HUZUNI ONDOA : ABUU MABU SUBSCRIBE ILI KUPATA VIDEO MPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Usisahu ku subscribe kushere ku like na kukoment. Subscribe ili uwe wa Kwanza KUPATA video mpya pindi ziki tumwa

Комментарии • 27

  • @khamisabdalla7709
    @khamisabdalla7709 5 лет назад +3

    Ahsante bab hamad almaarufu lahali

  • @ZuhuraAdinan-t1r
    @ZuhuraAdinan-t1r Год назад +1

    masha allah😊

  • @bizuusalum3307
    @bizuusalum3307 2 года назад

    Masha-allah qaswda pambe👌👌

  • @khamisabdalla7709
    @khamisabdalla7709 5 лет назад +3

    Ila ucjinyonge bab hamad

  • @nidhamomarkhamis6116
    @nidhamomarkhamis6116 5 лет назад +2

    Hii kitu shida Ma Shaa Allah

  • @shamxachudy5655
    @shamxachudy5655 3 года назад

    Mashaallah

  • @adilkassu2386
    @adilkassu2386 5 лет назад +2

    MashaAllah

  • @gmail.com12342
    @gmail.com12342  5 лет назад +1

    Shukran Ali omari

  • @biubwamohd5866
    @biubwamohd5866 3 года назад

    Mashaaalllwaah mashalllwaaah
    Very nice 💖👌

  • @gmail.com12342
    @gmail.com12342  5 лет назад +1

    Kazi zinakuja tunaomba sapoti zenu

    • @allyhamisi5026
      @allyhamisi5026 2 года назад

      Kka mbona kuzidownload audio kila nkitafuta sipati

  • @delealli9673
    @delealli9673 5 лет назад +1

    khatar sana

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official7980 3 года назад

    Ndugu yng umepata idhini kutoka kwa mwenyewe au unafanya tu hii ni Qaswida ya watu na mwenyewe alieimba ni Abdoul Douchi sasa akiamuwa kukushtaki itakuwa kakuonea lazima mufanye vitu kwa kufikiri hii sanaaa mtu anapata shida kutunga tena mpaka sauti yake imetumika kwenye chorus mnajitaftia matatizo ya makusudi ndugu zangu

    • @irfankhamsic8286
      @irfankhamsic8286 3 года назад

      As/aleykum sheikh
      Hiyo kazi ni yangu na wala STK kujifaharisha kwa ilo kwaiyo muelewe tu mm mwanafunzi WA apo qamaria sasa eleweni kwaiyo sjaiba sawa au kisa mm so maarafu Kama ww

    • @irfankhamsic8286
      @irfankhamsic8286 3 года назад

      Kwaiyo mm stk maneno na watu sawa heshima jambo LA busara

    • @irfankhamsic8286
      @irfankhamsic8286 3 года назад

      Kingine ww hushangai iyo saut yake tumeitoa wp na producer yeye mwenyewe kwaiyo unatakiwa kuuliza sio unaandika tu kikweli umeniboa sana sheikh

    • @princehalawa_official7980
      @princehalawa_official7980 3 года назад

      Boss sikuwa na nia mbaya nilikufahamisha tu kutokana na mambo ya kisanaa yalivo kwasababu wengi yashawakuta ya kuwakuta na wakajutia sasa kama mumeridhiana na ww ni wa hapo hapo ungenieleza tu me kwnz ckufaham kama upo apo ninao wafaham wengi wapo Qamaria kina Saleh na wengine wanatoa copy za Abdul na wala siwaambii kitu kwasababu najuwa ni cha kwao sasa ungenifahamisha tu ndugu ila kama nilifanya kosa kukwambia nisameh coz me cpendi mambo ya kukwazana na ugomvi na mtu

  • @gmail.com12342
    @gmail.com12342  5 лет назад +1

    Asante mycn

  • @MudyruAbdi
    @MudyruAbdi 5 лет назад +1

    Mbona kama sielewi ivi 😦Hii Qasida si Mwenyewe Abdoulatef Douch ?

  • @gmail.com12342
    @gmail.com12342  5 лет назад

    Musisahau kusabscrube