Sheikh KISHKI Amkumbusha MAGUFULI, Alichomfanyia Akiwa Waziri!
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Sheikh KISHKI Amkumbusha MAGUFULI, Alichomfanyia Akiwa Waziri!
MASHINDANO makubwa ya Qur-aan Tukufu yanafanyika Leo Jumapili ,Mei 19, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo washiriki kutoka nchi 20 barani Afrika wanachuana kuwania taji la mshindi wa kuhifadhi Quraan...
Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma chini ya Sheikh Nurdeen Kishk....
Vijana kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mashindano hayo ni Shamsuddin Hussein Ali (20), Mohammad Faiz Lardhi (19) na binti pekee Sumayya Juma Abdalah (12) ambaye anatokea Mkoa wa Pwani.
Mgeni rasmi katika mashindano haya ni Rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli....
#MASHINDANOYAQURAAN
Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Qul yaa ayyuha lkaafiruun. Laa aabudu maataabuduni. Mtume alijua yatatokea. Mana sijamsikia shehe yoyote leo akitaja neno ALLAH. Mbeye ya mfalme kasema yake kasahau mashehe wa uamsho.
Mheshimiwa Rais makufuli unapendwa sana na watanzania wengi sana hebu slimu Uwe. Muislam ili uwe juuu mpaka mbiguni upate ufalme wa bwana hicho ndio kilichobakia nna sasa wakatti umefiika wa kuwatooa mashehe wetu gerrezani. Jisafishie njia. Kwa unao waongoza na Kwa mwenyezimungu . Pia inshaalla mungu. Akuongoze
Said Sahd mashekh hawatoki leo maana kesi zao zimewekwa kisiasa na kesi wanazifanyia kusudi zibak chini ya mahakama ili rais asiweze kuingilia, wangetoa hukumu rais angetoa msamaha na kuwatoa - siasa chafu zilitumika kuwatia hatiani
Hongera waislam,hongera waheshimiwa marais wetu watanzania ni wamoja tudumishe amani,upendo na mshikamano
Kweli safi
John Banzi o
Mashaallah Shaikh Nurdeen Kishk hekima na busara mungu amekujaalia unajua kufikisha ujumbe. mungu akubariki na Ambariki Rais John Magufuli na Amuongoze katika njia njema Ameen. from Muscat Oman
Hakika mungu ampokee magufuri katika uzima wa milele
Mzee wetu magufuli mungu akuzidishie uende na moyo huohuo
Ya Allah
Masha Allah baraka Allah xayaka Allah jazaka Allah kheyran
Allah asema mbingu na arzi zinakaribia kupasuka kwa kuambiwa mungu anamtoto uyo raisi imaniyake inamuelekeza hivojamani mashee wadunia ifkisheni quraani kama alivoifkisha bwana mtume sws hiinidni siosiasa kfupi mnakera
Mashehe wote wameikumbatia dunia jamani kama Allah amgombesha mtume wake juuyakutomskilza kipofu kwaajili anakikao na matajiri wa maka sura tu abasa seuze wewekishki uyohana nyiemnampa pepo labda hapaduniani lakini ya Allah haingii kwaimani aliokuanayosasa labda aslimu awemuisilamu uondoukweli mkichukia ndoivo ndohaki inavotaka
kwa kweli nimeikubali sana hutba ya raisi na maneno ya sheikh kishki mungu awabariki sana watanzania na waislamu wote kwa ujumla amin
1998 Kishki alikua only 18 years . Lakini alikua anajua namna yaku tafutia haki Waislam na kusaidia yatima. Mashekhe mengine yame kaa kugombania misikiti na sadaka na ku eneza ushirikina na chuki na kutumia watoto wa watu kua wana mziki kwenye ma kaswida ilhali wao waki chukua pesa za CD
Hibo Muslima mioyo ya binadamu imetofautiana - wapo wanaona huruma kwa binadamu wenzao bila kujali dini zao na sisi jamii tunategemea kusaidiwa na watu wa dini (iwe wakristo au waislamu) lakini ni wachache wenye moyo huo, Mwenyez Mungu amfanyie wepesi aendelee na moyo huo pengine na viongozi wengine wa dini wataiga
Allahuma Aameen
Mungu amuongoze dini ya ki islamu mzee makufuli rais waa Tanzanian
Mungu amuweke mahala peponi
May the good Lord rest the soul of Magufuli in eternal peace.
