Sheikh KISHKI Amkumbusha MAGUFULI, Alichomfanyia Akiwa Waziri!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Sheikh KISHKI Amkumbusha MAGUFULI, Alichomfanyia Akiwa Waziri!
    MASHINDANO makubwa ya Qur-aan Tukufu yanafanyika Leo Jumapili ,Mei 19, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo washiriki kutoka nchi 20 barani Afrika wanachuana kuwania taji la mshindi wa kuhifadhi Quraan...
    Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma chini ya Sheikh Nurdeen Kishk....
    Vijana kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mashindano hayo ni Shamsuddin Hussein Ali (20), Mohammad Faiz Lardhi (19) na binti pekee Sumayya Juma Abdalah (12) ambaye anatokea Mkoa wa Pwani.
    Mgeni rasmi katika mashindano haya ni Rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli....
    #MASHINDANOYAQURAAN
    Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
    www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 299

  • @binsultan5495
    @binsultan5495 5 лет назад +3

    Qul yaa ayyuha lkaafiruun. Laa aabudu maataabuduni. Mtume alijua yatatokea. Mana sijamsikia shehe yoyote leo akitaja neno ALLAH. Mbeye ya mfalme kasema yake kasahau mashehe wa uamsho.

  • @saidsahd1971
    @saidsahd1971 5 лет назад +7

    Mheshimiwa Rais makufuli unapendwa sana na watanzania wengi sana hebu slimu Uwe. Muislam ili uwe juuu mpaka mbiguni upate ufalme wa bwana hicho ndio kilichobakia nna sasa wakatti umefiika wa kuwatooa mashehe wetu gerrezani. Jisafishie njia. Kwa unao waongoza na Kwa mwenyezimungu . Pia inshaalla mungu. Akuongoze

    • @smarty1064
      @smarty1064 5 лет назад

      Said Sahd mashekh hawatoki leo maana kesi zao zimewekwa kisiasa na kesi wanazifanyia kusudi zibak chini ya mahakama ili rais asiweze kuingilia, wangetoa hukumu rais angetoa msamaha na kuwatoa - siasa chafu zilitumika kuwatia hatiani

  • @johnbanzi884
    @johnbanzi884 5 лет назад +32

    Hongera waislam,hongera waheshimiwa marais wetu watanzania ni wamoja tudumishe amani,upendo na mshikamano

  • @imasimas4506
    @imasimas4506 4 года назад +1

    Mashaallah Shaikh Nurdeen Kishk hekima na busara mungu amekujaalia unajua kufikisha ujumbe. mungu akubariki na Ambariki Rais John Magufuli na Amuongoze katika njia njema Ameen. from Muscat Oman

  • @rithamalyagili127
    @rithamalyagili127 3 года назад +3

    Hakika mungu ampokee magufuri katika uzima wa milele

  • @luheyissa5247
    @luheyissa5247 5 лет назад +20

    Mzee wetu magufuli mungu akuzidishie uende na moyo huohuo

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Год назад +1

    Ya Allah

  • @Nuurkhalif78
    @Nuurkhalif78 4 года назад +1

    Masha Allah baraka Allah xayaka Allah jazaka Allah kheyran

  • @mohamedathuman2216
    @mohamedathuman2216 5 лет назад +2

    Allah asema mbingu na arzi zinakaribia kupasuka kwa kuambiwa mungu anamtoto uyo raisi imaniyake inamuelekeza hivojamani mashee wadunia ifkisheni quraani kama alivoifkisha bwana mtume sws hiinidni siosiasa kfupi mnakera

    • @mohamedathuman2216
      @mohamedathuman2216 5 лет назад

      Mashehe wote wameikumbatia dunia jamani kama Allah amgombesha mtume wake juuyakutomskilza kipofu kwaajili anakikao na matajiri wa maka sura tu abasa seuze wewekishki uyohana nyiemnampa pepo labda hapaduniani lakini ya Allah haingii kwaimani aliokuanayosasa labda aslimu awemuisilamu uondoukweli mkichukia ndoivo ndohaki inavotaka

