DR.MOHAMED: YANGA WANATAKA SIMBA IKOSE AMANI | CHAMA KAENDA KWA SABABU HIZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 14

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +3

    Hatuteterek mashabik wasimba tuko sawsaw aende

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 3 месяца назад +2

    Dr Mo unapenda propaganda wala Huna issue

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 3 месяца назад +2

    Endelea na hadithi zako za Abu Nuwas!

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 3 месяца назад +1

    Huna lolote wewe, uchungu umekujaaa

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 3 месяца назад +2

    Oyaaaa amesaini Yana African

  • @aloyceibiga-tx1ji
    @aloyceibiga-tx1ji 3 месяца назад

    yanga hawajamchukua chama kutoka simba, Bali yanga wamemchukua chama akiwa mchezaji huru

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад +1

    Hata wewr ulikuwa mojawapo ulikuwa humtaki mangungu, ila mangungu amekuzimisha hekaheka zako na sasa humgusi.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      Hakuna dunduka yeyote anaweza ku battle na mangungu 🤣🤣🤣 ..... Narudia Tena hakuna mpu.... Yeyote pale udundukani anaeweza ku battle na chief mangungu 🤣🤣🤣🤣

  • @feisalmohamed2848
    @feisalmohamed2848 3 месяца назад +1

    Za Cuba zimekudanganya ,Tabu lele laa🖐

  • @fadhilifadhili1353
    @fadhilifadhili1353 3 месяца назад

    Simba wakubwa kwa robo robo acha ngenga ww

  • @jacobanania2741
    @jacobanania2741 3 месяца назад

    Point sana kaka vyula wanaumia

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 3 месяца назад

    Huna ujualo

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 3 месяца назад

    Hakuna kitu simba ni imara bado itabaki imara baada ya mamluki kuondolewa.

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 3 месяца назад

    Chama ana miaka 33 muda wake umeishaa hata akienda Yanga aendee Simba nikubwa kuliko Chama