Hadi machozi ya menitoka kwa furaha masha Allah Allah azidi kuipa nguvu dini yetu Ammin na tuwashike mkono mashekh wetu kwa kazi wanayoifanya Allah atawalipa duniani na Akhera
Ma shaa Allah nafurahi kuona wanaofanya Daawa kwa wasiokuwa waislam ni masheikh ambao walisilimu kutoka katika ukristo...Mungu atawalipa malipo makubwa na ni ahadi ya mungu katika Quran kuleta watu wataka unusuru uislam
Mashaallah mashaallah, wallah inapendeza Sana, familia nzima imeingia ktk dini ya haqi, Allah awaongoze muisome vyema dini ya Allah na muifanyie kazi inshaallah. Achaneni na mungu mtu wanyonyi. Sheikh Ramadhan Kuria Allah akupe umri mrefu, na afya njema ili uendelee kuitangaza dini ya Allah. Allah akulipe hapa Duniani na kesho Akhera.
Walaikum Salaam Wa Rahma Tullahi Wa Barakat, Masha Allah, Allahu Akbar. Allah awaongoze na wale wasio ijua haki waione haki na waweze kuifuata na awaonyeshe shari na waijue shari na waweze kuifuata na sote Allah atupe mwisho mwema sote pamoja na wazazi wetu na vizazi vyetu Allah Hummah Amiin
Alhamdullillah.tushukuru sana kuwa WAISLAMU.hakuna sehemu uislamu ulikosewa tukasema tuubadilishe.mfano Kutahiri.kuowa mwisho wake 4.wanawake kujistiri.Lugha ya ibada moja kiarabu.Miradhi na mengi mengi.ALHAMDULLILLAH
Allah Akbar, Wallah baada ya kusikia haya mahubiri na jinsi watu hawa walivyopata tawfiq na kuujua ukweli nimefurahi mpaka chozi la furaha limenitoka. Allah akuzidishie heri hekma na busara shekh Ramadhan, wewe unatimiza wajibu wa dini yetu
Al, hamlillah shekh ramadhani Allah akulipe kwa kazi kubwa unayo ifanya Allahu akibaru Allahu akibaru natamani Sana kazi unayo ifanya maana unajitoa ukweli wa kujitoa from Tanzania
Allah akulipe kila la kher, hya ndo yeny faida kwa ummah na uislam kwa ujumla, kuliko masheik wanaolumbana mitandaon Hakuna faida inayopatkan zaid kuwafukuza watu wasiukiimbilie uislam
Hiii kazi jamani ni ngum mmmmh👏👏👏👏👏👏👏
Mashaallah hii familia inabidi tuwachangie hao wapate mavazi ya kiislam
MashaAllah may Allah guide them
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤❤shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah .Allah akuzidishie elimu ya juu
Hadi machozi ya menitoka kwa furaha masha Allah Allah azidi kuipa nguvu dini yetu Ammin na tuwashike mkono mashekh wetu kwa kazi wanayoifanya Allah atawalipa duniani na Akhera
Mimi nilikua mwili unashake, shahada inanguvu yake mm hua nakua emotional 😢 sana,Alhamdulilla
Fatma khanii hio ni utukufu.na ni roho ya uislamu
@@habibasalim3092 hakika
@@habibasalim3092Allah awaongoze na hao wengine wanaosema ni wa toto wa mungu subhanallah
Watasilim ambao awajuhi biblia, wenye kujua biblia awawezi kufanya hivyo,
Dini iwe kubwa saidi. Ya Allah tuongeze
Mashaa llah hii family imebariikiwa 😭😭😭🙏 mungu awaongoze wote inshaa llah
Ameen yaraab alamiin
Mashallah sheikh ramadhan kwa juhudi zako za da'waa, malipo yako kwa rahman akuzidishie afya na mahitaji yako yote kwa jumla
Amin
Ameen
Mashallah takbir
Ma shaa Allah nafurahi kuona wanaofanya Daawa kwa wasiokuwa waislam ni masheikh ambao walisilimu kutoka katika ukristo...Mungu atawalipa malipo makubwa na ni ahadi ya mungu katika Quran kuleta watu wataka unusuru uislam
Kweli kabisa
Subuhanallah yani Baba yako Ndiye Mungu alafu wakuibwa kabisa akilizimetimia kweri daaa inalillahi wainailahi rajuun Allah awaongoxe lnshallah
Mashallah, shekhe Ramadhan Mwenyezi Mungu akubariki sana
Ameen
Amiin
Amiin
@@Neighborsjiran yes,
@@StraightPathDawah sheikh, tafadhali nipe number ya Adam.