Daaa nalia sana kuona magufuli hayupo duniani
Sipeke yako ila Allah anajua zaid
mungu akulinde Shk wetu na akuhifadhi kila Mwenye zamila mbaya imkute mwenyewe Allah mlinde sky wetu kishki
Mwambie huyo Sheikh wako kuna Waislam wenzake miaka 8 sasa wanateseka na hao Rafiki zake. Angalau angalizungumzia na hilo au ndoo Ni Uwamsho anaogopa kuhojiwa na kuwakera Wakuu.
MashaAllah namuombea rais maghufuli awe muislamu
Maashaallah
Inaniliza sana kwanini hakufa akiwa kaslim ila Allah anajua zaid
Mashaallah 😭😭
Mashaallah mungu amlinde atuongoze zaid waslam tufkie mbali zaid
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
Mungu amuhifadhi sheikh kishki na rais wake ameen....nawapenda kwa ajili ya ALLAH
Ma’sha’Allah
We miss you magufuli always we remember you rest in peace❤️❤️❤️❤️
Daaa JPM umetuliza watanzania 😭😭😭
Mungu ambarki magufur
Mungu akujalie kwa ilo Rais wetu
M/Mungu bariki viongozi wetu wa dini
Allah analipa amali aliyotendewa yeye tu jamani msijisahau saana mashekhe
Mwenye enzi Mungu amhidi Mh.rais JPM na atuhidi na sisi wote kwa jumla ameen Yaarabil Alameen jamian
Allahu Aqbar😭😭😭😭😭
Mashallah
Duh! Mashekh zetu n noma et! Serikali ya kkafir imekuwa tukufu, Subhanalah
Adam Juma wew ndio kafiri fara wew
Wengine hao watazameni tu ni hao hao
Yes maneno mazito
Acha uchochezi na mawazofinyu. Kiongozi sikuzote hatakiwi kuwa mbaguzi au unataka kusema hawa mashekhe hawaijui dini.
Wasio kubali mungu mmoja ni kafiri tu mungu ni mmoja tu na dini ya kweli uislamu
mungu akupe afya njema baba yetu
YESU nimfalime watanzania
Kenya yetu lnshaallah,Allah Bareek
Wewe hapa siyo kenya ni Tanzania toka zako hapa
Allah awape mwisho mwema AMMIN
Mungu akulendi makufuli
Jana Kalala katika nyumba ya umati. Ee mwenyezi Mungu mtukufu kampunguzie adhabu ya kaburi na umlipe haki stahiki
Mwenyi mungu awabariki washiriki wote.
Sheikh Unakosea Rejea aya zinazopatilana ktk surat Touba uone Muislaam anakuwa juu ama Chini wacha Sifa za kujipendekeza. Kishki Unajishushia hadhi. Na ww jiandae kwenda kuungana nao wakikuita mm napata Mashaka sana na ww Sheikh kishki
Mwacheni aongee..
