Uyo ndie Yesu alisema ombeni kwa jina langu nae baba angu atawabariki...alitugaia mamlaka ya kukanyaga nyonga na nge...ona uyu kaka amjui ata Yesu ila kapata ufahamu akakemea kwa jina la Yesu na vitu vimepotea.....apana jina kama la Yesu ni jina kupita majina yotee...ukitamka jina la Yesu shetani asogei lzm akimbie uyo ndie Yesu king of kings
Uyu jamaa ni muhuni😂😂😂😂😂...yan sanitaiza ndo ilikua inakusaidia eti gongo 😂😂😂😂kwaiyo gongo inaitwa sanitaiza?🙌🙌🙌...nikakemea eti kwa jina la Yesu usindwe😂😂😂😂ndo mana watu walimmis uyu jamaa
Paundi siunawaona kina diamond na?rickloss wanavyopendeza japo hayo hayatawasaidia chochote mbele ya Allah kitakachowasaidia baada ya kufa ni matendo yao muzuri
Uyo ndie Yesu alisema ombeni kwa jina langu nae baba angu atawabariki...alitugaia mamlaka ya kukanyaga nyonga na nge...ona uyu kaka amjui ata Yesu ila kapata ufahamu akakemea kwa jina la Yesu na vitu vimepotea.....apana jina kama la Yesu ni jina kupita majina yotee...ukitamka jina la Yesu shetani asogei lzm akimbie uyo ndie Yesu king of kings
Amen
Yec
Kumbe huyu boe ni #Handsome hiv kwel tulimmis #kilima_Nyege😂😂😂😂😂
sanitizer hahahah
😁😁😁
Msela kumbe anajua kukemea kimtindo kwa jina la yesu😂😂😂
Dhuuuu, hiyo noma anarudi kinyuma nyuma huyo vampire 😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂sanitizer chingili gongo mi kuniachia hoii 😂😂
Gongo inazeesha...!! Kumbe Kijana smart boy tu....!! Acha Gongo na Bangi bana....!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hugo mwanamke nomaaa mpingo irizi😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbeeee mwangaaaaaaaaaaaaaa aiseeeee tena unamuogopaa🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
😂😂😂😂😂😂Fureshii baba baba vio😂
Oooooh safiii niyeyeee safisana 👍🇹🇿👏👏
Safi sana nakubali sana jamaaa huyu Master smoker
😄😂😂😂 yani urudishe vitu na upivirudisha noma aiseee
Leo ni mcute Hatari 💃💃💃
Sanaaq
@@pilimusa7770 Umeonaee 😄
somoe nimekumiss eti
@@igurusitv6553 Nipo mm
@@somoeawadh7774 sawa bana
Leo amekua handsom boy kumbe mzur 👌👌
Aaaahhhhh Ni yeyeee
🥰💃💃
Duhh !! Nipo leo kumbe li handsome hivi .😊
🤣🤣tamaa hiy
Wow, nafurahi part 3 imekamililika
Jamani amependeza😍😍
Hhhh mze wa kai tulikuwa tumemiss part 3 tanks a lot
jamaa ana vituko kwakweli et sanitaiza ubanda😂😂😂😂😂
Huyu jamaa nampendaga sana anavyo ongea😂
🤣🤣🤣🤣
Jama ni bloooo nimemkubali sanaaaa 😂😂😂
😅😅😅🤣 story ni tamu kweli
Mkewe mauzauza kaka pole san😁
Huyu ndie alielishwa nyama ya nyani eee, eti ina kijasho flani hivi dah 😂
Yeah
Namunakaa kufanana ama mdogo wako😂😂😂😂😂😂
Wahuni atakama wanadanganya ila wanavyo ongea lazima uamini kwel😄😄😄
Dah noma
Tuliosikia mke mauza uza tujuane🤣🤣🤣🤣
Tuned 🇰🇪
Davistar umechelesha sana muendelezo wa hii story dah!!
Uyu jamaa chenga sana ila ananipa raha et uhai nataka na maisha mazur pia you're gentlemen 😄😄
Kumbe mzuri hiv, huyu si ndo alikuwa kibaka nusu nusu apigwe pira au nimefananisha
Asante davista kwa kutuletea part 3
Week elfu tanoo Dhaa nomaaa
Kapendeza mnoooo hiyo hair cut. Katokea handsome mno
Sana
Kwelii kapendeza handsome mashallah
Sanaaaaaaaaa🤣🤣
@@nurusalim846 sanaaaaa teeenaaaa
Hakuna binaadamu mbaya etiii maisha tuuu
Mtu wa chingili leo kapendeza hatar🤣🤣🤣
Mnooo
Mbaka nilimsahau🤣🤣🤣🤣
@@roseuwambe8089 😂😂😂😂 kapendeza balaa
@@pilimusa7770 Kawa HB🤣🤣
@@roseuwambe8089 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh jamaa kumbe handsome nywele zile alikua kama mtu mzima kumbe kijana tu
Uyu jamaa ni muhuni😂😂😂😂😂...yan sanitaiza ndo ilikua inakusaidia eti gongo 😂😂😂😂kwaiyo gongo inaitwa sanitaiza?🙌🙌🙌...nikakemea eti kwa jina la Yesu usindwe😂😂😂😂ndo mana watu walimmis uyu jamaa
Jaman alisema chingili ndio hongo😂😂😂😂
@@roseuwambe8089 😀😀😀😀😀😀anaita chingili na sanitaiza 😂😂😂jamaa noma
Du 😁😀sanitaiza..