  • @mirajihazard2117
    @mirajihazard2117 5 лет назад +1

    kwa kweli nimeikubali sana hutba ya raisi na maneno ya sheikh kishki mungu awabariki sana watanzania na waislamu wote kwa ujumla amin

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +42

    1998 Kishki alikua only 18 years . Lakini alikua anajua namna yaku tafutia haki Waislam na kusaidia yatima. Mashekhe mengine yame kaa kugombania misikiti na sadaka na ku eneza ushirikina na chuki na kutumia watoto wa watu kua wana mziki kwenye ma kaswida ilhali wao waki chukua pesa za CD

    • @smarty1064
      @smarty1064 5 лет назад +2

      Hibo Muslima mioyo ya binadamu imetofautiana - wapo wanaona huruma kwa binadamu wenzao bila kujali dini zao na sisi jamii tunategemea kusaidiwa na watu wa dini (iwe wakristo au waislamu) lakini ni wachache wenye moyo huo, Mwenyez Mungu amfanyie wepesi aendelee na moyo huo pengine na viongozi wengine wa dini wataiga

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад

      Allahuma Aameen

  • @Nuurkhalif78
    @Nuurkhalif78 4 года назад +1

    Mungu amuongoze dini ya ki islamu mzee makufuli rais waa Tanzanian

  • @DerickSamweli-xv1lq
    @DerickSamweli-xv1lq 11 месяцев назад

    Mungu amuweke mahala peponi

  • @myeukomaro329
    @myeukomaro329 3 года назад +3

    May the good Lord rest the soul of Magufuli in eternal peace.

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 3 года назад +3

    Daaa nalia sana kuona magufuli hayupo duniani

  • @arafatsalehe6607
    @arafatsalehe6607 5 лет назад +2

    mungu akulinde Shk wetu na akuhifadhi kila Mwenye zamila mbaya imkute mwenyewe Allah mlinde sky wetu kishki

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 5 лет назад

      Mwambie huyo Sheikh wako kuna Waislam wenzake miaka 8 sasa wanateseka na hao Rafiki zake. Angalau angalizungumzia na hilo au ndoo Ni Uwamsho anaogopa kuhojiwa na kuwakera Wakuu.

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 4 года назад +3

    MashaAllah namuombea rais maghufuli awe muislamu

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 года назад

      Maashaallah

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 3 года назад

      Inaniliza sana kwanini hakufa akiwa kaslim ila Allah anajua zaid

  • @musamuntanz7187
    @musamuntanz7187 Год назад +2

    Mashaallah 😭😭

  • @sahyall3646
    @sahyall3646 5 лет назад +5

    Mashaallah mungu amlinde atuongoze zaid waslam tufkie mbali zaid

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +3

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @abdullahifarahofficial5716
    @abdullahifarahofficial5716 4 года назад +1

    Mungu amuhifadhi sheikh kishki na rais wake ameen....nawapenda kwa ajili ya ALLAH

  • @bekososo9778
    @bekososo9778 4 года назад +2

    Ma’sha’Allah

  • @douglasvernon9492
    @douglasvernon9492 2 года назад +1

    We miss you magufuli always we remember you rest in peace❤️❤️❤️❤️

  • @omariadam8839
    @omariadam8839 3 года назад +6

    Daaa JPM umetuliza watanzania 😭😭😭

  • @ramadhanimkwama8573
    @ramadhanimkwama8573 4 года назад +1

    Mungu ambarki magufur

  • @shakirutimanyika6848
    @shakirutimanyika6848 5 лет назад +1

    Mungu akujalie kwa ilo Rais wetu

  • @piusnjechele3815
    @piusnjechele3815 5 лет назад +12

    M/Mungu bariki viongozi wetu wa dini

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 4 года назад +1

    Allah analipa amali aliyotendewa yeye tu jamani msijisahau saana mashekhe

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 5 лет назад +12

    Mwenye enzi Mungu amhidi Mh.rais JPM na atuhidi na sisi wote kwa jumla ameen Yaarabil Alameen jamian

