HII NDIYO SIRI ILIYO WAINUA YAKOBO MUSA DAUDI NA SULEMANI SEH 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 48

  • @nurunathoo2383
    @nurunathoo2383 5 месяцев назад

    Kalini mungu uteuwa mtu kutoka wabaya kuwa uteule wake ajili ya jina lake au utukufu wake....damu ya tosha na utakaso pia heb 2.18 aminaa

  • @johnhongo649
    @johnhongo649 3 года назад +2

    Naibarikiwa na mafundisho yako ....Mungu apewe sifa...John Hongo from Nairobi Kenya

  • @nielekezehyonimependastell3869
    @nielekezehyonimependastell3869 3 года назад +6

    Kwanza Mungu akubariki sn kwa utumishi wako kwake, ila unanifaa sn mafundisho yako nitiba kwangu,lkn pia sipendagi kufarijiwa zaidi napenda ukweli mchungu japo unauma ila nidawa.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 3 года назад +2

    Wonderful,God bless you Pastor

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +1

    AMEN🙏AMEN🙏;..mchungaji me hubarikiwa sana na mahubiri yako.and vile unaongoza huo wimbo kuanzia mwanzo👍👍👏👏👏👏💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞super🙏.be bless always🙏na asante kwa kutuombea pia nasi tunao kufwatilia kwenye mitandao kutoka nchi mbali mbali.🙏

  • @kinggalaxy18
    @kinggalaxy18 3 месяца назад

    ❤ubarikiw

  • @mwambazmazoyah4628
    @mwambazmazoyah4628 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor

  • @davidimmael1300
    @davidimmael1300 3 года назад

    Amina Pr. Mungu anatupenda sana ,

  • @mandwashija4992
    @mandwashija4992 3 года назад

    Amina pastor, ubarikiwe kwa somo zuri.🤝🤝

  • @elizabethjuma298
    @elizabethjuma298 3 года назад

    Ameen nimebarikiwa kwa somo nzuri

  • @namsifumallya2816
    @namsifumallya2816 3 года назад +1

    Ujumbe Mzito wa kueleweka, hakika unabariki mno, Mungu na aendelee kukuinua PR.

  • @m-ruagaboy4110
    @m-ruagaboy4110 Год назад

    Hakika mungu akubari sana Kaka🙏🙏

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 года назад

    Nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏

  • @DanielDaniel-wb7lt
    @DanielDaniel-wb7lt 2 года назад

    Àmina nabarikiwa

  • @travissplatnumz
    @travissplatnumz 3 года назад

    Barikiwa

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 года назад +1

    Amen

  • @doriskyaruzi7509
    @doriskyaruzi7509 3 года назад

    Pastor sema tupone

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 года назад

    Ameen

  • @ntiliyothomas5146
    @ntiliyothomas5146 3 года назад

    Balikiwa

  • @lucyjacob1293
    @lucyjacob1293 Год назад

    Mchungaji mbona sielewi kudanilodi Tena basi sisi ambao vocha tu

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 3 года назад

    Amen!

  • @anoldkevin6319
    @anoldkevin6319 3 года назад +2

    Ni mgeni lakini nahisi uwepo wa Roho mtakatifu. Hili kanisa iko Tanzania???

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад

      Ubarikiwe. Lipo nchi nzima

    • @anoldkevin6319
      @anoldkevin6319 3 года назад

      Ndio najua, hapa Kenya mko wapi?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад

      Niambie uko sehemu gani nikulekeze kanisa la karibu na wewe

    • @anoldkevin6319
      @anoldkevin6319 3 года назад

      @@MahubiriPrMmbaga ni kama hunielewiiii!!!

    • @simonogaro6990
      @simonogaro6990 3 года назад

      Tafuta kanisa lolote la wa adventista wa sabato

  • @zachariahonga
    @zachariahonga 3 года назад

    Nimeitafuta hiyo chapter ya 'heredity and environment' ila sijaiona

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 3 года назад

    Pr,kabla ya Mungu kuwaumba wanadam hakujua kuwa wangekuwa hatari?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад

      Alijua,ndio sababu Ukombozi uliandaliwa kabla dunia haijaumbwa. Ufunuo wa Yohana 13:8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

    • @antipascann2797
      @antipascann2797 3 года назад

      @@MahubiriPrMmbaga kwahiyo tuseme kama jina langu halikuandikwa tangu kuumbwa kwa misingi ya dunia na nikaamini kupitia yesu naweza kuokolewa bado imani yangu itakuwa ya buree??

    • @barakabenjamin4468
      @barakabenjamin4468 3 года назад

      @@antipascann2797 @Antipas Clement kama jina lako halikuandikwa toka kuumbwa kwa ulimwengu, usingekuepo mpaka sasa,
      Ila ishu ya kuokolewa , haijalishi ni dhehebu gani ila kanuni ni moja tu, Yohana 3:16 ( 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
      17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
      18 Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.)
      Ndio maana kuna mwizi pale msalabani aliokolewa kwa kuamini tu (luka 23:39_43)

    • @antipascann2797
      @antipascann2797 3 года назад

      @@barakabenjamin4468 je wale ambao bado wanaishi na hawamwamini yesu wataokolewa vipi?

    • @barakabenjamin4468
      @barakabenjamin4468 3 года назад

      @@antipascann2797 @Antipas Clement yasio wezekana kwa wanadamu, kwa Mungu yanawezekana, ikiwemo na hilo, cha msingi we shika kile unacho amini, maana hata Yesu alisema kua ana mengi ya kusema ila mda bado (naamin hata hilo ni moja wapo)

  • @yonakulwajoseph70
    @yonakulwajoseph70 3 года назад

    Amen

  • @sporakiondo5807
    @sporakiondo5807 3 года назад

    Ameen

  • @ritayalala6994
    @ritayalala6994 3 года назад

    Amen