Am so proud.kwa wale atuwezi hii kazi kindly let's assist financially
Mashaallah mashaallah, wallah inapendeza Sana, familia nzima imeingia ktk dini ya haqi,
Allah awaongoze muisome vyema dini ya Allah na muifanyie kazi inshaallah.
Achaneni na mungu mtu wanyonyi.
Sheikh Ramadhan Kuria Allah akupe umri mrefu, na afya njema ili uendelee kuitangaza dini ya Allah.
Allah akulipe hapa Duniani na kesho Akhera.
Manshaallah!!!hii video imenitoa machozi,Takbir!!!Allah Akbar
Allahu Akibar
Allah Akbar
Mungu wangu wasaidie wajuwe dini ya kweli nauzima MAANA wanapoteya bila kujuwa Yesu kristo wasaidie kweli wanazibwa macho pamoya namasikio
Wenzio hapo ndio wameungana na yesu msikitini wewe bado upo kwa dini ya paulo ya kipagani 😂😂😂
Na Mwenyezi Mungu awafunguliye wote mlango wa riziki zao na awaongoze kitika njia ya Mwenyezi Mungu
Maashaallah Allah awaongoze katika njia ya kheri na mashekh wetu Allah awape nguvu na afya muzidi kusongeza uislam mbele❤❤❤❤❤❤
Ameen
Masha Allah Allah azidi kukukirim ujasiri wa kuingia kwenye ngome ngumu na kuchukua wafusi
Allahuma ameen
Takbeer Allah Akbar, sheikh wetu Allah akulipe kheir na afya njema, na pepo ya firdaus niya yako Allah kaipokeya,alhamundulillah
Amin amin
Ameen 🤲
MASHA ALLAH mungu awalipe Kwa lika munalo fanya kwenye dini ya Allah
Ma shaa Allah Allah awaongoze wote wanaosilimu wapate elimu in shaa Allah
MA SHAA ALLAH MWENYEZI MUNGU AWAONGOZE KATIKA NJIA ILIYOKUWA YA HAKI AMEEN
Walaikum Salaam Wa Rahma Tullahi Wa Barakat, Masha Allah, Allahu Akbar. Allah awaongoze na wale wasio ijua haki waione haki na waweze kuifuata na awaonyeshe shari na waijue shari na waweze kuifuata na sote Allah atupe mwisho mwema sote pamoja na wazazi wetu na vizazi vyetu Allah Hummah Amiin
Masha Allah, sheikh Ramadhani Allah akujaze kheri na maisha marefu
Nawaliosilim.wote.aallah.awafanyie.wepesi.inshallah
Ameen
Mashallah Mungu atakujalia duniani na kesho akhera
Usichoke.Allah Akbar. Idhaa Aradallah Amiiyn
Takbir Allahu Akbaru shekhe mungu atakulipa Kwa kazi unafanya kuwalingania watu 🙏
الله أكبر كبيرا و الحمد لله كثيرا وسبحان الله بكرة وأصيلا
Mashaallah may almighty Allah guide them to the beauty of Islam
Mashaa Allah masheikh wetu kwa kaz nzur munayoifanya
Masha Allah BaraqaAllah fiqh sheikh Ramadhan gakuo
Allahuma ameen
MashaAllah machozi ya furaha yananitoka.Allah azidi kuongoza ulimwengu kuingia kwenye dini ya haki
Maasha allah. Najiskia furaha hadi macho yani toka. Shkh Ramadan allah akulip kila lakher 😍❤️
Takbiriii karibu ktk uislam ndugu zetu.