  • @jokhagadafy2144
    @jokhagadafy2144 3 года назад +2

    Allahu Aqbar😭😭😭😭😭

  • @balkisamour5815
    @balkisamour5815 3 года назад +1

    Mashallah

  • @adamjuma4665
    @adamjuma4665 5 лет назад +17

    Duh! Mashekh zetu n noma et! Serikali ya kkafir imekuwa tukufu, Subhanalah

    • @stevenclaud6648
      @stevenclaud6648 5 лет назад +2

      Adam Juma wew ndio kafiri fara wew

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 5 лет назад +1

      Wengine hao watazameni tu ni hao hao

    • @user-ql2om7qj3v
      @user-ql2om7qj3v 5 лет назад

      Yes maneno mazito

    • @othumanmaulid7406
      @othumanmaulid7406 5 лет назад

      Acha uchochezi na mawazofinyu. Kiongozi sikuzote hatakiwi kuwa mbaguzi au unataka kusema hawa mashekhe hawaijui dini.

    • @ayshahams7373
      @ayshahams7373 5 лет назад

      Wasio kubali mungu mmoja ni kafiri tu mungu ni mmoja tu na dini ya kweli uislamu

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 4 года назад +1

    mungu akupe afya njema baba yetu

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 4 года назад +1

    YESU nimfalime watanzania

  • @salimali7930
    @salimali7930 4 года назад +1

    Kenya yetu lnshaallah,Allah Bareek

    • @sherifaali7268
      @sherifaali7268 3 года назад

      Wewe hapa siyo kenya ni Tanzania toka zako hapa

  • @sihamjuma6734
    @sihamjuma6734 4 года назад +1

    Allah awape mwisho mwema AMMIN

  • @mwazaniiddisaidi8219
    @mwazaniiddisaidi8219 5 лет назад +3

    Mungu akulendi makufuli

  • @jumaayubu
    @jumaayubu 3 года назад +1

    Jana Kalala katika nyumba ya umati. Ee mwenyezi Mungu mtukufu kampunguzie adhabu ya kaburi na umlipe haki stahiki

  • @nyokasr3103
    @nyokasr3103 4 года назад +1

    Mwenyi mungu awabariki washiriki wote.

  • @alhadhaji5086
    @alhadhaji5086 5 лет назад +3

    Sheikh Unakosea Rejea aya zinazopatilana ktk surat Touba uone Muislaam anakuwa juu ama Chini wacha Sifa za kujipendekeza. Kishki Unajishushia hadhi. Na ww jiandae kwenda kuungana nao wakikuita mm napata Mashaka sana na ww Sheikh kishki

    • @ramanhoibrahim3383
      @ramanhoibrahim3383 5 лет назад

      Mwacheni aongee..

    • @azizikeya8314
      @azizikeya8314 5 лет назад

      Unatakiwa kuisoma dini si kukosoa tu mtume alimsifu mfalme anajashi na Qur'an ilisomwa jafar tena swahaba alikuwa muislam yule

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 5 лет назад +1

      Jee Alishirikiana nae ktk ibada ww hujielewi ngoja simbali Mutaenda kanisani kushiriki kama wao wanavyoshiri na Masheikh wa aina hii ya kujipendekeza kwa Makafir ndio Chanzo cha kuuharibu Uislaam.Ujue uislaam hauhitaji Ushirika na dini nyengine.Ndio maana Allah akashusha Sura mzima kumkataza Mtume wetu Asijeakajaribu kushirikiana na Makafir ktk Kuabudu na Ktk surat Touba ndio akamaliza haswa.Ww kama ni marafiki zako endelea nao tu Mtume amesema mtu Atafufuluwa na yule ampebdae Allah atuepushe kuwapenda Makafir.Emu mfuatilie Sheikh Ponda utafahamu ubaya wa hao Usione wanacheka na kukuonyesha uso bashasha Yaliomo moyoni mwao ni Mabaya zaidi kuliko wayadhihirishayo Allah anasema hivyo.

