basi Rais samia angekuwa hivi nchi isingeenda kwakweli si maana yake nini? 😊
Miungu watu,
Kamjaribu kwa lipi
Kwa nnavyomjua Silaa hao watu walishavuruga sana
Duh leo nimemkumbuka mfalme Sulemani alipoambiwa na MUNGU omba utakalo nikupe, mfalme Sulemani Hakuomba chochote zaidi ya hekima katika kuongoza watu.
Mbona mm sijaona kosa la huyu big
Shida viongozi wetu wanapenda kunyenyekewa
hii nchi demokrasia bado sana....ubabe umetawala
Uyu dada ni nani ni mke wa sulutani or mfalume
Tatizo nyie wananchi mnawaogopa hawa viongozi kama Huna tatizo kwanini utetemeke nenda kwenye point
Haki ya Mungu tukipata watu 30 Tanzania km huyu waziri, pamoja na Mr Makonda🎉 Tanzani yetu itakua hakunaga zulima.
Hivi huu ubabe wa Viongozi unatokana na Nini? Mbona wananchi hawaheshimiwi😮
Hapo umetumia ubabe Waziri
Ubabe lazima utumiwe ukiwa huna adabu.Jibu swali bila kutoa hutubu.
Huyo mzee hajakamatwa ila kazimishwa ili asiongeza sintomfahu kwa wengine.
Tuko utumwani, akuna uhuru wa mwananchi kuongea.
Aya maeneo ya serikal serikal ya mtaa inajua kwann msianze kuwakamata awa viongoz kama wajumbe na watendaj na mwenyekit
Wangap tumecheka amejibu vibaya wapiiii
Tangia wanaanza kujengenga mulikuwa wapi hadi watu wanamaliza kujenga wanazaana hapo wanajukuu hapo kama watumishi wa sirikali mulikua wapi kuzuia hilo???ni upuuzi na ujinga tu.
Huyu jamaa 😂😂 Bwana Et OCD mchukue huyu
Inchi ingekuwa imepangwa kusengekuwa na haya yanayotokea.
Bado mze arikuwa na maerezo jamani ama Kuna sintofahm
Waziri kuongea na wananchi inahitaji uwe na kifua....
Umetumia mamlakala yacheo chako
Sheria ya ardhi ngumu. Ukifuatilia utagundua wengi tunavunja Sheria. Tuendelee kupata elimu maana wapo viongozi wasio na nia njema kutushikisha
Jaman mzee amechukuliwa kisa uhuru wa kuongea
Ubabe tu ndio wenu
yaani viongozi mnawachukulia poa Sana makamnda kila kitu kuwatafutia tu ubaya na wanainchi hata vituo vya porice tunasikilizwa hatukimbizani Kama unavyomfanya mzee wa watu hivyo acheni kusumbua watu itafika kipindi tutapigana mangumu ya chapu chapu alafu tufungane tu
Slaa anatatua kero bila kusikiliza watu
Leo
Hivi inakuwaje wavamizi wanapewa mpaka huduma za maji umeme shule nk kutoka kwa serkal hiyo hiyo
Mtu anapewa madaraka anakua ndiyo mtishia watu
Aliempokea alianguka 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 tutafika tumechoka sana 😂😂😂
Uko vzr mkuu ila pungua kido ubabe
Anajaribu kunwiga makonda lakini it didn't work here
HUYO MZEE AKISONONEKA TU. LAANA ITAKURUDI HATA KAMA SIO LEO. UBABE KWA AJIRI YA CHEO SI HAKI YAKO KUMNYANYASA MTU .
Kwa kos gan apo anamuwek ndan inaaman huyu akipewa nchi si atafunga watu otee huo namkubal kumbe ovyo tuu
Wananchi sheria ni moja sio matwakwa yenu
hajafanya haki apo mkuu
Kwenye utawala wa baba MAGUFULI Aya yote ayakueepo.
Kweli hivi vyeo kuna watu hawaelewi bado kuwa ni dhamana? Sasa Huyo Mzee mtu mzima anajaribu kuelezea unasema anakujaribu, kivipi? Utafunga wangapi kwa sheria kandamizi ya kujitungia? Tumemuona na kumsikia huyo mzee unamuonea, usiwe unatumia vibaya nguvu uliyopewa, halafu umeanza lini kusifiasifia? Mbona Mheshimiwa ulikuwa unakwenda vizuri umekutwa na nini?
Ni ushauri tu.
Nae anatakwenda
Akuna kz hp
At least sasa Watanzania mme ona! This guy is abusing his position! I comment 8 months ago! At least ame ondolewa from this ministry! 😢😮😂
Yaani viongozi wengine.. sasa huyu mzee kafanya kosa gani sasa yaan yaan au basi tu😡😡😡😡😡
Na wewe unataka kwenda
Kuwa makini mh,kwahili haukosawa kidogo