Ndugu yng umepata idhini kutoka kwa mwenyewe au unafanya tu hii ni Qaswida ya watu na mwenyewe alieimba ni Abdoul Douchi sasa akiamuwa kukushtaki itakuwa kakuonea lazima mufanye vitu kwa kufikiri hii sanaaa mtu anapata shida kutunga tena mpaka sauti yake imetumika kwenye chorus mnajitaftia matatizo ya makusudi ndugu zangu
As/aleykum sheikh Hiyo kazi ni yangu na wala STK kujifaharisha kwa ilo kwaiyo muelewe tu mm mwanafunzi WA apo qamaria sasa eleweni kwaiyo sjaiba sawa au kisa mm so maarafu Kama ww
Boss sikuwa na nia mbaya nilikufahamisha tu kutokana na mambo ya kisanaa yalivo kwasababu wengi yashawakuta ya kuwakuta na wakajutia sasa kama mumeridhiana na ww ni wa hapo hapo ungenieleza tu me kwnz ckufaham kama upo apo ninao wafaham wengi wapo Qamaria kina Saleh na wengine wanatoa copy za Abdul na wala siwaambii kitu kwasababu najuwa ni cha kwao sasa ungenifahamisha tu ndugu ila kama nilifanya kosa kukwambia nisameh coz me cpendi mambo ya kukwazana na ugomvi na mtu
Ahsante bab hamad almaarufu lahali
masha allah😊
Masha-allah qaswda pambe👌👌
Ila ucjinyonge bab hamad
Hii kitu shida Ma Shaa Allah
Mashaallah
MashaAllah
Shukran Ali omari
Mashaaalllwaah mashalllwaaah
Very nice 💖👌
Kazi zinakuja tunaomba sapoti zenu
Kka mbona kuzidownload audio kila nkitafuta sipati
khatar sana
Asnte Ali omar
Ndugu yng umepata idhini kutoka kwa mwenyewe au unafanya tu hii ni Qaswida ya watu na mwenyewe alieimba ni Abdoul Douchi sasa akiamuwa kukushtaki itakuwa kakuonea lazima mufanye vitu kwa kufikiri hii sanaaa mtu anapata shida kutunga tena mpaka sauti yake imetumika kwenye chorus mnajitaftia matatizo ya makusudi ndugu zangu
As/aleykum sheikh
Hiyo kazi ni yangu na wala STK kujifaharisha kwa ilo kwaiyo muelewe tu mm mwanafunzi WA apo qamaria sasa eleweni kwaiyo sjaiba sawa au kisa mm so maarafu Kama ww
Kwaiyo mm stk maneno na watu sawa heshima jambo LA busara
Kingine ww hushangai iyo saut yake tumeitoa wp na producer yeye mwenyewe kwaiyo unatakiwa kuuliza sio unaandika tu kikweli umeniboa sana sheikh
Boss sikuwa na nia mbaya nilikufahamisha tu kutokana na mambo ya kisanaa yalivo kwasababu wengi yashawakuta ya kuwakuta na wakajutia sasa kama mumeridhiana na ww ni wa hapo hapo ungenieleza tu me kwnz ckufaham kama upo apo ninao wafaham wengi wapo Qamaria kina Saleh na wengine wanatoa copy za Abdul na wala siwaambii kitu kwasababu najuwa ni cha kwao sasa ungenifahamisha tu ndugu ila kama nilifanya kosa kukwambia nisameh coz me cpendi mambo ya kukwazana na ugomvi na mtu
Asante mycn
Usjl tupo pamoja muhim mutoe kaz nzur km hizi tu
Kazi zinakuja
Za stori za kweli
Mbona kama sielewi ivi 😦Hii Qasida si Mwenyewe Abdoulatef Douch ?
Yangu iyo
Mm mwenyewe najuwa ya Abubakar au vp
Broo
Musisahau kusabscrube
Ila ishaallah mungu lete kheri kwa wote