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 5 лет назад

      @@alhadhaji5086 wewe ndiyo hujielewi kabsaaa yani hata dini huijui inavyoonesha. ivi kumuita kafiri msikitini aje apate mawaidha na kumualika uwanjani ni ipi ina hatari zaidi?? sasa kwa taarifa yako mtume alikuwa akiwaalika msikitini kabsa na walikuwa wanajaa kwa ajili yake kwenda kupata neno la mungu. sasa hapo ni wapi wamechanganya ibada??? bakwata wanafahamika kuwa wana mushkira wao kokote wanaingia na

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 5 лет назад

      @@alhadhaji5086 swali nakuuliza je kishki alishawahi kuingia 5kanisani kufanya ibada??? ikiwa hapana mbona unamlaani?? Tatu Embu Jifunze ilmu ya hikma ndiyo utajua kama kishki anapatia au anakosea. kifupi ngoja nikufundishe, Magufuli ni Raisi na vitabu vya dini vinatufundisha kuwatii viongozi wetu. haijalishi awe ni muislamu au mkristo maadam ni kiongozi wako basi huna budi kumtii. hiyo Ndiyo Nidhamu. kumsifu mtawala kwa nia ya kuepukana na madhara hiyo inaruhusiwa maadam usivuke mipaka kwa kumuita mungu au mtume au kumsifu kwa ajili ya kudai haki pia inajuzu. kwahiyo kwamimi sioni kishki kama amekosea, asingefanya hivyo huenda hayo aliyoyataka asingeyapata. kwahiyo jaribu kuwa na adabu.

  • @mariammdoe8045
    @mariammdoe8045 5 лет назад +2

    Maashaallah

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад +1

    Shukurani sana kishiki mungu akulinde sana

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 4 года назад +1

    woe until i got goose bump

  • @mariamkasekwa6601
    @mariamkasekwa6601 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 5 лет назад +20

    Nachukia sana nikiona masheikh wako magerezani wanateseka,kisha mnasema ALLAH amemleta si umwambie kuna waislam wanateseka huko au hayawahusu ya waliopo magerezani eti atakuwa juu mbinguni,ALLAH anawaona

    • @chidiberbatov3613
      @chidiberbatov3613 5 лет назад +3

      Baba hapa umenena neno,,mh!!!!

    • @ramanhoibrahim3383
      @ramanhoibrahim3383 5 лет назад +1

      Mie napingana na wewe waache wakae tu..

    • @salumkhamis7818
      @salumkhamis7818 5 лет назад +2

      Ramanho Ibrahim namuomba ALLAH awahifadhi masheikh wanaoteseka magerezani, ila usiombe yakukute na wewe

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 лет назад +2

      @@ramanhoibrahim3383 kwa kuwa ww uko uraiani unakula ugali unalala na kujamba ukiwa huru.

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 5 лет назад +1

      Huyo niadui wa Uislam musimshangae akisema wakae hukohuko Masheikh

  • @rahmashabani6483
    @rahmashabani6483 5 лет назад +31

    Allah Akbar.namuombea rais wetu asilimu wallah

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 3 года назад +1

    Wallah nakupinga hapo kishki eti tunakupigia dua uwe juu juu kabisa mbinguni da yaani hajaingia kwenye uislamu unambashiria pepo awe juu kabisa na wewe ni shehe kioo cha jamii

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 лет назад +2

    Subhanallah

  • @Ali2023T
    @Ali2023T 5 лет назад +1

    Allahu Akbar

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 лет назад +2

    Masha allah

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 5 лет назад +5

    Allah mzidishie nguvu rais wetu,,na waongozaji wote wa al hikma foundation

  • @kercynshimirimana3022
    @kercynshimirimana3022 4 года назад +1

    Manshaallh

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 5 лет назад +2

    Allah ataleta kher ktk kila jambo jema kwetu..Amin amin amin

  • @shabanimohamedijafar8142
    @shabanimohamedijafar8142 5 лет назад +6

    Eti mwenyezi mungu amekuchagua huyu shekhe wetu sijamuelewa hapa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 5 лет назад +1

      Shaban mohamed Jafar sasa ulifiri kachaguliwa na nani ?