Unatakiwa kuisoma dini si kukosoa tu mtume alimsifu mfalme anajashi na Qur'an ilisomwa jafar tena swahaba alikuwa muislam yule
Jee Alishirikiana nae ktk ibada ww hujielewi ngoja simbali Mutaenda kanisani kushiriki kama wao wanavyoshiri na Masheikh wa aina hii ya kujipendekeza kwa Makafir ndio Chanzo cha kuuharibu Uislaam.Ujue uislaam hauhitaji Ushirika na dini nyengine.Ndio maana Allah akashusha Sura mzima kumkataza Mtume wetu Asijeakajaribu kushirikiana na Makafir ktk Kuabudu na Ktk surat Touba ndio akamaliza haswa.Ww kama ni marafiki zako endelea nao tu Mtume amesema mtu Atafufuluwa na yule ampebdae Allah atuepushe kuwapenda Makafir.Emu mfuatilie Sheikh Ponda utafahamu ubaya wa hao Usione wanacheka na kukuonyesha uso bashasha Yaliomo moyoni mwao ni Mabaya zaidi kuliko wayadhihirishayo Allah anasema hivyo.
@@alhadhaji5086 wewe ndiyo hujielewi kabsaaa yani hata dini huijui inavyoonesha. ivi kumuita kafiri msikitini aje apate mawaidha na kumualika uwanjani ni ipi ina hatari zaidi?? sasa kwa taarifa yako mtume alikuwa akiwaalika msikitini kabsa na walikuwa wanajaa kwa ajili yake kwenda kupata neno la mungu. sasa hapo ni wapi wamechanganya ibada??? bakwata wanafahamika kuwa wana mushkira wao kokote wanaingia na
@@alhadhaji5086 swali nakuuliza je kishki alishawahi kuingia 5kanisani kufanya ibada??? ikiwa hapana mbona unamlaani?? Tatu Embu Jifunze ilmu ya hikma ndiyo utajua kama kishki anapatia au anakosea. kifupi ngoja nikufundishe, Magufuli ni Raisi na vitabu vya dini vinatufundisha kuwatii viongozi wetu. haijalishi awe ni muislamu au mkristo maadam ni kiongozi wako basi huna budi kumtii. hiyo Ndiyo Nidhamu. kumsifu mtawala kwa nia ya kuepukana na madhara hiyo inaruhusiwa maadam usivuke mipaka kwa kumuita mungu au mtume au kumsifu kwa ajili ya kudai haki pia inajuzu. kwahiyo kwamimi sioni kishki kama amekosea, asingefanya hivyo huenda hayo aliyoyataka asingeyapata. kwahiyo jaribu kuwa na adabu.
Maashaallah
Shukurani sana kishiki mungu akulinde sana
woe until i got goose bump
Mashaallah
Nachukia sana nikiona masheikh wako magerezani wanateseka,kisha mnasema ALLAH amemleta si umwambie kuna waislam wanateseka huko au hayawahusu ya waliopo magerezani eti atakuwa juu mbinguni,ALLAH anawaona
Baba hapa umenena neno,,mh!!!!
Mie napingana na wewe waache wakae tu..
Ramanho Ibrahim namuomba ALLAH awahifadhi masheikh wanaoteseka magerezani, ila usiombe yakukute na wewe
@@ramanhoibrahim3383 kwa kuwa ww uko uraiani unakula ugali unalala na kujamba ukiwa huru.
Huyo niadui wa Uislam musimshangae akisema wakae hukohuko Masheikh
Allah Akbar.namuombea rais wetu asilimu wallah
InshaAllah
Ishaallah
Just like a wish
Wallah nakupinga hapo kishki eti tunakupigia dua uwe juu juu kabisa mbinguni da yaani hajaingia kwenye uislamu unambashiria pepo awe juu kabisa na wewe ni shehe kioo cha jamii
Subhanallah
Allahu Akbar
Masha allah
Allah mzidishie nguvu rais wetu,,na waongozaji wote wa al hikma foundation
Manshaallh
Allah ataleta kher ktk kila jambo jema kwetu..Amin amin amin
Eti mwenyezi mungu amekuchagua huyu shekhe wetu sijamuelewa hapa
Shaban mohamed Jafar sasa ulifiri kachaguliwa na nani ?
