Kuna mtu aliwahi kuniambia wewe ndugu yangu tasinii yako sio mpira wewe ulisomea ukulima sio mambo ya mpira hujuwi huo ndiyo ukweli. Wachezaji wa Simba wengi wao ni vijana wadogo ukiwaacha Saido na Chama chakushangaza hao wazee mnaowasema ndio wafungaji bora kuliko hao vijana unaowasema sawa wacha tuone
Mchambuzi Gani huyu?huyu mshamba wa kutafuta sifa tu!!Anafikiri mpira unachezwa mdomoni! Wakati yeye hata mpira wa makaratasi hajaugusa! Msubirini mwisho wa msimu atajua mpira ukoje!
Uko sahihi mwambaaaaa
Una baya😂 yanga daima nbele nyuma mwiko
Huna bay
hawa wachambuzi banaaa uchawa tuu ndio kitu wanajua
Haya twende kazii. Msiku ukianza tutapta mjibuu
Subir msimu uanze uchambuz wenu utaonekana fek
Kunamuda unakuwa huna akili nzuri kwani Chama na Yanga ndoa yao ikivunjika ndo Yanga atapoteana!
Huko sahihi balance ni muhimu sana
Huyu friji bovu, nafikiri anatoka Moja ya mikoa hii! Arusha,Kilimanjaro, Manyala au Singida!!
Umeulizwa swali la mtego nawe umejaa
Huyo huwa ana copy na ku peste.
Kuna mtu aliwahi kuniambia wewe ndugu yangu tasinii yako sio mpira wewe ulisomea ukulima sio mambo ya mpira hujuwi huo ndiyo ukweli. Wachezaji wa Simba wengi wao ni vijana wadogo ukiwaacha Saido na Chama chakushangaza hao wazee mnaowasema ndio wafungaji bora kuliko hao vijana unaowasema sawa wacha tuone
I lost trust with this man....his information isn't reliable
Mchambuzi Gani huyu?huyu mshamba wa kutafuta sifa tu!!Anafikiri mpira unachezwa mdomoni! Wakati yeye hata mpira wa makaratasi hajaugusa! Msubirini mwisho wa msimu atajua mpira ukoje!