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 лет назад

      Hamna shekh hapo. Mashekh waliobaki ni kina Issa Ponda tu

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 5 лет назад +1

      Naam Ponda Ndio mtetezi pekeake hao wengine wamenunuliwa kimya chao ngojeni tu simbali Mutaambiwa inafaa kushirikiana na Makafir ktk ibada kwa Masheikh wa aina hii ya kuwasifu na kuwapandisha juu makafir Allah anSema WAKUUDU LAKU KULA MARSADA

    • @abuunusayba525
      @abuunusayba525 5 лет назад

      Alafu anasema anachukia rushwa toka alivyo umbwa sijui alikuwepo

    • @ebrahimshamos4696
      @ebrahimshamos4696 4 года назад

      Sasa kachakuliwa na shetani au vipi si wewe ungechaguliwa bacy

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 4 года назад +1

    Ikumbukwe kuwa kuna hadithi inayosema mwana wa chuoni aliekwenda kwa mfalme ambae sio muislamu na akamnynyekea amepoteza nusu ya elimu yake muwe makini sana mashekhe..

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 4 года назад +1

    Sheikh kishki usijisahau saana..

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 5 лет назад +6

    Mmiliki wa radhi ya Tanzania mungu c magufuli huyu shekhe hajielewi

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l 5 лет назад +2

      Nenda basi nchi yoyote kama utapewa ardhi bila kupitia serikali za nchi acha ujinga

    • @mustafalada4976
      @mustafalada4976 5 лет назад

      Njava mbaya

    • @calabash4221
      @calabash4221 5 лет назад

      Kwa sheria ya Tanzania Rais ndio mmiliki kwa niaba ya wananchi..kasome sheria ya ardhi

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l 5 лет назад

      @@calabash4221 kuna watu wanajifanya wanajuwa sana sio tz tu aende nchi yoyote duniani aone kama anaweza kujenga tu au kumiliki ardhi bila kibali cha serikali husika hapa Oman ukiwa sio mwananchi wa hapa yaani hauna passport ya Oman huwezi kumiliki eneo wala kununua hata nyumba hata uwe una pesa vipi

  • @naasorzuber442
    @naasorzuber442 5 лет назад +2

    innalillahiiii,,,,,,,,,,,,,,,

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 5 лет назад +11

    Allahu Akbar Insha Allah atamfunua macho ajiunge kwenye dini ya haki

  • @ibruzlee9188
    @ibruzlee9188 3 года назад +2

    Hakika Atapatikana kama yeye tena😥🇰🇪♥️

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 года назад +1

    😥😥mungu akusameh makosa yako JPM😥😥

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Год назад +1

    Mwenye akili hataweka udini kwa huyu baba hakika mungu akulinde magufuri

  • @ShakiraHamisi-qp6ll
    @ShakiraHamisi-qp6ll 5 месяцев назад +1

  • @bosheabdiproductionmediace3653
    @bosheabdiproductionmediace3653 5 лет назад +2

    I rly love makufuli i salute you sir

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 4 года назад +1

    Abdallah bin ubaida

  • @mwajayshekallaghe568
    @mwajayshekallaghe568 5 лет назад +3

    Takbiiiir

  • @farhiyachina6308
    @farhiyachina6308 5 лет назад +1

    Masha Allah shaikh nuradiin kishki

  • @shd12m55
    @shd12m55 5 лет назад +5

    Inna lillah wainna ilaih raajiun.....

