BEHIND THE SCENE: ONA DUBE ALIVYOREKODIWA NA VIJANA WA YANGA KWENYE UTAMBULISHO WAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
  • СпортСпорт

Комментарии • 297

  • @michaelchiza6795
    @michaelchiza6795 7 дней назад +190

    Kwa usajili huu Matola na Mgunda msikae mbali soon mtaitwa mmalizie ligi😂😂😂kama unaamini weka like yako apa

    • @ngoyaboy1590
      @ngoyaboy1590 7 дней назад +7

      Hahaha wasjee wakasafiri wakaenda mkoan

    • @Stevmwamba2090
      @Stevmwamba2090 7 дней назад +5

      Acha kuongea ukwel

    • @AllyJofrey-mg6ri
      @AllyJofrey-mg6ri 7 дней назад +2

      Afu wana anza GSM amewekeza timu nyingi

    • @mariamjuma1670
      @mariamjuma1670 7 дней назад +4

      😂😂😂😂mbavu zng awachelewi kufukuza kocha wakila 10 safi

    • @ndahanisimon6817
      @ndahanisimon6817 7 дней назад +1

      😂😂😂😂

  • @user-jx4hu7bd2c
    @user-jx4hu7bd2c 7 дней назад +37

    Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 7 дней назад +17

    🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.

  • @halimasawa611
    @halimasawa611 7 дней назад +4

    MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 7 дней назад +13

    hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi
    hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga

  • @dallovision
    @dallovision 7 дней назад +34

    Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 7 дней назад +30

    Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori 7 дней назад +23

    Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme

    • @SaraJinalangu
      @SaraJinalangu 7 дней назад

      😅😅😅😅Sio kalibu
      Kalibu - karibu
      Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 7 дней назад +9

    Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 7 дней назад +6

    jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 7 дней назад +20

    Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 7 дней назад +10

    Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛

    • @daudimolleltutafungatu5486
      @daudimolleltutafungatu5486 7 дней назад

      Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo

    • @user-zo8ws7dy7g
      @user-zo8ws7dy7g 7 дней назад +2

      Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi

    • @malietamalieta9658
      @malietamalieta9658 7 дней назад

      @@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah

    • @giddychanga
      @giddychanga 7 дней назад

      Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana
      Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan 6 дней назад

      Kweli Ata mm simtaki

  • @BiasharaZetuPoint
    @BiasharaZetuPoint 7 дней назад +8

    Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛

  • @user-zo8ws7dy7g
    @user-zo8ws7dy7g 7 дней назад +4

    Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 7 дней назад +15

    Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 7 дней назад +5

    Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!

  • @User255tv
    @User255tv 7 дней назад +8

    Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.

  • @Le_petery
    @Le_petery 7 дней назад +6

    You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..

  • @ayeshakhan1636
    @ayeshakhan1636 7 дней назад +16

    My team on fire

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 7 дней назад +13

    ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 7 дней назад +4

    Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 7 дней назад +4

    Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana

  • @ip_header
    @ip_header 7 дней назад +6

    Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 7 дней назад +5

    Level za juu sana hiz !!!

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ 7 дней назад +11

    Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂

    • @michaeljpm5597
      @michaeljpm5597 7 дней назад +1

      Mm nilisha achaga kitambo

    • @erickkantona4791
      @erickkantona4791 6 дней назад

      @@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 7 дней назад +5

    Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤

  • @user-wp5kv9sf5o
    @user-wp5kv9sf5o 7 дней назад +10

    Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori 7 дней назад +8

    Kalibu sana yanga dubeeeeee
    🎉

  • @titomtokoma803
    @titomtokoma803 7 дней назад +31

    Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 7 дней назад +9

    Kila la kheri dube😂😂😂😂

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 7 дней назад +4

    Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 7 дней назад +3

    Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵

  • @hildaelkana7132
    @hildaelkana7132 7 дней назад +4

    Tmu inapenda sifa hii😅

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 7 дней назад +2

    Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏

  • @user-qt7yd2ws9u
    @user-qt7yd2ws9u 7 дней назад +8

    Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @DanielShedrack-e5v
    @DanielShedrack-e5v 7 дней назад

    Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 7 дней назад +3

    dube ana furaha sana😂😂

  • @Jeyb07.
    @Jeyb07. 7 дней назад +8

    Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya

  • @chemstry409
    @chemstry409 7 дней назад +6

    Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 7 дней назад +3

      Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 7 дней назад

      Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 7 дней назад

      Amiiin inshallah

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 7 дней назад +4

    Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @arafatymakamenyange2665
    @arafatymakamenyange2665 7 дней назад +5

    dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 7 дней назад

      Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 7 дней назад +3

    Kalibu yimu ya makombe dube ❤

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 7 дней назад +10

    Dubereeeeee

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 7 дней назад +2

    Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 6 дней назад

    Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫

  • @bensonchota3461
    @bensonchota3461 7 дней назад +1

    Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 7 дней назад +1

    Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂

  • @musamakuhana2200
    @musamakuhana2200 7 дней назад +3

    Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @frankndaturu5910
    @frankndaturu5910 6 дней назад

    Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛

  • @JOHNAroyce
    @JOHNAroyce 7 дней назад +5

    wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅

  • @MoBecca-l2g
    @MoBecca-l2g 7 дней назад +9

    Dubeeeeee

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 7 дней назад +7

    Oyooo

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i 7 дней назад +2

    Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz

  • @MaishaMedstz
    @MaishaMedstz 7 дней назад +8

    Wananchiiiiiiii

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi 6 дней назад

    👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏

  • @ceciliaathanas751
    @ceciliaathanas751 6 дней назад

    Kumbe Dube anajua kuongea Kiswahili vizuri kabisaa wow

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 7 дней назад +4

    Allaah Akbar

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 7 дней назад

    Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 7 дней назад

    Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 дней назад +1

    Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 7 дней назад +3

    Yangaa 🎉🎉🎉

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 7 дней назад +6

    Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 6 дней назад

    Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛

  • @meddymachozy1815
    @meddymachozy1815 7 дней назад +3

    Welcome dube

  • @user-fc7zp2nd4m
    @user-fc7zp2nd4m 7 дней назад +2

    💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena

  • @ThomasWebiro-rs5yr
    @ThomasWebiro-rs5yr 7 дней назад +12

    Nlisema sikusema endelea

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 7 дней назад

    Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 7 дней назад

    Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 7 дней назад

    Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 7 дней назад +1

    Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 7 дней назад

      Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah

  • @jumakhatib892
    @jumakhatib892 3 дня назад

    ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 дней назад

    Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉

  • @MSHAURIALLY
    @MSHAURIALLY 7 дней назад +2

    Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛

    • @puridangote2701
      @puridangote2701 7 дней назад

      Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂

  • @IbrahimMussa-c3t
    @IbrahimMussa-c3t 7 дней назад

    Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 6 дней назад

    Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛

  • @Jumachilowe
    @Jumachilowe 7 дней назад +3

    hii taasis iko pw xn dah yng raha

  • @SadKazimbaya
    @SadKazimbaya 7 дней назад

    Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 7 дней назад

    Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels1631 7 дней назад +3

    🔥🔥🔥

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 6 дней назад

    Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 6 дней назад

    Dube yuko na smile sio poa😂😂😂

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 7 дней назад +7

    Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 7 дней назад

    Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥

  • @AdamSteven-z6n
    @AdamSteven-z6n 7 дней назад +1

    Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 7 дней назад +2

    Kalibu dube lyondio yanga utambulishauo siokule kw.kolo

  • @francofisinge137
    @francofisinge137 7 дней назад +3

    Katibu kiboko ya kolo

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 6 дней назад

    DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!

  • @kigura_jr
    @kigura_jr 7 дней назад

    Kwahyo hyo midoli ya magari ndoile migari mikubwa tuliyoiona kwenye utambulisho, ila Yanga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 6 дней назад

    Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂

  • @chollejr_
    @chollejr_ 6 дней назад

    Nliwaza izi gari vp kumbe matoy😂😂😂

  • @JuliusTemu
    @JuliusTemu 6 дней назад +1

    Kama una stress
    Angalia match za yanga

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 6 дней назад

    Alhamndulilah namshukuru M/Mungu

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x 6 дней назад

    Masha Allah

  • @SixmundPonera-ft8ts
    @SixmundPonera-ft8ts 6 дней назад

    Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 7 дней назад +2

    Hiv vigali ndo vinatusumbuwa

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 7 дней назад

    Kijana ana mwili wa kazi,jirani zetu wanasajiri watoto kutoka nje😅

  • @safiaothman7506
    @safiaothman7506 7 дней назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @josephmussa406
    @josephmussa406 7 дней назад

    Yanga Iko mbali sana kwahaya niliyoyaona daar

  • @shedracklaizer9256
    @shedracklaizer9256 7 дней назад

    🎉🎉🎉tunaomba na ya chama ...

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 6 дней назад

    PRINCE DUBE 🙌