JINSI YA KUANDAA MADHABAHU YA MAOMBI || DAY 4|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 11/01/2024
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
Unaweza Tuma Sadaka yako MPESA number +255 753 333 008
#jrcchurch #pastorgeorgemukabwa #tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Asante sana kwa huu mfungo inanipeleka mahali barikiwa sana mtumishi uinuliwe sana Tena zaidi na Mungu azidi kukuifadhi pamoja n familia Yako 🙏🙏🙏
Ameen and Ameen Our God is powerful
Nimbeee Yesu nifukulie jia zangu mwaka huu Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu unaweza yote mwokonzi Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu nisaindie Yesu Kristo
Kwa tamu Yesu ninaharibu Kila inayotumwa kinyume changu haitafauru kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah ❤❤❤❤❤❤❤
Yanajengwaje pasta madhabahu
Mtumishi Mungu akupe maisha marefu
Ameen
Amen
Ahsante mtumishi wa Mungu
Aaameeeen
Aminaaaaa aminaaaaa
Baba Asante sana niwe mkweli baba nakuelewa Sana unapolifafanua neno Hadi unanielewesha Cha kufanya haya ni mafundisho adumu makanisa ni mengi wahubili ni wengi lakini si wote wanaofundisha kama darasa ilu wafundishwao waelewe
🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 watching from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🙌🙌
Pst.umekua wa baraka isiyo na kifani maishani mwangu,mafundisho yako ya baraka sana,naomba mrekebishe sauti ina tatizo tunakosa kuskia mahali pa maana,barikiwa sana
Kweri kabisa mtumichi unaomba maombi hayaereweki barikiwa sanaa baba 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze sana mtumishi nafatilia sana mafundisho Yako na yananibariki sana
Amen Man of God 🙏 from Kenya Nairobi ni Mtumishi Dalmas mwimbaji wa nyimbo za injli
Tumenyimwa sauti hamna
Amen Pastot unanifanya nione fahari kusoma neno la Mungu.
❤❤❤❤❤
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
Asande Baba Asante baba
Alelluyah alelluyah blessed
Yesu Kristo Yesu nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Bwana Yesu Kristo niitaji kununu shamba nijinge nyumba yaku Bwana Yesu Kristo nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu nisaindie Yesu
Asante sana, nashuru Mungu Kwa ajili Yako Pastor, nimepata mafundisho ambayo sikutegemea 🙏🙏🙏
Kwaanzia leo hii, Baba nakukabidhi maisha yangu, nifungulie baraka tele kwenye biashara yangu,, Bila ww Bwana sitaweza,, leta watu sahihi kwenye maisha yangu ktk jina la Yesu.
Nimebarikiwa mno🙏🏼🙏🏼
Asante mtumishi mafundisho yako yananibaliki sana Amen
Asante Yesu christo hakuna wakuabudiwa kama wewe
Nimtumikie Bwana yesu katika maisha yote
Ubarikiwe Saana mtumishi wa mungu mafundisho Yak yamebadilisha Saana maisha yangu
Najua nimeona maombi haya kwa kuchelewa lakn ninaimani Mungu atanikumbuka pia maana nimeshiriki maombi haya.
Amina ,naamini mungu anaenda kunitendea kupitia mafundisho na maombi haya . Amen
Be blessed man of God you are blessing to my prayer life.
Be blessed man of God....this was an eye opener. am really blessed.
Amen man of God am from kenya may almighty God bless you pastor
Ubarikiwe San mtumichi wa Mungu amen 🙏
Your teachings are are blessings to many
Amen sana mtumishi wamungu nikweli kabisa mungu atusaidiye baba
Ameen be blessed more pastor i have learnt something here
Ahsante sana pastor kwa mafundisho yako mazuri
Ameen and Ameen Our God is powerful ❤❤
Pastor sina chakusema ila umebadirisha maisha yangu kwa mafundisho yako mungu akubariki🙏🙏
Mchungaji Mchungaji umenibariki sana 🎉
Amen may the will of God be done
Barikiwa sana pastor 🙏 ❤
Yaani mafunzo yako yamenibadilisha sana
Barikiwa sanaa 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Robert Mkabwa
Sauti dah
Barikiwa mtumishi wa mungu
Amen pastor from zambia
Amen be blessed pastor 🙏🙏🙏
Alafu fundi mitambo acheni kutukosesha vipande. Almost 3mins or more ilikuwa muted. Barikiweni. Thank you pastor
🙏🙏🙏nabarikiwa Sana na mafundisho past
God bless you man of God
Sautiiii Yesu
Nabarikiwa sana na mafundisho yako pasta
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Sauti inapotea hatukupati vizuri
Amen amen 🙏
Asante kwa mafundisho
Amen pastor kipande kirudiwe ili tusikie
Sauti ni tatizo, rekebisheni, ina sikika kwa shida
Umekuwabaraka kwangu kupitiyanenohili
Huyu mwl ambaye yuko gifted
Good job
Kipande hiki kirudiwe kwani ni baraka sana ila sauti imekatika
Sauti tafadhali.
Sauti jaman
Kuna kipande kirefu hakikusikika sauti ila kwa yaliyosikika ni mafundisho mazuri
Watu wamemtambo kuwe makini wengine tunasikiliza kupitia mtandaoni
Neno tamu lakini mitambo haipeperushi sawa. Kwa ufupi hatuskii from point no. 3
Najiungamisha leo Maombi yangu yapate kibali mbele ya MUNGU
Najiunganisha ktk maombi haya
❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤
Tengeneza sauti technician
Kuna kipindi umeme ulikata, jana na Junapili ili tumelishughulikia.
Polite request,pls sound quality to be considered
Mbna vitabu hatupati?
Sauti wapendwa cha 4 hakisikiki
Sauti imekata 😢
Sauti please inapotea
Ubarikiwe Pastor
Lakini naomba mfungue tuweze download hii video
After masaa 24 ya ujumbe unaweza download.
Sauti imekata hatusikii
Right person to marry me
Ameen
Amen Amen
Maombi inanifugua
Aminaaa 🙏
Nabarikiwa sana na mafundisho yako na Imani nitafunguliwa
Ameen and Ameen Our God is powerful
Amen may the will of God be done
Aminah
Ameen
Ameen and Ameen Our God is powerful
Amen
Ameen
Ameen
Amen
Amen
Amina 🇰🇪🇰🇪