🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • 🔴#BREAKING: NDEGE ya PRECISION AIR YAPATA HITILAFU IKIELEKEA DODOMA, NYINGINE YATUA kwa DHARURA...
    Ndege mbili za Shirika la Ndege la Precision Air zimeshindwa kufanya safari zake kama kawaida baada ya ndege moja kupata hitilafu na nyingine kulazimika kutua kwa dharura.
    Taarifa rasmi iliyotolewa na shirika hilo asubuhi ya leo Februari 03, 2023 imeeleza kuwa, moja ya ndege zake ilipata hitilafu ya kiufundi hivyo kusababisha kuchelewa na kuahirishwa kwa safari.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад

    Laana itazidi kuwatafuna
    Madege yenu mabovu Kwani Ndege alizonunua Magufuli zikowapi?

  • @ANDREWKAZUNGU-gt7lb
    @ANDREWKAZUNGU-gt7lb Год назад

    Nzr

  • @debbiemes4600
    @debbiemes4600 Год назад

    hizo niegue ni za Kenya airways zinaruka Tanzania tu. Kwa hiyo hawajali kwani waathirika sio wakenya.

  • @shadrack6530
    @shadrack6530 Год назад

    Jamn hiyo company hiyo naomba ichunguzwe shida ni nn

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Год назад

    madege mabovu jamani. kha utatumalizia watu wetu

  • @mastersuite2662
    @mastersuite2662 Год назад

    Wanandugu hao. Watayamaliza

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 Год назад

    Hizi ndege waziache sasa ,zimechoka

  • @jafarimohamedi7900
    @jafarimohamedi7900 Год назад

    Majaliwa majaliw

  • @vicentjoseph8035
    @vicentjoseph8035 Год назад

    Zama zake zimefika mwisho

  • @hamadkhatib9115
    @hamadkhatib9115 Год назад

    Bora uizwe tuu

  • @michaeleustach3989
    @michaeleustach3989 Год назад

    Mandege mabovu

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Год назад

    ZIFUNGIWE ZISHAKUWA MBOVU JUZI TU IMESABABISHA AJALI NA WATU WENGI KUFA

    • @petermwambuja4359
      @petermwambuja4359 Год назад

      Ndo mawazo ya jamii yetu. Mungu tusaidie

    • @julianaswai7846
      @julianaswai7846 Год назад

      Hizondeg mda wake umeisha. Ndege alizonunua mwamba magufuli ziko wap???

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Год назад

    Wamemutanguliza ngosha ili wafanye biashara, maana ndege za jpm zipo wapi?

    • @yusufjuma3773
      @yusufjuma3773 Год назад

      Walimuua ngosha Ili wafanye biashara,Sasa ndo majibu yake

    • @jafarimohamedi7900
      @jafarimohamedi7900 Год назад

      @@yusufjuma3773 wew ndo ulishirikiana nae kumuua au?

    • @yusufjuma3773
      @yusufjuma3773 Год назад

      Hata wewe unaweza ukawa Moja wao kumhujumu ngosha

    • @jafarimohamedi7900
      @jafarimohamedi7900 Год назад

      @@yusufjuma3773 acha kuongea vitu usivyovijua wew ukiambiwa ulete kithibitisho kinachokuthibitishya kuwa wamemuua unacho au unajiskia tu kuongea haya endelea

    • @yusufjuma3773
      @yusufjuma3773 Год назад

      We pambana na Hali yako usijifanye hujui