Hamna shekh hapo. Mashekh waliobaki ni kina Issa Ponda tu
Naam Ponda Ndio mtetezi pekeake hao wengine wamenunuliwa kimya chao ngojeni tu simbali Mutaambiwa inafaa kushirikiana na Makafir ktk ibada kwa Masheikh wa aina hii ya kuwasifu na kuwapandisha juu makafir Allah anSema WAKUUDU LAKU KULA MARSADA
Alafu anasema anachukia rushwa toka alivyo umbwa sijui alikuwepo
Sasa kachakuliwa na shetani au vipi si wewe ungechaguliwa bacy
Ikumbukwe kuwa kuna hadithi inayosema mwana wa chuoni aliekwenda kwa mfalme ambae sio muislamu na akamnynyekea amepoteza nusu ya elimu yake muwe makini sana mashekhe..
Sheikh kishki usijisahau saana..
Mmiliki wa radhi ya Tanzania mungu c magufuli huyu shekhe hajielewi
Nenda basi nchi yoyote kama utapewa ardhi bila kupitia serikali za nchi acha ujinga
Njava mbaya
Kwa sheria ya Tanzania Rais ndio mmiliki kwa niaba ya wananchi..kasome sheria ya ardhi
@@calabash4221 kuna watu wanajifanya wanajuwa sana sio tz tu aende nchi yoyote duniani aone kama anaweza kujenga tu au kumiliki ardhi bila kibali cha serikali husika hapa Oman ukiwa sio mwananchi wa hapa yaani hauna passport ya Oman huwezi kumiliki eneo wala kununua hata nyumba hata uwe una pesa vipi
innalillahiiii,,,,,,,,,,,,,,,
Allahu Akbar Insha Allah atamfunua macho ajiunge kwenye dini ya haki
Juma Jaffary amiin
Aameen
Ameen
Juma Jaffary Aaaaaaamin Thumma Aaaamin
Hakika Atapatikana kama yeye tena😥🇰🇪♥️
😥😥mungu akusameh makosa yako JPM😥😥
Mwenye akili hataweka udini kwa huyu baba hakika mungu akulinde magufuri
❤
Mashallaaaah allaah ampokeee hukoalikooo
I rly love makufuli i salute you sir
Abdallah bin ubaida
Takbiiiir
Allah akbar
Masha Allah shaikh nuradiin kishki
Inna lillah wainna ilaih raajiun.....
Wallahi
ah anakumbusha anataka sifa taja mashekh wanodhalilishwa magerezan fursa ishatokea mnashindwa kusema viongoz gan nyny mnosahau ndugu zenu wa kiislam unakumbuka scholl 2007
Hilo neno ndugu wallah mtihan
Mwaka 8 wa nanee sasa wapenzi wetu wapo MAGEREZANI .Jamaa amebakia kumfagilia mtawalatu
@@ausihaji2398 tena sijawahi kusikia hilo likiongelewa naona leo wamekumbusha eneo la kujenga tu badala hata huyo muft angewakilisha hata barua mhhhj ila bora tukae kimnya jamana mana dunia ina mambo mengi
Tusiwe wavivu wa kufatilia mambo tukabaki kutoa lawama tu sheikh kishk alishaliongelea jambo hilo hata miezi mitatu haijafika nyuma na alimtumia RAIS hayo malalamiko kuhusu masheikh
muwapiganie mashehe wanaofanywa mabibi katika vituo vya pls nyinyi ndio Kwanza munaongelea shule
😭😭😭😭😭
mashaallah
Safi sana rais
excelent Point
Mashaallah huyo yabidi asilim kwakweli
Jamani tunaomba mumfikishie rais Wetu kuwa mashehe Wetu wasameheeni Jamn miaka saba so kidog 😭😭😭
Nakupenda Sanaa rais wangu
Hongera wa Tanzania huu ni umoja
Sana
Aisee tumuombee duwa kiongozi kiongozi wetu
Sheikh Kishk wakati natazama Mashindano live kupitia zbc2 nilikuwa na Raia wa Gana amesema katika ile bendera ya Gana aliepanda nayo muwakilishi wa Gana imekosewa Rangi ,inshaallah mwakani hili swala lifatiliwe vizur
Hii ndio Tanzania, daima umoja
Takbr
😭😭😭😭💔💔
Muombeni pia atoe magerezani masheikh wanabambikiwa kesi ooh
Taqbiiiirr
Hiki ndicho kipimo cha Taqwa kwa mwanadamu,awe shekhe awe maamuma! Kiyama kutakua na mambo makubwa!
