MWALIMU YANGA: MUTALE NI MTOTO KWA CHAMA SAJILI ZA SIMBA HAZINA MACHO "MUTALE SIO LEVO YA CH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 31

  • @DULLAMWEMA
    @DULLAMWEMA 3 месяца назад +6

    Uko sahihi sana mwalimu yanga

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 2 месяца назад

    Ukimtukana mwalimu Yanga unajitekenya mwenyew,Sasa mlitaka amsifie Chama akiwa Kwa makolo? Impossible,Mpira si matusi wewe TOA, views zako, Advice yako na comments zako,stop matusi Hakuna cha uchoko hapo Wacha amsifie Chama wake😂😂msumari umekuingia wee kolo😂😂dadadek

  • @ankojuma1714
    @ankojuma1714 3 месяца назад +2

    Neno la mungu hujui hata moja unajua ujinga tu😂😂

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 2 месяца назад

    Kuitaja Madrid si kwamba ndio Yanga Ni mfano mbona hata Mtt WA chekechea angeelewa Tu,ni shida kweli😂😂

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 2 месяца назад

    Nawew umesahau niyonzima na morison mbona ulipokonywa

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 2 месяца назад

    Kweli huyu choko kila siku alikuwa anamponda Chama leo anamsifia kweli uchoko ni maradhi

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 2 месяца назад

    Kweli huyu choko kila siku alikuwa anamponda Chama leo anamsifia kweli uchoko ni maradhi

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 2 месяца назад

    Tch noma sana nakukubali sanaaaaaa yni bora ww kuliko Gb 64 bom ndo mana magu alimtumbua😂 tch wetu kichwani kumejaa madini tu safiiiiiiii

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 2 месяца назад

    Mbona hukua unamsifia Leo akiwa kwako siku zote hukuwahi kusema mnafiki wewe kajamaa

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 3 месяца назад +2

    Anawazingua Simba wao hawaamini chamakuondoka

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 2 месяца назад

    Kwa hiyo unatakaje wivu tu

  • @KhamisKinobad
    @KhamisKinobad 3 месяца назад +1

    Jamaa namuelewaga sana

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 2 месяца назад

    Nkubali mwalimu yanga

  • @NasamMzee
    @NasamMzee 2 месяца назад

    Hana ishu yanga tu naoooo

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 2 месяца назад

    Yani mashabiki wengine hawanaga kumbukumbu kabisa uyu jamaa amesahau juzi katoka kumkosoa chama kisa pacome leo anamsifia duuuuh!!! Ndio maana mm sitakagi kulopokalopoka

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 2 месяца назад

    Kumbe

  • @SaidEmmanuel-dl6er
    @SaidEmmanuel-dl6er 2 месяца назад

    Xaxa unataka upewe paswed ilili ubaki na wachezaji wazuli wachezaj wazuli wote tz wanatakiwa wawe yanga mjiongeze makolo wajinga ndo waliwao

  • @vicentsimba4315
    @vicentsimba4315 3 месяца назад

    Yusufu Ismail"Bana",Nurdin Bakari,Saidi Maulidi,Ramazani Waso

  • @AmmyMakita-bt4ip
    @AmmyMakita-bt4ip 3 месяца назад

    Jaman msifananishe Madrid na uchafu chura wanajifananisha na madridi

  • @bonifacelugo2941
    @bonifacelugo2941 2 месяца назад

    Mchezaji mzuri anasaini mkataba mwaka mmoja

  • @JoshuaJackisoni
    @JoshuaJackisoni 3 месяца назад +1

    Sasa mbona zamani ulikuwa usemi

    • @Emanueli-vz6fd
      @Emanueli-vz6fd 3 месяца назад

      Ukitaka kuuwa mbwa wako mpe jina baya haujui😅😅😅

    • @GamaRacing123
      @GamaRacing123 3 месяца назад

      alikuwa hatuhusuuuu😂😂😂😂😂😂

  • @AmmyMakita-bt4ip
    @AmmyMakita-bt4ip 3 месяца назад

    Madrid ni inatakiwa kufananisha na team nyngne

  • @MsafiliNhabe-ll2vx
    @MsafiliNhabe-ll2vx 3 месяца назад

    Iv mandunduka mbona hawajiamin

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 3 месяца назад

    Chama kasain yanga !!!!!!!! Ama anabaki Simba?????? Mo anakanusha jamani

  • @HashimuMussa-t9k
    @HashimuMussa-t9k 2 месяца назад

    Sana mwarimu yanga

  • @YohanaaroniYohana
    @YohanaaroniYohana 2 месяца назад

    😂😂😂

  • @zainahassani3966
    @zainahassani3966 2 месяца назад

    Huyo MO yupo Tanzania acha ujinga wewe