KARIBU TUTAONA JIJI TULILOAHIDIWA, MSIFADHAIKE MIOYONI MWENU BY KURASINI SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH CHOIR - DAR ES SALAAM. VIDEO RELEASE 11 NOVEMBER 2023.
Mmenikumbusha wakati tukiimba wote 2010 to 2012 !!! Mmenibariki Sana .Nawaombea Sana Mungu awatimie vyema kwenye kazi yake,hata atakapokuja kutuchukua kwenda mbinguni.Itakuwa jubillee ,Amina.Sabato njema
Hongereni sana kwa kazi nzuri, naomba tu kama itawezekana maandishi ya jina la wimbo hapo mwanzoni mwa wimbo yarekebishwe KALIBU??? Nafikiri KARIBU ndio nasihihi. Nisieleweke tu vibaya kama wenye chuki ambao hawataingia ktk jiji😄😄
Mbarikiwe sana, nafurahi kila mara na kubarikiwa nikisikia kwaya hii, Mungu awabariki na hasa jinsi jinsi ambavyo mmekuwa na uimbaji hali halisi wa kanisa, hakika ni Mungu asingekuwa YEYE msinge dumu kama mlivyo dumu miaka na miaka.
ameeen
Aminaa sana
Amen
Amen 🙏
Thanks to my choir
Mmenikumbusha wakati tukiimba wote 2010 to 2012 !!! Mmenibariki Sana .Nawaombea Sana Mungu awatimie vyema kwenye kazi yake,hata atakapokuja kutuchukua kwenda mbinguni.Itakuwa jubillee ,Amina.Sabato njema
Nawapenda
Mbarikiwe na Bwana,
Aminaaaaaa
Mm napendaga zile non stop
This is a masterpiece I can't stop playing it
Msifadhaike mioyoni mwenu yesu alitamka...God bless the church ❤
Waoooooh nimepata tena ladha ya kurasini ambayo ilipotea hapa katikati,,,,,,mbarikiwe sana wapendwa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
Kaza mwendo tuingie Kwenye Jiji ambalo Yesu mwenyewe ndie atakaekua Mgeni Rasmi.
Hongereni sana kwa kazi nzuri, naomba tu kama itawezekana maandishi ya jina la wimbo hapo mwanzoni mwa wimbo yarekebishwe KALIBU??? Nafikiri KARIBU ndio nasihihi. Nisieleweke tu vibaya kama wenye chuki ambao hawataingia ktk jiji😄😄
❤🔥
Amina
Mbiu sda
Mbarikiwe sanaa
Amen.
Nawapenda
Nice song
volume 36...mbarikiwe sana. Safari isonge mbele
Kwaya yangu pendwa
Aminaaa🎉🎉🎉
Barikiwa sana........ Kurasini......ni kunyata nyata mwendo wa pole mwendo wa maarusi .....itakuwa jubilee
Nimebarikiwaa na huu wimboo..mungu azidi kuwatia nguvu..❤❤
Barikiwa..
Im blessed by the song .greetings from Nairobi.
My favorite choir❤
Ndiyo tukaze mwendo😢
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen and Amen Amen
Mbarikiwe sana, nafurahi kila mara na kubarikiwa nikisikia kwaya hii, Mungu awabariki na hasa jinsi jinsi ambavyo mmekuwa na uimbaji hali halisi wa kanisa, hakika ni Mungu asingekuwa YEYE msinge dumu kama mlivyo dumu miaka na miaka.
Aiseeeeee mbarikiwe sana
amen kurasini. feel loved people. all glory to God
Nuru yake yaongoza kuingia kwenye Jiji, hakika itakuaa ni shangwe Juu Mbinguni Bwana awabariki sana Kurasini SDA Choir..
Amen 🙏🏾! How i long for that day🙏🏾
A blessing song for the sabbath
And for all days
AMEN AMEN 💯❤❤❤❤❤❤
I like this
Happy Sabbath
Blessings all
So nice 🎉🎉
Bwana awabariki Sana kwa wimbo huu nimebarikiwa Sana
Nawapenda hadi Yesu arudi leteni hata zile za zamani kabisa
Mbarikiwe sana Kurasini sda choir kwa kazi mzuri
Bwana ni mwema Sana...
Na Awabariki.....
Amina, utukufu kwa Mungu juu
Mungu awabariki kwa kumuinua kupitia sauti zenu
Amen. Mungu azidi kuwabariki
Wimbo mzuri sana, Mungu awabariki ✅
Radha halisi ya kurasini choir bn, nabarikiwa
Amen, barikiweni kwaya yetu ya nchi
To God be thy glory
Mungu azidi kuwatumia mnatubariki sanaaaa
Perfectly done. I am blessed. May Good keep you and lift you higher.
Hongeren sana mfike mbali Mungu azidi kuwainua 🙏🙏
Amen. Karibuni sio kuona tu bali tutaingia jijini. Thanks for giving the feeling and the life to this song.
Namuona Mr Seba hapo, Barikiweni sana
Amen Amen❤
Pamoja
From Kenya 🇰🇪🇰🇪napenda sana
Mibaraka mingiii iwafikie ninyi na family zenu
My favorite choir,mbarikiwe sana
I love the singing. I am so much blessed with the song. Thanks be to God
Praise the Living God. Amen.
Ameen kurasini Choir
Barikiweni sana, wimbo mzuri kwa wakati muafaka kabisa
Amen 🙌
So nice.Full of hope and blessings.Keep it up.All the best.
Amina, Your standard is always exceptional. God bless you Abundantly. Greetings from Senegal ❤
Barikiweni Sana Kurasini choir
Wakubwa kazini,Bwana awabariki sana.
What a blessings song! Amina
First heard of this when audio 36 came out in 2011 or thereabout and the message therein looses not its power even unto this time. Mbarikiwe kurasini.
kurasini anytime..... you never disappoint
Nawapenda sana kwaya yangu hii yamoyo
Hakika nimebarikiwa sana na wimbo huu
Hongera sana kwa wimbo mzurii
Amen 🙏 Mbarikiwe sana
Amen wajoli
Greatest of all time.. Very consistent.
Nabarikiwa na huu wimbo. Be blessed Kurasini
❤Thanks So Much For The Good Work, Love You So Much From Nairobi, Be Blessed.
safiiii kurasini mpo juu
Asante kwa wimbo
Mungu awqbariki
Mungu awabariki 👏👏
Amin
Barikiweni kwa utumishi
Mzidi kubarikiwa
Wonderful and powerful song
Kazi ya bwana iendelee
Mbarikiwe Sana kwa kazi mzuri ❤❤❤
Mbarikiweee sanaaaaaa
Amen!Amen! Glory to God!
Haleluya; mbarikiwe sana
Amen.Mubarikiwe sana.
Am blessed with your song
❤❤🔥🔥🔥🔥
My favourite choir inspiring me so much with their songs.Blessings🙏🙏
Kaz nzuri ❤
Mnaweza edit iwe karibu instead of kalibu
Ni athari ya lugha ya mama tu. Nothing to be edited. I'm from Kenya and I love the song so much.
inaitwa lahaja... katika isimu jamii, mwalimu wa fasihi atakupa tick for both
Nakubali...❤❤❤