Bangi bwana
Dhuuuu inabidi akuchane live sio😂🤣🤣🤣
Davistar 👏👏👏👏👏
Chezea gongoo weee😀😀😀😀
Sanitizer oyee😂,,mnotmia muache Corona hamna Tz😂
🇱🇷🇱🇷🇱🇷🤣🤣🤣🤣
Hahaha nimefurahi kumuona mchizi 😆😄
Kapendezaaaaaaa🤣🤣
🤔🤔🤔🤔
Camera man kajisahau🤣🤣😜😜
Inapendeza sana
Hahahahaaaa nilimissss kucheka
Hata na mie
Davistar ur smile kills me 😊16.29
How kills you while you are alive leave lying us
@@fadhiliswalehe9286 Wanawake wa siku hizi full kujitongozesha.😫😫😫😭😭😭
kumbe hb uyu kaka 😀😀😀
Vizuri kaka Davista umenifurahisha we acha tu. Mim mvivu wa kucomment ila kwa kuwa niliidai bora nionyeshe my aprreciation. Thanks.
😂😂😂😂Mbona sanitizer
Asante sana
Nlikuwa naisubli 👌
Hata na mie
Leo kamekuwa smt boy Haha jicho ona mdomo nyamaza😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
🇰🇪🎤🎤🎤
sanitiser njigili gongo 😁😁😁 Mke wangu mauza uza kavimba
Namkumbuka vzur tu tuko pamoja
Kawa handsome 🙈
😃😃
Kabisaaa
@@pilimusa7770 sana tu Leo kang'aa kweli
Kapendeza nywele zake
@@nurusalim846 mnooo
Amependeza sana leo
Huyu jamaa na huko kupiga gonga noma sana
Hahahaha mama vipi mbona unanyata na mji wako ????
Kwann pik pik inabebaje mxigo dereva boss ndotaratibu?AMA boss anahisi anaeza kupunguxiwaa mxigo😂😂😂
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄kwajirani usiku mkubwaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂watoka kuwangaaa AMA kudanga na vibabu huyo konk mkeo
Vipi hapa
Nafurahia sana hizi simulizi lakini sasa itakua vizuri kama mtaweka link ya sehemu zilizopita
Jamani yule mvuta bangi kaja njooniiiii
😂😂😂😂😂
Tumekuja aya tuendelee kusikiliza story
Hahahaaa tushafika mbona
Jamanii usimuite hivyoo...🙄
Kwelii tumekosea binaadamu mwenzetu pengine kishaacha mungu atamjaalia ataacha insha allah
Dooh nimecheka niite kiti sio mama
Oyoooooooo❤
Dooh! Kumbe ni Hb kiasi hiki....
Kawa mjuli 😂
Mnoooo
Sanaa
Nilikuwa namsubir Kwa hm
Daaaaaah hakuna mtu sura mbaya kweli umaskini nimbaya Sana
Paundi siunawaona kina diamond na?rickloss wanavyopendeza japo hayo hayatawasaidia chochote mbele ya Allah kitakachowasaidia baada ya kufa ni matendo yao muzuri
Kapendeza kweli
Umeona maisha tu sote wazuriii
@@nurusalim846 kabisa yani
@@pilimusa7770 sanaaaaa
Mashallah dakika 30 na mmefika namba 30
Hawa coment 😂😂😂😂kukimbilia nb
@@nurafedrick378 kabisaa
Safi muendelezo plz
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄mitihani huo kweli mana unamregesheajee nahakunaa🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️kemea ilifanyaa kazi 😪😪😪😪😪😪😪😪😪maimunaaa huyooo
P1
Tulikumisi bro na story yakooo mutamuuuuu muzeee wa mineno mingi
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maimuna kasinzia duuuuh!
Pamoja sana mtu makini
Bora aisee umetuletea huyu mwamba!
Khari angelipiga moto
Kitu cha Santizer..
Hhhhh kawa mzuri jamani
Mbona mu handsom hivi maisha jameni
kweli huyu mlevi hadi sauti imekufa kwa gongo daa!!!.
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 ati sanatizaa amenichekesha
@@nurafedrick378 ata mimi nilijuwa santaiza ya kujikinga na korona kumbe pombe ya gongo atari sana
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂🤣🤣🤣🤣gongo ishapewa Jina tayari
@@nurafedrick378 yani dunia inamambo ya kufuraisha na kusikitisha pamoja sana mdau Mwenzangu
Kumbe story inaendelea
Mzee w bangi
Leo kapendeza jamani
Yan yuko handsome
@@pilimusa7770 umeona eee kama so nyeye
@@agnesj.h9789 yani kawa mzuri kweli
@@pilimusa7770 sana tu bagi mbaya sana ila watu wajuwi
@@agnesj.h9789 😂😂😂😂😂😂😂
MUONGO BANGI BANGI TU
Leo kapendeza hatali
Leo kapendeza mwambie aache gongo na bangi
Hodiii
Karibuuu
@@nurusalim846 ahsantee mamii
Karibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@@ayshamahariq6665 ahsanteee mamii
Wa nane
Hongera mpenzi
jangombeboys1999
Duuuu
Jmn kawa mcute Yan unawez SEMA davistar katubadilishia🙄😂
Kabisaa
@@pilimusa7770 niyeye kweli ila Leo kapendeza sana
Kapendeza sana mashallah
@@pilimusa7770 sanaaa🤣🤣
@@fatmaalrshdii7615 sana tena
Bonge la hb. Ss kwnn mnywa gongo na bangi
Anachoota yule na mwingine anaota hivyo hivyo so maonyo utsonaje kama huoti vile mwanxoni umepigwa matukio na mitume