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +2

    Wallahi

  • @hamismanili3800
    @hamismanili3800 5 лет назад +15

    ah anakumbusha anataka sifa taja mashekh wanodhalilishwa magerezan fursa ishatokea mnashindwa kusema viongoz gan nyny mnosahau ndugu zenu wa kiislam unakumbuka scholl 2007

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 5 лет назад

      Hilo neno ndugu wallah mtihan

    • @ausihaji2398
      @ausihaji2398 5 лет назад +1

      Mwaka 8 wa nanee sasa wapenzi wetu wapo MAGEREZANI .Jamaa amebakia kumfagilia mtawalatu

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 5 лет назад

      @@ausihaji2398 tena sijawahi kusikia hilo likiongelewa naona leo wamekumbusha eneo la kujenga tu badala hata huyo muft angewakilisha hata barua mhhhj ila bora tukae kimnya jamana mana dunia ina mambo mengi

    • @IBRAHIMELSUBHY
      @IBRAHIMELSUBHY 5 лет назад

      Tusiwe wavivu wa kufatilia mambo tukabaki kutoa lawama tu sheikh kishk alishaliongelea jambo hilo hata miezi mitatu haijafika nyuma na alimtumia RAIS hayo malalamiko kuhusu masheikh

    • @raymondabunuas58
      @raymondabunuas58 5 лет назад +1

      muwapiganie mashehe wanaofanywa mabibi katika vituo vya pls nyinyi ndio Kwanza munaongelea shule

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 3 года назад +1

    😭😭😭😭😭

  • @hamisimtwana7778
    @hamisimtwana7778 4 года назад

    mashaallah

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 года назад +1

    Safi sana rais

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud1256 5 лет назад +1

    excelent Point

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад +1

    Mashaallah huyo yabidi asilim kwakweli

  • @aishahamismabugmashaalluh3255
    @aishahamismabugmashaalluh3255 4 года назад +1

    Jamani tunaomba mumfikishie rais Wetu kuwa mashehe Wetu wasameheeni Jamn miaka saba so kidog 😭😭😭

  • @luheyissa5247
    @luheyissa5247 5 лет назад +2

    Nakupenda Sanaa rais wangu

  • @omaratik2778
    @omaratik2778 5 лет назад +7

    Hongera wa Tanzania huu ni umoja

  • @mariamabdull4134
    @mariamabdull4134 5 лет назад +1

    Aisee tumuombee duwa kiongozi kiongozi wetu

  • @abdulukwachu4447
    @abdulukwachu4447 5 лет назад +1

    Sheikh Kishk wakati natazama Mashindano live kupitia zbc2 nilikuwa na Raia wa Gana amesema katika ile bendera ya Gana aliepanda nayo muwakilishi wa Gana imekosewa Rangi ,inshaallah mwakani hili swala lifatiliwe vizur

  • @robertmanase6423
    @robertmanase6423 4 года назад +1

    Hii ndio Tanzania, daima umoja

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi 5 лет назад

    Takbr

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +1

    😭😭😭😭💔💔

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 лет назад +12

    Muombeni pia atoe magerezani masheikh wanabambikiwa kesi ooh

  • @sophiaally7433
    @sophiaally7433 5 лет назад +1

    Taqbiiiirr

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 5 лет назад +1

    Hiki ndicho kipimo cha Taqwa kwa mwanadamu,awe shekhe awe maamuma! Kiyama kutakua na mambo makubwa!

  • @muhamadusi4969
    @muhamadusi4969 5 лет назад +7

    Sheikh Kishki hajielewi ww kumuita Magu maana yeye ndiye anawapiga vita masheikh na wingine amewatia ndani mpaka leo hii. jitambue hadhi yako ww.

    • @Damarry-FX
      @Damarry-FX 5 лет назад

      Acha uchokozi ndugu.

    • @IBRAHIMELSUBHY
      @IBRAHIMELSUBHY 5 лет назад

      Usiongee usiyoyajua ndugu yangu moto wa Allah ni mkubwa una hakika yeye magufuli ndo aliyewatia magerezani hao masheikh

    • @frankassey5971
      @frankassey5971 5 лет назад

      Mashekhe walifungwa uongoz wa kikwete na shein

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 5 лет назад

      @@IBRAHIMELSUBHY
      Lakin yeye ndo rais kwann asiwatoe!????