Sheikh Kishki hajielewi ww kumuita Magu maana yeye ndiye anawapiga vita masheikh na wingine amewatia ndani mpaka leo hii. jitambue hadhi yako ww.
Acha uchokozi ndugu.
Usiongee usiyoyajua ndugu yangu moto wa Allah ni mkubwa una hakika yeye magufuli ndo aliyewatia magerezani hao masheikh
Mashekhe walifungwa uongoz wa kikwete na shein
@@IBRAHIMELSUBHY
Lakin yeye ndo rais kwann asiwatoe!????
Tatizo la nchi ya Tanzania hakuna uhuru kuhusu uislam,,,, ukitaka kwenda jela ungoleya uislamu husikilizwi wla kutekelezwa na Ndiyo maana mashekhe na waislamu tunakuwa wanafiki,,,, Qur-an inasema musiwachukiye makafiri ila musiwaamini mana watakufateni ili na wao muwafate ndiyo mana mungu alimwambiya mtume Muhammad awambiye makafiri nyinyi mna dini yenu na mi nna dini yangu.
hayo maneno mengine muogopeni Alla
Nakwambia..!!
kishk anaongea kisom sana mbele ya watu ,sio mtu unapata dakika tano kuongea na rais unamwambia ilove you yaan unaleta michezo yako ya pwan. hapa
Duh
Shehe usishtuke kwa matusi yao hata mtume makafiri walimpinga japo kafiri ndio asipewe cifa zake
Hatusemi kwa ubaya lkn.
MUNGU mpe afya njema isiyokuwa na marathi Magufuli tunakuenjoy sana mkuu
Big up rais
Jamani Mwenye sifa mpeni Sifa,... JPM ni Hatari Sana, sio wa level za Tanzania....
Magufuli jembe kitambo jaman kwa Hali hi anko yupo juu kilelen
Kishki umepindaaa na umeozaaa......!
Umeshamsahau Allah wewe kuwa ndio mtatuzi wa kila kitu imma binadam n asbaab tuuu......!
Wallahi fanya toba kwa mameno yako ya kufru.
Maana unakoelekea sasa n khatar kubwa....!
Yes
Abuu Huzayl Tv
Mtume katuusia tuwe makini na wanfiki kwan wamo katika ss
Kweli sheikh kishki amefeli kama hajavuka mipaka, anasema "muheshimiwa rais utakuwa juu mpaka mbinguni" astaghfiru Llah
Kaarib
Yafikia hatua waislamu kuwafanya maadui wa Allah kuwa ndiyo vipenzi wao ni alama ya unafiki
Me nilizan atamuambia kuhus madheikh wa zazibar kumbe sivo mungemuwa hap hap huy magu angeliona haya ba vibaya lkn munayssahau ya muhumu munamsifia tu hapo kishki umebugi
Zoona Ruqashi angalia tuhuma zao ,MTU kukutw na silaha we unashabikia aachiwe kisa sheh ,tafakar kwa upana ,
Kishk alixha ikumbatia dunia na akasahuuu akhera Ni mnafki anaomba ardhi lkn wenzie wapo jela ALLAH ata muhuliza siku ya kiama
@@eliphaziamon8794 ww hizo silahaa huliziona ama uliambiwa mbona km nikweli akuna hushahidi mahakamani Awana atia wale Ni dhulma wanazo wanyiwa ungelijua nikweli km walixha khumiwa