Mashehe zetu Allah Awape umri mlefu wenye heri nanyi awaingizepeponi kwauwezowake lnshallah🤲
Ameen
Innalillah wa lnnahillah Rajioun sote ni wa m'mungu na kwake tutarejea
Masha-ALLAAH jazaaka lahu haira sheikh Ramadhan, ALLAH akuzidishie brother na hisi furaha Sana kwa kaz onayo ifanya
mashaallah tabaraka Allah Allah akuzdshie elimu na afia
Mashallah jazakum llah khair nyoote straight path daawah machozi ya furaha Allah akuhifadhi sheikh ramadhani.
Allahuma ameen, nawe pia Allah akulipe Jannah
Allahu akbar,uislam ni dini ya kweli,dini ambayo walotumilizwa mitumi wte waliokuja duniani kutoka adam mpk muhammad..
MashaAllah. Al Hussein my family name
Mashaallah mashaallah masheikh wetu allah awaongoze na woootee mloslim
M.a Sheikh ramadan Mungu akubariki ...nakupenda kwa ajili ya Mungu
Shukran jazeelan Allah akupende zaidi
Sheikh Salim haki uko na subira sana...mungu awasaidie
ALLAH AKBAR ... NIMELIA KWA FURAHA HAKIKA MWWNYEZI MUNGU HUWAONGOA WAJAWAKE AWAPENDAO
Maa shaa Allah bro nice
MaashaAllah, huyo Adam MaashaAllah anaonekana always convince ni vile alikua hana nguvu)Lakini sai amepata nguvu na amefurahi kweli
Mwenyezi Mungu akujaliye zaidi kwa juhudi zako zote inshaallah bieznillah
❤ mashaallah nimefrah sana
Mashaa allah familia yenye neema nimeipenda
Mashaallah mungu akupe maisha malefu ufyndishe hata ukiwa umekaa umezeeka
Allahuma ameen
Mashaa Allah tabarakallah jazak Allah kheir
Ma sha Allah
Alhamdullillah.tushukuru sana kuwa WAISLAMU.hakuna sehemu uislamu ulikosewa tukasema tuubadilishe.mfano Kutahiri.kuowa mwisho wake 4.wanawake kujistiri.Lugha ya ibada moja kiarabu.Miradhi na mengi mengi.ALHAMDULLILLAH
mashAllah Allah awahifadhi
MashaALLAH tabarak sheikh Ramadhan may ALLAH reward you abundantly
Aamin 🤲
Allahuma ameen
Ameen
Mashallah kheir
The great man sheik Ramadan Islam is grown there because of u. MashaAllah
Mashallah....
May Allah give you strength in dawa always
Mashaa Allah Tabaraka Allah sheikh Ramadhan
Mwenyezi mungu awaongonze wote walioingia kwenye Dini ya haki
Ameen 🤲
Allahuma ameen
Sheikh wetu ramadhan tunamuomba allah akuzidishie kila la her akulinde na mbaya akujaalie mwisho mwema na akujaalie Umr mrefu tunakupenda sana
Allahuma ameen, nawapenda pia ndugu zangu na Allah awalipe Jannah
@@StraightPathDawah Amina yaallah
Sina usemi wallahi...n furaha kuona wenzetu wakiingia Kwa dini ya hki
Mungu akubariki ustadh
MashAllah
Mungu ngani haoni vizur maandiko mpaka miwani allah amelaaniwa mwenye kujifananisha na allah
Ajabu
Masha Allah tabarkallah raha jmn🤗🤗🤗Allah awaongoze
Allah Akbar, Wallah baada ya kusikia haya mahubiri na jinsi watu hawa walivyopata tawfiq na kuujua ukweli nimefurahi mpaka chozi la furaha limenitoka. Allah akuzidishie heri hekma na busara shekh Ramadhan, wewe unatimiza wajibu wa dini yetu
Baarakalaahu Feekum.
