🛑

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 14

  • @JohnDuru-g7b
    @JohnDuru-g7b 3 месяца назад +2

    Uko sahihi mwambaaaaa

  • @ADAMMOMBEKI
    @ADAMMOMBEKI 3 месяца назад +2

    Una baya😂 yanga daima nbele nyuma mwiko

  • @JohnDuru-g7b
    @JohnDuru-g7b 3 месяца назад +2

    Huna bay

  • @rab792
    @rab792 3 месяца назад +2

    hawa wachambuzi banaaa uchawa tuu ndio kitu wanajua

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 3 месяца назад +2

    Haya twende kazii. Msiku ukianza tutapta mjibuu

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 3 месяца назад +2

    Subir msimu uanze uchambuz wenu utaonekana fek

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 3 месяца назад +2

    Kunamuda unakuwa huna akili nzuri kwani Chama na Yanga ndoa yao ikivunjika ndo Yanga atapoteana!

  • @DATIVACOSMAS
    @DATIVACOSMAS 3 месяца назад +1

    Huko sahihi balance ni muhimu sana

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 3 месяца назад +1

    Huyu friji bovu, nafikiri anatoka Moja ya mikoa hii! Arusha,Kilimanjaro, Manyala au Singida!!

  • @ericmutalemwa8040
    @ericmutalemwa8040 3 месяца назад +2

    Umeulizwa swali la mtego nawe umejaa

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад +1

    Huyo huwa ana copy na ku peste.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 3 месяца назад +1

    Kuna mtu aliwahi kuniambia wewe ndugu yangu tasinii yako sio mpira wewe ulisomea ukulima sio mambo ya mpira hujuwi huo ndiyo ukweli. Wachezaji wa Simba wengi wao ni vijana wadogo ukiwaacha Saido na Chama chakushangaza hao wazee mnaowasema ndio wafungaji bora kuliko hao vijana unaowasema sawa wacha tuone

  • @MartinWekesa-c2x
    @MartinWekesa-c2x 3 месяца назад +2

    I lost trust with this man....his information isn't reliable

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 3 месяца назад +1

    Mchambuzi Gani huyu?huyu mshamba wa kutafuta sifa tu!!Anafikiri mpira unachezwa mdomoni! Wakati yeye hata mpira wa makaratasi hajaugusa! Msubirini mwisho wa msimu atajua mpira ukoje!