  • @mohamedshaaban3297
    @mohamedshaaban3297 5 лет назад +1

    Tatizo la nchi ya Tanzania hakuna uhuru kuhusu uislam,,,, ukitaka kwenda jela ungoleya uislamu husikilizwi wla kutekelezwa na Ndiyo maana mashekhe na waislamu tunakuwa wanafiki,,,, Qur-an inasema musiwachukiye makafiri ila musiwaamini mana watakufateni ili na wao muwafate ndiyo mana mungu alimwambiya mtume Muhammad awambiye makafiri nyinyi mna dini yenu na mi nna dini yangu.

  • @zuberramadhan3267
    @zuberramadhan3267 5 лет назад +6

    hayo maneno mengine muogopeni Alla

  • @halfanmundo282
    @halfanmundo282 5 лет назад +3

    kishk anaongea kisom sana mbele ya watu ,sio mtu unapata dakika tano kuongea na rais unamwambia ilove you yaan unaleta michezo yako ya pwan. hapa

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari7351 3 года назад

    Duh

  • @fatmaabdallah5870
    @fatmaabdallah5870 3 года назад +1

    Shehe usishtuke kwa matusi yao hata mtume makafiri walimpinga japo kafiri ndio asipewe cifa zake

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 4 года назад +1

    Hatusemi kwa ubaya lkn.

  • @rehemaradhid5716
    @rehemaradhid5716 5 лет назад +1

    MUNGU mpe afya njema isiyokuwa na marathi Magufuli tunakuenjoy sana mkuu

  • @ismailsharif59
    @ismailsharif59 5 лет назад +1

    Big up rais

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 5 лет назад +2

    Jamani Mwenye sifa mpeni Sifa,... JPM ni Hatari Sana, sio wa level za Tanzania....

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +9

    Magufuli jembe kitambo jaman kwa Hali hi anko yupo juu kilelen

  • @abuuhuzayl6549
    @abuuhuzayl6549 5 лет назад

    Kishki umepindaaa na umeozaaa......!
    Umeshamsahau Allah wewe kuwa ndio mtatuzi wa kila kitu imma binadam n asbaab tuuu......!
    Wallahi fanya toba kwa mameno yako ya kufru.
    Maana unakoelekea sasa n khatar kubwa....!

  • @binsultan5495
    @binsultan5495 5 лет назад +13

    Mtume katuusia tuwe makini na wanfiki kwan wamo katika ss

    • @Mohamed-wt8tw
      @Mohamed-wt8tw 5 лет назад +1

      Kweli sheikh kishki amefeli kama hajavuka mipaka, anasema "muheshimiwa rais utakuwa juu mpaka mbinguni" astaghfiru Llah

    • @gracemwanyinga5000
      @gracemwanyinga5000 4 года назад

      Kaarib

    • @almasisadick8901
      @almasisadick8901 4 года назад

      Yafikia hatua waislamu kuwafanya maadui wa Allah kuwa ndiyo vipenzi wao ni alama ya unafiki

  • @zoonaruqashi700
    @zoonaruqashi700 5 лет назад +4

    Me nilizan atamuambia kuhus madheikh wa zazibar kumbe sivo mungemuwa hap hap huy magu angeliona haya ba vibaya lkn munayssahau ya muhumu munamsifia tu hapo kishki umebugi

    • @eliphaziamon8794
      @eliphaziamon8794 5 лет назад

      Zoona Ruqashi angalia tuhuma zao ,MTU kukutw na silaha we unashabikia aachiwe kisa sheh ,tafakar kwa upana ,

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 года назад

      Kishk alixha ikumbatia dunia na akasahuuu akhera Ni mnafki anaomba ardhi lkn wenzie wapo jela ALLAH ata muhuliza siku ya kiama

    • @yassinnjige7484
      @yassinnjige7484 4 года назад

      @@eliphaziamon8794 ww hizo silahaa huliziona ama uliambiwa mbona km nikweli akuna hushahidi mahakamani Awana atia wale Ni dhulma wanazo wanyiwa ungelijua nikweli km walixha khumiwa