Mungu awabariki muendelee na maisha mema
Maashallah tabaraka Allah ❤kazi nzuri
Maashaa Allah Tabarakallah Yaa Sheikh
Idhaaja anasruhllah walfath waraaitannasa yadikhuluun fiidiinllah afwaajan,,,,,
Leo mumenifanya nilie 😭😭sana Alhamdulillah 🤲🏻
Kutokeya Burundi,Allah akulipe kwa kazi hii ya kujitoleya kaka Ramadhan...
Mashaallh hadi machonzi yafuraha yananitoka
😭😭😭Mungu ukupe umrii mrefu sheikh Ramadhani amin 🤲🤲
Allahuma ameen
Asalam Alaykum! TAKBR ALLAHU AKIBAR !MASHA ALLAH ! ALLAH AWAONGOZE KTK DINI YA HAKI AMIN AMIN
Masha Allah sheikh Ramadan Allah akulinde na wabaya na akupe mwisho mwema ishallah
Allahuma ameen
Al, hamlillah shekh ramadhani Allah akulipe kwa kazi kubwa unayo ifanya Allahu akibaru Allahu akibaru natamani Sana kazi unayo ifanya maana unajitoa ukweli wa kujitoa from Tanzania
Masha Allah sheikh ramadhan
Shukran jazeelan Allah akulipe Jannah
Inshaallah kwa furaha zetu tunazo furai kwa kz nzuri uifanyayo shekh ramadhan kaguo Allah kesho akueke kivulini kwa mtume wetu Mohammad rasulullah yaa Rahman itakabalie du'a yangu 🤲🤲🤲
mashallaaah ❤mashallaaah ❤❤
Allah awakunjulie vifua vyao wapate kuzingatia Insha Allah
Mashallah karibuni Katika njia iliyonyoka .jazaka allahu ekheri
Mash’s allh allh akupe kher
MashaAllah kazi nzuri
Very good Ustaz
Mzee Mungu hataki uongee na vijana wake usije watoa ktk kumuabudu 😆😆. Allah awaongoze watoke ktk giza waje kwenye Nuru ya Uislam in shaa Allah.
Mzee hataki wahojiwe
Babayao sie huyo.babayao alikufa kitambo.huyo ni malaika ameachiwa na mungu awalelee😃😃😃
@@maherzain615 OK 🙄😃😃
@@maherzain615😂
Maashallah our sisters and brothers inshallah May Allah bless you all taqbir
Mashallah Allah awape umri mrefu mashekh wetu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Ameen
Allah akulipe kila la kher, hya ndo yeny faida kwa ummah na uislam kwa ujumla, kuliko masheik wanaolumbana mitandaon Hakuna faida inayopatkan zaid kuwafukuza watu wasiukiimbilie uislam
Mashaallah dini isiyo na mashaka ndani yake karibuni sana
M mungu amfanyie wepesi
MashaAllah TabarakAllah! May Allah make it easier for them. JazakumAllah khair straight path Da’awah!
*Marshallah Alhamdulillah🤲🏾🤲🏾💞💞*
Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atazidi kukufanyieni wepesi mazito akuondoleeni mepesi akumiminieni akubashirieni peponi ya duniani na akhera mashaallah mashaallah mashaallah
Allahuma ameen
MashaAllah tabarakallah Allah Akbaru ❤❤ kaka yangu ramadhan Allah akujalie mwisho mwema shaada
Wallahi dini ya uislam ni haqi kabisa.
Mashallah, karibuni kwa uislam ndugu zangu
MashaAllah!!!TAKBIIIR!!!!Allahu Akbar
Maa sha Allah...Mwenyezimungu akulipe heri nyingi hapa duniani na kesho ahera akujaalie uingie kwenye pepo za juu kabisa!
Mashaallah jazzakallah khairan Allah akujaze Noor shekh ramadhan na afya njema na maisha marefu uwe sababu wengi kurudi kwa Allah 🤲🤲🤲
Allahuma ameen
Mashaallah Allah akulipe kheri fidunia wal-akhera
Allahuma ameen
Mashallah mungu wape afia Na nguvu